MARIOO akiri PAULA ni furaha yake, awaonya MASTAA wanaomrubuni 'Naona vyote mnavyomuambia - PART 4
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ธ.ค. 2023
- Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Naipenda sana couple ya paula na marioo mungu awatangulie mzidi kupendana na ndoa ifungwe 🎉🎉🎉
Team paula. Oyooo😊😊
Oyooooooo😂❤
Pia happy birthday to Marioo1+🎉🎂🎂
Skyler woka noma Sana mzee Mungu akuzidishie Sana mwaka 2024 Na pia tunataka utuwekee na pisi Kali iwepo Hapo mezan itakunywa unyama mwingiiiiiiiiiii Sana brother
Aaaaah tunaenjoy sana know tunawapenda sana team bad nation
Very mature and confident young man! I love them 😊😍
Mario una busara, paula mzuri saana sema mitandao inaweza ikufanye uonekane mbaya
Kabsa
Ndoa tunayo hatuna🥰🎉🎉🎉 alooh much love kwenu bn❤❤
Napenda couple ya marioo na paula
❤❤❤❤MASHALLAH IS PAULA/Marioo💞💓💕💖💘🇰🇪💑🇰🇪🇰🇪💯🤗
Marioo na paula nawapenda sanaa❤❤❤❤❤
Kwa kifupi bas tukusifu ww kuwa na malezi mazur kwa paula kuliko mama ake😂😂😂😂😂😂
Mariooooo penda sana weye na paula 😘😘😘😘
Ila Mario una busara sana Mungu aendelee kuitunza busara yako ❤️❤️💯🙏
Kama mtuu anapata mtuu anaye mpenda lazima atulie .marioo uko nguvu ❤❤
Nikwel kabisa
J'aime le couple de Mario et Paula 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
❤ marioo na Paula best couple
Really
He’s so humble and a very down to earth man may God keep u forever this way u will concern the world
Namba 1 on the House, Makofi kwangu Tafadhali 😂
mungu awatie mbele ajifungue salama tu bingine acha 😅😅😅
True uyu Mario amembadilisha cause Mario ni mtu anajielewa
Me pia nataka mwanaume kama marioo 😂😂😂😂ani defend bwanaaa 😢😢😢😢
Wako wapi swahiba😂😂😂
@@Nihadshighadi 😂😂😂ilo ndo swali sasa najiuliza
Una chakutoa zaidi ya K?
Kama unacho utapata ila kama unategemea kutoa K tuu huwezi kupata.
Yan kuna karaha flan
Kweli kabsaaaa
Nyie mario ana hekima mnoo, respect kaka
Mtaoanaa tuu❤❤❤
Wivu unawasumbuwa paula na wapenda ❤❤ namjua Mario kupitia paula ❤❤
❤❤❤❤Paula
Nawapenda saaana
Nimeelewa kilicho andikwa kwenye karatasi 😂
Natamani siku ya ndoa Yao, NAMI nipate Kadi niweze kuhudhuria, SS kama wazazi, mtoto akitulia inafurahisha Sana.
Confidence ya Marioo ni hatarii sana vile inafaaa. Namkubali sana dogo!
Huyo ni bright kaka
Nakubali ndugu angu
Couple nzuri naitamani
Mnapendezana❤❤❤
Kla mtu anapenda couple sio ndoa, zinaa mnashadidia pumbav zenu nyinyii
2024 inabidi maskini tuwapunguze kwa kila namna.Maskini wao wamewekeza kwenye ngono na mapenzi tu,na hata ukimwi wameletewa maskini ili wapungue.vile nikikaa nawa😅😅😅 maskini
All the best napenda hii couple mungu awaweke.
Aseee paula atulie uyu kaka ni mwanaume na nusu
Mtangazaji pia mimi nampenda sana,sauti nzuriiii
Marioo unamtunza Vizuri Paula Kanenepa Mzidi kupendana
Wauuu Paula alikua hajapata mwanaume sahihi ss hv kampata katuliya mpk cm yke anampa mariyoo na mpk akitongozwa anasema kweli kapenda kaamua kutuliya alikua sio Malaya hajapata tu mwanaume sahihi ss kampata si huyo katuliya mlikua mnamsema mm mara nyingi nilikua namtetea Kwa Hilo ummeamini km sio Malaya paula
❤❤❤❤❤❤🎉
Pau❤️❤️🇧🇮🇸🇦🇸🇦
❤❤❤❤❤❤
I don't know why
But I love marioo and Paula❤️❤️
Bright
Sky ahuchaona hizo kucha zimepakwa rangi 😂😂😂 why you do this marioo 🙄🙄🤔
Hoooyeeeee
Mungu azidi kuwaeka kuwadumisha inshaallah muowane
Nimefurahi sana ulivo mjibu
Nawapenda sana
Kuna kipindi hii sauti nilidhani ni ya millard Ayo
UYU JAMA KASHA POTEZWA NA MAPENZI UCWALA YA PAULA
Nguvu moja❤❤❤
Nawapnda sanaaaa ❤❤❤
❤❤❤
Love you 💕 sandre
Mario ni msanii ambaye ametulia na anampenda paula sana.
🤙❤
❤❤❤❤🎉
Hao wanawake wengine hawawezi kumpa cm mpenzi wk au akitongozwa kusema lkn yy anafanya hvyo Kwa mariyoo
Acha uwongo wassnii hamna msimamo na huyo paul kazi nii hiyo acheni kudanganya
❤❤❤❤❤
Arubuniwe kwan mtt huyo pau 😮😮 anayataka mwenyewe
Madame pau ukuje hukuuuu🥰🥰
Mario una busara sana
Safisana mario
Chibaba wa paumari❤
❤
Bad
Hapo hakuna mume wala mke mume havai mikufubkm mbwa wa kizungu hapo kuna uzinifu tu
Mbona husemi kama WW madebe liday mbona hujashauli waelewane na baba kwendraa
Kasha timiza lake kitumbo kile
❤❤❤