MKUU WA MAJESHI ATUA MANYARA kwenye MAFURIKO NA HELKOPTA KUSIMAMIA ZOEZI LA UOKOAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ธ.ค. 2023
  • MKUU WA MAJESHI ATUA MANYARA NA HELKOPTA NA KUSIMAMIA ZOEZI LA UOKOAJI
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 30

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 6 หลายเดือนก่อน +2

    Duh!!!pole kwa wote waliokutwa na majanga haya..

  • @AishaSalaga-rv7sb
    @AishaSalaga-rv7sb 6 หลายเดือนก่อน +5

    Yan sisi watanzania tutaingia motoni kwa kwa kukosa shukran,,,,,ameguswa lazima aende,,,, Allah amlipe

    • @thamani5842
      @thamani5842 6 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani mtu mpk unashangaa, Kuna mijitu kazi yao kulaumu tu, haina ata chembe ya shukrani

    • @AishaSalaga-rv7sb
      @AishaSalaga-rv7sb 6 หลายเดือนก่อน

      Wafanyakazi wa shetani hao,,, Allah ametujalia serikali sikivu,,,,Lkn no appreciation,,,,jueni kuwa Mungu atalipa kwa kukosa moyo wa shukurani! binafsi nasema Mungu awape nguvu na wahanga awape nusura

  • @stuntkizzy
    @stuntkizzy 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @draes934
    @draes934 6 หลายเดือนก่อน +1

    Huwezi kupima moyo wa mtu. Kaona umuhimu wa kwenda ww unakaa kusema anafanya siasa.

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 6 หลายเดือนก่อน +2

    Maskini ni dili la tajiri na serikali zao,ona sasa

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nchi ya ovyo sana Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka watu wameshakufa siku moja imepita Leo mnaanza kuonyesha sura zenu , semeni helicopta ya kusomba maiti za ndugu zetu

    • @Abubakar-gk9sv
      @Abubakar-gk9sv 6 หลายเดือนก่อน

      Ebu nyamaza ww uliyefika mapema umesaidia nini mnajifanya kila kitu kutia neno ili mjulikane huna lolote mpuuzi ww

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 6 หลายเดือนก่อน +1

      @@Abubakar-gk9sv mbwa nyie nchi imewashinda mmeacha watu wafe Na watanzania Na dunia wameona hilo! Bibi yenu yuko Dubai anakula bata kila siku kusafiri kwenda Dubai kwa waarabu zake

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 6 หลายเดือนก่อน +1

    Bongo bwana acha ninyamaze mdomo koma

  • @anganilekajigilikajigili2641
    @anganilekajigilikajigili2641 6 หลายเดือนก่อน

    Basi huko mvua imebonda ya hatari sana 😪😪

  • @emmanuelmnyonzi6143
    @emmanuelmnyonzi6143 6 หลายเดือนก่อน

    Nikimaliza kucommet nacho fikiria nitakuta nishafungwa

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 6 หลายเดือนก่อน

    Nchi kila kiongozi ni msafara wa magari ya kifahari ni matumizi mabaya ya Kodi zetu , Rwanda hakuna ufisadi huu

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 6 หลายเดือนก่อน

    Yote Hayo Gigy money kayataka wallahi

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 6 หลายเดือนก่อน

    Naogopa kukomenti

  • @williammkenda5879
    @williammkenda5879 6 หลายเดือนก่อน

    Kufanyaje Sasa?

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yani hata jeshi letu ni waharbifu tu wa matumiz mabovu ya hela za uma tu wameshiba tu hawa

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 6 หลายเดือนก่อน +1

      Tafta pesa upunguze stress na chuki

  • @agrirelieftanzania561
    @agrirelieftanzania561 6 หลายเดือนก่อน

    Atua na ndege au siyo ...

    • @nickjustin2023
      @nickjustin2023 6 หลายเดือนก่อน

      Wewe ulitaka atue na nn?

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 6 หลายเดือนก่อน

    Du Maafa yalikua juz Helicopter zinaenda leo Africa tuna viongozi wala bata tu maneno mengi vitendo hakuna Ivi uo mkutano alio enda kizimkazi na mawaziri wake una maana gn?zaid ya kupoteza mabilioni izo ela zingesaidia kununua fire Helicopter za uowokozi

  • @Soon815
    @Soon815 6 หลายเดือนก่อน +1

    Siasa kila kona

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 6 หลายเดือนก่อน

      Yaani wewe Acha tu

  • @user-is8wo8bz1g
    @user-is8wo8bz1g 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa mnafata nini na izo migari yenu mnaenda kuokoa nini

    • @africangirllifestyle7686
      @africangirllifestyle7686 6 หลายเดือนก่อน

      Ulitaka alale afu we ndo utoe hela zakurekebisha izo barabara

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 6 หลายเดือนก่อน +1

    Duh msafara una gharama kubwa kuliko gharama za uokozi na matibabu kwa walio dhurika

    • @thomasjohn2554
      @thomasjohn2554 6 หลายเดือนก่อน

      😢

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 6 หลายเดือนก่อน +2

      Ulitaka atembee kwa miguu kijana, tafta pesa upunguze makasiriko

    • @jacksonmkunga9283
      @jacksonmkunga9283 6 หลายเดือนก่อน

      Uyo siyo kiranja wa darasa brother