Lushoto Sceneries
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ม.ค. 2018
- Lushoto Scenery footages. Shot with the DJI Mavic Pro, iPhone 6, & Nikon D810. Edited & Color Corrected in Adobe Premiere cc. Thank you for watching!
Any destination in Tanzania you wish to visit? Where? or you have visited before what was your experience? Kindly comment below. I look forward to have a conversation with you.
Cheers,
Joe!!
Subscribe to my channel goo.gl/1viVkm
Song: Mtaani ni Mbui
Performed by: UZAU Group from Lushoto Tanga.
Official Website
Social:
Instagram: / joendekia
Twitter: / joendekia_
Website
www.joendekia.com
#LushotoSceneries #WhatToDoInLushoto #ExploreLushoto
Home sweet home. Nimezunguka baadhi ya mikoa sijaona bado kama home. Lushoto ya kipekee Sana ndiyo maanà wajerumani walivyoingia Tanganyika Walipenda Sana Lushoto na Kilimanjaro. Kaya Kaya naakukubali Sana.
Nakubariana na wewe kaya nkaya du
honge waume hati hana mwewea 2019 gong like twende sawa
Tihaha aloo washambaa weao
Myumbaniiiii ni nyumbani tuuuuuu...kama unakubali gonga like hapa...
Tihangwe
Nzuri sana msahau kwako mtuma imarisha runga
Uoooo hongea maa Mkataa kwao ni mtumwa
Mim sio wa tanga lakin ninaposikia hii Ngoma mahali moto wangu unafurahi sna❤❤❤❤❤❤❤❤
Tanga lushoto juuuu💪😀😀 kaya nikwedi waume
Waume kaya ni Mtae uzwi uzanashia kwakwei
Ninaishi zaidi ya kilomita 1500 kutoka nyumbani kwetu lushoto. So i find comfort kwa kuona video kama hizi.
Twende mbele turudi nyuma hizi ngoma zetu tamu bwana witangwa uzau
Imi iviaha taehe 29 ngwezi wa kumi na mbii 2019. Kuti kuna mweweeea alaiki titaiane
Haya.uhi.ngw'eshu
Dah! Kwaatama kayaweangu
Ohooo my home
Woriyoooo wasambaa hoyeee najiona kama nipo tanga now
Mke mdogo anakula nyama,mke mkubwa anakula dagaa😂hizo dhambi zenu kwa mungu,,,mm ni mzigua ila hua nawaelewa hawa jamaa
Hongea kwa ndima yedi
Beautiful Lushoto.......Pazuri Kwei Kwei ;-)
Malek Abdul 🙏🏾 pazuri sana.
raha sanaa
ehee mtaaa ni ndimaaa
Nyumbani🏃🏃🏃
mtaa mtaa mtaa mtaa mtaa nimbui dah na kumbuka sana home 😘😘😘
Ni vizuri kukumbuka nyumbani :)
Sana mumy
Duuu
Daaa mnanikumbusha nyumbani hongeaii sana
Hongera joe kwa kazi nzuri, i realy miss home
Asante Suzan. Nyumbani ni nyumbani. Karibu.
❤❤❤❤ nawapenda san
Dunia ni mghua.... Ukija hetogha utaja heeghea
aja na nyama mkuu na uono hahaha very interesting
real I miss home sweet home
daa nime Miss nyumbami
Nyumbani ni nyumbani!! Karibia tu.
Sweety home💗💗💗
waumei kaibui Lushoto ya kuna laha kwei
Takaibiaa
Kabila nyingine ninoma saambachi juuuuu
Nimekumbuka kwetu et erneti nikiwa Kenya hongeai waume mwatikumbusha kuti Kuna kaya
Shemlugu family salimu isa malumbi oyeee
Daaa mmenikosha walahi😂😂😂😂👌👌👌👌💪💪💪
Yaan Mie moyo unafaa kuniuma jaman nataman siku moja nikaish kama Zaman jaman😘
@@hosnaemam6831 binam hahahaaa umeshakumbuka mgia ivyoo😂😂😂😂
@@ukhtyhalimasubscribedismai6497 yaan wee achat muda mwingine nataman hata kulia kwakumis maisha yanyumban ila inshaallah sik moja nitafika tena
@@hosnaemam6831 ni kweli nikiona huyo milima nakumbuka njia ya lushoto😂😂
ooohhh waume nahiii aho umoja hapaulo
Mtaamtaa mtaa ni mbui
Naipenda lushoto yetu ulaya ndog no joto hali ya hewa safi no one like lushoto home
Nyumban raha jaman twenden mkapaone lushoto.
Kweli raha!!
Hapaniliponipo nopoomani
Natananihatakupaa
My home is truly beautiful thank you Joe for showing it
Thank you for watching :) Lushoto is a lovely place to be
Elizabeth Humplick kwenu ni sehem gan
+255688388685
Nletee wabwanga muima ukwewa nnyani
Home sweet home LushotoTanga Tanzania 🇹🇿 beautiful place
Hapana chezea lushoto,
Hapana Chezea kabisa!!
Lushoto kama kwetu upareni jamani
Milima ya Same au Usangi? Ha haa!!!
Mimi sio msambaa ila napenda San mdumange
Love the music
Woume kwaatama kaya
Tuletee wabwanga muima ukwewa nnyani baba ng, ombe kaukwea
kaya ni kaya nimeimis soni yetu
Mke mkuu aja na dagaa mke mdodo aja na nyama
Missing so much ushoto love mdumange
Home 🔥🔥🔥
Kwakweli ipovzur
Kwatama kaya .mpaka Naimis mbaramo yetu
Wale wa makanya tujuane hapa
Hahhhhaaa hii nzuri
kaya ni kaya
Jamani kaya nikaya
I Miss home... ;:'
Karibu sana. Nyumbani ni nyumbani.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💞💞
Home 🙏❤️❤️❤️❤️
Namiss home kwetu kijiji cha zaizo
Karibu, Nyumbani ni nyumbani.
Home sweet mtaa ni mbui
Yenaneeei iwe kumbe uya zeizo imi ni wa majulai hedaaja
Safiiii kwenyu nikwenyu
Tuzaondezeza mumangu
nimekumbuka kwetu
😳😳😂😂😂😂😂😂😂😂
@@mfaumehaji9225 titemaa kwetu
Natoighwa ni vighija
Nzakumbuka kaya waumei
Miss u
Home sweet home
nakubaliii home land
kwetu huko
Nouma Sana mmenukumbusha mbali
Kaya nkaya Kuna weumu mjini wata tamani sehemu saizi kwakwei tijivunie nalushoto yetu
Kwetu
Dah nyumbani
2020Muhii waumeee kwatama kaya
nice
Thank you.
Mmekumbuka mahange yetu
Nimepamis hom
Nyimbo yaitwa nini
Wimbo unaitwa Mtaani ni Mbui. Umeimbwa na Uzau group.
Mic hom
good
Jani mohamed. hongea
Sweet city
nikwetu bumbuli kwehangara nimekumis
Kumenoga
Lushoto maakwatama uko
Farida Abdallah kwetu moa
Farida Abdallah kwenyu ni moa hahi aloo maana imi wa majulai hedaaja 😂😂😂
Ally Shemababu kwenyu ni moa sehemu ani imi ni wa majulai hedaaja
hotate
2019 tuk smbmb
Nimeimisi humu sana
najisikia raha kuzaliwa tanga
Nimemus hom
Nyumbani kutamu sana
0
Home 🔥🔥🔥