Ustadh musa ismail huyu alikuwa mwalimu wangu kitambo toka mwaka 2008 hadi kuhitimu madrasa tul munawarrah iliyoko majengo mombasa tulikuwa tunaheshimiana kama mtu na kakake mkubwa mwalimu alikuwa mpenda wanafunzi wake kweli alikuwa hapendi kuchapa wanafunzi wake hata kama ulisahau kufanya kazi ya nyumbani siku ya pili anakupa mda umalize darasani MashaAllah mm nilimpenda na mpaka leo sijui ntampataje huyu ustadh
Aslm aleikm kiukweli tunaoshona hatufaidiki kma wanavyo faidika third party. Cz mtu ashone apewe 8k den mweneye ataichkua akaiuze 25 na zaidi. Musitunyanyase kiac hivyo jaman kaz yunayoifanya nikubwa kulko wenye tú kuchkuua kuuza
Naomba kuuliza, mtu yeyote asiye muislamu anaruhusiwa kuvaa hiyo kofia na kanzu? Ninapendezwa sana na hayo mavazi.. mimi niko kwa dini la wakristo,lakini niko na kibarua Kiwayuu
Love u home sweet home, nimeshashona kofia bt sai Niko kazini Iraq.Lamu Hoiyyyeeeeee
Khadija khondoo unakujua lamu
Ustadh musa ismail huyu alikuwa mwalimu wangu kitambo toka mwaka 2008 hadi kuhitimu madrasa tul munawarrah iliyoko majengo mombasa tulikuwa tunaheshimiana kama mtu na kakake mkubwa mwalimu alikuwa mpenda wanafunzi wake kweli alikuwa hapendi kuchapa wanafunzi wake hata kama ulisahau kufanya kazi ya nyumbani siku ya pili anakupa mda umalize darasani MashaAllah mm nilimpenda na mpaka leo sijui ntampataje huyu ustadh
Shukran sana nimepata kujua baadhi ya majina ya kofia @al_ihsanfoundation
Lamu na utamaduni wake ajaab,nakupenda amu nyumbani kutoka qatar
Mashallah
Mashallah.... alhamdulillah.
Yesss history yenu lazima zanzibar itajwe ndoilivyoo ilivyo
MashAllah
Ama ukihitajia mishadhari ama ukiwa na suala lolotte kuhusu kofia za Lamu basi waeza kutuuliza, Tawakkal kofia shop tuko tayari kukueleza
masha alllah islam lamu
Like zanzibar
MaashaAllah
Aslm aleikm kiukweli tunaoshona hatufaidiki kma wanavyo faidika third party. Cz mtu ashone apewe 8k den mweneye ataichkua akaiuze 25 na zaidi. Musitunyanyase kiac hivyo jaman kaz yunayoifanya nikubwa kulko wenye tú kuchkuua kuuza
Historia yetu waSwahili
Moiidi
Hunikumbusha mbali moyoni huingiwa na mayondhi kiona kwetu
Na mm naumia lakini sikujui kabisa nafarijika nikiona lamu ndiko alikotoka baba yangu huko nikiangalia sura yangu na hwa watu sura kopraity jamani
Naomba kuuliza, mtu yeyote asiye muislamu anaruhusiwa kuvaa hiyo kofia na kanzu? Ninapendezwa sana na hayo mavazi.. mimi niko kwa dini la wakristo,lakini niko na kibarua Kiwayuu
Ndiyo anaruhusiwa kuvaa
Mashallah sweet Home
🌴❤️🌴
Ma sha ALLAH
Msomaji nni