PATANISHO : GIDI, HUYU HAAMBILIKI, WATU WA FAMILIA WAMEJARIBU KUMUONGELESHA MPAKA WAKACHOKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 พ.ค. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #gidinaghostasubuhi #patanisho
Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220 - บันเทิง
Ni kitu amezoea na bado unaendelea kuzaa nini
Nko mtwapa napenda patanisho sana
Ni sawa watoto Wanateseka na wewe n mjane ungefanya n mama simama kama mjane ndoa kwisha
Jambo,mitabendi yenu imekosakana huku kwetu kwa muda wa miezi mitatu sasa,hatupati radio jambo Kabondo kasipul, Ringa kojwach Owalo market
Huyu angewacha watoto hapo atoke miaka miwili tu akirudi atawalea vizuri,bt huwezi fanya kitu chochote ukiwa na hao watoto wote heri atafute kwanza doo ndio arudie watoto, hapo nayo mimi siwexi kaa
Huku kericho hampatikani kabisaa, frequencies changed??? Please
tafuta chance mama uchuku watoto wako utaletewa ukimwi licha ya kuvumilia ukiteseka na watoto.
Niliambiwa na mama kanisa hivi Giddy,usiwai vumilia kwa neno atawai "change" kabisa
Mimi ndoa ya 22years ilishindikana nikatoka sahizi niko inje na 12mouths nasina habari yakurudi huko
FP is free in govern't facility, 14 yrs 6kids ND me hear 10 yrs 2kids uwezo wa m2 lkn y separation?mie kuvumilia some nonsense c Jane is big NO.
Mama tafuta kazi uchukuwe watoto wako ulee
Wabukukusu hapana kabisaaa
FIGHTS FOR YOUR KIDS!!!!!!!!!!! ATAKUPA UKIMWI BWANAKOOOO!!!!!!! LADIESSSSSS!!!!!
Aki ndoa mingi zimeshikiliwa na watoto...ju mwanamke huangalia akiwacha watoto watateseka ama akitoka nao na hana kazi Bado watateseka so inabidi tu avumilie Kwa hio ndoa
NLD tupo chojo sana likes jameni 😂😂
Tafuta kazi mimi nilinyimwa watoto nikatafuta kazi sahii watoto wangu wote walinifata wenyewe tafuta pesa wewe
Achana na huyu mtu dadangu,mwanamke nikujiamini mama
KUVUMILIA NA KUTOLEWA WATOTO TUUUUUUU????
Haki wanawake wajameni mtu amakutesa na bado unataka kurudi kwake… Fanya kazi ule watoto wako. Ndio ata zidi kuk disrespect.
The effect of the cucumber 🥒 Yah! Ndio inafanya akae hapo! Yani mtu anapigwa anapigwa! Unamwambia toka! Hataki! Why? The effect of the cucumber! 😅😅😅
Ako 30 na ako kwa ndoa kwa 14 years
Meaning aliolewa akiwa 16 years
Ama ni Mimi sishikanishiii😊
Wabukusu sio wanaume
Achana na huyo mtu
Watoto 6 uezi enda pahali we rudi kwa boma apo n kwako mum rudi by force
By force by fire😂😂😂😂,,no now
Bwana amupe ukimwi ama amupige fadhali atafute kazi apange kuchukua watoi.Watoto watasema wanateseka ndio but at least they have a roof over their heads.Ajikaze mummy fanya kazi,rudi soko tafuta sponsor usirudi nyuma utateseka fazali sahi ata ukilala njaa uko na amani jikaze kisabuni utapenya.Peace is paramount alafu uendee watoi kwanza baba yao lazima alipe upkeep ya watoi ,lakini tafuta kakiru kwanza na usijiachilie ka 🫦 lazima.🥰
I think kenya kugekuwa na free DNA wanaume wafanywe na watoi wao .Incase of separation wanaume wakatwe child support directly from account na kama jamaa ni mtu wa jua kali he should be shown where to pay if not govt should provide for child upkeep n arrest the man until he starts paying.yaani hakuna kumbebeleza hawa wanaume dead beat coz if you lay down with a woman n give her six kids after separation unampee stress eti akufwate n you know you have kids.He should be arrested for child neglect
30 years...... 6 kids😳😳😳😳
WHY🤷♀️ WHAT FOR.... NA UNARUDI HAPO WHY...... KWANN WANAWAKE FULANI HAWAJITAMBUI..... 😠😠😀
The lady was married akiwa 16 years
Umejuaje ni ile kuzaa bila mpango kila mwaka unaachilia mtoi ok
Hapo ni kifo peke Hakuna kitu ingine
30 years with 6 children kwani wewe ni panya
WAZIMUUUUUU!!!!
si yuko tu sawa...kwani inafaa uzae kama umezeeka?....wacha niwaambie kuzaa ukiwa mdogo ni poa sana,,,then ukifikisha 35...unalea tu...amini usiamini...mwili wako utanawiri zaidi...mtu akikuangalia atadhania ungali mdogo...bt usijidanganye kuzaa na umri mkubwa ni poa.
tena unajuwa ukizaa kama ungali,,,bado Ian grow...so hata sehemu zako ambazo watoi walitokea...zitashikana...unakaa fiti...
@@kaninamargaret8025 wazimu gani mtu akizaa?
@@softymoha5484HOW MANY DO YOU HAVE?
@@softymoha5484BWANA GANIIIIIIII