ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

ความคิดเห็น • 29

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 23 วันที่ผ่านมา +1

    Dunia hii Usimwamini tena Hata Mtu labda Mamako Mzazi tu ndiye wakumwamini

  • @RobartNgwembe-m3h
    @RobartNgwembe-m3h 23 วันที่ผ่านมา +2

    Wakati mnatoa ruhusa ya hicho kikundi kufanya shughuli za kilimo mlikuwa hamjui kuwa hicho ni chanzo cha maji? Mbona mnakuwa wababaishaji, daa nchi hii ni ngum sana.

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 23 วันที่ผ่านมา +3

    Kama halali haitoshi hata halamu haito faa poleni wafiwa

  • @emanweljohn1240
    @emanweljohn1240 23 วันที่ผ่านมา +1

    Iyo ndio ccm bana

  • @MonayLai
    @MonayLai 23 วันที่ผ่านมา

    Hii nchi imeshaharibika ukiona viongozi hawayakemei basi matukio kama haya na ya utekaji lazima yaendelee kuwepo, inasikitisha sana kwa kweli

  • @Namaize-lc8sh
    @Namaize-lc8sh 22 วันที่ผ่านมา

    Shikamoo Tz

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 23 วันที่ผ่านมา +1

    TANZANIA MTU AKIIBA MKATE ANACHOMWA MOTO MTU ANAVUNJA NYUMBA ANACHIEA TU

  • @JohnMagudi
    @JohnMagudi 20 วันที่ผ่านมา

    mpaka mipara chichi inakuwa hivi mlikuwa wapi ,ubaya ubwela kweli

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 23 วันที่ผ่านมา

    JAAAAMAAANIIIII WAENDEEE WAPIII VIJANAAA HAOOO??? NII KUUUWANAAAA KABISAAA

  • @MonayLai
    @MonayLai 23 วันที่ผ่านมา

    Migogoro ya ardhi bado tatizo kubwa halaf huyu waziri asichague migogoro tuu ya kutrendi kwenye vyombo vya habari atatue migogoro kwa wananchi wa chini asitangulize siasa

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 23 วันที่ผ่านมา

    NII MATESOOO SANAAA. KUUWANAAA TUUUI HAPO TUSIKUBALIII. UONEVUU SANA😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mh!!

  • @MonayLai
    @MonayLai 23 วันที่ผ่านมา

    Alah hilo la kubaka jamani yule mkuu wa mkoa mbona hatusikii tena kesi yake au ndio kama kawaida imeshawekwa kapuni?

  • @user-qm7sv3gq4x
    @user-qm7sv3gq4x 23 วันที่ผ่านมา

    AMA KWWLI UKISHANGAA YA MUSA ,UTAONA YA FILAUNI. DUH!

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 23 วันที่ผ่านมา +3

    mlikua wapi toka wanaanza miaka yote

  • @emanweljohn1240
    @emanweljohn1240 23 วันที่ผ่านมา

    Nyuma zawadi zinabomolewa kweli ccm mkowapi😊

  • @tobiaskigodi3780
    @tobiaskigodi3780 23 วันที่ผ่านมา +3

    Viongozi walikuwa wapi kuzuia mapema kabla watu kuotesha miti hiyo,nyakati nyingine viongozi wamechangia tatizo!

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg 23 วันที่ผ่านมา

    Jamani na nyie ni wauaji Sasa mpaka parachichi zimeanza kutoa matunda mnaleta Sheria zenu mwanzo mlikuwa wapi viongozi wote wachukuliwe hatua mojawapo wawalipe hao vijana pia viongozi hao wawajibishwe ina maana hawafanyi KAZI zao kiufadhaha je hao vijana wstaendelea kweli

  • @RamadhaniMsagati
    @RamadhaniMsagati 23 วันที่ผ่านมา

    Maigizo had lin

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 23 วันที่ผ่านมา

    Roho mbaya hiyo hamna lolote waachieni Vijana Watanzania Wapate Riziki Zao hawaibi Wala Sio Majambazi Hii inawasadia vijana wasifanye matendo Mabaya mbona mwanzo mlikubaliana nao wakapanda hii sio Sawa subiri maparachichi yakuwa kisha mtoe lakini tutafuatilia kuchunguza nani anachukua hii Biashara utakuta wao ndio wanakitaka kwa manufaa yao binafsi hayo twayajua sana.

  • @mrmtei9654
    @mrmtei9654 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanini kila kitu mnamtaja Rais,chapa kazi kwa kujiamini bro kila kitu rais,rais why?.

    • @AliJuma-go4rc
      @AliJuma-go4rc 23 วันที่ผ่านมา

      Punguza wivu Kwa mambo yasiokusaidia chochote ndugu fanya kaz utafute hela wao hata waseme kwani wamezid au wamepungukiwa wap na ww umepata shida gn?

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 21 วันที่ผ่านมา

    Sasa mipalachichi ni miti na kwenye vyanzo vya maji panatakiwa kupandwa miti ivi KWELI hao viongozi wanazo akili tinamu au Kuna ajenda zao au visasi au wana wivu na hao vijana Sasa ole Wao hao wanao amuru miparachichi miparachichi ing'olewe wataisoma namba wapuuzi hao

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 23 วันที่ผ่านมา

    AJILA HAKUNA SASA NINI TENA???

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 23 วันที่ผ่านมา

    Viongozi hawa vijana kabisa nauhakika watafuatilia watoke maofisini na kwenda kwenye tukio na kufanya ufuatiliaji

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 23 วันที่ผ่านมา

    Majina sita nayajua yalikua hayamo kabisa kweny wafanya biashara kariakoo sijui yametoka wapi

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 23 วันที่ผ่านมา

    HAPANAAA KWANINII? VIONGOZII MNAFANYA NINIIIII?????? DAMU ITAMWAGIKAA

  • @user-kj5jp2ii5n
    @user-kj5jp2ii5n 23 วันที่ผ่านมา

    Wajinga hao maafisa, kwani maparacgichi yanaharibu je mazingira? Kwani ni majengo hayo? Maparacgichi ni miti ambayo nayo yanatunza mazingira, labda kuna sababu nyingine siyo mazingira!.