ASEMAHLE WELLEM: NAMTAKA MWAKINYO/NITAMUUA/HAMALIZI PAMBANO/MWISHO RAUNDI NNE/NIMEMFUATILIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 79

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka umetisha umeyatimba mpaka kwa mjukuu wamandera love mutch bro

  • @user-mo5mi6bt6v
    @user-mo5mi6bt6v หลายเดือนก่อน +3

    Kwa elimu zetu SOMBAAAA UMEJITAHIDI SANAAAAA BIG UP DOGOOOO LANGU, APO AZAM AWEKE HELLA APIGANE NA MWAKINYOO TU

  • @MusaMainde
    @MusaMainde หลายเดือนก่อน +3

    Mwakinyo wa kawaida Sana kwa mchizi atakufa mwambien

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 หลายเดือนก่อน +4

    Mwakinyo ni mtu mbadi sana dogo utafia uwanjani,,,Mwakinyo anakera mdomoni na anakera ulingoni

  • @RahimRaiTZA
    @RahimRaiTZA หลายเดือนก่อน +4

    Somba ni Mmoja tu,Nchi hii

  • @DavidMwizarubi-wc4zx
    @DavidMwizarubi-wc4zx หลายเดือนก่อน +1

    Mwakinyoo hawezi huyu MTU ni noma

  • @MuhinaCharse-gt7og
    @MuhinaCharse-gt7og หลายเดือนก่อน +5

    Somba unajua Sana kutukosha mashabiki wako saluty kwako

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 หลายเดือนก่อน +3

    Mwaknyo anajua ngumi mnae sema. Hajui ngumi mnachuki tu mleteni muone

  • @abduryjumbe7447
    @abduryjumbe7447 หลายเดือนก่อน +3

    Great job 💯 Dar24

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 หลายเดือนก่อน +2

    Mtanga atachapwa vibaya😂😂 huyu dogo anajua
    Sema kama kweli mpenda ngumi na siyo mahabiki utamuelewa sana huyu dogo..he is smart

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 หลายเดือนก่อน +1

    Dogo umevimbewa wew,,,Mwakinyo ni next level naona dogo unatafuta pa kufia

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 หลายเดือนก่อน

      Kakayenu kudunda anaujuwa mziki uyu mtoto sio poa

  • @alexmaingi5857
    @alexmaingi5857 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekunali maneno ya twaha Hassan Ni muoga

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa anajua, yuko fit , humble, bwana mdogo, na nnavyomuona huyu anaweza kuwagonga mabondia wengi kibongobongo..!...
    .big up predator welcome again Tz, boxing spreading love peace and harmony ...🤜🤛

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo 18 วันที่ผ่านมา

    Humuwezi champez

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 หลายเดือนก่อน +2

    Somba uko vzr.

  • @BobHarith
    @BobHarith หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana dar24 pamoja na wewe somba

  • @babakalunde4949
    @babakalunde4949 หลายเดือนก่อน +1

    Salute malume

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 18 วันที่ผ่านมา

    Huyu dogo anamashabiki wengi sana Tanzania anadamu ya kitanzania

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 หลายเดือนก่อน +1

    mwakinyo skill boxer ndogo atatulia kama moja

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry หลายเดือนก่อน +1

    Safi Sana aje tu kwa mwakinyo aonyeshwe shoo

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 หลายเดือนก่อน

      Mwakinyo aje uku South mnataka apendelewe

  • @rahimhemed3370
    @rahimhemed3370 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa apo tutaona starehe
    Sio wale MAKURI

  • @amirhamud3343
    @amirhamud3343 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo tshirt aliyovaa "MAFIA"Mwakinyo hakubali kupigana nae😅😅😅

  • @robertdominic7298
    @robertdominic7298 หลายเดือนก่อน

    Wellem is a good boxer I advice him in rematch against Kidunda or anyone from Tanzania, to fight in south Africa, why? Because Tanzanian boxers they like to fight in Tanzania to get privileges from our judges as they done at Kidunda's Wellem bout! Wellem he won the fight but judges they lifted up Kidunda and to said its a draw when isn't true ! So my opinion the rematch against Kidunda to be take place in south Africa or anywhere in Africa, except Tanzania!!! I like Wellem, I'm fan of him and he will success in boxing.

  • @hashimrashid6380
    @hashimrashid6380 หลายเดือนก่อน +4

    Kumbe mwakinyo anasema kwenye mitanda km dgo anamtak lkn kumbe hmtakiii

    • @yusuphuhakwea3732
      @yusuphuhakwea3732 หลายเดือนก่อน

      Huja msikiliza vizuri hembu rudia tena

  • @MsafiriOmary-fg6vw
    @MsafiriOmary-fg6vw หลายเดือนก่อน +1

    Itakuwa kivumbi na jasho

  • @SARAHKATAGIRA
    @SARAHKATAGIRA หลายเดือนก่อน +2

    Uyo jamaa akicheza na mwakinyo hawez kumaliza mwakinyo hatar jamani anajua ngumi dogo atafia uwankan

    • @KAMANDAGAMALIELI-zp1ni
      @KAMANDAGAMALIELI-zp1ni หลายเดือนก่อน

      Mwakinyo hamuwezi uyo ndyomana anamkwepa alafu uku anajifanya anamtaka nikama kwa kiduku tu.. Mwakinyo niwakawaida mbona.

  • @MariamKimbwembwe
    @MariamKimbwembwe หลายเดือนก่อน +1

    Unakaribishwa dogo

  • @nasrasalumu7005
    @nasrasalumu7005 หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo hamuwezi huyo dogo mwakinyo mdomo tuu muoga sana

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo 18 วันที่ผ่านมา

    Dogo kwa champez umeyaka nyaka

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 หลายเดือนก่อน +2

    Somba yupo mmoja tu😂😂😂

  • @robertdominic7298
    @robertdominic7298 หลายเดือนก่อน +1

    Mwakinyo hana ujuzi zaidi ya kuchagua ndizi zile tunazoziona,kwa kipi hasa ampige Wellem? Labda juju! Lkn ujuzi aah wa kawaida sana mtoto wa makorola.

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry หลายเดือนก่อน +2

    Hao alio pigana nao wote wanatumia maguvu tu ila mwakinyo nahuyo dogo ngumi zao zinafanana wanatumia akili nyingi

    • @FadhiliMajidy-wz9hr
      @FadhiliMajidy-wz9hr หลายเดือนก่อน

      mwakinyo hua mzito huyu chalii mwepes sana huwez fananisha

  • @abdallahmsham-eb7jz
    @abdallahmsham-eb7jz 14 วันที่ผ่านมา

    huyu jamaa anapigika huyu ni mjanja anakimbiya sana mnamzarau mwakiyo atafanya kitu mtashanga

  • @RizikiChambo
    @RizikiChambo หลายเดือนก่อน

    Dogo anajua lakini kwa mwakinyo laund ya8 anakaa

  • @ashraphsalum1586
    @ashraphsalum1586 หลายเดือนก่อน

    It's a good interview but announcer can not translate to other fans..that's problem.

  • @sidebraizoy2070
    @sidebraizoy2070 หลายเดือนก่อน

    Somba mbona maneno mengine haujaongea kiswahili hd kwa mwakinyo ndio unaongea kiswahili

  • @specialboy-tz.official
    @specialboy-tz.official หลายเดือนก่อน

    Champenz awezi pigwa kama unsvyofilia anatumia akili nyingi

  • @alexmaingi5857
    @alexmaingi5857 หลายเดือนก่อน

    Sisi kama Kenya tunajua hakuna wakupigana na uyu dogo lkn pia TZ hakuna Mwakinyo hawezi this boy is too hot 🔥 i congratulate KIDUNDA he made east Africa proud kwa hio draw. Si unaona Mwakinyo anamwogopa awezi kua mtoto na ni rika ya ELVIS AHOGA 😂😂😂😂

    • @brownjulius8514
      @brownjulius8514 หลายเดือนก่อน

      Hao wote alio wapiga twaha na selemani niwachovu huyu akijichanganya kwa mwakinyo kitakacho mkuta hatokuja kusahau atapigwa mno tena round ya kwanzatu biashara imeisha.

  • @S.A_media1
    @S.A_media1 หลายเดือนก่อน +1

    Dogo hafai kuchezea 😂😂

  • @user-bw5po7ft9u
    @user-bw5po7ft9u หลายเดือนก่อน

    Dogo ni mpiganani mzuri ila Kwa champiz wetu umeyakanyaga dogo

  • @RashidiSempombe-mv5zj
    @RashidiSempombe-mv5zj หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo mm ni ndugu yangu wa mkoa mmoja ni bondia kwelikweli ila nimuoga alikua anataka kiduku alivyoona kiduku yupo siliasi alianza maneno ohh siwezi nikamsindikiza mtu kwenye mafanikio sasa na uyo msauz bado atasema ivoivo siwezi kupigana na mtoto mdogo yani uyo hataki kuchaguliwa bondia anataka kuchakua mwenyew 😏

  • @tushuhassan3809
    @tushuhassan3809 หลายเดือนก่อน

    Tell me. Tell me. Soba tell me 😅

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY หลายเดือนก่อน +3

    Mwakinyo vs asemahle

  • @stanleytwaha229
    @stanleytwaha229 หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo hamuwezi huyo dogo ,, dogo fundi

  • @user-xk4os6jx8x
    @user-xk4os6jx8x หลายเดือนก่อน +1

    Somba somba

  • @mudrickikasigo
    @mudrickikasigo หลายเดือนก่อน

    Huyu kibimo wake mwakinyo tu akn mfaume atatutia aibu tu kuliko mfaume ni bora apambane na ibra class hp bongo me nawakubla ibra na mwakinyo kduk anapambn akn c kivile

    • @brownjulius8514
      @brownjulius8514 หลายเดือนก่อน

      Hao mapromotor sijui hawajaona mabondio mpaka wamemuona mfaumo duuh

  • @francismajiji
    @francismajiji หลายเดือนก่อน

    Ulimbukeni huyo boxer wenu na uwezo mdogo wa kufikiri

    • @DavidLihundi-to5ri
      @DavidLihundi-to5ri หลายเดือนก่อน +1

      Kwan umeelewa walichokuwa wanaongea wenda ujui kingereza kaka 😂😂😂

    • @user-cy8el2pg6t
      @user-cy8el2pg6t หลายเดือนก่อน

      Wewe kweli dunduka upo upo tu

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 หลายเดือนก่อน +2

    Mwakinyo muoga ila ngenga nyingi tu.

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork หลายเดือนก่อน

      Daah! Wabongo sisi

    • @user-sd8gx1ir1w
      @user-sd8gx1ir1w หลายเดือนก่อน

      Chuki sana na wanaompiga champez hawajui ngumi​@@successpathnetwork

  • @sidearsenal666
    @sidearsenal666 หลายเดือนก่อน +2

    Aje ampige na mwakinyo mana anaongea sana na kuwadharau wenzake

    • @mikidadichisala6136
      @mikidadichisala6136 หลายเดือนก่อน +1

      Boxing ni mchezo wa tambo.. Huyu hana dharau, umewahi kufatilia interview za Mohammed Ally? Yule ndio bingwa wa tambo

    • @DavidLihundi-to5ri
      @DavidLihundi-to5ri หลายเดือนก่อน

      Bro umeanza fatilia boxing lini huuu mchezo mzee unahitaji tambo sana kamsikilize mike Tyson ukajifunze kitu juu ya uhu mchezo

  • @user-lr3qy2ew6h
    @user-lr3qy2ew6h หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo is typing 😂😂

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 หลายเดือนก่อน +2

    Nyie mnaombeza Mwakinyo akili amna tatizo mabondia wenu mliopigwa na uyu jamaa ndio shida yenu ata kiba aliambiwa ana zarau kwa sababu ana shobo ndio Mwakinyo apigani ngumi kisifa

  • @omarhussein8586
    @omarhussein8586 หลายเดือนก่อน +1

    Mwakinyo ni muoga hua anachagua wa kucheza nae

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork หลายเดือนก่อน +1

      Natamani us-screenshot hii comment yako, halafu itunze, ili uje ujifunze kitu baada ya hilo pambano kama litafanyika

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu hamuwezi mwakinyo hata huyo Kidunda alifeli padogo sana pale alipopata nafasi ya kumaliza akaruhusu kukumbatiwa lakn Mwakinyo hewez kukubali yani apate nafasi ya mpizani kulewa😂😂😂 atamvunja taya

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 หลายเดือนก่อน +2

    Mwakinyo ndio boxer anaejitambua tz apigani kimwamko na apigani kisifa sijui gari sijui pikipiki sasa awo vilaza wenu waliopigwa mimacho imewavimba kama mafundi saa usilete chuki zenu kwa Mwakinyo

    • @MansaMusa255
      @MansaMusa255 หลายเดือนก่อน

      Boxer anajitambua kwa kushinda mapambano sio kwa kuongea mtandaoni!

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas3675 หลายเดือนก่อน +1

    Mwakinyo achomoki

    • @saididuri3518
      @saididuri3518 หลายเดือนก่อน

      mwakinyo hatokubali kucheza na huyo dogo

  • @godlistenJohn
    @godlistenJohn หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo atazame machampion wakiojiwa wanavyojibu, hawajisifii sana Wala hawavimbi na niwazuri wanazidi kupendwa na kupata mashabiki hata nje ya mipaka Yao, sasa we endelea kuvimba ipo siku utapigwa ndani ya ardhi ya Tanzania alafu tutashangilia

  • @issasekao9088
    @issasekao9088 หลายเดือนก่อน

    Mwankinyo atachezea koo mbaya hamwezi dogo

    • @safarsafari68
      @safarsafari68 หลายเดือนก่อน +1

      Salala dogo mzuri2 akacheze na wtt wenzake

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga4951 หลายเดือนก่อน

    Dogo anajieleza Safi havimbi Hana dharau kwa mabondia wenzake cyo mwakinyo amejawa dharau ngumi hajui mbahatishaji mabondia anachagua ambao hawana upinzani yani anaboa sana alafu kwani lazima mue mnamuongelea

  • @saididuri3518
    @saididuri3518 หลายเดือนก่อน

    sasa somba ujiandae kuchukiwa na mwakinyo

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 หลายเดือนก่อน

    Mwakinyo atapigwa

  • @abujumanne7570
    @abujumanne7570 18 วันที่ผ่านมา

    Huyu dogo anamashabiki wengi sana Tanzania anadamu ya kitanzania

  • @user-mj9de9eu7o
    @user-mj9de9eu7o หลายเดือนก่อน

    Dogo atakaa mapematu