Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Wakati mnatoa ruhusa ya hicho kikundi kufanya shughuli za kilimo mlikuwa hamjui kuwa hicho ni chanzo cha maji? Mbona mnakuwa wababaishaji, daa nchi hii ni ngum sana.
Migogoro ya ardhi bado tatizo kubwa halaf huyu waziri asichague migogoro tuu ya kutrendi kwenye vyombo vya habari atatue migogoro kwa wananchi wa chini asitangulize siasa
Jamani na nyie ni wauaji Sasa mpaka parachichi zimeanza kutoa matunda mnaleta Sheria zenu mwanzo mlikuwa wapi viongozi wote wachukuliwe hatua mojawapo wawalipe hao vijana pia viongozi hao wawajibishwe ina maana hawafanyi KAZI zao kiufadhaha je hao vijana wstaendelea kweli
Roho mbaya hiyo hamna lolote waachieni Vijana Watanzania Wapate Riziki Zao hawaibi Wala Sio Majambazi Hii inawasadia vijana wasifanye matendo Mabaya mbona mwanzo mlikubaliana nao wakapanda hii sio Sawa subiri maparachichi yakuwa kisha mtoe lakini tutafuatilia kuchunguza nani anachukua hii Biashara utakuta wao ndio wanakitaka kwa manufaa yao binafsi hayo twayajua sana.
Sasa mipalachichi ni miti na kwenye vyanzo vya maji panatakiwa kupandwa miti ivi KWELI hao viongozi wanazo akili tinamu au Kuna ajenda zao au visasi au wana wivu na hao vijana Sasa ole Wao hao wanao amuru miparachichi miparachichi ing'olewe wataisoma namba wapuuzi hao
Wajinga hao maafisa, kwani maparacgichi yanaharibu je mazingira? Kwani ni majengo hayo? Maparacgichi ni miti ambayo nayo yanatunza mazingira, labda kuna sababu nyingine siyo mazingira!.
Dunia hii Usimwamini tena Hata Mtu labda Mamako Mzazi tu ndiye wakumwamini
Wakati mnatoa ruhusa ya hicho kikundi kufanya shughuli za kilimo mlikuwa hamjui kuwa hicho ni chanzo cha maji? Mbona mnakuwa wababaishaji, daa nchi hii ni ngum sana.
Kama halali haitoshi hata halamu haito faa poleni wafiwa
Iyo ndio ccm bana
Hii nchi imeshaharibika ukiona viongozi hawayakemei basi matukio kama haya na ya utekaji lazima yaendelee kuwepo, inasikitisha sana kwa kweli
Shikamoo Tz
TANZANIA MTU AKIIBA MKATE ANACHOMWA MOTO MTU ANAVUNJA NYUMBA ANACHIEA TU
mpaka mipara chichi inakuwa hivi mlikuwa wapi ,ubaya ubwela kweli
JAAAAMAAANIIIII WAENDEEE WAPIII VIJANAAA HAOOO??? NII KUUUWANAAAA KABISAAA
Migogoro ya ardhi bado tatizo kubwa halaf huyu waziri asichague migogoro tuu ya kutrendi kwenye vyombo vya habari atatue migogoro kwa wananchi wa chini asitangulize siasa
NII MATESOOO SANAAA. KUUWANAAA TUUUI HAPO TUSIKUBALIII. UONEVUU SANA😭😭😭😭🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭
Mh!!
Alah hilo la kubaka jamani yule mkuu wa mkoa mbona hatusikii tena kesi yake au ndio kama kawaida imeshawekwa kapuni?
AMA KWWLI UKISHANGAA YA MUSA ,UTAONA YA FILAUNI. DUH!
mlikua wapi toka wanaanza miaka yote
Nyuma zawadi zinabomolewa kweli ccm mkowapi😊
Viongozi walikuwa wapi kuzuia mapema kabla watu kuotesha miti hiyo,nyakati nyingine viongozi wamechangia tatizo!
Jamani na nyie ni wauaji Sasa mpaka parachichi zimeanza kutoa matunda mnaleta Sheria zenu mwanzo mlikuwa wapi viongozi wote wachukuliwe hatua mojawapo wawalipe hao vijana pia viongozi hao wawajibishwe ina maana hawafanyi KAZI zao kiufadhaha je hao vijana wstaendelea kweli
Maigizo had lin
Roho mbaya hiyo hamna lolote waachieni Vijana Watanzania Wapate Riziki Zao hawaibi Wala Sio Majambazi Hii inawasadia vijana wasifanye matendo Mabaya mbona mwanzo mlikubaliana nao wakapanda hii sio Sawa subiri maparachichi yakuwa kisha mtoe lakini tutafuatilia kuchunguza nani anachukua hii Biashara utakuta wao ndio wanakitaka kwa manufaa yao binafsi hayo twayajua sana.
Kwanini kila kitu mnamtaja Rais,chapa kazi kwa kujiamini bro kila kitu rais,rais why?.
Punguza wivu Kwa mambo yasiokusaidia chochote ndugu fanya kaz utafute hela wao hata waseme kwani wamezid au wamepungukiwa wap na ww umepata shida gn?
Sasa mipalachichi ni miti na kwenye vyanzo vya maji panatakiwa kupandwa miti ivi KWELI hao viongozi wanazo akili tinamu au Kuna ajenda zao au visasi au wana wivu na hao vijana Sasa ole Wao hao wanao amuru miparachichi miparachichi ing'olewe wataisoma namba wapuuzi hao
AJILA HAKUNA SASA NINI TENA???
Viongozi hawa vijana kabisa nauhakika watafuatilia watoke maofisini na kwenda kwenye tukio na kufanya ufuatiliaji
Majina sita nayajua yalikua hayamo kabisa kweny wafanya biashara kariakoo sijui yametoka wapi
HAPANAAA KWANINII? VIONGOZII MNAFANYA NINIIIII?????? DAMU ITAMWAGIKAA
Wajinga hao maafisa, kwani maparacgichi yanaharibu je mazingira? Kwani ni majengo hayo? Maparacgichi ni miti ambayo nayo yanatunza mazingira, labda kuna sababu nyingine siyo mazingira!.