Allahuakbar 😢mimi na wewe wenye neema ya kuona tuitumie vizuri neema hii tutaenda kuulizwa tuliitumia vp🤔 ndugu yetu huyu ni kipofu lakini ameifadhi qur'an masha Allah ❤❤❤❤❤❤
Nakumbusha tunavipaji kila kona ya kondoa, chemba, haw waomaji wetu wakubwa wasione aibu kutangaza rehema hii na kuomba misaada kwa waislam wenzetu ili kubust vipaji hivi
inasikitika kipofi anasoma quran lakini mwenye kuona ana mmchezea Allah tumuogopeni mwenyezi mungu ya rabbi
Allah Akupe Mwisho mwema Sheikh wetu
Allahuakbar 😢mimi na wewe wenye neema ya kuona tuitumie vizuri neema hii tutaenda kuulizwa tuliitumia vp🤔 ndugu yetu huyu ni kipofu lakini ameifadhi qur'an masha Allah ❤❤❤❤❤❤
Allah amzidishie elimu Zaidi ya hapo
Amiin
Mashaa Allah.wengi tuliyo na macha ya kuona hatuoni QUR,AN.Macho ya kisasa ni ya Kuchati
Tweybu tweybu Allahuakbar Allahuakbar maanshaallah Allah akuhifadhi inshaallah
Mashaallah allah akulipe kher
Wallah imenitoa machozi kipof anahifadhi maneno mazito yaalla
Mashallah Allah akuzidishie
Mashaaaaallah allah ampe afya njema amiiin
Mashaallah wallah machozi yamenika tujifunze tuliejaaliwa neema ya uzima
Subhana Allah mjaalie macho akhera ya Rrabbi
Mashaaallah
Allah Akbar ❤️
Mashallah🎉
Mashallaah
MASHAALLH ABDALLAH NDEE MPK NIMETOWA MACHOZI YA FURAHA
Mashallah
Allak ak bar.
😔😔mashaallah allah akupe mwish mwema ostaz😔
Mashaallah ustadh
Maashaallah
Mashallha kaka angu
😭😭😭😭😭😭😭😭
Huyo sio kipofu, kipofu katika dini ni yule aliyepofua moyo. Bora upofue macho ya kichwani kuliko kupofua macho ya moyoni.
Nakumbusha tunavipaji kila kona ya kondoa, chemba, haw waomaji wetu wakubwa wasione aibu kutangaza rehema hii na kuomba misaada kwa waislam wenzetu ili kubust vipaji hivi
Mm na ww tunaona ndio vipofu hyu anaona
Mimi na wewe ikiwa hatuna chochote ktk quran ndio vipofu sio huyu!
Mashallah
Mashalha
Mashallah
Mashaallah