Huyu ndio mrisi wa Kanumba #CLAMVEVO naomba nikushauri kwenye hizi move zako weka subtitles itasaidia Sana Kwa wasio elewa kisawahili na zitafika mbali Sana 🔥💪
Dah wanangu hii movie inamafunzo makubwa Sanaa kwentu msiwe mnasema tu kua wakwanza Mimi nimewah nipen like zangu kiukweli tukumbuke siku zote nibola kidogo Cha halali kuliko kingi za halama nawasilisha 🙏🙏
Safi sana clam na team yako kwa kutufunza kuwa wapambanaj na tusipende vya bure vna gaharama,ewe mola tufungulie milango ya baraka na utupe nguvu, afya njema na akl ya ufanuz wamaisha bora ya dunia na akhera🙏
Asante sana clam kwa kuskiza ombi letu la kipindi kuwa kirefu kimekuwa kitamu zaidi na sasa bado tu subtitles yani unatengeza movie la hatari tumependa hivi unavyoendelea much love..❤from kenya
I always check on this guy's timeline to see what he as posted 🎉😮much love from kenya 🇰🇪 🇰🇪 clam . The best content creator in East and west Africa currently ❤❤❤
@CLAM VEVO COMEDY Kazi nzuri sana brother iwe mwelezo kama ya OSMAN BEY YA AZAM TWO YA SAA NNE USIKU WANAO TAKA ISIISHE GONGA LIKE ZA KUTOSHA APA CLAM VEVO WA BIG BOSS 4:43
Brother Brother Brother Brother I call you four Times. Unajua wew ni mtu mwenye kitu kikubwa mno na nizaidi ya unavyojifikiria au kujiona. Unafanya mambo ambayo industry ya Bongo ilikuwa imeshayapoteza. Kupitia wew watu wanajifunza zaidi sana. Brother soma vitabu zaidi , Angalia pia Watu wenye Upana mkubwa wa tasinia ya filamu nchi zilizorendelea wanafanyaje. Kila siku umisa kichwa kupata scene nzuri zenye kuelimisha pamoja na kufundisha. Unayaweka bayana mambo ambayo katika jamii yetu husika yapo. Brother watu wanahitaji Amani ya moyo na wengine wanahitaji kupata majibu ya misuko suko wanayopitia. Naamini wew ni Mtu muhimu katika jamii sitaweza kukuita star kwasababu star ni jina ambalo wakati mwingine linaweza kumfanya mtu asifanye yale ambayo alikuwa akiyafanya awali ila naweza kukuita “ an analyst of social problems and a provider of comfort and answers to unanswered questions in society” Au kwa lugha nyepesi “AN EDUCATOR”. Ujumbe huu ukufikie Clam Jitume zaidi na zaidi kila iitwapo leo tamani kuwa kuliko ulivyokuwa jana. YOUR THE BEST
Kumbe uyu chale chale anaitwa mwakatobe 😅😅😅😅mm yuwanifuraisha jomon nampenda na nyote nawakubali kutoka kenya wallh mwanipa raha ndani ya saudia rabia yani ata simuwazi ex wangu kwa muvi zenu mashallhhh 🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wallah inatufunza tuwe na subra katika mitihani ya kidunia nahaswa katika utafutajj wa riziki tutafute rizki halali allah atujaalie mwisho mwema. nawapenda washiriki wote wahii ❤❤💯💯😊🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Mimi ni wakwanza kuona BIG BOSS part 7 nipeni like zangu
Kwa hiyo ukiwa wa kwanza tukusaidie nini pumbafu sana
@@mustafamasudi8093Ni Raha tu ,usitukane
Sema wanachelewa sana kutoa had twamic
Nmefurah Sana huna majibu mabaya matusi yamemrudia
Kachukue kanisani😂😂😂
Mambo hayo na bado mtachanganyikiwa sana mwaka huu😂😂
Yaani huyo jamaa ananifurahisha😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mbona kama hakuna sauti
@@issaskighanga3199 ukiingia kwenye 18 atakupelekea moto😊
Ulivyo coment utasema kama upo kwenye page ya DIVA mke ya mganga
Huyu ndio mrisi wa Kanumba #CLAMVEVO naomba nikushauri kwenye hizi move zako weka subtitles itasaidia Sana Kwa wasio elewa kisawahili na zitafika mbali Sana 🔥💪
jaman kaka clam 💓💓💓💓
Mawazo Muzuri kaka
Kabisa aisee itamsaidia
Sure
Fact
Dah wanangu hii movie inamafunzo makubwa Sanaa kwentu msiwe mnasema tu kua wakwanza Mimi nimewah nipen like zangu kiukweli tukumbuke siku zote nibola kidogo Cha halali kuliko kingi za halama nawasilisha 🙏🙏
Tajiri umejipanga movie Kari sana hongera sana!! Show show
Thank you my friend for telling that
Love you
Jamani🙌 likes kwa MCHAWI mwenye KOFIA maana ameupiga na anaupiga mwingi sana hadi 🔥🔥
Anapelekaaa motooooo😂😂
Wa kwanza kuangalia big boss 7 wapi likes zangu jameni😫
Mimi nauliza tu hivi Clam unatoa CD kama anavyofanya mkojani upo vizuri sana
Wewe ni mm
You take too long to give us next episode why ?
157
🎉Vizulisana
umeuwa kwenye big boss clam nimefuatilia kuanzia mwanzo mpka sasa sema usichelewe kutoa mashabiki zako tun wait ✋️ sanaa 😂
Hakikaaa aisee anachelewa sawaa fanya uwahi mkuu kutoa tunasubiri
Yaan kama Kila siku tuwe tunacueki new episodes za big boss
anacherewa mimi huwa ananiondoa mawazo
Daa umeona eee
Bonge ya movie yaan
Safi sana clam na team yako kwa kutufunza kuwa wapambanaj na tusipende vya bure vna gaharama,ewe mola tufungulie milango ya baraka na utupe nguvu, afya njema na akl ya ufanuz wamaisha bora ya dunia na akhera🙏
Allahuma Amin 🤲🤲🤲
Allahuma aamiina 🤲
Aminaaaa
Allahumah Ameen yarrabi 🤲
Ameen ameen ameen
Hata kama nimechelewa 😢 timu clam nipen hata likes 10
Mambo
Asante sana clam kwa kuskiza ombi letu la kipindi kuwa kirefu kimekuwa kitamu zaidi na sasa bado tu subtitles yani unatengeza movie la hatari tumependa hivi unavyoendelea much love..❤from kenya
Kanumba Genes are back once again in east african....inshaaallah uwe writer mzuri Africa nzima
Hii movie kubwa sana tena sana nataka cd yake
Hakika mwamba Ana kosha
Ila mbon Kaa unachelewa kutoa move
@@albertkatuga2434wewe wawap bado unatumia cd
The best comedian in the new generation 🐐 kama unamkubali clam pita na like hapa 👇
Ujue hii movie ni kubwa sana CLAM
Mambo hayo😅na bado utachanganyikiwa sana😂😂😂likes za mchawi mwakatobe hapa🎉❤
kaka yan naangalia hii sehemu alafu ndo nasoma coment yako
uyu jamaa ananikosha kinoma yaan
😁😁
Utasikua we zuchu tu
We nen'gneka tu yaani utasukumiwa moto 🔥
Mwenye kofia kaupija mwingi❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
This challenge of being prohibited to help your mother is too much!!!
Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
unazingua bhana yaan epsode moja mpka unasahau toa hata mara 3 kwa weak
Walio kuwa wa kwanza kwenye big boss niweng jamn hata cjuh me ni wangapi ila yote na yote nimefurahi kwa kaz yako clam tunakupenda🔥🔥🔥🔥
Leo wakwanza jaman clam ni fireee💥💥 naombani like ata tano tu jaman
Big boss 7 ni fireeee
I always check on this guy's timeline to see what he as posted 🎉😮much love from kenya 🇰🇪 🇰🇪 clam . The best content creator in East and west Africa currently ❤❤❤
Yah for sure , he is de best, and I love it
🙏🙏🙏🙏🙏👍
Kabisa
Alie umizwa na maneno ya mama clam vevo agonge like apa
Kusema ukwel mtu anaenifurahisha zaid kwenye the boss ni hyu mxkaj anaekaza saut "we mchumba tuuu we zuchuuu" big up mwanang
We zuchuuu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Sema hii season nitaifatilia mpaka mwisho maana sio poa yaani wengine acha waje2 naomba like zangu
Clam hujiona kama comedian but yupo zaidi ya comedian is the best actor in our country
Gonga like kama unakubaliana nami
Mih hata nimechelewa ila wanaonifuata nipeni like za clamVEVO namkubali ¹⁰⁰%❤️❤️❤️💯☑️
@CLAM VEVO COMEDY Kazi nzuri sana brother iwe mwelezo kama ya OSMAN BEY YA AZAM TWO YA SAA NNE USIKU WANAO TAKA ISIISHE GONGA LIKE ZA KUTOSHA APA CLAM VEVO WA BIG BOSS 4:43
Iyo funga KAZI kaka BG boss ata kupelekea motooo bado mtachanganyikiw Sana mwaka uu
utachanyikiwa saana mwaka huuu😂😂😂😂😂😂 ndo nilicho nichekesha saana
Clam nakupenda tanzania nzima unaongoza wenginewanafata bro from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nawapenda tim comedy gonga 👊👊👊 tujuwane
Hiyo pat8 mmmmmm namuonea hiruma huyo mkuu wa wachawi kitamkuta kitu
Kutoka super shop Dubai rumonge 🇧🇮 shabik wakwanza niwew wapili nimim 😂😂😂 we ntiba
Msombiji pia tunahipenda big boss. Hatali sana VEVO 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Loving from JAMAICA,🇧🇴,CLAM the big boss
Nani mwingine anapenda hiyo sound ya wimbo.... Sonabileee...😊
Mimi Jamani
Hii nyimbo ya nn kwan
Mwakatobe never disappoints 😅❤
i love him 😂😂😂😂
@@dullywa9973 jamaa very talented anajua 🔥🔥🔥
😂😂😂😂
Clam hii nayo ya kuingia genezani umejaribu❤
Na baaado utachanganyikiwa sana mwaka huu😂😂😂😂😂😂
Mwamba umetisha big boss Iko juu sana nimeikubari na hisi ata Wana wanaikubari like kama na wewe umeikubari na unamkubari cram vevo
Wa elufu ishilini jamani like❤kwangu nakwa Clam🎉
Jamani mbasi mutowe episode 3 kwa siku anaekubari aweke like apo ❤
Mungu wangu nimecherewa rakini naombeni hâta liké tano kutokea you From burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 BG boss
Broo kazi nzuri sana lakini angalau ungekuwa unatoa video mbili kwa wiki ungekuwa unyama kama unasapoti hoja piga like 😇 ❤❤
Hata mi naona hvo ayse make mpk tunasahau sasa tulipoishia
Brother Brother Brother Brother
I call you four Times.
Unajua wew ni mtu mwenye kitu kikubwa mno na nizaidi ya unavyojifikiria au kujiona.
Unafanya mambo ambayo industry ya Bongo ilikuwa imeshayapoteza.
Kupitia wew watu wanajifunza zaidi sana.
Brother soma vitabu zaidi , Angalia pia Watu wenye Upana mkubwa wa tasinia ya filamu nchi zilizorendelea wanafanyaje.
Kila siku umisa kichwa kupata scene nzuri zenye kuelimisha pamoja na kufundisha.
Unayaweka bayana mambo ambayo katika jamii yetu husika yapo.
Brother watu wanahitaji Amani ya moyo na wengine wanahitaji kupata majibu ya misuko suko wanayopitia.
Naamini wew ni Mtu muhimu katika jamii sitaweza kukuita star kwasababu star ni jina ambalo wakati mwingine linaweza kumfanya mtu asifanye yale ambayo alikuwa akiyafanya awali ila naweza kukuita “ an analyst of social problems and a provider of comfort and answers to unanswered questions in society”
Au kwa lugha nyepesi “AN EDUCATOR”.
Ujumbe huu ukufikie Clam
Jitume zaidi na zaidi kila iitwapo leo tamani kuwa kuliko ulivyokuwa jana.
YOUR THE BEST
Vcs organizam bem é até rendi
ivi unaweza kuowa na unajua utakufa wiki ijayo 😅😅😅😅 😂😂😂 big boss nayo inastori kali kweli
Namuoneya huruma mke wake 😂
Wa kwanza leo
Ambao wanaikubali BIG BOSS , tujuane apa
Sikupimg clam nakukubali broo na wewe ndo najifunza comedy kupitia wew king of comedy
Kumbe uyu chale chale anaitwa mwakatobe 😅😅😅😅mm yuwanifuraisha jomon nampenda na nyote nawakubali kutoka kenya wallh mwanipa raha ndani ya saudia rabia yani ata simuwazi ex wangu kwa muvi zenu mashallhhh 🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wallah inatufunza tuwe na subra katika mitihani ya kidunia nahaswa katika utafutajj wa riziki tutafute rizki halali allah atujaalie mwisho mwema. nawapenda washiriki wote wahii ❤❤💯💯😊🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Good stuff bruh 🔥🔥 keep them coming 🔥🔥
Wa kwanza Mimi like zangu na ninakukubali Sanaa mdogo wang clam VEVO ❤❤❤
Big love from kenya 🇰🇪 mnipee like jamani kwa movie tamu big boss 7 on 🔥
Umetisha sana mzee ,,sema unchlewesha kazi ,,let mwndlzo
Wauh, Kenya watching,,much love,
Big boss im waiting for another party . Part 8❤❤❤
Hakika hii kaži nzuri sana clam unatiya natamani iendeleye ata EP 100kwani unatisha kijana wetu🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩tunakupenda sana Congo
Kuna mtu kanichekesha sana😂😂😂😂😂😂😂😂
Mchawi mwakalobo nna mwelewa mzee wa ntamfinyanga nitampelekea motor mkuu
Waoooo 🤗🤗 I love you so much naomy & mbwela ❤️❤️ nawapenda sana 😘😘 Big Boss 🔥🔥
A história é muito incrível e incomparável
Dar Clam nihatar jamàni
Nice kwa jobu mashabiki waclam kilam nikijana yuafanya kazi vizuri
Umetisha sana janja kwa iii kaz daa sio poa mwanangu wachanikupe mauwa yako🌹🌹
Maua wape wanawake 💀
Nilikuwa naisubili kwa hamu kazi nzur clam
Unajua mwanagu clam kadili siku zinavyozidi kwenda hii story inazid kuwa nzuri
I love this dude clam much love from +254 🇰🇪
❤❤❤ mwenye anasikia hii ajifunze kitu mali za ibirisi zina masharti magumu sana usione watu wanang'aaa
Wee ach tu kk shetani sio kiumbe kizuri
Hongera kwa kazi nzuri ,Ila mnachelewa sana kutuletea muendelezo
Steve mweusi should see these na awache mchezo...Big up Clam Vevo💪 Waiting for big boss 8
Big up sana bro unajua sana.... Na mimi natamani sana kuigiza na wewe ila sijui nitakufikiaje
Jaman kuna BIG BOSS znatolewa na sio org mnafanyaje kuthibit hali hii🏐🤒🤒
Mambo hayo na utachanganyikiwa zaid hahahaha uyu jamaa namkubal sana
😂😂naomba like leo wakwanzaaaaa.clam bravo
Dah! Tena Mimi si wa kwanza 😭😭naomba likes jamani
Congrats #VEVO...keep the good work, watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ohh my GOd king of actor is born❤️❤️❤️.Am very glad to seee these kind of lesson he deserves 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jaman mi ni murundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 wa Kwanza kuangalia big boss nipen like zangu bx
❤❤❤❤❤❤❤ new hero of bongo fleva
Clamvevo is the best comedian in Tanzania
Particularly in this generation 😭❤️
Clam sio comedian ana act comed yy Ni acter✍️
@@geraldnjau7186 ok
BIG BOSS IS NEXT LEVEL❤
Napenda kuigiza
bwana kuikweli humu ndani me namfuata mwakotobe ani huyuu mwamba ni anazingua ile mbaya🤣🤣🤣
This has been a touching story so far....I really love it...big up @ClamVevo
Napenda kazi zako clam
Nawapenda sana mnaigiza uhalisia wa maisha yetu dah nataman nijiunge na nyie
Kazi nzuri saana Big Bro🙏🏾
Hahaha 😂😂😂😂 watamchanganya sana naona Big boss inaenda kuwa tamu sasa wap like zangu jm😢
Huko meisho unemalza vzr sana mbwa wewe..👏👏👏🙌🙌💥💥
I wish next party even tomorrow 😂😂😂 Bug up Clam
Shida yako unachelewa sana kutoa mzee ila unajua sana mzeee Big up 🔥🔥🔥
We unazan ni viaz hv ambavo havina process yeyot
Asante sana clam nilikua nahamuu nayo sana week nzima umemaloza mb zangu fanya uwe unatuwaishia kidogo
Tunasubilia party two (2) kwa hamu sanaa kazi kwako vevo
Big boss is the best episode in this era clam na washiki wote never disappoint us ❤❤❤
Sema mchawi katobe ana hatr🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
This is Dope,keep it up Clam unakitu Kakangu,hongera kwa wote wahusika.🙏🙏🙏
Kuna chakujifunza sana kwenye hii BIG BOSS,,, BIG UP broh
Clam kiboko yako,.. wewe moto wa kuotea mbali,... hapa Kenya tunakuenzi.
Huyo mama mchawi so poaa kaondokeje palee
Nimejikuta nalia😢 clam Leo umeniliza ongera sana umeweza na umeweza tena😢😢❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nomaaa sana 🔥🔥🔥
Mm wakwanza kutoka kenya nipe laiki zang 😂
Ebwana eee mkuu wakoo ni katili sanaa
Stor kali kinoma daaah more❤❤❤❤❤❤❤ BIG BOSS
Wape salamu zangu Leo nimekuwa wa kwanza gonga like hapo
❤❤❤napenda jmn usicheleweshe muendelezo nipo makin na Bigg boss 🔥
Thanks for next episode 😊
Nakupenda saaaana clam bigo boss tamu saaana,unanimaliza méga
Wawooooo good job 's guys 🇨🇩🇨🇩 am waiting for part 8 Inshallah