Maimamu wengi hulisahau hili - Sheikh Stambuli

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 23

  • @KisimaniTimbersupplier
    @KisimaniTimbersupplier 6 หลายเดือนก่อน +1

    Marshallah mungu akulinde na akuzidishie hikma. Unda kamati maalum kufanya restructure ya maendeleo ya ummah. Mzee mungu akupe umri mrefu

  • @eddymaphy
    @eddymaphy 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa lazima masheikh wajifunze kupitia hili darsa ni la umuhimu sana kwenye dini yetu na pia viongozi walioko mbele yetu na watakaokuja baadae yetu Insha'Allah,,
    Ni mafunzo mazuri sana ,pia nashukuru Alhamdulillah kuna mambo nimejifunza na mimi pia Mungu anizidishie umbri,uelewa mzuri,moyo wa kutoa ili na mimi ni wape wasiojuwa na kizazi changu Insha'Allah

  • @coachmohamedmmiji6619
    @coachmohamedmmiji6619 6 หลายเดือนก่อน +3

    Waaleikum salaam warahmatullahi wabarakatu. Shukran brother. Jazaakallah kheir

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 6 หลายเดือนก่อน +5

    Kalamu tv ,nawaapta vizuri sana❤❤ pia leo METULETEA SHEKH NA MCHAMUNGU KWANZA ANAADABU SANA,MNYENYEKEVU ..MASHEKH VIJANA WA SASA BAADHI YAO HAWATAKI KUJISHUSHA .TUNAWAPEND MASHEIKH WETU NA NAWAHESHIMU SANA ILA TUJIFUNZE KWA HUYU SHEKH

    • @husseinibrahim5438
      @husseinibrahim5438 6 หลายเดือนก่อน +2

      MAY ALLAH REWARD YOU ABUNDANTLY SHEIKH STAMBULI ALLAHUMMA AMEEN

  • @muadhibrahim6914
    @muadhibrahim6914 6 หลายเดือนก่อน +1

    له من الله ما يستحق....

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw 6 หลายเดือนก่อน

    Barakah ALLAHU fiiqum hbbi

  • @guyogalora-gl2lu
    @guyogalora-gl2lu 5 หลายเดือนก่อน

    Assalamualaikum warahmatulahi wabarakatu

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wa'alaykumsalaam warahmatulahi wabarakatuh

  • @a.856
    @a.856 6 หลายเดือนก่อน

    Jazakallah khayran

    • @muadhibrahim6914
      @muadhibrahim6914 6 หลายเดือนก่อน

      له من الله ما يستحق

  • @mwanaherimatata8571
    @mwanaherimatata8571 6 หลายเดือนก่อน +1

    Waleykum msalaam

  • @Asma-s4l3m
    @Asma-s4l3m 6 หลายเดือนก่อน

    Sadaktha STAR

  • @aziza9093
    @aziza9093 6 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤

  • @akimzeli5030
    @akimzeli5030 6 หลายเดือนก่อน +1

    Naam

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh umeongea maneno mazito mno, maimamu wengi hawajitambui wao kazi Yao ni kuomba sadaka tu na kusoma Aya ya za vitisho za motoni, kuwatisha waislamu Ili watoe, kila siku mawazo Yao ni sadaka za ujenzi wa msikiti, misikiti haishi kujengwa, hawana wanachojua kuhusu uongozi, wao wanawakamua maziwa ngombe wasiowapa malisho.

    • @muadhibrahim6914
      @muadhibrahim6914 6 หลายเดือนก่อน

      Huyo ni hodari wa kusema na Ali uza dini yake kwa dunia....
      Ukimfuata jiandalie kulipa khums kwa aali beytu kisra

  • @YusuphRashidi-b1j
    @YusuphRashidi-b1j 5 หลายเดือนก่อน

    Sheikh yatima na maskini wasipopata ubinadamu kwa kusaidiwa watakua watu kindoki

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64 6 หลายเดือนก่อน +1

    Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu

    • @muadhibrahim6914
      @muadhibrahim6914 6 หลายเดือนก่อน

      Huyo ni wa kujibiwa
      Wa aleikum..... pekee

    • @Jingajinga64
      @Jingajinga64 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@muadhibrahim6914 kwa nini boss wangu? Nimekosea mahali?

  • @YusufDaudi-v5f
    @YusufDaudi-v5f 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah