HOJA MEZANI || Uchambuzi kwa yaliojiri Mkutano wa Brics mjini Johannesburg
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Viongozi wa kundi la mataifa ya Brics - Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini - wamekutana tarehe 22 Agosti mjini Johannesburg, na suala kuu litakuwa ikiwa ni kukubali wanachama wapya.