PATANISHO : GIDI, HUYU HAAMBILIKI, WATU WA FAMILIA WAMEJARIBU KUMUONGELESHA MPAKA WAKACHOKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 พ.ค. 2024
  • Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
    #RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho
    Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
    Mitandao ya Kijamii
    Instagram - rb.gy/e154d1
    Facebook - rb.gy/09d1b9
    Twitter - rb.gy/e23220
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 38

  • @jerodinendanu5029
    @jerodinendanu5029 หลายเดือนก่อน +11

    Ni kitu amezoea na bado unaendelea kuzaa nini

  • @silamnyama1642
    @silamnyama1642 หลายเดือนก่อน +10

    Nko mtwapa napenda patanisho sana

  • @user-kp9ll1qu5n
    @user-kp9ll1qu5n หลายเดือนก่อน +5

    Ni sawa watoto Wanateseka na wewe n mjane ungefanya n mama simama kama mjane ndoa kwisha

  • @EZEKIELOMOLO-by6gs
    @EZEKIELOMOLO-by6gs หลายเดือนก่อน +8

    Jambo,mitabendi yenu imekosakana huku kwetu kwa muda wa miezi mitatu sasa,hatupati radio jambo Kabondo kasipul, Ringa kojwach Owalo market

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b หลายเดือนก่อน +6

    Huyu angewacha watoto hapo atoke miaka miwili tu akirudi atawalea vizuri,bt huwezi fanya kitu chochote ukiwa na hao watoto wote heri atafute kwanza doo ndio arudie watoto, hapo nayo mimi siwexi kaa

  • @kiprotichvinn834
    @kiprotichvinn834 หลายเดือนก่อน +9

    Huku kericho hampatikani kabisaa, frequencies changed??? Please

  • @kathurejane9980
    @kathurejane9980 หลายเดือนก่อน +4

    tafuta chance mama uchuku watoto wako utaletewa ukimwi licha ya kuvumilia ukiteseka na watoto.

  • @catejumba
    @catejumba หลายเดือนก่อน +4

    Niliambiwa na mama kanisa hivi Giddy,usiwai vumilia kwa neno atawai "change" kabisa

  • @phanicemulongo7098
    @phanicemulongo7098 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi ndoa ya 22years ilishindikana nikatoka sahizi niko inje na 12mouths nasina habari yakurudi huko

  • @kathurejane9980
    @kathurejane9980 หลายเดือนก่อน +2

    FP is free in govern't facility, 14 yrs 6kids ND me hear 10 yrs 2kids uwezo wa m2 lkn y separation?mie kuvumilia some nonsense c Jane is big NO.

  • @fjzjc1514
    @fjzjc1514 หลายเดือนก่อน +4

    Mama tafuta kazi uchukuwe watoto wako ulee

  • @user-ko3do3hk1z
    @user-ko3do3hk1z หลายเดือนก่อน +1

    Wabukukusu hapana kabisaaa

  • @kaninamargaret8025
    @kaninamargaret8025 หลายเดือนก่อน +3

    FIGHTS FOR YOUR KIDS!!!!!!!!!!! ATAKUPA UKIMWI BWANAKOOOO!!!!!!! LADIESSSSSS!!!!!

  • @AnyoleMwenyewe
    @AnyoleMwenyewe หลายเดือนก่อน +2

    Aki ndoa mingi zimeshikiliwa na watoto...ju mwanamke huangalia akiwacha watoto watateseka ama akitoka nao na hana kazi Bado watateseka so inabidi tu avumilie Kwa hio ndoa

  • @julianamalinda2357
    @julianamalinda2357 หลายเดือนก่อน +5

    NLD tupo chojo sana likes jameni 😂😂

  • @user-iy7dk7bq5x
    @user-iy7dk7bq5x หลายเดือนก่อน +3

    Tafuta kazi mimi nilinyimwa watoto nikatafuta kazi sahii watoto wangu wote walinifata wenyewe tafuta pesa wewe

  • @JohnSirengo
    @JohnSirengo หลายเดือนก่อน

    Achana na huyu mtu dadangu,mwanamke nikujiamini mama

  • @kaninamargaret8025
    @kaninamargaret8025 หลายเดือนก่อน +2

    KUVUMILIA NA KUTOLEWA WATOTO TUUUUUUU????

  • @fauzsky5399
    @fauzsky5399 หลายเดือนก่อน +1

    Haki wanawake wajameni mtu amakutesa na bado unataka kurudi kwake… Fanya kazi ule watoto wako. Ndio ata zidi kuk disrespect.

  • @newtonkariuki925
    @newtonkariuki925 หลายเดือนก่อน

    The effect of the cucumber 🥒 Yah! Ndio inafanya akae hapo! Yani mtu anapigwa anapigwa! Unamwambia toka! Hataki! Why? The effect of the cucumber! 😅😅😅

  • @hannahwanjala3296
    @hannahwanjala3296 หลายเดือนก่อน

    Ako 30 na ako kwa ndoa kwa 14 years
    Meaning aliolewa akiwa 16 years
    Ama ni Mimi sishikanishiii😊

  • @FaithAyuma-mj6xq
    @FaithAyuma-mj6xq หลายเดือนก่อน

    Wabukusu sio wanaume

  • @FaithAyuma-mj6xq
    @FaithAyuma-mj6xq หลายเดือนก่อน

    Achana na huyo mtu

  • @celinejudy1496
    @celinejudy1496 หลายเดือนก่อน +2

    Watoto 6 uezi enda pahali we rudi kwa boma apo n kwako mum rudi by force

    • @MargaretAwinja-ls7hx
      @MargaretAwinja-ls7hx หลายเดือนก่อน

      By force by fire😂😂😂😂,,no now

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee หลายเดือนก่อน +1

      Bwana amupe ukimwi ama amupige fadhali atafute kazi apange kuchukua watoi.Watoto watasema wanateseka ndio but at least they have a roof over their heads.Ajikaze mummy fanya kazi,rudi soko tafuta sponsor usirudi nyuma utateseka fazali sahi ata ukilala njaa uko na amani jikaze kisabuni utapenya.Peace is paramount alafu uendee watoi kwanza baba yao lazima alipe upkeep ya watoi ,lakini tafuta kakiru kwanza na usijiachilie ka 🫦 lazima.🥰

  • @gatimucaroline3591
    @gatimucaroline3591 หลายเดือนก่อน

    I think kenya kugekuwa na free DNA wanaume wafanywe na watoi wao .Incase of separation wanaume wakatwe child support directly from account na kama jamaa ni mtu wa jua kali he should be shown where to pay if not govt should provide for child upkeep n arrest the man until he starts paying.yaani hakuna kumbebeleza hawa wanaume dead beat coz if you lay down with a woman n give her six kids after separation unampee stress eti akufwate n you know you have kids.He should be arrested for child neglect

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas9825 หลายเดือนก่อน

    30 years...... 6 kids😳😳😳😳
    WHY🤷‍♀️ WHAT FOR.... NA UNARUDI HAPO WHY...... KWANN WANAWAKE FULANI HAWAJITAMBUI..... 😠😠😀

  • @hillahmwesh4861
    @hillahmwesh4861 หลายเดือนก่อน

    The lady was married akiwa 16 years

    • @luckydubebello1131
      @luckydubebello1131 หลายเดือนก่อน

      Umejuaje ni ile kuzaa bila mpango kila mwaka unaachilia mtoi ok

  • @user-zi5ys5my9c
    @user-zi5ys5my9c หลายเดือนก่อน +1

    Hapo ni kifo peke Hakuna kitu ingine

  • @lawrencemicheni4807
    @lawrencemicheni4807 หลายเดือนก่อน +4

    30 years with 6 children kwani wewe ni panya

    • @kaninamargaret8025
      @kaninamargaret8025 หลายเดือนก่อน +1

      WAZIMUUUUUU!!!!

    • @softymoha5484
      @softymoha5484 หลายเดือนก่อน +3

      si yuko tu sawa...kwani inafaa uzae kama umezeeka?....wacha niwaambie kuzaa ukiwa mdogo ni poa sana,,,then ukifikisha 35...unalea tu...amini usiamini...mwili wako utanawiri zaidi...mtu akikuangalia atadhania ungali mdogo...bt usijidanganye kuzaa na umri mkubwa ni poa.
      tena unajuwa ukizaa kama ungali,,,bado Ian grow...so hata sehemu zako ambazo watoi walitokea...zitashikana...unakaa fiti...

    • @softymoha5484
      @softymoha5484 หลายเดือนก่อน +2

      @@kaninamargaret8025 wazimu gani mtu akizaa?

    • @kaninamargaret8025
      @kaninamargaret8025 หลายเดือนก่อน

      @@softymoha5484HOW MANY DO YOU HAVE?

    • @kaninamargaret8025
      @kaninamargaret8025 หลายเดือนก่อน

      @@softymoha5484BWANA GANIIIIIIII