Uhamiaji wameuza mech hao walah ninachojua mimi tim kushindwa kutumia viwanjavyao vya nyumbani sababu mojawapo huwa niukosefu wa amani, sasa zanzibar mbona kuna amani na uwanja mzuri
Uhamiaji wamehongwa mpaka wanakubali kuuza uzalendo wa Taifa lao. Hiyo haijawahi kutokea popote duniani. Ni ujinga uliovuka mipaka. Biashara walikosa nauli wakashindwa kusafiri kwenda Tripoli.
@@stephanomagenda6774 Burundi hakuna kiwanja kinachokidhi vigezo vya caf ndiomana mechi zitachezwa hapa zote ila zanzibar kipo kiwanja kinachokidhi vigezo vya caf
Vitaro hawakuruhusiwa na caf kwa vile nchi yao hawana viwanja vinavyokidhi ubora wa kucheza mashindano ya caf na ndiyo maana hata timu yao ya taifa huchezwa uwanja wa Mkapa.
KWA NINI WASIFANYE KAMA AL MAREKH MECHI YA WANGE CHEZEA KIGALI RWANDA NA MARUDIANO YAKAWA MKAPA??? VIBOVU VIWILI VITAL.O NA MATOPOLO MATAPELI WANATAKA KUMLIA MAMA SAMIA PESA ZAKE WAGAWANE SHENZISTAN HAO
Yaani usikia machizi vichaa wako mashabiki wa yanga hao wanaosema jku kauza mechi ni mashetani wa yanga, kama wao wanavyoshilikiana na viongozi ktk kuuharibu uwanja waAzamu iuchawi wanapocheza na hao vitaro, unategemea vitaro atapa nini ?
GSM
Uhamiaji wameuza mech hao walah ninachojua mimi tim kushindwa kutumia viwanjavyao vya nyumbani sababu mojawapo huwa niukosefu wa amani, sasa zanzibar mbona kuna amani na uwanja mzuri
Kiujumla wameuza mechi
Na vip yanga wale walio cheza nao juzi kwao Kuna machafuko au vp na wao yanga Wana wahonga
Hata timu yaujumbula waliocheza na yanga huwezi cheza mechi 2 zote ugenini
Al Ahli Tripoli hata wanunue mechi kichapo kinawahusu. Hata Biashara walishindwa kwenda huko matokeo Ahli wakapewa ushindi.
Utopolo wanawivu tu na mwaka huu kuanzia watakoma
Washauza mechi hao achana nao, 😏😏
wee hujui kuongea mbona una shida gani
Ko nyie wahamiaji kunamchafuko zanzibari sema hamnauwezo wowote mavi nyie washamba sana nyie
Kama nihivyo simba tutatuma mtu
Wameuza mechi wachunguzwe
Uhamiaji wamehongwa mpaka wanakubali kuuza uzalendo wa Taifa lao. Hiyo haijawahi kutokea popote duniani. Ni ujinga uliovuka mipaka. Biashara walikosa nauli wakashindwa kusafiri kwenda Tripoli.
Mbona hata yanga amecheza jana kachezea chamanzi ugenni??
@@stephanomagenda6774 Burundi hakuna kiwanja kinachokidhi vigezo vya caf ndiomana mechi zitachezwa hapa zote ila zanzibar kipo kiwanja kinachokidhi vigezo vya caf
Vitalo vipi na yanga
@@Mkubwa_jrkwa nn wasingechezea zambia
Kwauzembe huo naona fifa waweke shelia kuwa kama hakuna sababu zakufanya hivyo wapokwe pointi na fain maana kunahalufu ya lushwa
Vitaro hawakuruhusiwa na caf kwa vile nchi yao hawana viwanja vinavyokidhi ubora wa kucheza mashindano ya caf na ndiyo maana hata timu yao ya taifa huchezwa uwanja wa Mkapa.
KWA NINI WASIFANYE KAMA AL MAREKH MECHI YA WANGE CHEZEA KIGALI RWANDA NA MARUDIANO YAKAWA MKAPA??? VIBOVU VIWILI VITAL.O NA MATOPOLO MATAPELI WANATAKA KUMLIA MAMA SAMIA PESA ZAKE WAGAWANE SHENZISTAN HAO
Kwamaana hiyo hata vitaro kauza
awa uamiaji ni masaliti awana hawa kua na nauli inasemekana kua walilipiwa nauli malazi kila kitu kwao watu wako ukweni uko libia
Uko mbele ya mic unafanya nini kama hauja jiandaa kwa interview
Yaani usikia machizi vichaa wako mashabiki wa yanga hao wanaosema jku kauza mechi ni mashetani wa yanga, kama wao wanavyoshilikiana na viongozi ktk kuuharibu uwanja waAzamu iuchawi wanapocheza na hao vitaro, unategemea vitaro atapa nini ?