KWANINI VALENTINO MASHAKA ALICHAGUA KUCHEZA SIMBA?/"SIKUAMINI/SIKUPATA USINGIZI/NI MUDA SAHIHI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC TH-cam Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Kucheza Simba nindoto ya watu wengi 😂 ila upande wa pili ninjaa tupu kilasiku mahakamani.....
Hahahahaha😂😂😂😂
Saw dogo umeongea vizur sana simashabiki tuko pamoja wakati wote Simba nguvu moja
Ol
💯💯💯💯👏
SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ UBAYA UBWELA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Come on mashaka unaweza
Simba nguvu moja
😂😂 chezea kuajiliwa na kusajiliwa timu / club kubwa jamaa hakulala yaan hongera Sanaa Mashakaa utakula bata Simba SC wee piga mpira funga migoli jitume utaona utamu wenyewe
Well come Vallentine
Big up mwanang kuse labanda
Hiyo ndio ubaya ubwela Sasa unawahi kufika kwenye tukio❤❤❤❤❤❤
Kweli
DAH SHIDA THOBIAS MASWALI YAKE YALE YALE TUNAOMBA UBUNIFU ENEO LAKO BROTHER FATILIAGA HATA ENTERVIES ZA WENZETU ULAYA DAH CREATIVITY 2/10
Kla mtu na majb yke Acha aulze t majb hayafnan xax untk aulze nn zaid ya movement alokuw nayo now jifunze ndo uxme
Swali laweza kuwa moja ila kila atakae ulizwa anakuwa na jibu na ukitaka kugundua hilo fuatilia interview zake alizo uliza swali moja je majibu no yanafanana??
Pigaaa kazi kijanaa tunawategemeaa
SAFI SANA KIJANA NENDA UKAPAMBANE SANA UTAKUWA VZR
Wana SIMBA TUNAKUTEGEMEA❤❤❤❤MY
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nguvu moja 😊
Mhh
Yanga njaaaaaaa kali
Dogo sasa pambana usirizike tu kuingia Simba, pambana sasa ufanye vizuri usizoee
Huyu dogo ndio atakuwa stricken tegemeo Simba
An Simba n kilaa anatamanii kucheza 😅😅😅fa masialaaa kwenda dubaii nn mara misrii😅😅😅😅
Nimetoa machozi kwa ajili yako dogo kweli kwenye mafanikio kina mambo mengi Pambana sana
Ikibidi kifsnya fanya nenda kwa mwamposa bwana au fanya daawaa
DOGO UKIPATA NAFASI TUMIA UWE MTULIVU ENEO LA MWISHO UTAFANIKIWA SANA. KUWA MTULIVU TU ENEO LA MWISHO.
Thobi jitahidi uwe unafupisha maswali yan uliza maswali ya msing interview iwe fupi na nzuri iwe imebeba kila ktu
Huyu dogo namtabiria atamtoa Fred pale 9
Piga kazi kwa Bidii Dogo Sisi tupo Tunakusaport
Huyu chalii ana fanana namuigizaji wa filamu kutoka India anaigizaga kama jambazi na meingine yule mkolombia aliekwenda jela kwa kuuza vitu vibaya
nimemjua huyo muigizaji wa kihindi unayemfananisha naye anaitwa Manoj bajpayee
@@storytime1204 😂😂😂
Tunasubiri tumuone
Wachezaji wengi wa kibongo sio stories teller
UBAYA UBWELE
Move on from using mike..
Pig kaz mwanang