Masheikh tunaowategemea kwenye fatuwa wote wapo mbele apo wanaburdika...ukiwauliza suala hili vip watakujib kua mshairi annena ...tupe aya hadith so mshair annena
Kaka babdeo napenda sana kufatilia vitu vitamu kama hivi ila kaka unisaidie Au nielekeze vipi nitaipata qaswida kifo cha mtume? Wallah nimeitafuta kila upande .nilikuwa nayo lakini bahati mbaya simu yangu ilipotea tafadhali tafadhali tafadhali
@@theworldandcraziestguys2729 ndugu yangu.Dini haijahadisiwa vijiweni au njiani.kaa chini uisome.Dini imeshuka na mtakabari salama haijaacha kitu.ndo kukawa na mtume muhammad baada ake wakaja maswahaba sambamba na wanazuoni.dini ni kuisoma na kuelewa sio kuhadisiwa au nasaha za clip clip.Tujitahidi kuepuka malumbano yasio na tija ndugu yangu.
Ninajiuliza huyu moja Yahya Kuna moja ya video yake anasema kuwa ni muadhini na anaswalisha waumini msikitini kumbe Hana maana ta Moja muimbaji wa bongo fleva na kundi lake
لو جعلت صوتك في قراءة كتاب الله لكان في ميزان حسناتك يوم القيامة ...وقال الرسول يا رب إن قومي اتخذوا هذا القرآن مهجورا...
معك حق يارب إهدى هذا الشاب
ومن قال لك انه لايقرائ كتاب الله
Mashaallah
Utuuu inanitoa machozi ya fraha 💥😘 Alhamndulillah
Utu ni utuu mashalwah maendeleoo kaswida tamu
Mashallah Babu Yangu
I LOVE BROTHER TANZANIA👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 FROM INDONESIA
Maashallah al habib yahya🤩😍🤩
Haya si katika dini.
100%true
Nikatika nn kk
mashallah bihak
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautjl
Nzurii kaka
Amazing
Mwamba jitahidi sauti iwe karibu
يا خساره بس يا يحيى
Maaa shaaa ALLAH Maaa shaaa ALLAH ndioooooo
Mashaallah dahh
Maxhaallah...... Maxhaallah
Allah akupe maisha marefu Yahya
Masheikh tunaowategemea kwenye fatuwa wote wapo mbele apo wanaburdika...ukiwauliza suala hili vip watakujib kua mshairi annena ...tupe aya hadith so mshair annena
Mashaallah
Allah atuongoze katika njia ya haki ila tunapoelekea kwa kweli ni pabaya
Sanaaa, wake kwa waume wakaa pamoja na waenda kutunza, hiyo nyimbo ya taarabu twaijua
Sasa tuwaskize kina beyonce ama??.... dini hikuletwa iwe boring.... mwache kujifanya watukufu sana.... na tabia zenyu twazijua...
Allah mungu akuongozeee bab deo
tuliienjoy Alhamdulillah
Maashaallah
yaallaah
Mashallah
هذه نتيجة الغلو في المقامات لو بقيت في التواشيح الدينية كان افضل سقطت عنك هيبة القران
Allah awaweke babdeo productions
Amin amin atuweke sote inshallah
side wyne marhaba marhaba
Muwekwe mutakavyo wekwa Illa mjue IPO siku mtakufa na mtaulizwa haya mliyatoa wapiii????
Kaka babdeo napenda sana kufatilia vitu vitamu kama hivi ila kaka unisaidie Au nielekeze vipi nitaipata qaswida kifo cha mtume? Wallah nimeitafuta kila upande .nilikuwa nayo lakini bahati mbaya simu yangu ilipotea tafadhali tafadhali tafadhali
@@theworldandcraziestguys2729 ndugu yangu.Dini haijahadisiwa vijiweni au njiani.kaa chini uisome.Dini imeshuka na mtakabari salama haijaacha kitu.ndo kukawa na mtume muhammad baada ake wakaja maswahaba sambamba na wanazuoni.dini ni kuisoma na kuelewa sio kuhadisiwa au nasaha za clip clip.Tujitahidi kuepuka malumbano yasio na tija ndugu yangu.
Jazakallahu khayran....ni hattari
Innalillah Wainna ilyhi Rajiun. Allah akulipeni ujira wa ili mnalolifanya.
Ibilisi katu hadaa jmn hii c taarabj kbc jmn uislam wetu unaend wp dah
maashaallah Allah akupe maisha malefu Kwa hiki ulicho kichagua kukifanya Allah akuongoze
Mpk machozi yanitoka😭😭😭😭
Kwa furaha
P1 sana babdeo milad endelea kuleta burdan allah atakulipa
Kumbe hii nikaswida miye nilidhani taarab, nilisha wahikuisikia kaimba bi kidude
Sipo hukoo tunapoelekeaa sasa mana tunaondosha ziro tunaweka 0
Ni nini taarab au
تنزانيا التي أنجبت أم كلثوم أفريقيا بي كيدودي ليس كثيرا عليها أن تنجب مثل هذا الشبل
Hiiii kasida mwanzo imeimbwa na watu WA mafyaa ikachukuliwa na culture musical club znz sasa umerudia wewe?
Mohd Issa kwn vot unavofny ww ni vyko pka umshangae mwamaba hyo
acha roho mbya ww
Embu nitumie link ya hao wamafia ndugu
Hivi macho yangu yameona sawa ama hii clip imeunganishwa Tu maana Naona kuna masheikh wakubwa Tu ukumbini
Mja Dhalil kwahiyo Sasa kama umeona masheikh wakubwa Ndio nini?
Si sahihi kidini na ayo ndo yalomkuta brather nassir
السلام عليكم ورحمة الله. مذا اصابه
Brother nassir kafanyaje tena?
Maana kuna qaswida kaitoa sijaielewa kabisa ipo ktk rnb au bongo flavor.
Hawa niwatu waloifahamu dini vbaya
Kipara Masou shofa we
Wewe uloifahamu vizuri tugeuze nafsi zetu
Ninajiuliza huyu moja Yahya Kuna moja ya video yake anasema kuwa ni muadhini na anaswalisha waumini msikitini kumbe Hana maana ta Moja muimbaji wa bongo fleva na kundi lake
Wewe kwanza mpenzi wa bongo flavour ndio maana hikutoki kichwani
خسارة يابهيقي صوتك في مدح الرسول صلى الله عليه وسلم
افضل من اللي انت عامله ده
ماشاالله
Huu ni ulevi na ni uvivu wa utamaduni wa kiislam manaa yake ni nini??? Njia inayoelekea kupotoa utamaduni halisi wa imani na kuleta ulevi usiofaa.
Mashaallah
Mashallh allh awazidishie vipaji kwawot