MADEVU KWENYE BATTLE EDITION

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 205

  • @rithamsechu7220
    @rithamsechu7220 2 ปีที่แล้ว +35

    Kati ya wote walio postiwa madevu kauwaaa ❤️🇹🇿❤️🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @pascalinajames9117
    @pascalinajames9117 2 ปีที่แล้ว +7

    I love mc madevu ana kingereza kizuri sanaa🥰

  • @evancerwamugata1064
    @evancerwamugata1064 2 ปีที่แล้ว +20

    Uchekeshaji wa Madevu n wa kiwango cha lami 🔥🔥

  • @ulimwengu5599
    @ulimwengu5599 2 ปีที่แล้ว +22

    seriously,Madevu ni next level zaidi ya platform yenyewe 😂😂😂😂

  • @keptenpojos821
    @keptenpojos821 2 ปีที่แล้ว +49

    Madevu ndio Teacher wa Comedy wallah.. kamaliza 🔥🔥🎺

  • @mathewben6833
    @mathewben6833 2 ปีที่แล้ว +13

    My no 1 stand up comedian in TZ,Madevu

  • @kelvinjonathan648
    @kelvinjonathan648 2 ปีที่แล้ว +11

    Broo nakukubal sana unajua yan hulazimishi jokes zinatoka tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @onesmoanthony9045
    @onesmoanthony9045 2 ปีที่แล้ว +16

    Mandevu we ni matako sana yani umenifanya nicheke kwa nguvu niko kwenye daladala mpaka watu wameniona chizi

  • @franksylivestar7344
    @franksylivestar7344 2 ปีที่แล้ว +43

    This is comedy we need, he's the king

  • @pascalvictorboneventurecha1731
    @pascalvictorboneventurecha1731 2 ปีที่แล้ว +24

    I do ever comment in public issue post,but u made it bro,and i real appreciate CHEKA TU ,Big up KOI to MADEVU ntaanza kuja kwa show

  • @devothahaule9251
    @devothahaule9251 2 ปีที่แล้ว +7

    madevu ni 🔥🔥🔥 anabalaa na nusu harafu yy mwenyew haring

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 2 ปีที่แล้ว +23

    naombeni battle na madevu basi😁🤣
    maana ameshashindikana

    • @heromanmwamba5000
      @heromanmwamba5000 2 ปีที่แล้ว +1

      😂😂🤣🤣🤣 kwahiyo wewe utamyweza?

  • @zainabmalya1552
    @zainabmalya1552 2 ปีที่แล้ว +7

    Katisha sana huyu jamaa💕😄😄

  • @breikali846
    @breikali846 2 ปีที่แล้ว +33

    Shoutouts all the way from Dubai... Kaka uko vizuri.

  • @josephatmassae7316
    @josephatmassae7316 2 ปีที่แล้ว +3

    KWANINI UMEMWAGA!?
    Kwanini umemwaga ile ya mwanzo!!
    Kumbaaavuuuu

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 2 ปีที่แล้ว +14

    Madefu kocha wangu 😁😁😁😁

  • @eliabeliud490
    @eliabeliud490 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa saiz Madevu Eliud Joel master Leonard Aza boy mh subilia tuone Moto wake n baraaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @ommyjay4622
    @ommyjay4622 2 ปีที่แล้ว +7

    Uyu mwamba Ni noma tumechelewa kazini kwajili yake nimeamka nika play clip yake na apo ndo tatizo lilipo anzia kuja kushituka sa 4 linajua Sana limidevu

  • @ngingatransportation6793
    @ngingatransportation6793 2 ปีที่แล้ว +20

    The king is back👑

  • @swalehawadh8612
    @swalehawadh8612 2 ปีที่แล้ว +20

    So far so good.....Madevu is unbeatable

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 2 ปีที่แล้ว +16

    The King is back 🙌💪

  • @joycezaleart2995
    @joycezaleart2995 2 ปีที่แล้ว +8

    Come to chuchil show in kenya

  • @budgeter4807
    @budgeter4807 2 ปีที่แล้ว +6

    Wazazi wangu ni wazee tu hapa!

  • @raymondmsinde6867
    @raymondmsinde6867 2 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaa Ni fundi Sana🔥🔥

  • @vailethymbwambo584
    @vailethymbwambo584 2 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda San jaman.. unanivunja mbavu Sana. 🙌

  • @skuh1428
    @skuh1428 2 ปีที่แล้ว +33

    The king is back 😂😂😂👋🏼

  • @karimchindema9823
    @karimchindema9823 2 ปีที่แล้ว +7

    Haahaaaaa noma sana

  • @lusakejackson1515
    @lusakejackson1515 2 ปีที่แล้ว +5

    We jamaa n nomaaaaa

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 2 ปีที่แล้ว +1

    Aise uyu jamaa ni nomaa

  • @zakayomuhurioficial8232
    @zakayomuhurioficial8232 2 ปีที่แล้ว

    Wanatisha

  • @sophiaseif3147
    @sophiaseif3147 2 ปีที่แล้ว

    Yan ndonamchik leo nmempenda bureeee madevu

  • @isaiahthomas3059
    @isaiahthomas3059 2 ปีที่แล้ว +7

    Huyu jmaaaa nihatareeee

  • @mosesvanga725
    @mosesvanga725 2 ปีที่แล้ว

    Madevu ndo mfuniko aisee. Very organised, like this guy

  • @nicholausmbilinyi3587
    @nicholausmbilinyi3587 2 ปีที่แล้ว +3

    Aisee hakuna kama madevu jamani..achana nae kabisa huyu mtu...hahahah

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 2 ปีที่แล้ว +2

    Madevu ,,,,,naomba mpambano wew uchekeshe me nicheke

  • @jerrycharz25
    @jerrycharz25 2 ปีที่แล้ว +7

    Huyu mwamba hana mtu wa kubatle nae ebu tuwe serious

  • @chilubafedrick5740
    @chilubafedrick5740 2 ปีที่แล้ว +2

    huyu jamaa ni real stand up comedian, appreciate 😅

  • @karimchindema9823
    @karimchindema9823 2 ปีที่แล้ว +5

    Uliiteka show kiukweli bro

  • @dannymoshi4144
    @dannymoshi4144 2 ปีที่แล้ว

    Noma sana. You are the best mzee. Tunaweza kukutumia ikibidi nchi zishindane kwenye comedy

  • @nassboffical911
    @nassboffical911 2 ปีที่แล้ว +9

    My bro big up

  • @mashaloyuzo1296
    @mashaloyuzo1296 2 ปีที่แล้ว

    The king is back ..niachen na mbichwa wangu..madev upo poa

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 2 ปีที่แล้ว +1

    Madevu ata Kama unafundish mathematics lazima wafauluu aseee 😂😂😂😂😂

  • @_blessedann
    @_blessedann 2 ปีที่แล้ว +5

    The best of them all😂😂

  • @elikanaiamosi5229
    @elikanaiamosi5229 2 ปีที่แล้ว

    Nakukubali Sana kakaangu

  • @chuwajunior2249
    @chuwajunior2249 ปีที่แล้ว +2

    The real king is back 🙌 😂😂😂

  • @esterstaphord5184
    @esterstaphord5184 2 ปีที่แล้ว +6

    King unajuaaa 😂😂😂😂😂

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 ปีที่แล้ว

    Ety maulidi we ni snichiii😂😂😂

  • @benedictboniface3442
    @benedictboniface3442 2 ปีที่แล้ว

    Huyo dada aliyelewa angeishiwa nauli ndo angenyooka vizuri

  • @sidekavu7471
    @sidekavu7471 2 ปีที่แล้ว

    We ni zaid yao

  • @OpportunityTvchambuaonline
    @OpportunityTvchambuaonline 2 ปีที่แล้ว +3

    Madevu hana kazi mbovu, nimeanza kucomment kabla ya kuview...

  • @Officialmaftah
    @Officialmaftah 2 ปีที่แล้ว +15

    The king is back

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 2 ปีที่แล้ว +5

    WaBongo tuna stresses sana, Yani hivi ndo munacheka😳😳😳😳😳

    • @rilaandmel3842
      @rilaandmel3842 2 ปีที่แล้ว +1

      Nlikua natafuta comment ya mtu ambae hajacheka, nafikiri mimi tu ndio sijacheka nkajua nnatatizo.

    • @hamoudcreator6343
      @hamoudcreator6343 2 ปีที่แล้ว +1

      @@rilaandmel3842 Umeona Ehh😳😳

    • @rilaandmel3842
      @rilaandmel3842 2 ปีที่แล้ว

      @@hamoudcreator6343 acha tu

    • @mosessabena17
      @mosessabena17 2 ปีที่แล้ว +1

      Kucheka sio kwamba he is the best...... bas tu anapendwa ....the way anamiliki stage anaonekana and the way anatumia saut yake he seems to be the best
      Bravo mc madevu

    • @zaynabyusuf4324
      @zaynabyusuf4324 2 ปีที่แล้ว

      Kacheki bandama it seems like haliko sawa😃

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 ปีที่แล้ว +1

    Madevu anajua sana😂😂😂😂😂🇹🇿.

  • @allexmathias3593
    @allexmathias3593 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana

  • @mariamsaimon7898
    @mariamsaimon7898 2 ปีที่แล้ว

    Jamaa anajua uyu

  • @robertdominikomichael2416
    @robertdominikomichael2416 2 ปีที่แล้ว

    Leo hukuimba haijawa nzuri

  • @eliakanyunyi7473
    @eliakanyunyi7473 2 ปีที่แล้ว +1

    Koi muzungu uko fresh ma man na kipindi chako ila ndugu yangu hichi kipindi nicha comedy ila sasa kuna wachekeshaji wanaongea matusi tunaona aibu kwakweli mara mama mkwe yupo uchi,wapa sawa ila wengi nivijana hawajaowa wanaona kawaida tu nakuomba sana ndugu najua

  • @cbegram6161
    @cbegram6161 2 ปีที่แล้ว +1

    Bora hata nimepata mc wa harusi yangu

  • @selemanjuma1595
    @selemanjuma1595 2 ปีที่แล้ว

    Huyu mtu ni mbaya Sana kwenye comedy ni teacher wenu hata coyo hutoboi kwa madevu 🔥🔥🔥

  • @DrNick-hg6il
    @DrNick-hg6il 2 ปีที่แล้ว +3

    Superb

  • @sportsarena5620
    @sportsarena5620 2 ปีที่แล้ว +5

    mc madevu ni king 👐✋

  • @amanigalawa7422
    @amanigalawa7422 2 ปีที่แล้ว

    Kwakwwli huyu ndo master wa Comedy

  • @PeterMsoma-ru1wx
    @PeterMsoma-ru1wx 4 หลายเดือนก่อน

    Madevu nakuomba uwe mc wangumi boxing Sauti yako inafaa

  • @NoelyNdauka
    @NoelyNdauka ปีที่แล้ว

    Noma

  • @swiden369
    @swiden369 2 ปีที่แล้ว +13

    😂😂😂this guy is mad

  • @jacksonpeter7484
    @jacksonpeter7484 2 ปีที่แล้ว

    Hakuna sehem mnayo boa kamakwenye sauti ya jingo ya cheka tu kubwa lakini sauti ya mic mnazotumia hovyo kabisa sauti mnasikika kwa mbali kelele tupu mnaboa bwana kampuni kubwa ila mnazingua sana

  • @lutetz3400
    @lutetz3400 2 ปีที่แล้ว +5

    Kama Churchill show

  • @neymardekutele8452
    @neymardekutele8452 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu jamaa na Leonardo ni balaa

    • @rithamsechu7220
      @rithamsechu7220 2 ปีที่แล้ว

      Hata Leonard Bado sana

    • @neymardekutele8452
      @neymardekutele8452 2 ปีที่แล้ว

      Mtazamo wenu, kwangu mm dogo anajua

    • @hunchoonetz8747
      @hunchoonetz8747 2 ปีที่แล้ว

      Aah Leonardo kitu gani hajui yule dogo

    • @neymardekutele8452
      @neymardekutele8452 2 ปีที่แล้ว

      @@hunchoonetz8747 Pole yako unafikiri kama humkubali ww itakua hvyo kwa kila mtu

    • @edwarddavid8076
      @edwarddavid8076 2 ปีที่แล้ว

      Leonardo mkali

  • @TigerNtore
    @TigerNtore 5 หลายเดือนก่อน

    Good job

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 ปีที่แล้ว +4

    Madevu hatari 😅😄🇹🇿

  • @ambroambrocen1821
    @ambroambrocen1821 2 ปีที่แล้ว

    nmezaliwa kw operation...

  • @mohamedulamaa9287
    @mohamedulamaa9287 2 ปีที่แล้ว

    Sound ipo chini

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 2 ปีที่แล้ว +1

    Madevu amenichekesha mno.. jaman me nna pumu

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 ปีที่แล้ว

    Sauti iliyoshiba

  • @yoabuonesmondanzi3460
    @yoabuonesmondanzi3460 2 ปีที่แล้ว

    Very professional

  • @isaiahthomas3059
    @isaiahthomas3059 2 ปีที่แล้ว +13

    The king is back for sureeeeee

  • @salvatoryleonce8970
    @salvatoryleonce8970 2 ปีที่แล้ว +1

    Very talented brother

  • @geofreycr7866
    @geofreycr7866 2 ปีที่แล้ว +2

    Real king comedian is back

  • @pelagiaegogo6797
    @pelagiaegogo6797 2 ปีที่แล้ว +1

    Mr madevu ni noumaaaaa😘

  • @patrickbwanafika6574
    @patrickbwanafika6574 2 ปีที่แล้ว

    Nkubal broo

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 2 ปีที่แล้ว +1

    Mandefu kani uwa leo aose bgp sana kaka

  • @BigDrones
    @BigDrones 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukisema unachekesha uwe Kama Huyu Sasa Sio jolmaster anatuletea upuuzi maandazi

  • @Hanskapella
    @Hanskapella 2 ปีที่แล้ว +1

    Daah huyu mwamb.

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 2 ปีที่แล้ว

    Hatari sana

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 2 ปีที่แล้ว

    Madevu yupo vzuli na sauti yake iyo mashallah

  • @jofreywilliam9111
    @jofreywilliam9111 2 ปีที่แล้ว

    Nimechekaaaa hatari hili jamaa ni hatari

  • @BMGOnlineTV
    @BMGOnlineTV 2 ปีที่แล้ว

    Kwa bongo huyu Mzee anatisha

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 2 ปีที่แล้ว

    Madevu mbwa kabisaa

  • @stories4796
    @stories4796 2 ปีที่แล้ว +1

    Aah yan namkubal kama wiizi

  • @dewjiambwene7491
    @dewjiambwene7491 2 ปีที่แล้ว +5

    Madevu the great!!!

  • @witneywilly
    @witneywilly 2 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti imezaliwa kwa operation

  • @yassinimkwama8217
    @yassinimkwama8217 2 ปีที่แล้ว

    Madevuu🔥🔥🔥🔥

  • @halcyonmrosso7002
    @halcyonmrosso7002 ปีที่แล้ว

    The King is back🔥🔥

  • @humphreyndale9430
    @humphreyndale9430 2 ปีที่แล้ว

    Cheka tu

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 2 ปีที่แล้ว

    Haaaaaaa ila . Madevuuu ww nooooma

  • @samwelngassa4941
    @samwelngassa4941 2 ปีที่แล้ว

    Eti weleeeee

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 2 ปีที่แล้ว

    Hana mpinzani

  • @martinmendrad9900
    @martinmendrad9900 2 ปีที่แล้ว

    Ili jamaa ni fundi hahahahaha inabidi niwe nakuja sasa Cheka Tu

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 2 ปีที่แล้ว

    huyu jamaa fundii!

  • @sirdavis7054
    @sirdavis7054 2 ปีที่แล้ว +1

    Oya 😂😂👏👏