IBRAHIM TRAORE KUIPINDUA CAMEROON KIJESHI PAUL BIYA AMETAWALA MIAKA 45 HAKUNA MAENDELEO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
Sauti ya kibaba leo "Ukuu wa Mwafrika"💪💪 ❤❤❤
Viongozi wa Africa ni mtihani sana...Kukaa madarakani sio tatizo..Tatizo uongozi mbovu na upumbavu..Huyo anatakiwa apinduliwe na afungwe miaka 200 maana anatesa sana wenzake
😂😂
Ukuu wa Muwafrika udumu milele kati yetu ktk imani zetu pamoja
From Uroa school Zanzibar
Hii kolabo Leo nimeilewa ❤❤❤😂😂
Ukianza kusikia fununu kama hizo soon watampinduwa majeshi yake au watu kutoka nnje
Hiv Africa tunaenda wap Hilo zee walipindue tu 😢😢
😂😂😂😂Wazee bado wanapenda vya urahisi madaraka yanashida kweli kweli
Siyo kameruni tu apa tanganyika chama cha kigaidi cha ccm kinachinja maarubino
1captain
vipi kuhusu yule mzee wa Pale Kampala na Entebe???
Kwann na yeye huyooo asing'oke kijeshi firauni huyo wa kalee...!!?? Tuwang'oe mpaka huko Tanzania viongozi wote wasiojali utu na usawa wa maisha ya watu na kuishi ambako ni haki ya kila mwanadamu duniani kotee pumbavuu..watu tuna hasira kalii so kitoto..🌎💪👉🤬🧐
Kuandamana tu mnaogopa mtaweza kuwang'oa