Huyu dada toka ile nyimbo ya bobjunior daaah niliwahi kukuona uko beautiful lakini aliyekuloga au aliyechukua thamani yako na kukuletea hayo majini mauti Mungu atakusaidia kila jambo linamwisho. Daah ubinadamu kazi.YESU msaidie.
Nampenda sanaa jinsi alivyo sio mtu wakujiweka mawigi sana na makope yupo sana natural hicho ndio cha kwanza nilichompendea anajiamini na uzuri wake,sura yake anavyoongea mashallah walah naumia.inshallah tunakuombea Allah atakuafu
😂😂😂WAnahela za kuchanga 50 50 tatizo wanaish maisha ya kifek ndio kinawakost bongo movie wanavikund wakisema wachangishe kila mtu hela nyingi zingepatikana shida nao wanahal ngumu ila wanaigiza wanamaisha mazur
Pole sana anae leta Marathi ni mungu na anaeuwezo wa kuondoa marathi ni mungu mimi na amini utapona kupitia uwezo wa mungu kama mungu alimtoa nabbi yunnus kutoka kwa tumbo ya samaki basi wewe hawezi kushindwa ya allah mmpe shiffa ya Karim mmpe shiffa ya wadud mmpe shiffa ya arhaman rahimm mmpe shiffa hakuna katika dunia hii inayo kushinda wewe ndie muweza wa kila kitu muhurumie yeye pia ni kiumbe wako na ana kuitaji ammin
Allah ampe shifah apo njo tutaona nguvu ya bongo movie inshaallah wajitoleye wampeleke India 🇮🇳 inshallah wakubali kuacha zile stareh zao wafanye kitu kikubwa tena cha muhimu zaidi katika jamii wasiwe natuonyesha tu mabata watuonyeshe uzalendo nakusaidizana kwa wakati huu wa muhimu anyway sorry nitakao wakwaza HAWA god bless you my sister sisi tunakuombea Dua kwa ALLAH
Hawa nakujua kwa jina Bilnda napenda uigizaji wako kwenye thamthilia ya kiu ya kisasi kumbe ni ww unaumwa maskin 😭😭😭😭😭😭😭Mungu akusadie upone haraka kweli uko kwenye wkt mgumu InshAllah utapona Mungu yko nawe.
Mungu kama ni uchawi basi mwenyezi mungu ambainishi hiyu mchawi na watu water wamjue itakuwa ni ha hao bongo movie wana wivu na msichana w watu mwenyezi mungu nda hakim utapona ishaallah kwa uwrzo wa Allah
Jukumu la kuchangia si kwa bongo movies tu ni jukumu la kila mcha Mungu mwenye iman yakutoa kwakusaidia alie na matatzo.. Sdhan km lazma atoe muigizaj mwenzke mana hata hao unaotegemea watoe nao niwatafutaj ndo mana hata matatzo yao yanahitaj misaada
Ndio salha hata mkmi nilikuwa nampendaga hiyo story mpya sijaiona Zaman kwenye oyoyo ndo nilikuwa ndo nimeanza kumjuwa nilikuwa, nampendaga Sana, nilikuwa nasema uyu dada, mzur kwenye oyoyo ndo ulimtowa
Asalm alkm HAWA Sina chakukupa mwanangu ila na namlilia muumba mbingu akupe shifaa ishallh utaenuka mamngu mpenzi usife moto dawa ya mtu ni umri nakuombea umri ishallh na dawa utapata Kwa uwezo wake allh🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲alfu mara
😢😢pole Sana dada angu binadamu.....Mimi sina hamu nao Kwa sasa naishi kama nipo sipo yaani duniani sipo ahera ninatafutwa 😢 maana ndugu ndio wabaya na ubaya hautoki mbali ni watu wetu wa karibu Sana ukipata kiriziki kidogo Tu wanaumia na kuzima nyota zako inaumwa sana
Yaan bado mdogo sana huyu msichana hadi huruma 🙇Allah atakupa shifaa
Huyu dada toka ile nyimbo ya bobjunior daaah niliwahi kukuona uko beautiful lakini aliyekuloga au aliyechukua thamani yako na kukuletea hayo majini mauti Mungu atakusaidia kila jambo linamwisho. Daah ubinadamu kazi.YESU msaidie.
Nampenda sanaa jinsi alivyo sio mtu wakujiweka mawigi sana na makope yupo sana natural hicho ndio cha kwanza nilichompendea anajiamini na uzuri wake,sura yake anavyoongea mashallah walah naumia.inshallah tunakuombea Allah atakuafu
Pole sana dada Mungu wa mbinguni akusaidie ,Imani kwanza masaada nyuma weka imani dada yangu Yesu kristo atakuponya Amen. Anaitaji ngapi?
Nilimfaham tukiwa vingungut,, mskitin,,, Allah ampe taufif lnshaallah,,
Allahumma shfii maridhwana wamardhwa L-muslimiin (As-aluka llah rabbi an-yashfiaka..) Allah akuponeshe kwa haraka uendelee na shuhul zako
Pole sana mpendwa muamini mungu utapona
Mungu ata kujaliasister wangu ani pole sana sister kweli ani dadadadada pole sana 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲nakuombea nyingi sana kwa Allah kweli
Nilitokea kumpenda huyu dada kwenye nyimbo ya Oyoyo pia iyo crp ya kwanza nimeona watu wengi wakiipost kwenye status Allah ampe shifaaa 😍
Hawa my dear pole sanaa namini mungu atakusaidia kwa uweze wa mungu
Akh Belinda pole sana dadangu mungu akupe afueni ya haraka nakupenda sana kutoka 🇰🇪 🇰🇪 hasa kwa kiu ya kisasi ulivyo panda juu ya get
Kumbe ndio huy dada jmn😭😭😭😭m
Bongo muvi msaidien mwenzenu, mpo wengi hat mchang 50, 50 itamsaidia jmn
Ndio mungu amponye
Ata wew unaluhusiwa nasio ww 2 ata mm pia
@@kidawaseif7801 kwa hyo
Sio bongo move tu Tanzania nzima umoja ni nguvu
😂😂😂WAnahela za kuchanga 50 50 tatizo wanaish maisha ya kifek ndio kinawakost bongo movie wanavikund wakisema wachangishe kila mtu hela nyingi zingepatikana shida nao wanahal ngumu ila wanaigiza wanamaisha mazur
Maskin Hawa pol sana Wangu Allah akufanyie wepes inshallah
Pole sana anae leta Marathi ni mungu na anaeuwezo wa kuondoa marathi ni mungu mimi na amini utapona kupitia uwezo wa mungu kama mungu alimtoa nabbi yunnus kutoka kwa tumbo ya samaki basi wewe hawezi kushindwa ya allah mmpe shiffa ya Karim mmpe shiffa ya wadud mmpe shiffa ya arhaman rahimm mmpe shiffa hakuna katika dunia hii inayo kushinda wewe ndie muweza wa kila kitu muhurumie yeye pia ni kiumbe wako na ana kuitaji ammin
Oooohhh kumbe ni uyu mdada mskini Mungu ampe shifaaa na ampe subra katika marazi yak
Nakuombea uponaji kwa jina la Yesu christu. Mungu akuponye. 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Masiki kumbe Ndio huyu dada Allah akupe shifaah Amiin🙏😿
Amin
Alifanyaje
Amiin
@@sharonchristian3711 hata sijuwi maradhi yake ila naskiya tu kafanyiwa upasuwaji mara 5 😔
@@mauwapremice7080 du mackini wee
Mungu akupe wepesi na zaid iman juu yake utapona tu my 🙏🙏🙏
Allah ampe shifah apo njo tutaona nguvu ya bongo movie inshaallah wajitoleye wampeleke India 🇮🇳 inshallah wakubali kuacha zile stareh zao wafanye kitu kikubwa tena cha muhimu zaidi katika jamii wasiwe natuonyesha tu mabata watuonyeshe uzalendo nakusaidizana kwa wakati huu wa muhimu anyway sorry nitakao wakwaza HAWA god bless you my sister sisi tunakuombea Dua kwa ALLAH
Mungu atakufanya wepesi Ameen inshallah🤲
Pole sana mungu atafanya wepes utapona dada
Mola atakupa Shiffa ya haraka dda in sha Allah
Mwambie Mama yke ampeleke kwenye maombi kivure kwa msugure pia maana ugonjwa wke atariii Mungu amsadie michango bila Kumwomba Mungu tu aitoshi
Kivule matembele ya pili kwa nicolausi suguye dar
MashaALLAH sauti laini ja ndimu kunyosha kikoromo tangu udogo
Tunampenda Sana jaman!!
Duuu amka carolain mwite mungu yupo kwajili yako mungu akupe wepesi upone kwani Hadi nalia ulivyo pia nikikumbuka unaumwa duuuu
*SIKUJUA KUWA NDIO HUYU AISEE NAMPENDA SANA HUYU DADA NITAJITAHIDI KWENYE NAMBA ILIYOTOLEWA NITOE CHOCHOTE*
Pole sana belinda nakupenda sana allah atakupatia shufaa utapoa mmmy🙏😭
Allah akupe shifaa dada hawa dua nakuombea ameen❤❤❤
Dah mwenyezi Mungu amtie nguvu aweze kupona 🙏🙏🙏🙏🙏
Shifaa ya haraka Hawaa, Allah akupe afueni ya haraka mpenzi
Allah amfanyie wepesi Kiukwe 🙏
Pole Sana dada hawa mungu atakuponya kwa uwezo Wake
Pole Sana dada angu jamani Allah akufanyie wepesi
Hawa nakujua kwa jina Bilnda napenda uigizaji wako kwenye thamthilia ya kiu ya kisasi kumbe ni ww unaumwa maskin 😭😭😭😭😭😭😭Mungu akusadie upone haraka kweli uko kwenye wkt mgumu InshAllah utapona Mungu yko nawe.
Pole sana dad utapona mungu yup pamoja na wew
Allah akujarie shifaa hawa maskin Allah mponye hawa🤲
Mwenzi Mungu amponye jaman I love her ntamuombea
Aki huyu dem namjua😭😭😭😭 mola amjalie shafaa huyu dem dah....
Masikin Hawa nlimfaamu mbagala k.maji kabda ya kuamia vingunguti alikuwa swahiba angu sana mungu atakuponya amen🙏
Anaendeleaje sasa alipona
Ila hii video SnS, utadhani msiba. Hapo mwanzoni
Mungu ampe Afya Insha'Allah.
😅
Insha Allah, Allah amponye
Mungu AKULINDE we bint. Daaa jamani. Machungu mno
Daah kweli bhana, nlimuona hata kwenye dakika moka ya binam na Ay ft had mad
Mungu kama ni uchawi basi mwenyezi mungu ambainishi hiyu mchawi na watu water wamjue itakuwa ni ha hao bongo movie wana wivu na msichana w watu mwenyezi mungu nda hakim utapona ishaallah kwa uwrzo wa Allah
Ahaa Belinda nilikuwa nampendaga Sana, mzur
Yah Allah mpe tahfifu mja wako kwan anaptia maumivu makali sn 😭😭😭
Dada kapendeza kupitilizia jamani 😢💔 By His stripes on the cross we're healed 🤝🙏🙏 utapoona Hawa
Amen
Mola yuko na sisi Siku zote, hakika atapona na kuendelea kuishi. Amen
Kumbe ni uyu Dada😭😭😭Allah akupe shifa
Jaman mungu msaidie dad huyu ,eeh mungu wew nde daktari mkuu ,msaidie jaman watanzania tumuombee
Allah atakufanyia wepesi carolin
Tuna kila sababu ya kumsaidia huyu dada aiseee
Pole my jamani ulivo mpole. Napenda kumwomba mwenyezi mungu akupe uponyaji
Huy anaumwa muda mrf sana tanga nione kwa flora nitetee ss hv inafka hata miaka miwil aisee pole sana sis
Dah huyu Dem ni kitmbo jamani ,pole mungu atakuponya
Pole sana hawa wewe ni mrembo❤❤❤❤
Mwekumbe ni huyudada mungu amsaidie jaman apone nampenda ameigiza vizuri kwenye kiu ya kisas
Jukumu la kuchangia si kwa bongo movies tu ni jukumu la kila mcha Mungu mwenye iman yakutoa kwakusaidia alie na matatzo.. Sdhan km lazma atoe muigizaj mwenzke mana hata hao unaotegemea watoe nao niwatafutaj ndo mana hata matatzo yao yanahitaj misaada
Allah akupe shifaa Dada ang nakupenda sana utapoa inshaallah
Hakuna lisiliwezekana kwa mungu yote yanawezekana dada mungu atakufnyia wepes utapona na utard ktk hali yako ya kawaida
Pole sana dada mungu atakusaidia utapona inshallah
ALLAH akufanyie wepesi upone dada
Allah atamponyaa in shaa Allah 🙏🏽
Dah kiukweli hatuijui kesho yetu dada yangu ukujua Kama utaumwa hivi jamani nakuombea upontaji mwema usionachangamoto mamy pole Sana mwana mwanza mwenzetu.
Mungu akuponye
Mungu akuponye
Mungu anakutosha kipenzi changu dua tunakuombea mungu atakufanyia afueni inshaallah
Allah akuwekee wepes dad mzur
Pole sana dada yangu Mungu atakushindia dada yang Mungu atakuponya dada
Jamani kumbe uyu mdada nampenda mnooh 😘😘😘allah atamfanyia wepesi atapona🙏
Ndio salha hata mkmi nilikuwa nampendaga hiyo story mpya sijaiona Zaman kwenye oyoyo ndo nilikuwa ndo nimeanza kumjuwa nilikuwa, nampendaga Sana, nilikuwa nasema uyu dada, mzur kwenye oyoyo ndo ulimtowa
Kwenye oyoyo alikuwa mdogo mdogo sasa kakuwa kumbe alikuwa anahekt na filam
Ndio nilisikia Carolin
🤔🙄Tumbo lake linatoka usaa da maskin pole
Napendaga kusaidia watu. Nikamkumbuka yule hawa wa kwenye nyimbo ya nitarejea ya, dai Sema dai alimsaidia
Kumbe ndio huyu mungu amponye inshallah
Odo hawa muamini mungu ndenda utakapo sikia pana uponyaji ila soma yat kulusiyu ukiamka na ukilala mungu yup pamojanawe pole odo haw
Mungu amponye jaman🙏
Mungu atamsaidia atapona Inshaa Allah
Mungu akuponye kwajina layesu
Mpaka ivi hajapona😢 uyu dada SNS jaribuni kumumuombea msada pls
Your so beautiful mungu akuponye love you
Allah atamuaf In shaa Allah 🤲
Hadi machozi yana nitoka kuhusu uyu Dada pole sana
Binti namkubali sana , Allah amponye haraka amiin
APELEKWE KWA SHEIKH SHARIF ABDULKADIR.MBONA WENGI WANAPONA.KWA UWEZO WA ALLAH
Allah akupe.shifa dada hawa😭😭
Subra ndo ibada pekee nakumuomba Mungu kwa wing akujaalie uendelee kua na mdomo wakumuomba usichoke
Asalm alkm HAWA Sina chakukupa mwanangu ila na namlilia muumba mbingu akupe shifaa ishallh utaenuka mamngu mpenzi usife moto dawa ya mtu ni umri nakuombea umri ishallh na dawa utapata Kwa uwezo wake allh🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲alfu mara
Oh my sister God is good all the time 🤲🤲🤲
Kwa kweli dada Yuko vizuri na anaushauri mzuri hata mme wake ana Raha kweli
ANAUMWA HUYU DADA TUMBO LINAMSUMBUA SANA SASA HIVI AISEE, MUNGU AMSAIDIE DAH
Mungu akulinde
Binaadam sie sio kitu mungu amfanyie wepesi Apone...kuugua sio kufa.
Mungu ni mwema dua zetu kwake na imani Allah atamnusuru
Mungu. Akufanyie wepesi. Inshalla. Yarab
Inshallah mung atamfnyia wepesi
Jamani tunaambiwa uchawi upo lkn tusiuwamin sana tupambane sana kumuombea dua my sister
Mungu akuponye mama
Na inshaallah huwo ni mtihani tu ulopewa lkn usikate tamaa nakuombe dua utapoa inshaallah
Mpelekeni kwenye maombi hyo ni shetani anamsumbua hawa,au anachukua mume Wa MTU akachezewa
😢😢pole Sana dada angu binadamu.....Mimi sina hamu nao Kwa sasa naishi kama nipo sipo yaani duniani sipo ahera ninatafutwa 😢 maana ndugu ndio wabaya na ubaya hautoki mbali ni watu wetu wa karibu Sana ukipata kiriziki kidogo Tu wanaumia na kuzima nyota zako inaumwa sana
Na mm hivyo hivyo naishi kivyangu vyangu maana wabaya hawatoki mbali nikifikiria 😭😭😭😭😭Bora nikaishi porin na wanyama
Pole sana mungu atakuaf inshaa Allah
Allah afanye wepesi Inshaallah
Mungu mfanyie wepesi huyu dada
Namukubari Sana huyu sister
Hawa ni mrembo sana jaman kunamtu anamchezea kabisa mungu anamuona