Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪TH-cam Link bit.ly/TH-camS...
    Joseph Haule ni mmoja ya binadamu ambao nawapenda sana kwenye dunia hii na huwezi kuamini hata yeye anajiskia hivyo juu yangu, nikiwa naye vibe na story zetu huwa zinabamba sana. Kuanzia story za maisha, muziki, historia na hata kuwacheka watu wakati mwengine, ndo zetu.
    Nakumbuka baada ya kumsaka asubuhi moja hivi na yeye kutodaka simu (ambayo baadae aliniambia alimpigia Sallam simu akidhani yeye ndo aliyempigia badala ya Salama), hayo maelezo niliyapata baada ya yeye kukutana na tweet ya kulalamika kwangu juu ya yeye kutorudisha simu yangu.
    Tumetoka mbali kiasi chetu, mkubwa kwangu kwa miaka 7 na heshima yangu kwake si ya kupima kwa kisoda. Unaweza ukawa unajiuliza sasa mbona hatukuoni naye na mambo kama hayo (hiyo mambo kama hayo nimeongea kama yeye) well... Urafiki wetu si ule wa kugandana kama kifungo na shati, au kichwa na nywele au kucha na kidole ndugu yangu, urafiki wetu ni ule wa kuendeleza pale tulipoishia na kuangalia na kwa mbali juu ya kitu mwenzio anafanya huku tukitakiana Kheri.
    Nakumbuka vizuri mara yangu ya kwanza kukutana na Profesa, enzi za Times FM kule mjini, kipindi hiko mimi ndo nimepata ajira yangu ya kwanza na yeye ndo alikua Msanii wa mooto sana, hard blasters wako na moto wa tipa, na nani ndo kiongozi wa nyika? Nigga Jay. Urafiki wetu ulianzia hapo, na mpaka leo tunamshkuru Mungu.
    Ukuaji wake hasa ndo nia na madhumuni ya mimi na wenzangu kuona Prof atatufaa sana kumalizia episode yetu ya 55 na ngwe ya kwanza ya kazi yetu hii. Zaidi kama tujuavyo, hakuna msanii hata mmoja ambaye hajawahi kuvutiwa na hustle zake za kuanzia juzi mpaka leo hapa tulipo. Na hiyo inajumuisha kipaji na UANDISHI ulosimamia kucha. Jay tunakuzimia indeed!
    So wapi haya yoooote yalianzia? Mpaka sasa Mbunge nje ya Bunge? Well... Hata mbuyu ulianza kama mchicha, humu Prof anazungumza na sisi juu ya masuala ya familia na safari alizopitia, mikoa aliyowahi kuishi, mahusiano kati ya Marehemu Baba yake na Mama yake, wadogo zake, Kaka na Dada zake, elimu yake, experience yake mjengoni, nini maana ya baadhi ya vitu na mambo aliyowahi kuyapitia. Pia tuliongelea kupatikana kwa binti yake pekee Lisa, jinsi alivyokutana na mke wake, kipaji chake, kwanini Mikumi na kwa mbaaali uchaguzi mkuu uliopita.
    Profesa ni mwana flani ivi ambaye toka zamani ramani ya mambo yake yako mfuko wa nyuma, kupotea au kupoteza malengo si jambo rahisi kwake, labda kuchelewa tu kwa hayo aloyapanga. Na hivi sasa kwa miaka mitano hii ambayo yuko nje ya bunge, pengine ndo wakati wetu wa kufaidi kipaji chake na kuokota mawili matatu kwa wale wote tunao muangalia na kupenda nyenendo zake.
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

ความคิดเห็น • 164

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 3 ปีที่แล้ว +16

    Prof. Ajengewe mnara Ni msanii ambye kautoa mbali sana huu mziki. Kipaji chake nikubwa mno👏👏

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 3 ปีที่แล้ว +14

    Prof Jay - the most credible, wise and consistent bongo musician of all times.
    Fid-Q - the most intelligent bongo musician (and possibly with the highest IQ) and the best rapper of all times.
    P-Funk Majani & Mater-J - the best bongo producers of all times.
    TMK wanaume & East Cost - the best bongo groups of all times.
    Respect from Congo 🇨🇩 tunapendaka music yenu sana huku East of Congo.

    • @nicholasmakule2381
      @nicholasmakule2381 2 ปีที่แล้ว

      Fanya research bro

    • @collethadavid9126
      @collethadavid9126 2 ปีที่แล้ว

      @@nicholasmakule2381 do some research first and then write not just to the ghosts

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 3 ปีที่แล้ว +5

    Daaaaaaa!!! Jay anaongea facts, yupo real, Hana maringo, Jay ananiinspire sn

  • @andreamwamewa749
    @andreamwamewa749 3 ปีที่แล้ว +14

    Mbunge nje ya bunge the heavy weight MC I preciate brother💪.

  • @charlesmichael5921
    @charlesmichael5921 3 ปีที่แล้ว +9

    Leo mapema tu...likes kwa wote walioielewa hii interview

  • @danielhaule155
    @danielhaule155 3 ปีที่แล้ว +8

    Mwana muziki Wa hiphop ninaekukubali tangu nianze kukusikia Mpaka Leo,u deserve that name professor🔥🔥🔥

    • @leonidasifrance8903
      @leonidasifrance8903 3 ปีที่แล้ว +1

      Professor jay naweza msaidia ndani ya cku 24 aweze kipungua uzito wake na aweze kumantain hiyo 0789650225

  • @mohahmed6423
    @mohahmed6423 3 ปีที่แล้ว +4

    First Tanzanian artists i known about, This is the Heavyweight MC boys! This guy is a Legendary 💪💪💪

  • @rodrickmataba8999
    @rodrickmataba8999 3 ปีที่แล้ว +16

    Hapa natamani kumsikiliza Nature, tujue ilikuaje enzi zile za Tmk wanaume mpaka Tmk wanaume halisi mpaka ile ishu ya kufukuzwa studio kisa amevaa ndala... #sendtip #salamanaNature

  • @d79d26
    @d79d26 3 ปีที่แล้ว +12

    I'm first view salama tuletee na mtu mzima P funk majani please 👍

  • @nz6181
    @nz6181 3 ปีที่แล้ว +5

    Nakufagilia Profesor J. "Your legend of Bongo Flava"
    Salama 👌👌
    @🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧

  • @kingbidder
    @kingbidder 2 ปีที่แล้ว +1

    Salama we chupi sanaaa.. Ume nufuraisha sana.. Eti piza ina pikwaje.. J na yeye dah inapigwa PAH.. i love you both.. St8 from UK🇬🇧

  • @ronniebertin3563
    @ronniebertin3563 ปีที่แล้ว +1

    Profesa j nakusiliza machozi yanatoka good memory

  • @beshuuambarali4960
    @beshuuambarali4960 3 ปีที่แล้ว +4

    Mbna Raha sana..prfs j..hauzeeki toka nakua hadi leo upo vzri.maisha maref kwko

  • @rasjoe9948
    @rasjoe9948 3 ปีที่แล้ว +3

    Profesa ni legend much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @switbertchenya6362
    @switbertchenya6362 3 ปีที่แล้ว +4

    Salama bonge la mwana habari. Good IQ.

  • @konceptualagency4837
    @konceptualagency4837 3 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli hana ubinadamu na huruma alikua nao Kikwete Allah ambariki yule mzee

  • @lotinyumba1573
    @lotinyumba1573 3 ปีที่แล้ว +4

    Mgodi unaotembea, my favorite rapa in tanzania

  • @zefaniachowe4420
    @zefaniachowe4420 3 ปีที่แล้ว +15

    Prof. Jay is a good story teller. Big up bro.

  • @trumpetoflife7312
    @trumpetoflife7312 3 ปีที่แล้ว +2

    Nimekubali sana hii!
    Salama bigup km zote...
    Prof akili kubwa ( sound mind)

  • @mariammbande7697
    @mariammbande7697 3 ปีที่แล้ว +6

    Salama una kazi kubwa sana kumsikiliza mtu dakika zote na una get na maswali on it 😁😁 mi ningekuwa nasinzia yaani😎

  • @binbaya923
    @binbaya923 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Dada Salama kumleta huyu Mzee. Respect Bro

  • @rubenmkilima4681
    @rubenmkilima4681 3 ปีที่แล้ว +4

    Dream always come true 🔥🔥🔥🔥 nilikuwa natamani sanaaa hii kitu... Salama na profesa Jay... Congratulations sister salama

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 3 ปีที่แล้ว +5

    Salama ni mnoma. Jinsi alivyolichomeka hilo suala la pizza🙌

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 3 ปีที่แล้ว +2

    Tunawakubali sana wanetu wa mtaa ila mlitusahau mlipofika mjengo hadi mkadiriki kusema mmepata wana wengine wakina Chenge... Ilibidi mtuoneshe bado mpo na sisi wanenu wakina Nature wakina Afande wakina Mkoloni, zaidi mliwabwaga wanenu.
    Wala tusiwasifu sana mlizingua kwa upande flani halafu Pro upo vizuri kwenye speech zako hapo ila unaiweka mbele sana hali yakujisifu...

  • @mashakashobo979
    @mashakashobo979 3 ปีที่แล้ว +2

    Prof nakukubali Sana bro,,nakumbuka miaka ile unatangaza majiko ya ges umevalishwa nguo za kike 😁😁😁😁😁

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 3 ปีที่แล้ว

      😁😁😁😁😁 nakumbuka hilo tangazo ni la siku nyingi sana

  • @erickmweta8215
    @erickmweta8215 3 ปีที่แล้ว +3

    MP nje ya P
    The real MC El Prof

  • @ramzy5280
    @ramzy5280 3 ปีที่แล้ว +4

    Tuletee Baba Levo tena siku nyingi hatucheki 😂😂

  • @rickomba
    @rickomba 3 ปีที่แล้ว +2

    Salama is a superb interviewer.

  • @kowech2626
    @kowech2626 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimecheka sana. He is a legend.

  • @musaeliad4744
    @musaeliad4744 3 ปีที่แล้ว +2

    Salama ur too genius real appriciate

  • @mihambofilm
    @mihambofilm ปีที่แล้ว +1

    Prof Jize is My role model Ever🔥

  • @gnmbi
    @gnmbi 3 ปีที่แล้ว +2

    Huwa na enjoy Sana interview za professor Jay

  • @fadhiliswidhun9779
    @fadhiliswidhun9779 3 ปีที่แล้ว +1

    Hk salama n bonge la kpnd lnatufunzaa meng kwel kwel asante.

  • @husseinmaingo7116
    @husseinmaingo7116 3 ปีที่แล้ว +8

    Salama tunaomba tulete King Kong " Chid Benz"

  • @nginirasaire5876
    @nginirasaire5876 3 ปีที่แล้ว +1

    Salama will never live out a question you wanted an answer too... I guarantee

  • @tulinagwembangula8976
    @tulinagwembangula8976 3 ปีที่แล้ว +1

    Salama
    Mbona kimya sana. Sipata Ep nyingine

  • @gerrarddanken5168
    @gerrarddanken5168 3 ปีที่แล้ว +1

    Good Pon't kuhusu Lunya na con boy waige hvo anaongea mzee J mnyama

  • @andrewkubo4050
    @andrewkubo4050 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimeipenda sana hii episode. Mbunge ana mambo mengi mazuri. Big up Salama kwa kazi nzuri. Alafu katika ile changia changia ningependa kukuona unakaa na Nikki Mbishi au One the Incredible.

    • @collethadavid9126
      @collethadavid9126 2 ปีที่แล้ว

      Hata mie nishamwambia aache utofauti One The Incredible na Nikki mbishi waje apa

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 3 ปีที่แล้ว +2

    Salama naomba umlete Pfunk na Chidi Benzi, itakuwa hot

  • @vidovidal1
    @vidovidal1 3 ปีที่แล้ว +1

    Alie skia lutengano high schoool mbeya tukuyu twende sawaa

  • @mariamkaaya939
    @mariamkaaya939 3 ปีที่แล้ว +2

    Majinaa ya vyakula. 🤣🤣🤣

  • @hunterevents9132
    @hunterevents9132 3 ปีที่แล้ว

    Salama namkubali sana kwenye kazi zake. As a reminder, Salama naomba sana ktk list yako ya ratiba, umuweke Afande Sele msanii mwenye busara sana pia kama hao wakina Prof n.k...

  • @r.kassimtoutautre3432
    @r.kassimtoutautre3432 3 ปีที่แล้ว +1

    Kitu bomba 🇧🇮Who lives 🇹🇷

  • @daudimatelot9339
    @daudimatelot9339 3 ปีที่แล้ว +2

    Professor " Bado sina chochote unataka nisote unafaidika nn ukiniona sipo popote kiumbe mwenye akili butu na roho za kutu "

  • @benhamza5649
    @benhamza5649 3 ปีที่แล้ว

    @Salama I’m not sure if you usually read comments however, will go ahead and drop it. Prof sounds like a real man/human who speaks from his heart regarding something his passionate about. He got lost into it. I like it, although this might not be the right place to speak that deep about MIKUMI ( apologies if misspelled) but it certainly the right time. If I’m not mistaken, @Salama , the face and expression recognition /psychological book you have been glancing on are being very helpful in terms of saving time on this emission. I love how you took him off course and derailed him from going even deeper into his feelings. If all things @Salama , you decided to come up with PIZZA cooking methods?🤣🤣🤣🤣. But anyway, he noticed and it worked. So it’s a win-win .

    • @gilbertkasikila5294
      @gilbertkasikila5294 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 niliona pia baada ya kuona prof anaongea kwa hisia na anaenda deep sana kwenye hiyo topic

  • @nellysosteness9898
    @nellysosteness9898 8 หลายเดือนก่อน

    Nzuri sana

  • @abdulazizimohamed3093
    @abdulazizimohamed3093 3 ปีที่แล้ว +2

    Salama acha kumchanganya mheshimiwa na kupika piza wapi na wapi

  • @hopeobeth9806
    @hopeobeth9806 3 ปีที่แล้ว +2

    Sema kitanda baba shikamoo

  • @abdulazizimohamed3093
    @abdulazizimohamed3093 3 ปีที่แล้ว +1

    Mbunge nje ya bunge umeeleweka sana

  • @jastonelazaro5944
    @jastonelazaro5944 3 ปีที่แล้ว +1

    Nmekukubali sana professor kwa kusema ukweli kuhusu uchaguz wa 2020

  • @mohamedimwijuma1882
    @mohamedimwijuma1882 3 ปีที่แล้ว +2

    RIP DJ Omy ulinipa sapoti sana wakati naimba kaka

  • @corebaraka7823
    @corebaraka7823 2 ปีที่แล้ว

    respect profesa jay may the lord bless you keep you safe and give you peace

  • @starsaver763
    @starsaver763 3 ปีที่แล้ว +2

    Salama nakupenda bure

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena5136 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza kuna watu hukutana kabla ya wao kuwa this big

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo7992 3 ปีที่แล้ว +1

    Wamitulinga💥💥

  • @samwelyarkado552
    @samwelyarkado552 3 ปีที่แล้ว

    Sart sana PJ hauna majivno! Bomba za Maziwwa, nchinzimaaaaaa, safiiii!!

  • @musahmichael3480
    @musahmichael3480 3 ปีที่แล้ว +2

    aliye vunja kitanda kama mm like comments

  • @HansBwoi
    @HansBwoi 3 ปีที่แล้ว +3

    Mlete Jay Moe

  • @sadickallykingengena4034
    @sadickallykingengena4034 3 ปีที่แล้ว +1

    Big love broo

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 3 ปีที่แล้ว +1

    Nina huzuni sintayiona tena salama na😭😭😭😭😭 urudiiii harakaaa maaa

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 3 ปีที่แล้ว +4

    Next salama na Adam Mchomvu

  • @PeterJohnRukiko
    @PeterJohnRukiko 3 ปีที่แล้ว +1

    G.O.A.T 👑🐐✊🏾✊🏾✊🏾💪🏽💪🏽💪🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥🔥🔥💯💯💯

  • @erickmachua8829
    @erickmachua8829 3 ปีที่แล้ว +1

    Legendary

  • @RONALDOTRUCKDRIVER
    @RONALDOTRUCKDRIVER 3 ปีที่แล้ว +2

    Brother 4 life jay

  • @_ayuma
    @_ayuma 3 ปีที่แล้ว +4

    A LIVING LEGEND!!!!

  • @owlbig
    @owlbig 3 ปีที่แล้ว +1

    I like this guy 🇧🇮❤️

  • @nicksoncharles8240
    @nicksoncharles8240 3 ปีที่แล้ว +1

    Tuleteee na unju@nikk mbish

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 ปีที่แล้ว

    Allah akupe shifaa brother, una comedy ndani yako Pf jz

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 3 ปีที่แล้ว +1

    wewe ni genius

  • @prochesnorbert8720
    @prochesnorbert8720 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani Salama, Leo Jessica umemuweka wapi????

  • @justinmmbando5386
    @justinmmbando5386 3 ปีที่แล้ว

    Ukiwa na kipaji utafurahia maisha yako milele na milele

    • @ilundafarm2798
      @ilundafarm2798 3 ปีที่แล้ว

      Hahaha jamaaa kaongea mambo ya siasa sana mpk salama kamuamisha mada

  • @yusufumulumba5242
    @yusufumulumba5242 3 ปีที่แล้ว +1

    Pendeza muzungu 💕

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 3 ปีที่แล้ว +3

    101kg meeen
    That a heavyweight right there

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 2 ปีที่แล้ว

    Interview kubwa sana hii 2021 prof jizeeeee

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena5136 3 ปีที่แล้ว +7

    "Maskani kimara watu kila siku mamtoni"

  • @shabanbuchu2130
    @shabanbuchu2130 3 ปีที่แล้ว +4

    Na hio kilo lazima kitanda kivunjike

  • @nyimbozakihehe3967
    @nyimbozakihehe3967 3 ปีที่แล้ว +2

    Eti Mpitimbi 😀😀😀😀😀

  • @bensakibu8394
    @bensakibu8394 ปีที่แล้ว

    Keep it up salama.

  • @HansBwoi
    @HansBwoi 3 ปีที่แล้ว +2

    Mlete Chidi benzi

  • @shabanimwambi4949
    @shabanimwambi4949 3 ปีที่แล้ว

    Salama show zako Zina na maswali ambayo Kila mtu hujikuta umemuulizia yaani Raha tupu

  • @samsonmaiko6089
    @samsonmaiko6089 2 ปีที่แล้ว

    Salama wejama itachukua muda Sana kupata mtu Kama wewe, unaisha na utamuwakoo.

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani1101 3 ปีที่แล้ว +2

    I love this interview.

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita 3 ปีที่แล้ว

    jamani "nikusaidiaje" days! I love the song mpaka leo

  • @jumamalilo749
    @jumamalilo749 3 ปีที่แล้ว +3

    Prof J

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว +1

    Leo nmewahi na mm

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 3 ปีที่แล้ว +1

    leo Jessica ayupo

  • @emmakiwaya4607
    @emmakiwaya4607 3 ปีที่แล้ว +1

    hapo mwenye scratch za mdomo nmeskiliza zaidi ya mara 5

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 3 ปีที่แล้ว

    Nice interview nakubali sana professor j

  • @ijumaawikienda5435
    @ijumaawikienda5435 3 ปีที่แล้ว

    j buana very confident

  • @leblue4768
    @leblue4768 3 ปีที่แล้ว

    Tafadhali Salam tunatamani utuletee chid benz

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂mkavunja kitanda

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 3 ปีที่แล้ว +2

    Bro JOSEPH ulivunja kitanda

  • @mdathirumagayane688
    @mdathirumagayane688 3 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali sana mwamba,ndio mzee

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 3 ปีที่แล้ว +2

    Just Love This Show:-

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 3 ปีที่แล้ว +1

    1995wengine hatyujazaliwa😂🤣🤣🤣😅😅😅😅

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 3 ปีที่แล้ว

    Nice sana

  • @beckachonka5906
    @beckachonka5906 3 ปีที่แล้ว

    safi

  • @maishakisunzu1029
    @maishakisunzu1029 3 ปีที่แล้ว

    Hongera salama kwa kazi nzr Sana ila ningependa kushauri juu ya vipindi hivi ambavyo mumekuwa mkihoji watu mbalimbali, ukweli tumekuwa tukijifunza baadhi ya mambo kupitia hivi vipindi lkn kwa nn msiwe mnaalika na watu wa hali ya chini pia maana asilimia kubwa nimekuwa nikiona tu wanahojiwa Ni watu wa hali fulani za kimaisha ili hali vipindi hivi kwa asilimia kubwa vinaangaliwa na watu wa hali za chini au watu wa hali duni hawana cha kukufundisha kupitia maisha yao? Maana vipindi vingi vya namna hii km vile vya the switch ya wasafi fm na lily ommy, gerezani cha efm na jonijoo na vinginevyo ni kama vinafanana sana tofauti yake ni ni mazingira tu,

    • @CheupeEceJay
      @CheupeEceJay 3 ปีที่แล้ว

      Asante... Mkiletewa watu wa kawaida HAMUANGALII

  • @herrymadini4656
    @herrymadini4656 3 ปีที่แล้ว

    Professor jay babaaa..

  • @mwljohnray1725
    @mwljohnray1725 3 ปีที่แล้ว

    Salama niletee JB -Jacobo Steven