KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING) 11/ 07/ 2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING) 11/ 07/ 2024
SEMINA YA NENO LA MUNGU:
MADA:
"HOFU YA MABADILIKO"
(FEAR OF CHANGE)
SOMO LA LEO:
"MADHARA YA HOFU YA MABADILIKO"
Kutoka 1 : 8 - 16
Mathayo 2 : 13 - 18
Matendo 7 : 54 - 60
NENO KUU:
"UTABARIKIWA UINGIAPO, UTABARIKIWA NA UTOKAPO"
KUMBUKUMBU LA
TORATI 28 : 6
&
Yohana 12 : 24
24 Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
MAANDIKO YA LEO:
Yohana 12 : 24
24 Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
Kutoka 1 : 8 - 16
8 Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu.
9 Akawaambia watu wake, Angalieni, watu wa wana wa Israeli ni wengi tena wana nguvu kuliko sisi.
10 Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii.
11 Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.
12 Lakini kwa kadiri ya walivyowatesa ndivyo walivyoongezeka na kuzidi kuenea. Nao walichukiwa kwa sababu ya wana wa Israeli.
13 Wamisri wakawatumikisha wana wa Israeli kwa ukali;
14 wakafanya maisha yao kuwa uchungu kwa kazi ngumu; kazi ya chokaa na ya matofali, na kila namna ya kazi ya mashamba; kwa kazi zao zote walizowatumikisha kwa ukali.
15 Kisha mfalme wa Misri akasema na wazalisha wa Waebrania, mmoja jina lake aliitwa Shifra, na wa pili jina lake aliitwa Pua;
16 akasema, Wakati mwazalishapo wanawake wa Kiebrania na kuwaona wa katika kuzaa, ikiwa ni mtoto mwanamume, basi mwueni, bali ikiwa ni mtoto mwanamke, na aishi.
Mathayo 2 : 13 - 18
13 Na hao walipokwisha kwenda zao, tazama, malaika wa Bwana alimtokea Yusufu katika ndoto, akasema, Ondoka, umchukue mtoto na mama yake, ukimbilie Misri, ukae huko hata nikuambie; kwa maana Herode anataka kumtafuta mtoto amwangamize.
14 Akaondoka akamchukua mtoto na mama yake usiku, akaenda zake Misri;
15 akakaa huko hata alipokufa Herode; ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa ujumbe wa nabii, akisema, Kutoka Misri nalimwita mwanangu.
16 Ndipo Herode, alipoona ya kuwa amedhihakiwa na wale mamajusi, alighadhabika sana, akatuma watu akawaua watoto wote wanaume waliokuwako huko Bethlehemu na viungani mwake mwote, tangu wenye miaka miwili na waliopungua, kwa muda ule aliouhakikisha kwa wale mamajusi.
17 Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia, akisema,
18 Sauti ilisikiwa Rama, Kilio, na maombolezo mengi, Raheli akiwalilia watoto wake, Asikubali kufarijiwa, kwa kuwa hawako.
Matendo 7 : 54 - 60
54 Basi waliposikia maneno haya, wakachomwa mioyo, wakamsagia meno.
55 Lakini yeye akijaa Roho Mtakatifu, akakaza macho yake, akitazama mbinguni, akauona utukufu wa Mungu, na Yesu akisimama upande wa mkono wa kuume wa Mungu.
56 Akasema, Tazama! Naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
57 Wakapiga kelele kwa sauti kuu, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja,
58 wakamtoa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka nguo zao miguuni pa kijana mmoja aliyeitwa Sauli.
59 Wakampiga kwa mawe Stefano, naye akiomba, akisema, Bwana Yesu, pokea roho yangu.
60 Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona vema kwa kuuawa kwake.
Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga
Simu: +255 713 553 443
TH-cam: Kijitonyama Lutheran church
Barua Pepe: Kijitonyamalutheran@gmail.com
Hallelujah am blessed every morning,Go's bless you Rev kimaro
Amina Amina Amina mtumishi wa Mungu Baba Mwenyezi.
Baba Mchungaji unapoombea watu wenye roho ya wivu mbaya usiwasahau watu wa Masijala, waache fitna na wivu watembeze mafile panapohusika watu wapate haki zao kwa wakati🙌🙌🙌, waombee baba wawe na Ubinadamu na hofu ya Mungu.
Amen n Amen 🙏
Asantee YEHOVAH kwa ASUBUI HII NAJIUNGANISHANA NA MADHABAHU HII MIMI NA FAMILIA YANGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO AMEEEN
AMEEEN AMEEEN
Amen
Asante Pastor Kimaro
Mungu akulinde siku zote
Tunakupenda
Ameeeeeeeeen
AMEN MCHUNGAJI UMESEMA ROHONI MWANGU HAKUNA KAMA MUNGU NA HAKUNA SILAHA KAMA MAOMBI UBARIKIWE SANA ALICHO HILA ZA MWANADAMU HAZIPINGI KILE MUNGU ALICHOKIPANGA, MUNGU NI MWANASHERIA NA JAJI WETU WA HAKI AMEN
Ameen
👏👏👏👏👏🙏
🙋♀️🙋♀️🙋♀️🙋♀️
Amen 🙏 🙏 🙏
AMEEEN AMEEEN 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Yesu Ahsante kwa somo Nzuri, nabarikiwa sana
Amen 🙏 ❤
Ameeeeeeen
AMINA
Ubarikiwe mchungaji
Thank you Sir, what you are teaching is a reflection of our daily lives, especially in Africa, that is why it becomes difficult to embrace change and we remain in obscure situations
👏👏👏👏ameen
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
AMEEEN AMEEEN MUNGU AWABARIKI sana WATUMISHI WAMUNGU AMEEEN
AMEEEN AMEEEN HALLELUJAH HALLELUJAH AMEEEN
Amina
Ninatetewa na bwana.
Amen
AMEEEN AMEEEN AMEEEN
Amen
Amen