Ni kweli RC wenu ni mzuri ni mwenye hofu ya Mungu ninamfahamu miaka ya 2000 ... Alikuwa anaishi Arusha alikuwa akitulisha Neno la Mungu sana kupitia mkondo wa Karesmatiki Katoliki. Mungu akutunze Mh. G
R C Mtaka wa Simiyu, Hongera Wewe unafanya Kazi sana, lla kwakuwa Wewe pia umemuona mwenzio R C wa Geita alivyo Mpambanaji, Wote tuwatakie utendaji mwema katika kuyafikia Malengo. Alex Edward / Geita.
Geita wana mgodi 1 wana mpango wa vituo vya afya kila kata zahanati kila kijiji Shinyanga kuna migodi allmost 3 vp mna mikakati gani hususani kwenye afya?
Kiongozi bora ni yule anaemkubali kiongozi mwenzie katika uongoz na kazi zake na kupenda kujifunza kupitia yy ! Huo ndio uongozi bora !
ndiyo
Safi sana, ni mfano wa kuigwa.
RC umetisha sana, kwakwel mkuu we2 wa mkoa wa Geita 2namkubali kuliko chochote
Nmeikubali sana presentation yako RC ANTHONY you are real a good leader. Hongera sana mkuu
Ni kweli RC wenu ni mzuri ni mwenye hofu ya Mungu ninamfahamu miaka ya 2000 ... Alikuwa anaishi Arusha alikuwa akitulisha Neno la Mungu sana kupitia mkondo wa Karesmatiki Katoliki. Mungu akutunze Mh. G
Nice
Excellent mungu akubariki kwa kuwa mkweli
R C Mtaka wa Simiyu, Hongera Wewe unafanya Kazi sana, lla kwakuwa Wewe pia umemuona mwenzio R C wa Geita alivyo Mpambanaji, Wote tuwatakie utendaji mwema katika kuyafikia Malengo.
Alex Edward / Geita.
Geita wana mgodi 1 wana mpango wa vituo vya afya kila kata zahanati kila kijiji Shinyanga kuna migodi allmost 3 vp mna mikakati gani hususani kwenye afya?
This man is so humble..
Huyu Mkuu wa Mkoa ni mnyenyekevu sana, na hana makuu kama anaweza kumwinua mwingine zaidi yake, juwa ana Mungu
Yupo sahii anachosema
You are trully right,, nimeanza kumfuatilia huyo engeneer since anaingia Geita...yuko sawa kwa kweli..
I like this very much. Hataa sijuagi Magu anawatowaga wapi hawa watu
Mkuu umesema ukweli mpongeze mwenzio anayefanya vizuri umeonesha njia
Nzuri sana kaka
RC wa Geita PAMOJA na nafasi aliyonayo pia kuna kitu kikubwa sana cha KiMungu alichokibeba. Mungu amtangulie kwa kila jambo.
hongera sana kwake na awe mfano kwa viongozi wote
Haaaaahaaaaaa safi sana RC,Upo vzr
Sure Kbs aisee
Safi sana!
Mtu akifanya jambo zuri mpe sifa yake
Good..
Good
Huyu ni Kiongozi mzuri.
Kiongozi bora
Chagua rafk anayemata au cyo bhn!!!!
Anajitambua kwakweli