vya kale zahabu tutabaki kukumbuka lkn Zanzibar tumeimaliza wenyewe kwa fitna zetu na roho mbaya zetu mungu awastiri wazee wetu walio hai na waliotangulia mbele ya haki Zanzibar mama yetu tutaikumbuka daima dawama tutabaki kuangalia michezo ya utupu kutoka Tanganyika na wingi wa upotoshaji. masikini msi mkwa yuna mungu.
Michezo ya zamani inafunza sana.kweli wapo watu wa aina hii.mashaka hodari sana mungu kamjaalia kipaji.
Ahahaha sikwa msutohuo.lazina akome
vya kale zahabu tutabaki kukumbuka lkn Zanzibar tumeimaliza wenyewe kwa fitna zetu na roho mbaya zetu mungu awastiri wazee wetu walio hai na waliotangulia mbele ya haki Zanzibar mama yetu tutaikumbuka daima dawama tutabaki kuangalia michezo ya utupu kutoka Tanganyika na wingi wa upotoshaji. masikini msi mkwa yuna mungu.
Chimbeni kheri hilo jina lako lko sawa na vitendo vyako
Musimsute jamani msamehen