Ila wabongo tunamaneno sana ya majungu, tukio la hapo ni uzinduzi pafyum ya Hajji Manara lakini cha kushangaza maneno mengi kwa Diamond na Tanasha yanahusu nn, hayo ni maisha yao, ila nimeamini mafanikio ni chanzo cha kuwa na maadui.
Inna lillah wa inna Illah raj'un!msiba wallah! kijana wetu kila mara nakuona na kilemba! Subhannallah!umetoka nae nyumbani amevaa hivyo na ukaridhika kweli!muogope mungu aliekufikisha hapo!sisi ni wa Africa sio mila zetu kuvaa uchi!si kwambii uislam!this is too much!dah!for the first time you've let us down my boy!
Mh Makonda hawo ndo wa Tz ukitaka kuwajuwa tazama comments zawo humu wawo ni majungu tu na kuchunguza maisha ya watu ooh kava vibaya ooh simzuri, wa Tz badilikeni nguvu mnazo tumiya ku judge watu mngelizitumiya kupambana na maisha Tz ingelikuwa nchi ambayo inamaskini wachache sana barani Africa!!
Daimondi umependeza sana ila ungemshauri tanasha kidogo kuwa hiyo nguo aliyovaa ni kubwa kwake huko juu imemuacha wazi sana Ila Mungu awe pamoja nanyi mfunge ndoa sasa
Hajaogopa MTU, Bali aliona ni fahari kuitwa mbele ya sheikh. Kama kweli anaiheshimu dini yake Nasib asinge mwachia tanasha amsogelee sheikh wala kuvaa mavazi ya uchi, Nasib utokako ni mbali unakokwenda ni karibu, life have no guarantee jitayarishe sasa kuonana na Muumba, kama si sasa ni sasa hivi. Nakuombea uzinduke kutoka kwenye huo usingizi, Allah akusameh mwanangu
Yani natasha hiyo nguo aibu aibu aibu unaenda kwenye mikutano kama hiyo utadhani unaenda kwenye fashion show kweli mchagua nazi sana huangukia koroma tena kiroma liloliwa na mwezi 😎😎😎
Shekhe Bigup.Kampa mkono Diamond ilivofika wakati wa kumpa mkono Tanasha,shekhe kajigeuza,Tanasha akupata mkono wa shekhe.Tofauti na alivyokataka Mkuu wa Mkoa.bigup shekhe.
Jamaniiiii munamlaumu tanashaa amepasishwa huyooo na huyoo mtovuwaadabu mwenziweee mwanamke hana hata heshima mbele kwa wanao stahiki heshima mwanamke ni ZARRY TUUU
Mzee dude nimekusoma kwa kutuelimisha watu wa mikoani kwenye move zako ubarikiwe, nawaona watu wapo vifua wazi kama wanaume wabeba vyuma kumbe ni wanawake tena waliojiandaa kwa kuolewa.
Yaani umemfanya shehe wa mkoa ni wakufungisha ndoa za mkeka?halafu hayo mambo ya watu binafsi hayakuhusu mpaka mtu anaona aibu anaomba akakae.yaliyokuleta ni ya manara wacha uchokozi kama unaheshimiwa.
ahh!?😢 mondi nakupenda sana na maisha yako ..lakini hili suala la nguo anazovaa wifi tanasha hapana ..hebu fanya utaratibu ndugu yangu ..kaka ang nguo pia imekua kero kwa yy mwenyewe alivaa pia hana raha.maana c nguo ya maana.
Dada yng limekutoka hashuo pumbav kwenye heshima sasa unapata aibu popote wendapo lazima ujue nendapo naitajika kujistir kwa hali yeyote kwan huwez kujua kipi kitajir huko. Yan mm niliposkia njoon mumpe mkono shekhe basi skutaka hata kuangalia
Huyu jamaa anaongea mambo ya busara ila kwa mafumbo huwezi muelewa usipokuwa makini. Diamond mfunze mpenzi wako jinsi ya kuvaa maana ushampenda Hata akivaa skirt na t shirt mapenzi bado yananoga tu
tanasha nguo kubwa uko juu maana unapandisha mda wote na ziwa mbona ndara kwani unamtt pia hiyo nguo uliyo vaa siyo mzuri ilibidi ata umueleweshe mwanamke wako nguo za kuvaa kwenye sehemu kama hizo ww diamond ata shekhe kashindwa kumshika mkono ata kusogerea karibu kwa alivyo vaa
MUHESHMIWA MAKUU WA MKOA HUWA NAKUPENDA SANA WEWE NI MSEMA KWELI KWAMAANA WATU WA PWANI NI WAVIVU SANA KWA KUJITUMA LAKINI KWA MAJUNGU NA ROHO MBAYA WANAONGOZA, NAHATA HUKU KWETU MWANZA WAPO KAMA UNAVYOJUA ILA MUNGU ATAWADHOOFISHA
baba upo vinzuri sana tutazindi kukuombea mungu uendelea kuiongoza taifa baba wataifa akimaliza mkatamba wake nadhani ww unafaa kuongoza taifa lkn huyo bibi harusi ndo katuaibisha wanawake wa kiislam maana hata taifa lolote lalalamika kuhusu shekhe wa mkoa amelaumiwa sana lkn msimlaum shekhe kwani niibilisi tu alitawala hapo kwenye sherehe tumsameheni bure msimhukum kwani aombe tu msamaha kwa mola wake
Usimjaji mtu wakati wewe hata chupi ya elfu tano inajushinda acheni ujinga watanzia, nasikitika sana watanzania kuwa na majungu na siyo kufikilia lini na mimi nitakuwa kama yule, kuwa na tamaa ya kutafuta na siyo majungu acheni ujinga.
jaman acheni majungu kuvaa kwa Tanasha hakuwahusu nyie ndo mnaoongelewa mwenyewe. kakamata maisha. nyie hata Hera ya kubadirisha mboga hamna mtakalia hayo hayo mwacheni mtoto wa watu hajala cha Mtu
Everrine. Either you are blind or must be ugly person. This woman Natasha could stay naked in front of me and wouldn't bother take a second glance. Frankly she has nothing to offer . I would rather be with Zari a 1000 times. Diamond has no test in woman
@@everrineanyango7410 Jaribu kufahamu kuwa Kila nguo especially kwa mwanamke lazima iendane na umbo lake mfano ikiwa mnene uvae loose clothing na ikiwa mfupi uvae long clothing inakufanya uwe opposite na vile ulivyo. Breast cut dress yataka mtu mwenye maziwa yalojaa ili yotokee kwa juu kama vile embe dodo. Sasa ule Ana vigozi vinaninginiya mpaka kanzu inashuka Kila Mara ni aibu tupu. Hajuwi kuvaa
Kama munaona Tanasha kavaha mbaya na anajisikia ata haibu gonga like
Mh makonda hii speech nmeipenda sanaaaaaa 👍 point tupu
Nina rohoo wa Mungu!! Safi sana bless you
Ila wabongo tunamaneno sana ya majungu, tukio la hapo ni uzinduzi pafyum ya Hajji Manara lakini cha kushangaza maneno mengi kwa Diamond na Tanasha yanahusu nn, hayo ni maisha yao, ila nimeamini mafanikio ni chanzo cha kuwa na maadui.
Mbele ya mama mkwe ulishika kiuno, mbele ya waheshimiwa wote hao pia unashika kiuno, jifunze heshima na Mila na desuri tanasha
mkuu uko vizuri hii bongo uchawi majungu .na mungu kwa amesema bola mchawi .sio wenye majungu.
Makonda upo vizuri sana kwanasaha zako
Is True 😘
Asanteee Mweshimiwa nakupenda bure ubarikiwe umejuaje haya. yapo
Nice speech
Mkuu makonda umeongea vizuri sana, natamani sana cku nikudogelee hata karibu unipe a, b,c
Big up Mr Makonda,.
Mm nakukubal sana Mzee baba Makonda
I like it Haji
Inna lillah wa inna Illah raj'un!msiba wallah! kijana wetu kila mara nakuona na kilemba! Subhannallah!umetoka nae nyumbani amevaa hivyo na ukaridhika kweli!muogope mungu aliekufikisha hapo!sisi ni wa Africa sio mila zetu kuvaa uchi!si kwambii uislam!this is too much!dah!for the first time you've let us down my boy!
Na herini aliyovaa platnumz je?
Good job
Mheshimiwa, nimekuelewa, hongera sn kwa neno la busara!
Wow!
Mondi take nice care of our sister
Safi kaka makonda majungu bongo ndio chuo kikuu umeongea vizuri saana big 5
Boss leo umeongea point sanaaaa🔥🔥
Mh Makonda hawo ndo wa Tz ukitaka kuwajuwa tazama comments zawo humu wawo ni majungu tu na kuchunguza maisha ya watu ooh kava vibaya ooh simzuri, wa Tz badilikeni nguvu mnazo tumiya ku judge watu mngelizitumiya kupambana na maisha Tz ingelikuwa nchi ambayo inamaskini wachache sana barani Africa!!
iyo nguo apanaaaaa tanashaaa why usivaye kanzu isiyo kuwa nampasuwoooo .ungependeza sanaaaaa
Tanasha angalia dress style haziko sawa be smart
Alie ona diamond kavaa Eleni agonge like.
Daimondi umependeza sana ila ungemshauri tanasha kidogo kuwa hiyo nguo aliyovaa ni kubwa kwake huko juu imemuacha wazi sana Ila Mungu awe pamoja nanyi mfunge ndoa sasa
mavazi yako tanasha hayana heshima mama
hajui kuvaa kbx
Haahaaha Leo nimecheka sana
Waaa Tanasha ata hayuko comfortable na hiyo gauni ,am sure hao watu wanaocheka wana mcheka Tanasha 😔😔😔
Kama umemuona tanasha anogopa kumsogelea shekhe gonga like hapa.
Hajaogopa MTU, Bali aliona ni fahari kuitwa mbele ya sheikh. Kama kweli anaiheshimu dini yake Nasib asinge mwachia tanasha amsogelee sheikh wala kuvaa mavazi ya uchi, Nasib utokako ni mbali unakokwenda ni karibu, life have no guarantee jitayarishe sasa kuonana na Muumba, kama si sasa ni sasa hivi. Nakuombea uzinduke kutoka kwenye huo usingizi, Allah akusameh mwanangu
Fatma Abdulla Aamin ni kweli kabisa
Nguo gani hiyo wavaa washinda kuvutavuta, siungevaa ile iko comfortable.
Kama umemuona mama mai kwa mbaligonga like
Tanasha Ni Dem mkali aisee!!!👏👏👏👏
Nikweli
Maneno yenye busara kabisa. Bigup mkuu!
Yani natasha hiyo nguo aibu aibu aibu unaenda kwenye mikutano kama hiyo utadhani unaenda kwenye fashion show kweli mchagua nazi sana huangukia koroma tena kiroma liloliwa na mwezi 😎😎😎
Shekhe Bigup.Kampa mkono Diamond ilivofika wakati wa kumpa mkono Tanasha,shekhe kajigeuza,Tanasha akupata mkono wa shekhe.Tofauti na alivyokataka Mkuu wa Mkoa.bigup shekhe.
Jamaniiiii munamlaumu tanashaa amepasishwa huyooo na huyoo mtovuwaadabu mwenziweee mwanamke hana hata heshima mbele kwa wanao stahiki heshima mwanamke ni ZARRY TUUU
MKULU kwa hili la kipaji umeongea nakupa mia mara mia.wanafiki wanaenda mbali mpaka kwenye shiriki ili kukwamisha tu.
Mmmh nusu uchi mbele za waeshimiwa
😁😁😁😁 kweli Tanasha kavaa kituko waaah
Nicr
Jamani vazi gn hl hadi shehe kaogopa kumpa mkono Tanasha aibuu, kuna sehem zake hz nguo
Kam umemuona Tanasha anawasiwasi walivyo itwa mbele
Gonga like apa
Acheni kumlaumu tanasha..wakati akiva c chibu aliona mbona akumsho nimbaya..komaa
mm nakupendaga sana sina tu chakukupa Mungu akunyooshee kila unachopanga
Makonda,you can't stop people talking.
Kama umemuelewa.. Hajajiandaa hawajajiandaa sana ni kwa sababu Diamond amevaa heleni, huyo mwanamke yupo uchi
Makonda nakupenda sana broo kiongozi da !
Mzee dude nimekusoma kwa kutuelimisha watu wa mikoani kwenye move zako ubarikiwe, nawaona watu wapo vifua wazi kama wanaume wabeba vyuma kumbe ni wanawake tena waliojiandaa kwa kuolewa.
Yaani umemfanya shehe wa mkoa ni wakufungisha ndoa za mkeka?halafu hayo mambo ya watu binafsi hayakuhusu mpaka mtu anaona aibu anaomba akakae.yaliyokuleta ni ya manara wacha uchokozi kama unaheshimiwa.
ahh!?😢 mondi nakupenda sana na maisha yako ..lakini hili suala la nguo anazovaa wifi tanasha hapana ..hebu fanya utaratibu ndugu yangu ..kaka ang nguo pia imekua kero kwa yy mwenyewe alivaa pia hana raha.maana c nguo ya maana.
Kama umemuona mkuu wa mkoa kashtuka kwa walinzi wa diamond weka like twende sawa
Dada yng limekutoka hashuo pumbav kwenye heshima sasa unapata aibu popote wendapo lazima ujue nendapo naitajika kujistir kwa hali yeyote kwan huwez kujua kipi kitajir huko.
Yan mm niliposkia njoon mumpe mkono shekhe basi skutaka hata kuangalia
yani baba umeongeya vizuri sanaaaaa
Asante mheshimiwa Makonda umeongea vixuriii umeshauriiii vixuriiii,,,umbeyaaaa, jamaniiii,,,ila mwambiye Diamond hapo no,,,wife
Allhadi mche Allah. Hivi hapo panafaaaa?
Diamond kaza buti achana na wabongo siyo kuwa na maono songa mbele baba
Kama umeelewa Mh. Makonda asemacho like hapo
Ni nguo gani hiyo alovaa mbele ya watu wenye heshima zao
Simba huyo ndio saizi yako yaani kijana mwenzako so wale wazee big up chibuevara.
Hio nguo inaweza kukuwacha uchi Tanasha
Were Faith na ndiomana shekhe hakumpa hata mkono
Mwenzangu ayibu Sana nguo hata haijashika maziwa Bora hata ingembana Kwa matiti yangekaa vizuri ona yamtepeta😁
@@hamjohamohamedi7851 hayo maziwa au ndara?
Sheikh wa ccm kimbele kimbele sana
Huyu mko wa mkoa huwaga poa sana kutoka kenya pongezi
Huyu jamaa anaongea mambo ya busara ila kwa mafumbo huwezi muelewa usipokuwa makini. Diamond mfunze mpenzi wako jinsi ya kuvaa maana ushampenda
Hata akivaa skirt na t shirt mapenzi bado yananoga tu
tanasha nguo kubwa uko juu maana unapandisha mda wote na ziwa mbona ndara kwani unamtt pia hiyo nguo uliyo vaa siyo mzuri ilibidi ata umueleweshe mwanamke wako nguo za kuvaa kwenye sehemu kama hizo ww diamond ata shekhe kashindwa kumshika mkono ata kusogerea karibu kwa alivyo vaa
Nguo sio nzuri jamani mbona modi umependeza sana mbona mkeo yuko uchi
MUHESHMIWA MAKUU WA MKOA HUWA NAKUPENDA SANA WEWE NI MSEMA KWELI KWAMAANA WATU WA PWANI NI WAVIVU SANA KWA KUJITUMA LAKINI KWA MAJUNGU NA ROHO MBAYA WANAONGOZA, NAHATA HUKU KWETU MWANZA WAPO KAMA UNAVYOJUA ILA MUNGU ATAWADHOOFISHA
baba upo vinzuri sana tutazindi kukuombea mungu uendelea kuiongoza taifa baba wataifa akimaliza mkatamba wake nadhani ww unafaa kuongoza taifa lkn huyo bibi harusi ndo katuaibisha wanawake wa kiislam maana hata taifa lolote lalalamika kuhusu shekhe wa mkoa amelaumiwa sana lkn msimlaum shekhe kwani niibilisi tu alitawala hapo kwenye sherehe tumsameheni bure msimhukum kwani aombe tu msamaha kwa mola wake
Kweli duniani kuna makauzu.
Usimjaji mtu wakati wewe hata chupi ya elfu tano inajushinda acheni ujinga watanzia, nasikitika sana watanzania kuwa na majungu na siyo kufikilia lini na mimi nitakuwa kama yule, kuwa na tamaa ya kutafuta na siyo majungu acheni ujinga.
tamaa mbele
Tanasha u should get another designer everytime u apear in de video ur dresssing code makes u to loose control
Hii shughuli ya Haji, sijaona sbb ya kumsimamisha Dimond kwa swala la kuoa......
Tanasha next time vaa bra
Daaah shekhe wa mkoa mbele ya mvaa nusu uchi na kijana alie vaa heleni uislam haikubaliani na hayo
jaman acheni majungu kuvaa kwa Tanasha hakuwahusu nyie ndo mnaoongelewa mwenyewe. kakamata maisha. nyie hata Hera ya kubadirisha mboga hamna mtakalia hayo hayo mwacheni mtoto wa watu hajala cha Mtu
Uyo tanasha afai kuwa mke wa mtu
Mama Mai amependeza
Global online TV nawatafuta
Jua kali humo ndani, Diamond mewani ya jua!!!!!!looooh!
Tanasha angevaa nguo ingine
daimond couple beautiful hakunawakufananisha na tanasha she is hot ukweli sumu.kunyweni sumu watu wa mavi mafungu
Ha ha ha huyo jamaa wa mafungu namtafuta
Everrine. Either you are blind or must be ugly person.
This woman Natasha could stay naked in front of me and wouldn't bother take a second glance.
Frankly she has nothing to offer .
I would rather be with Zari a 1000 times.
Diamond has no test in woman
Yousuf Harthy zari siku hizi anatembea na costume pekee
@@everrineanyango7410
Jaribu kufahamu kuwa Kila nguo especially kwa mwanamke lazima iendane na umbo lake mfano ikiwa mnene uvae loose clothing na ikiwa mfupi uvae long clothing inakufanya uwe opposite na vile ulivyo.
Breast cut dress yataka mtu mwenye maziwa yalojaa ili yotokee kwa juu kama vile embe dodo.
Sasa ule Ana vigozi vinaninginiya mpaka kanzu inashuka Kila Mara ni aibu tupu.
Hajuwi kuvaa
Waambie tena na tena
Mm aki io nguo naiangalia naona aibu.mpaka ckumalizaia makonda amalize kuongea aki
Manala anafaa nae ateuliwe mkuu wa mkoa,
Gonga like nyingi kama unakubaliana nami....
Akufanya pow kumuita shekhe mbele ya wadhinifu
dah huyo tanasha kasimama km bouncer
"Tuache kuoneana wivu"
We makonda auna tofauti na uyo tanasha
Jim Jam mbona mna msema sana kavaen nanyie vp
Acha ufala ndonyie wachawi wenyewe mumejaa majungu fitina kwendraaaa saa makonda amekosea nini hapo watu wasio penda maendeleo utawaona tu
Duuuuh jaman uyu dada simzima nguo gan iyo iliyovaa jaman mnampa mitihan shekhe tu apo mana kutoa mkono kashindwa
kavaa uchiuchi huyo mmmm
Sasa matiti yote inje ni ya watu yote wala ni ya Diamond
alitaka kumfatiliya zari rangi ambayo aliyo iva hasubui . tanasha tuliya zari anajuwa kuva atari .ona gisi umeika nguo inaka inakusumbuwa coz eti unamfatiliya zari rangi aliyo iva hasubui☺😁
hahaa ndiokwanza anafundishwa kuvaa mshamba hawezi pambana na zariii atulize moja yake
uyu demu kavaa nini jamani kweli tanasha kiboko
cyo kwa aibu hyo
tanasha harusini usituvalie maajabuuuu kwakweli
walai umeongeya kweli kabisaaa baba makonda
Kuvaa hereni mwanaume izo bangi na ushooooo......... Gonga like kama umemuerewa shekhe
Uislam sikanzu wala kofia Bali Imani uwezi jua anaweza badilika akawa muchamungu
Hivii mku wa mkoa ana uwezo wa ainagani wa kuwatishia wana inchi kama raisi.
Aw ni kwasababu mjomba akiwa raisi na momi pia raisi
Subscribe Suzan academy kwa habari motomoto za mastaa, michezo na taaluma pia
Alhady mazingira hayosio nawalahayakufai .ila niushauri tuu
Umesema kweli.
Natasha gauni hilo balaaa