Uyu mwamba Ni noma tumechelewa kazini kwajili yake nimeamka nika play clip yake na apo ndo tatizo lilipo anzia kuja kushituka sa 4 linajua Sana limidevu
Kucheka sio kwamba he is the best...... bas tu anapendwa ....the way anamiliki stage anaonekana and the way anatumia saut yake he seems to be the best Bravo mc madevu
Koi muzungu uko fresh ma man na kipindi chako ila ndugu yangu hichi kipindi nicha comedy ila sasa kuna wachekeshaji wanaongea matusi tunaona aibu kwakweli mara mama mkwe yupo uchi,wapa sawa ila wengi nivijana hawajaowa wanaona kawaida tu nakuomba sana ndugu najua
Hakuna sehem mnayo boa kamakwenye sauti ya jingo ya cheka tu kubwa lakini sauti ya mic mnazotumia hovyo kabisa sauti mnasikika kwa mbali kelele tupu mnaboa bwana kampuni kubwa ila mnazingua sana
Kati ya wote walio postiwa madevu kauwaaa ❤️🇹🇿❤️🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Sana kaua kwa kwer namsubir eliud sasa
I love mc madevu ana kingereza kizuri sanaa🥰
Uchekeshaji wa Madevu n wa kiwango cha lami 🔥🔥
seriously,Madevu ni next level zaidi ya platform yenyewe 😂😂😂😂
Madevu ndio Teacher wa Comedy wallah.. kamaliza 🔥🔥🎺
🥰
@@elizabethsamwel6697 Bravo
My no 1 stand up comedian in TZ,Madevu
Broo nakukubal sana unajua yan hulazimishi jokes zinatoka tuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mandevu we ni matako sana yani umenifanya nicheke kwa nguvu niko kwenye daladala mpaka watu wameniona chizi
This is comedy we need, he's the king
I do ever comment in public issue post,but u made it bro,and i real appreciate CHEKA TU ,Big up KOI to MADEVU ntaanza kuja kwa show
madevu ni 🔥🔥🔥 anabalaa na nusu harafu yy mwenyew haring
naombeni battle na madevu basi😁🤣
maana ameshashindikana
😂😂🤣🤣🤣 kwahiyo wewe utamyweza?
Katisha sana huyu jamaa💕😄😄
Shoutouts all the way from Dubai... Kaka uko vizuri.
0
0
habari
KWANINI UMEMWAGA!?
Kwanini umemwaga ile ya mwanzo!!
Kumbaaavuuuu
Madefu kocha wangu 😁😁😁😁
Kwa saiz Madevu Eliud Joel master Leonard Aza boy mh subilia tuone Moto wake n baraaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Uyu mwamba Ni noma tumechelewa kazini kwajili yake nimeamka nika play clip yake na apo ndo tatizo lilipo anzia kuja kushituka sa 4 linajua Sana limidevu
Kazin unaend saa nane
@@ibrahimpatrick5871 😂😂😂
The king is back👑
So far so good.....Madevu is unbeatable
The King is back 🙌💪
Come to chuchil show in kenya
Wazazi wangu ni wazee tu hapa!
Huyu jamaa Ni fundi Sana🔥🔥
Nakupenda San jaman.. unanivunja mbavu Sana. 🙌
The king is back 😂😂😂👋🏼
Haahaaaaa noma sana
We jamaa n nomaaaaa
Aise uyu jamaa ni nomaa
Wanatisha
Yan ndonamchik leo nmempenda bureeee madevu
Huyu jmaaaa nihatareeee
Madevu ndo mfuniko aisee. Very organised, like this guy
Aisee hakuna kama madevu jamani..achana nae kabisa huyu mtu...hahahah
Madevu ,,,,,naomba mpambano wew uchekeshe me nicheke
Huyu mwamba hana mtu wa kubatle nae ebu tuwe serious
Case closed
huyu jamaa ni real stand up comedian, appreciate 😅
Ninoma sana sema loud ipo chini sn
Uliiteka show kiukweli bro
Noma sana. You are the best mzee. Tunaweza kukutumia ikibidi nchi zishindane kwenye comedy
My bro big up
The king is back ..niachen na mbichwa wangu..madev upo poa
Madevu ata Kama unafundish mathematics lazima wafauluu aseee 😂😂😂😂😂
The best of them all😂😂
Nakukubali Sana kakaangu
The real king is back 🙌 😂😂😂
King unajuaaa 😂😂😂😂😂
Ety maulidi we ni snichiii😂😂😂
Huyo dada aliyelewa angeishiwa nauli ndo angenyooka vizuri
We ni zaid yao
Madevu hana kazi mbovu, nimeanza kucomment kabla ya kuview...
The king is back
WaBongo tuna stresses sana, Yani hivi ndo munacheka😳😳😳😳😳
Nlikua natafuta comment ya mtu ambae hajacheka, nafikiri mimi tu ndio sijacheka nkajua nnatatizo.
@@rilaandmel3842 Umeona Ehh😳😳
@@hamoudcreator6343 acha tu
Kucheka sio kwamba he is the best...... bas tu anapendwa ....the way anamiliki stage anaonekana and the way anatumia saut yake he seems to be the best
Bravo mc madevu
Kacheki bandama it seems like haliko sawa😃
Madevu anajua sana😂😂😂😂😂🇹🇿.
Safi Sana
Jamaa anajua uyu
Leo hukuimba haijawa nzuri
Koi muzungu uko fresh ma man na kipindi chako ila ndugu yangu hichi kipindi nicha comedy ila sasa kuna wachekeshaji wanaongea matusi tunaona aibu kwakweli mara mama mkwe yupo uchi,wapa sawa ila wengi nivijana hawajaowa wanaona kawaida tu nakuomba sana ndugu najua
Bora hata nimepata mc wa harusi yangu
Huyu mtu ni mbaya Sana kwenye comedy ni teacher wenu hata coyo hutoboi kwa madevu 🔥🔥🔥
Superb
mc madevu ni king 👐✋
Kwakwwli huyu ndo master wa Comedy
Madevu nakuomba uwe mc wangumi boxing Sauti yako inafaa
Noma
😂😂😂this guy is mad
Hakuna sehem mnayo boa kamakwenye sauti ya jingo ya cheka tu kubwa lakini sauti ya mic mnazotumia hovyo kabisa sauti mnasikika kwa mbali kelele tupu mnaboa bwana kampuni kubwa ila mnazingua sana
Kama Churchill show
Huyu jamaa na Leonardo ni balaa
Hata Leonard Bado sana
Mtazamo wenu, kwangu mm dogo anajua
Aah Leonardo kitu gani hajui yule dogo
@@hunchoonetz8747 Pole yako unafikiri kama humkubali ww itakua hvyo kwa kila mtu
Leonardo mkali
Good job
Madevu hatari 😅😄🇹🇿
nmezaliwa kw operation...
Sound ipo chini
Madevu amenichekesha mno.. jaman me nna pumu
Sauti iliyoshiba
Very professional
The king is back for sureeeeee
Very talented brother
Real king comedian is back
Mr madevu ni noumaaaaa😘
Nkubal broo
Mandefu kani uwa leo aose bgp sana kaka
Ukisema unachekesha uwe Kama Huyu Sasa Sio jolmaster anatuletea upuuzi maandazi
Daah huyu mwamb.
Hatari sana
Madevu yupo vzuli na sauti yake iyo mashallah
Nimechekaaaa hatari hili jamaa ni hatari
Kwa bongo huyu Mzee anatisha
Madevu mbwa kabisaa
Aah yan namkubal kama wiizi
Madevu the great!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti imezaliwa kwa operation
Madevuu🔥🔥🔥🔥
The King is back🔥🔥
Cheka tu
Haaaaaaa ila . Madevuuu ww nooooma
Eti weleeeee
Hana mpinzani
Ili jamaa ni fundi hahahahaha inabidi niwe nakuja sasa Cheka Tu
huyu jamaa fundii!
Oya 😂😂👏👏