Huyu ndio mrisi wa Kanumba #CLAMVEVO naomba nikushauri kwenye hizi move zako weka subtitles itasaidia Sana Kwa wasio elewa kisawahili na zitafika mbali Sana 🔥💪
Dah wanangu hii movie inamafunzo makubwa Sanaa kwentu msiwe mnasema tu kua wakwanza Mimi nimewah nipen like zangu kiukweli tukumbuke siku zote nibola kidogo Cha halali kuliko kingi za halama nawasilisha 🙏🙏
I always check on this guy's timeline to see what he as posted 🎉😮much love from kenya 🇰🇪 🇰🇪 clam . The best content creator in East and west Africa currently ❤❤❤
Safi sana clam na team yako kwa kutufunza kuwa wapambanaj na tusipende vya bure vna gaharama,ewe mola tufungulie milango ya baraka na utupe nguvu, afya njema na akl ya ufanuz wamaisha bora ya dunia na akhera🙏
Asante sana clam kwa kuskiza ombi letu la kipindi kuwa kirefu kimekuwa kitamu zaidi na sasa bado tu subtitles yani unatengeza movie la hatari tumependa hivi unavyoendelea much love..❤from kenya
Wallah inatufunza tuwe na subra katika mitihani ya kidunia nahaswa katika utafutajj wa riziki tutafute rizki halali allah atujaalie mwisho mwema. nawapenda washiriki wote wahii ❤❤💯💯😊🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
@CLAM VEVO COMEDY Kazi nzuri sana brother iwe mwelezo kama ya OSMAN BEY YA AZAM TWO YA SAA NNE USIKU WANAO TAKA ISIISHE GONGA LIKE ZA KUTOSHA APA CLAM VEVO WA BIG BOSS 4:43
Kumbe uyu chale chale anaitwa mwakatobe 😅😅😅😅mm yuwanifuraisha jomon nampenda na nyote nawakubali kutoka kenya wallh mwanipa raha ndani ya saudia rabia yani ata simuwazi ex wangu kwa muvi zenu mashallhhh 🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Brother Brother Brother Brother I call you four Times. Unajua wew ni mtu mwenye kitu kikubwa mno na nizaidi ya unavyojifikiria au kujiona. Unafanya mambo ambayo industry ya Bongo ilikuwa imeshayapoteza. Kupitia wew watu wanajifunza zaidi sana. Brother soma vitabu zaidi , Angalia pia Watu wenye Upana mkubwa wa tasinia ya filamu nchi zilizorendelea wanafanyaje. Kila siku umisa kichwa kupata scene nzuri zenye kuelimisha pamoja na kufundisha. Unayaweka bayana mambo ambayo katika jamii yetu husika yapo. Brother watu wanahitaji Amani ya moyo na wengine wanahitaji kupata majibu ya misuko suko wanayopitia. Naamini wew ni Mtu muhimu katika jamii sitaweza kukuita star kwasababu star ni jina ambalo wakati mwingine linaweza kumfanya mtu asifanye yale ambayo alikuwa akiyafanya awali ila naweza kukuita “ an analyst of social problems and a provider of comfort and answers to unanswered questions in society” Au kwa lugha nyepesi “AN EDUCATOR”. Ujumbe huu ukufikie Clam Jitume zaidi na zaidi kila iitwapo leo tamani kuwa kuliko ulivyokuwa jana. YOUR THE BEST
Wa kwanza kuangalia big boss 7 wapi likes zangu jameni😫
Mimi nauliza tu hivi Clam unatoa CD kama anavyofanya mkojani upo vizuri sana
Wewe ni mm
You take too long to give us next episode why ?
157
🎉Vizulisana
Mimi ni wakwanza kuona BIG BOSS part 7 nipeni like zangu
Kwa hiyo ukiwa wa kwanza tukusaidie nini pumbafu sana
@@mustafamasudi8093Ni Raha tu ,usitukane
Sema wanachelewa sana kutoa had twamic
Nmefurah Sana huna majibu mabaya matusi yamemrudia
Kachukue kanisani😂😂😂
Huyu ndio mrisi wa Kanumba #CLAMVEVO naomba nikushauri kwenye hizi move zako weka subtitles itasaidia Sana Kwa wasio elewa kisawahili na zitafika mbali Sana 🔥💪
jaman kaka clam 💓💓💓💓
Mawazo Muzuri kaka
Kabisa aisee itamsaidia
Sure
Fact
Dah wanangu hii movie inamafunzo makubwa Sanaa kwentu msiwe mnasema tu kua wakwanza Mimi nimewah nipen like zangu kiukweli tukumbuke siku zote nibola kidogo Cha halali kuliko kingi za halama nawasilisha 🙏🙏
Tajiri umejipanga movie Kari sana hongera sana!! Show show
Thank you my friend for telling that
Love you
I always check on this guy's timeline to see what he as posted 🎉😮much love from kenya 🇰🇪 🇰🇪 clam . The best content creator in East and west Africa currently ❤❤❤
Yah for sure , he is de best, and I love it
🙏🙏🙏🙏🙏👍
Kabisa
Mambo hayo na bado mtachanganyikiwa sana mwaka huu😂😂
😂😂😂😂zuchu ataua watu
Yaani huyo jamaa ananifurahisha😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mbona kama hakuna sauti
@@issaskighanga3199 ukiingia kwenye 18 atakupelekea moto😊
Jamani🙌 likes kwa MCHAWI mwenye KOFIA maana ameupiga na anaupiga mwingi sana hadi 🔥🔥
Anapelekaaa motooooo😂😂
Safi sana clam na team yako kwa kutufunza kuwa wapambanaj na tusipende vya bure vna gaharama,ewe mola tufungulie milango ya baraka na utupe nguvu, afya njema na akl ya ufanuz wamaisha bora ya dunia na akhera🙏
Allahuma Amin 🤲🤲🤲
Allahuma aamiina 🤲
Aminaaaa
Allahumah Ameen yarrabi 🤲
Ameen ameen ameen
Mambo hayo😅na bado utachanganyikiwa sana😂😂😂likes za mchawi mwakatobe hapa🎉❤
kaka yan naangalia hii sehemu alafu ndo nasoma coment yako
uyu jamaa ananikosha kinoma yaan
😁😁
Utasikua we zuchu tu
We nen'gneka tu yaani utasukumiwa moto 🔥
umeuwa kwenye big boss clam nimefuatilia kuanzia mwanzo mpka sasa sema usichelewe kutoa mashabiki zako tun wait ✋️ sanaa 😂
Hakikaaa aisee anachelewa sawaa fanya uwahi mkuu kutoa tunasubiri
Yaan kama Kila siku tuwe tunacueki new episodes za big boss
anacherewa mimi huwa ananiondoa mawazo
Daa umeona eee
Bonge ya movie yaan
This challenge of being prohibited to help your mother is too much!!!
Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
unazingua bhana yaan epsode moja mpka unasahau toa hata mara 3 kwa weak
Hata kama nimechelewa 😢 timu clam nipen hata likes 10
Mambo
The best comedian in the new generation 🐐 kama unamkubali clam pita na like hapa 👇
Ujue hii movie ni kubwa sana CLAM
utachanyikiwa saana mwaka huuu😂😂😂😂😂😂 ndo nilicho nichekesha saana
Alie umizwa na maneno ya mama clam vevo agonge like apa
Hongera sana clam na group lako kwa ujumbe mzuri wenye mafunzo mengi ndani yake.
Walio kuwa wa kwanza kwenye big boss niweng jamn hata cjuh me ni wangapi ila yote na yote nimefurahi kwa kaz yako clam tunakupenda🔥🔥🔥🔥
Sema hii season nitaifatilia mpaka mwisho maana sio poa yaani wengine acha waje2 naomba like zangu
Asante sana clam kwa kuskiza ombi letu la kipindi kuwa kirefu kimekuwa kitamu zaidi na sasa bado tu subtitles yani unatengeza movie la hatari tumependa hivi unavyoendelea much love..❤from kenya
Loving from JAMAICA,🇧🇴,CLAM the big boss
Kanumba Genes are back once again in east african....inshaaallah uwe writer mzuri Africa nzima
Hii movie kubwa sana tena sana nataka cd yake
Hakika mwamba Ana kosha
Ila mbon Kaa unachelewa kutoa move
@@albertkatuga2434wewe wawap bado unatumia cd
Clam hujiona kama comedian but yupo zaidi ya comedian is the best actor in our country
Gonga like kama unakubaliana nami
Ohh my GOd king of actor is born❤️❤️❤️.Am very glad to seee these kind of lesson he deserves 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
This has been a touching story so far....I really love it...big up @ClamVevo
Love from Rwanda 🇷🇼!! We Clam 👊🏻👊🏻👊🏻👋👋👋
Jamani mbasi mutowe episode 3 kwa siku anaekubari aweke like apo ❤
Kusema ukwel mtu anaenifurahisha zaid kwenye the boss ni hyu mxkaj anaekaza saut "we mchumba tuuu we zuchuuu" big up mwanang
We zuchuuu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Iyo funga KAZI kaka BG boss ata kupelekea motooo bado mtachanganyikiw Sana mwaka uu
Mih hata nimechelewa ila wanaonifuata nipeni like za clamVEVO namkubali ¹⁰⁰%❤️❤️❤️💯☑️
Clam nakupenda tanzania nzima unaongoza wenginewanafata bro from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nawapenda tim comedy gonga 👊👊👊 tujuwane
Hiyo pat8 mmmmmm namuonea hiruma huyo mkuu wa wachawi kitamkuta kitu
Kutoka super shop Dubai rumonge 🇧🇮 shabik wakwanza niwew wapili nimim 😂😂😂 we ntiba
A história é muito incrível e incomparável
Dar Clam nihatar jamàni
Nice kwa jobu mashabiki waclam kilam nikijana yuafanya kazi vizuri
I love this dude clam much love from +254 🇰🇪
Clam hii nayo ya kuingia genezani umejaribu❤
Leo wakwanza jaman clam ni fireee💥💥 naombani like ata tano tu jaman
Big boss 7 ni fireeee
Vcs organizam bem é até rendi
Waoooo 🤗🤗 I love you so much naomy & mbwela ❤️❤️ nawapenda sana 😘😘 Big Boss 🔥🔥
Kanumba is back🔥🔥🔥🔥 mob love clam from Nairobi kenya 🇰🇪
acha ujinga wew🤣 no one like kanumba
Kanumba another level
@@personpeter2221 ofcourse
Mwakatobe never disappoints 😅❤
i love him 😂😂😂😂
@@dullywa9973 jamaa very talented anajua 🔥🔥🔥
😂😂😂😂
This Guy bana He deserves even more love Clam unajua sanaa..
Big boss is the best episode in this era clam na washiki wote never disappoint us ❤❤❤
Big boss im waiting for another party . Part 8❤❤❤
Broo kazi nzuri sana lakini angalau ungekuwa unatoa video mbili kwa wiki ungekuwa unyama kama unasapoti hoja piga like 😇 ❤❤
Hata mi naona hvo ayse make mpk tunasahau sasa tulipoishia
Mwamba umetisha big boss Iko juu sana nimeikubari na hisi ata Wana wanaikubari like kama na wewe umeikubari na unamkubari cram vevo
On récolte ce qu'on a semé😅😅🇨🇩🇨🇩, Big up clam🔥
BIG BOSS IS NEXT LEVEL❤
Napenda kuigiza
Good stuff bruh 🔥🔥 keep them coming 🔥🔥
Wallah inatufunza tuwe na subra katika mitihani ya kidunia nahaswa katika utafutajj wa riziki tutafute rizki halali allah atujaalie mwisho mwema. nawapenda washiriki wote wahii ❤❤💯💯😊🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
So nice.much love ❤️ from USA 🇺🇸 we love you clam 😊
Msombiji pia tunahipenda big boss. Hatali sana VEVO 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Mungu wangu nimecherewa rakini naombeni hâta liké tano kutokea you From burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 BG boss
@CLAM VEVO COMEDY Kazi nzuri sana brother iwe mwelezo kama ya OSMAN BEY YA AZAM TWO YA SAA NNE USIKU WANAO TAKA ISIISHE GONGA LIKE ZA KUTOSHA APA CLAM VEVO WA BIG BOSS 4:43
Wauh, Kenya watching,,much love,
Big boos 7😢😢😢 this is true story bro more money more problem 😢😢😢😢😢
Big love from kenya 🇰🇪 mnipee like jamani kwa movie tamu big boss 7 on 🔥
Nani mwingine anapenda hiyo sound ya wimbo.... Sonabileee...😊
Mimi Jamani
Hii nyimbo ya nn kwan
Dis is incredible 🎉ur da best Clam
Congrats #VEVO...keep the good work, watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Na baaado utachanganyikiwa sana mwaka huu😂😂😂😂😂😂
I can't wait for the next episode❤❤❤ Hughes from Mozambique
❤❤❤ mwenye anasikia hii ajifunze kitu mali za ibirisi zina masharti magumu sana usione watu wanang'aaa
Wee ach tu kk shetani sio kiumbe kizuri
I wish next party even tomorrow 😂😂😂 Bug up Clam
ivi unaweza kuowa na unajua utakufa wiki ijayo 😅😅😅😅 😂😂😂 big boss nayo inastori kali kweli
Namuoneya huruma mke wake 😂
This is just amazing Clam💯✊...
Wa elufu ishilini jamani like❤kwangu nakwa Clam🎉
Clamvevo is the best comedian in Tanzania
Particularly in this generation 😭❤️
Clam sio comedian ana act comed yy Ni acter✍️
@@geraldnjau7186 ok
Wawooooo good job 's guys 🇨🇩🇨🇩 am waiting for part 8 Inshallah
Umetisha sana mzee ,,sema unchlewesha kazi ,,let mwndlzo
Kumbe uyu chale chale anaitwa mwakatobe 😅😅😅😅mm yuwanifuraisha jomon nampenda na nyote nawakubali kutoka kenya wallh mwanipa raha ndani ya saudia rabia yani ata simuwazi ex wangu kwa muvi zenu mashallhhh 🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Steve mweusi should see these na awache mchezo...Big up Clam Vevo💪 Waiting for big boss 8
Clam we are waiting so long bro, a whole week for next episode
Mwenzenu hi move naipendaa san naomben hata like jomon😅
Tunasubilia party two (2) kwa hamu sanaa kazi kwako vevo
Sikupimg clam nakukubali broo na wewe ndo najifunza comedy kupitia wew king of comedy
Sana sana mzee wa kuwapelekea moto 😂😂😂😂
Please put subtitles next time Steve from Zimbabwe, perfect content keep it up
Stor kali kinoma daaah more❤❤❤❤❤❤❤ BIG BOSS
Wa kwanza leo
Ambao wanaikubali BIG BOSS , tujuane apa
Wa kwanza Mimi like zangu na ninakukubali Sanaa mdogo wang clam VEVO ❤❤❤
Big up to you clam u never disappoint..juxt chukua maua yako yanii hiii umetishaa baba BIG BOSS Iko ju🔥tang ep ya 1-7 we wait for ep 8
Huko meisho unemalza vzr sana mbwa wewe..👏👏👏🙌🙌💥💥
I really like the work you have, it makes me live 🇦🇺🇦🇺
nakuona zumbe kumbe unsfuatilia na wewe iii movie 🎥🎥
@@top10bestofnyarugusucammakini sana 😊😅
Kulf
Kumal
Baj
Wala
Está história é bonita muito obrigado from Mozambique
Mwenye kofia kaupija mwingi❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Two minutes go big boss 7🌹🌹🌹🌹🌹
Hakika hii kaži nzuri sana clam unatiya natamani iendeleye ata EP 100kwani unatisha kijana wetu🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩tunakupenda sana Congo
Brother Brother Brother Brother
I call you four Times.
Unajua wew ni mtu mwenye kitu kikubwa mno na nizaidi ya unavyojifikiria au kujiona.
Unafanya mambo ambayo industry ya Bongo ilikuwa imeshayapoteza.
Kupitia wew watu wanajifunza zaidi sana.
Brother soma vitabu zaidi , Angalia pia Watu wenye Upana mkubwa wa tasinia ya filamu nchi zilizorendelea wanafanyaje.
Kila siku umisa kichwa kupata scene nzuri zenye kuelimisha pamoja na kufundisha.
Unayaweka bayana mambo ambayo katika jamii yetu husika yapo.
Brother watu wanahitaji Amani ya moyo na wengine wanahitaji kupata majibu ya misuko suko wanayopitia.
Naamini wew ni Mtu muhimu katika jamii sitaweza kukuita star kwasababu star ni jina ambalo wakati mwingine linaweza kumfanya mtu asifanye yale ambayo alikuwa akiyafanya awali ila naweza kukuita “ an analyst of social problems and a provider of comfort and answers to unanswered questions in society”
Au kwa lugha nyepesi “AN EDUCATOR”.
Ujumbe huu ukufikie Clam
Jitume zaidi na zaidi kila iitwapo leo tamani kuwa kuliko ulivyokuwa jana.
YOUR THE BEST
Broo unaweza kweli naamin kauli yako wew cy mchekeshaji 😂😂 ila bali wew ni muigizaji tukupe maua yako kakaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Clam,we love your movies from Kenya 🇰🇪.I am always waiting for a week to be complete
Thanks for next episode 😊
Jaman mi ni murundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 wa Kwanza kuangalia big boss nipen like zangu bx
Bravo clam 🎉kazi inazdi kunoga na kuwa mzuri safi sana
Wow. Becomes More interesting 😂😂. Good work Clam, as a kenyan I support you
Boa cena irmaos
A cena e muito agradável
Thanks bro
Épisode 8naingoja kwahamu nyingi you From burundi 🇧🇮🇧🇮 BG Boss 💕💕💕💕💕💕💕🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️👌👌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
bwana kuikweli humu ndani me namfuata mwakotobe ani huyuu mwamba ni anazingua ile mbaya🤣🤣🤣
Unajua mwanagu clam kadili siku zinavyozidi kwenda hii story inazid kuwa nzuri
Hongera kwa kazi nzuri ,Ila mnachelewa sana kutuletea muendelezo
ONE love from Kenya 🇰🇪🤣🤣. Twendeeee 🤗🤗🤗🤗
Jaman kuna BIG BOSS znatolewa na sio org mnafanyaje kuthibit hali hii🏐🤒🤒
Nilikuwa naisubili kwa hamu kazi nzur clam