Huyo mzee magoma imemponza sana njaa.acha tu aripe iwefundisho kwa mwengine.tena akishindwa kulipa afungwe.aache njaa zake.asante wakili wetu.kweli haki imetendeka.
Mimi sijaelewa kabisa...ngoja ninyamaze maana sijui Sheria kabisa...lakini najiuliza maswali nakosa majibu..na Ninashindwa kuuliza maswali kwa Sababu nisije kuvunja Sheria ..
Asasnte Sana mwanashelia tumekuelewa waliomtuma wamsaidie Sasa kulipa ilodeni naupande wa pili walikuwa wanafuraiya wamsaidie Sasa zee la ovyo Sana ilo lazima alipe uyo mzee ilisikuingine asiludie tena ajifunze
Atumwe na Simba kwa ajili ya lipi, Mkiambiwa ukweli kuwa anaejiita rais amepatikana nje ya katiba , Nafikiri huyo Magoma wenu nae ana mawakili ,mistake kumfunga mdomo kwa kutafuta kumwogopesha, Huyu mwanasheria yeye ana ml 70 akitakiwa
@@Godbless-o6c jaribu kufwatilia kesi nyingi za club.. usiishie leo tu,kila mwaka tunafungiwa mara nne mpaka tano kwa msimu..kesi na kina Morrison na hili la kesi ya kina magoma wanahujumu club unaomba mil 70? Wnadhalilisha nembo ya club,ikiwa masoud kipanya anadai bil 6 kwa kudhalilishwa na mwijaku vp huyu kadhalilisha club na viongoz wa kiserikali kugushi signature za mke wa raisi?? halaf fain mil 70?? Hafai kuwa yanga
Yani Mungu huyu anajua kusikiliza maombi yetu, yeye amesoma kurujuan yake ila sisi tulitembea na Yesu kristo na kupitia mama yetu ritha wa kashia akafanya haya. Ashukuruwe Mungu wa mbinguni. Yaani magoma umeyatimba sasa nakutabiria kifungo cha miaka 5 jela kwa kughushi sahihi za wakubwa na utahadithia ukiwa gerezani na kujutia kabisa hayo uliyo yafanya. Asante Mungu umetusikia maombi yetu
Mi nawaambia hii kesi itawaangukia yanga pabaya baaada ya kumsikiza magoma wao wanajifanya jeuri ya pesa sasa utaona mwisho wake wao si wanataka milioni mia sasa wao ndio watalipishwa
Huyo mzee magoma imemponza sana njaa.acha tu aripe iwefundisho kwa mwengine.tena akishindwa kulipa afungwe.aache njaa zake.asante wakili wetu.kweli haki imetendeka.
Dr Rais Samia ..Angalia Tanzania 🇹🇿 yako vizuri..Magoma Ana haki na Yanga..Apewe nafasi ya uwongozi..ukweli utabaki kuwa ukweli tu❤
Kesi ya jinai mhakikishe ichukukiwe hatua kali ile iwe fundisho kwa wengine.
hongera mwanasheria wetu
Msameheni mzee magoma bhn
Mimi sijaelewa kabisa...ngoja ninyamaze maana sijui Sheria kabisa...lakini najiuliza maswali nakosa majibu..na Ninashindwa kuuliza maswali kwa Sababu nisije kuvunja Sheria ..
Hakuna wakili hapa
Auwawe huyo Magoma
Asasnte Sana mwanashelia tumekuelewa waliomtuma wamsaidie Sasa kulipa ilodeni naupande wa pili walikuwa wanafuraiya wamsaidie Sasa zee la ovyo Sana ilo lazima alipe uyo mzee ilisikuingine asiludie tena ajifunze
Kuma huyo mzee pga kifungo cha maisha afie hukohuko
mumsamehe hajui alitendalo
Atumwe na Simba kwa ajili ya lipi, Mkiambiwa ukweli kuwa anaejiita rais amepatikana nje ya katiba , Nafikiri huyo Magoma wenu nae ana mawakili ,mistake kumfunga mdomo kwa kutafuta kumwogopesha, Huyu mwanasheria yeye ana ml 70 akitakiwa
Magoma alitumwa na simba iko wazi kabisa maisha yake yenyewe duni uwezo wa kuweka wakili hana uyo kuna watu nyuma yake
Yanga Bingwa
Makolo wamechemka na Magoma wao
M/Mungu atazidi kuwalaani Mafisadi wote wa Yanga Inshaallah
Soma kurjwan
Hatuna mwanasheria hapa😅😅
Tuna nini?? Acha kujichomoa betri hujaelewa nini hapa? Unahitaji degree kuelewa??
@@Godbless-o6c jaribu kufwatilia kesi nyingi za club.. usiishie leo tu,kila mwaka tunafungiwa mara nne mpaka tano kwa msimu..kesi na kina Morrison na hili la kesi ya kina magoma wanahujumu club unaomba mil 70? Wnadhalilisha nembo ya club,ikiwa masoud kipanya anadai bil 6 kwa kudhalilishwa na mwijaku vp huyu kadhalilisha club na viongoz wa kiserikali kugushi signature za mke wa raisi?? halaf fain mil 70?? Hafai kuwa yanga
Apo wanataka kumuuwa UYO mze magoma
Tumsamehe tu maana hana fedha.za.kutulipa.
Yanga champion 🏆
Mi cjawahi kuckia kesi inakatiwarúfaa baadà yà kupita mwaka1,Shikamoo pesa unajuà kupiñdua meza kibabe...
Wageuziwe kesi hawo wahuni
Wewe unajielewa hawakukata rufaaa. Ila waliombaa marejeo au mapitio ya kesi ambayo wao hawakushirikishwa
Ww unateseka nn
Yani Mungu huyu anajua kusikiliza maombi yetu, yeye amesoma kurujuan yake ila sisi tulitembea na Yesu kristo na kupitia mama yetu ritha wa kashia akafanya haya. Ashukuruwe Mungu wa mbinguni. Yaani magoma umeyatimba sasa nakutabiria kifungo cha miaka 5 jela kwa kughushi sahihi za wakubwa na utahadithia ukiwa gerezani na kujutia kabisa hayo uliyo yafanya. Asante Mungu umetusikia maombi yetu
Ivi wew unajua kwer maana ya rufaa na marejeo ya kesi
Kuna bwege anasema hii kesi itaiangukia Yanga Kwa lipi? Inamaana mama karume angeweza danganya anamuonea magoma?
😂😂😂😂
Hili ni fundisho kwa wapigaji wakomee kuchezea Yanga magma afungwe iwe fundisho
SWADAKTA AKOME KABISA YEYE NA WALIOMTUMA
HAKUNA HURUMA ALIPE HIZO HELA
MWANAKULITAFUTA MWANAKULIPATA
Hilo lizee ligoma likome kutusumbua jehu limetumwa na madunduka Ili liharibu mafanikio ya yanga
Fanyeni tu imeisha hivyo lkn kwenye magoma kulipa atatoa wap yeye mwenyewe ndio hivyo
Si zitauzwa mali zake, ameshasema ananyumba nne ikishindikana atachukuliwa kama civil prisoner
Alipe ye si alikuwa an ajiamini na anachikifanya?? Ngoja akili imkae sawa
Ila hii nchi inawatu wa hovyo sana et mahakama ya Yanga Daah ! Nae ni mtu na akili timamu
Mwanasheria kilaza huyu hamna kitu
Hebu tuelezee wewe genius
Magoma motomoto,akome kabisaaaaaaaaaaa.
Makolo wote mtakonda kwa Sasa mwisho mtatukana wazazi wenu kikubwa wenye nnchi tunainjoy kwa aki
Naiona nyumba ikipigwa mnada😂😂😂😂
Kama hana faini ya kulipa ni kifungo tu na ukitoka unalipa deni
😮😂😅😅 Uyo mzee kayakanyaga, kweli Ana 100 million uyo ila mara anazo man alikua anajisifu kuwa yeye ni ajiri.
Kasema ana nyumba tatu Sasa akauze ili alipe faini😂😂😂😂
Quljuan imegeukaaaa
magomaaa😂😂😂
Mi nawaambia hii kesi itawaangukia yanga pabaya baaada ya kumsikiza magoma wao wanajifanya jeuri ya pesa sasa utaona mwisho wake wao si wanataka milioni mia sasa wao ndio watalipishwa
Kuvip
Kivip
Huyu mzee yanga wasimuachie kama vipi iuzwe hata nyumba yake alkaline faini
Alikuwa anajifanya anajuwa sana huyo kenge
Naiona nyumba yake ikipigwa mnada😂😂😂😂😂
Oyaaa wakianza mnada unistue
KWISHAA HABARI YAKE NA HII NDIO MAANA YA UBAYA UBWELA
Mahakama imekili kuwa nikosa heee hilikweli balaaaa
Hiyo inaitwa kiboko ya wachawi😂
Kurujuani .......imeanza kutafuna watu
Et ml60 nyoooo
Nyii mnao sema nyooo endeleeni ila atalipa tu
Huyu Mzee atatoa wapi milion 100 au tuuze Yale meno yake
Magoma😅😅😅 Milioni 100 anazo😅😅
Nitamlipia
Kurujuani itasomwa
@@silivestatesha9262 we kweli hujui dini haya tuambie hiyo duwa. Kurujuan ndio duwa gani
Hela ya kutulipa ana cha muhimu mtandikeni viboko 100 basi😂😂
Hana
Hii inaitwa kila mchuma janga,ula na wakwao
😂😂😂
Mimi niko msumbiji magoma asisamewe ata kidogo alipie kila kitu kilitcho garamiwa
Hiyo sio rufaa, ni marejeo ya uhukumu .
Akome magoma magoma kwisha😂😂😂😂😂
NYIE MASITUFANYE SISI NI WATOTO HIXO PESA WATATOA YANGA MRADI TU WASIADHIRIKE MAGOMA ALIKUWA SAHIHI CCM OYEEEE ❤❤❤❤❤❤
Wewe ni kichaa wa wapi Tena jamani unaleta uchawa kwenye mpira tena
Kweli Sheria ni andhaakanoon
Ujinga wa ubaya ubwela huwo ndio maana jana wameliwa kiboga tena.
Magoma anacheza magoma
Wewe sio mwanasheria na masuala ya kesi ni mambo ya sheria.
Nani sio mwanasheria
MAHAKAMA YENU UNATEGEMEA NINI HAPO. JUBUNI HOJA ZA PROF MAGOMA ACHENI JANJAJANJA
Nyie ndio. Mnaomshawishi magoma ila huyo mwenzenu hawezi shindana na yanga yanga niserikali
Wewe huji sheria kaa kimya. Hayo siyo maandazi. Nyie ndo mnawadanganya watu mtaani. Acha kutaka hukumu itoke unavyotaka wewe mbumbumbu wa sheria.
Mwambie huyo chizi ambaye hajielewi. Acha kucheza na Yanga utalala lumande tena miaka kama yote.
@@nicodemuswidambe5132 Nimekuelewa sana Nicodemus. Huyu mbumbumbu alitaka dozi ya namna hii!
Utakufa kwa kushabikia upumbavu 😂😂😂
hili nifundisho kwawengine wakome kutumwa kuusuyanga ubaya upwiru
Na kifungo apewe huyu mzee
Kwisha habari yake