Pole sana bro,mama anabeba nafasi kubwa ktk maisha ya mtoto,mama ni mtu pekee anaeweza kukupokea wakati jamii imekuchoka,mama ndio mtu pekee anaethamini na kujali maumivu na mazuri yako,mama ndie mtu alieweza kutunza ukuaji wako wakati ukiwa mwilini mwake hadi unapata umri wa kuacha ziwa lake na wakati mwengine hadi unapoweza kujitegemea au maisha yako yote
Pole saana kakayetu kwa msiba mzito,Ila Ni Kama wazo tu ifike muda video Kama hizi zikae kwa muda was kipindi Fulani mtandaon na zifutwe maana kwa mtazamo wangu naona Kama zinakuwa zikii umiza watu kwa kukumbuka kumbukumbu mbaya kifo sikitu kizuri!!!
Pole ni saana jamani imeniuma saana mpaka tumelia hapa ujeruman mungu ampumzishe kwa amani na nyinyi watoto mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi
Hakika umenikumbusha siku mama yangu alipofariki ni kama vile wewe yaani sikuyaamin masikio yangu wala macho yangu. Hakika inauma sana. Pole sana kwa wafiwa wote.
Poleni sana wafiwa! Polen sana wanafamilia! Allah Awape subra katika kipind hiki kigumu kwenu. Tunamuomba Mola Awarehemu mama zetu wote huko walipo akhera_Amiin. Inauma sana ila kazi ya Mungu huwa haina makosa siku zote.
Brother pole sana ,umenifanya nilie.Mungu akutie nguvu,ninajua thamani ya Mama, uli mtesa kwa kila namna ukiwa mdogo, lakini hakukuchoka una kila sababu ya kulia brother, pole, pole,poleeeeeee.
Nimelia Mimi jmn huyu mama kaniuma sana hanijui simjui ila nilikuwa nikimpenda tu kupitia mc pili pili pole sana kaka mungu akupe amani ya moyo 😭😭😭😭😭💔💔💔💔
😭😭😭daaa jamani pole sana mc pilipili Mungu akufute machozi yako unayomlilia mama yako mpendwa Mungu wa mbinguni aendelee kukutia nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P mama mbele yako nyuma yako pumzika kwa amani.
Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe, pole sana mc pilipili maumivu ya msiba hayajawahi kuwa mepesi mungu amutie nguvu MC pilipili na family yake
Innalillah wainnaillah rajiun allah amsamehe maovu yake amina yarabi pole kaka allah akupe nguvu ktk kipind hiki kigum kwako jmn nimekumbuka ck alonitoka mama yng ni maumiv kaka achen
Mungu akutie nguvu. Hii njia haijawahi kuwa rahisi wala kuzoeleka. Mungu amlaze mahala pazuri.
Pumzika kwa amani mama, mungu akupe subra mc pili pili na familia yako katika kipindi hiki kigumu,pole sana pilipili
Inaumiza mnoooo. Pole sanaa ndugu no one like Mama kwenye hii Dunia. Akapumzika Mahala pema peponi Mama.
Pole kaka
Pole sana MC Pilipili na familia,,,Jipeni moyo mkuu..Mungu atawashindia.
Pole sana mwanangu, Mungu akupe ujasiri. Ameondoka ni mapema lakini kumbuka Mungu ni Baba wa Yatima. Be strong.🙏🏾
Pole sana bro,mama anabeba nafasi kubwa ktk maisha ya mtoto,mama ni mtu pekee anaeweza kukupokea wakati jamii imekuchoka,mama ndio mtu pekee anaethamini na kujali maumivu na mazuri yako,mama ndie mtu alieweza kutunza ukuaji wako wakati ukiwa mwilini mwake hadi unapata umri wa kuacha ziwa lake na wakati mwengine hadi unapoweza kujitegemea au maisha yako yote
Pole saana kakayetu kwa msiba mzito,Ila Ni Kama wazo tu ifike muda video Kama hizi zikae kwa muda was kipindi Fulani mtandaon na zifutwe maana kwa mtazamo wangu naona Kama zinakuwa zikii umiza watu kwa kukumbuka kumbukumbu mbaya kifo sikitu kizuri!!!
Pole mc pilipili, kwa msiba ,mungu amuweke mama Pema penye waja wake wema 😭😭
Pole Sana kweli nimejisikia machozi yananitoka MUNGU awe faraja kwako ndugu yangu
Pole sana
Pole ni saana jamani imeniuma saana mpaka tumelia hapa ujeruman mungu ampumzishe kwa amani na nyinyi watoto mungu awatie nguvu katika kipindi hiki cha majonzi
Pole Sana kaka Mungu akutie Nguvu poleni wafiwa wote Mungu awape faraja
Hakika umenikumbusha siku mama yangu alipofariki ni kama vile wewe yaani sikuyaamin masikio yangu wala macho yangu. Hakika inauma sana. Pole sana kwa wafiwa wote.
Pole sana Mc 😭😭😭😭😭😭 Mwenyezi Mungu awakumbatie na kuwafariji
Poleni sana wafiwa! Polen sana wanafamilia! Allah Awape subra katika kipind hiki kigumu kwenu. Tunamuomba Mola Awarehemu mama zetu wote huko walipo akhera_Amiin. Inauma sana ila kazi ya Mungu huwa haina makosa siku zote.
Daaaaah...pole sana mc pilipili Mungu akutie nguvu ktk kipind hiki kigumu.
I can't imagine loosing my mom 😢😢😢😢 sorry MC pilipili . Receive Divine healing From our Lord Jesus Christ 🙏🏼
kwakweli its tooooo painful haki vile yaani ni kulia milele na wala sitaacha kulia mm 7 years bado naliaga tu kila nikikutwa na huzuni au furaha
Pole sana kwa msiba mzito Mc Pilipili.Mwenyezi Mungu akutie nguvu kwa kipindi hiki kizito.
Pole Kaka, maisha ya mwanadam yana Siri nzito sana hakuna aijuae kesho yake. Pole kwa familia yote kwa ujumla hakika umejua kuniliza
😭😭😭😭😭Jamani pole sana ms pilipili haki nimejiskia vby mno
Inauma kwa kweli, pole sana kaka!
R.I.P....mama
Nmeishia kulia tu ,Mungu pekee maan hii huwa ni tofauti kabsa,Mungu awatie nguvu
Brother pole sana ,umenifanya nilie.Mungu akutie nguvu,ninajua thamani ya Mama, uli mtesa kwa kila namna ukiwa mdogo, lakini hakukuchoka una kila sababu ya kulia brother, pole, pole,poleeeeeee.
Isee pole sana mc pilipili,ningumu sana ,Mungu awape faraja familia yote daa!!!!
Pole bro,mungu akakupe moyo wa ujasiri ktk kipindi hiki kigumu
Pole kaka
Pole saana baba. Mungu ampokee kwa amani.
Daaa pole sana mc pilipili umeniliza sana Mungu amtangulize mbele ya hani mama ako kipenzi pole sana
Pole sana kaka kwa kweli hicho kiatu ni kizito sana,bwana Yesu akawe mfariji wako.
Pole sana mc pilipili Mungu akutie nguvu
Mc PiliPili pole sana take heart .R.I.P. Mum.🇦🇪🇦🇪+254
Pole saana M.Mungu awatie nguvu
Pole sanaaaaa kama Mungu pekee ndo faraja yako
Pole Sana. Mungu akutie nguvu
Dah pole Sana Kaka kazi ya Mungu haina makosa jikaze inauma jamani
Kumpoteza mama ni maumivu ambayo hayaishi kamwe, pole kakangu, Mwenyezi Mungu ameweke maali pema peponi
Kweli kabisa! Wa kwangu amekwenda miezi 3 iliyopita lakini kila siku ni msiba! Nani kama mama
Miezi ? Mie Nina miaka Ila bado
Dah jamani mama anauma kuliko kitu chochote, natamani nipige hata cm kumbe hayupo tena
Poleni sana, mimi pia nimepoteza my family member,miezi 2 uliyo pita kwa ajali ya boda boda, RIP mama mc pili pili
Poleee Sana dear
Pole jmnn.
Pole sana
Polee Vero
Nimelia Mimi jmn huyu mama kaniuma sana hanijui simjui ila nilikuwa nikimpenda tu kupitia mc pili pili pole sana kaka mungu akupe amani ya moyo 😭😭😭😭😭💔💔💔💔
Pole Sana mgogo mwenzetu kwa kuondokewa na mama
Inauma sana kaka poleni wafiwa kweli msiba unaumaa sanaa Mungu awafariji maana faraja yake yapita faraja ya wanadamu Mungu awatie nguvu.
Nimejikuta naungana nae kilio,nimemkumbuka MAMA yangu kipenzi😓😓😓,pumzikeni MAMA zetu na nuru ya bwana MUNGU itawale 🙏
😭😭😭😭
You made me shed a tear...may God strengthen you Mc Pilipili...pole Sana kea msiba.RIP Mama Pilipili
Mwenyezi MUNGU awape nguvu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu 🙏
Pole sana classmet wangu kwa kuondokewa na mama
Pole sana kaka kwa msiba mzito, Mungu akawe mfariji wenu
Poleni sana Mungu awape pumziko la milele mama zetu
pole mc pilipli najuwa maumivu yakuondokewa na mzazi. umeni bugujisha machozi kwa maneno hayo. pole sana endelea kum ombea mama tutakutana kwamungu.
Daah,poleni sana,hadi nmeshindwa kujizuia kutoa machozi😭😭😭😭😭😭
Inauma sana ,poleni sana Mungu awatie nguvu
Pole sana pili pili hayo ni maisha ambae tunayoipita ote kwa pamoja
Dah! Poleni sana wapendwa. Mungu awape faraja ya kweli
Pole sana mc pilipili mungu akutangulie
😭😭😭😭poleni sana.lnauma saana hata mama yangu alifariki ghafula tarehe 19/12/18. Naelewa maumivu yenu. Pole 😪😔😔😭😭😭🙏
Pole Sana brother, jina la bwana lihimidiwe milele.
pole sana mc pilipli kwa kuondokewa na mama yako kipenzi
Pole Bro Mungu akutie Nguvu kwenye kipindi kigumu Kama hichi Cha Majonzi tupopamoja sanaaa bro
Pole sana Kaka kwa kuwapoteza watu mhim sana kwenye maisha
So sad!!! Pole sana kaka Mungu awatie nguvu jamani
Pole sana kaka yangu ina uma sana mungu amuondoshe azabu ya kabri innalilahiwanlarajinn
Pole msiba hauzkeleki eeee mungu wapokee wajaa wako Ameen
Pole sana na msiba allah ailaze roho yake mahala pema pepon
Pole sana MC pilipili sote ni wa Mungu na kwake tutarejea!!Mungu akutie nguvu!!
Pole Sana mungu akutie nguvukatika kipindi kigum
😭😭😭daaa jamani pole sana mc pilipili Mungu akufute machozi yako unayomlilia mama yako mpendwa Mungu wa mbinguni aendelee kukutia nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P mama mbele yako nyuma yako pumzika kwa amani.
Pole Kaka,lkn Mungu ni mwema uliandaa safar ya mama kwa Mapenzi ya Mungu..Jipe moyo kaka,Mungu amekupa nafasi na mama yetu
Daaa hadi machozi yamenitoka. 😢 pole sana.... Mbele yetu nyuma yake
Poleee ninalia mm pole sanaaa mama mama anaumaaa jamaniii
Poleni Sana wanafamilia Mungu awape nguvu wanafamilia wote, pole Sana pilipili
Pole sn, ngumu kuipokea lkn hatuna namna, mapenz yake yatimizwe
Amina
KAKA NA DADA WAFUNGA NDOA BILA KUJUANA
👇👇👇
th-cam.com/video/-jcQDn_0m-Y/w-d-xo.html
Pole sana mc pili pili namuomba mwenyezi mungu amlaze mahala pema
Pole san 😭😭😭
Innalilah wainna ilah rajiuun. Poleni saana kwa mcba mzito
Pole sana kaka Mungu akutie nguvu katika wakati mungum unayo pitia pole sana
Daaaah mungu akupe moyo wa uvumilivu inauma sio kidogo jmn pole saana mc
Bwana alitoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe, pole sana mc pilipili maumivu ya msiba hayajawahi kuwa mepesi mungu amutie nguvu MC pilipili na family yake
Pole sana kwa msiba mc mzuri
Innalillah wainnaillah rajiun allah amsamehe maovu yake amina yarabi pole kaka allah akupe nguvu ktk kipind hiki kigum kwako jmn nimekumbuka ck alonitoka mama yng ni maumiv kaka achen
Daaahh polen sana wafiwa nimejikuta nalia kwa kweli msiba usikie hivyo Kwa mwenzio
Pole sana
@@angelgerald7562 ndio mwisho wa mwanadam ndg yng njia yetu wote japo wametangulia
Pole sana ndugu May God give you strength and comfort
Pole sana mungu akutie nguvu
Pole sana inauma
Mwendo wameumaliza salama ,,,sisi je Ee mwenyezi mungu tupo mwisho mwema,,poleni sana wafiwa ,,ni ngumu sana kuamini ila Kazi yake haina makosa
Dahhhhhhh inauma sana poleni sana kwa kumpoteza mama enuu apumzike kwa amani
Pole Sana bro.pumzika kwa amani Mama yetu
Mungu akutie nguvu mtumishi
Pole sana Mc Pilipili inauma sana
Duh pole sana mc pilipili inauma sana mwenyezi Mungu akufanyie wepesi
Poleni sana Kwa kipindi hichi kigumu MC pilipili
Poleeeee sanaaaaa mungu awatie nguvuuuuu
Poleni sana akiamungu nimeshindwa kuzuia machozi 😭😭😭😭😭🙆♂️
Daah pory ndugu yangu mc pilipili kazi yamungu hainaga makosa mungu airaze roho pema peponi amina
Pole mc
Hat mm nimeshindwa inauma sana
Polen Sana familia nzima
Pole sana mc Mungu akupe ujasili wa kuyapita haya magumu
Dah Pole Sana, ila steve Nyerere anajitoa sana Mungu amzidishie
Pole ndugu mungu kampenda zaidi
Pole sana kazi ya mungu haina makosa
polen sana mbele yake nyuma yetu mungu awatie nguvu wafiwa wote
Mungu ampokeee mahari pema Peponi
Imeniumaaa Poleni Sana Yehova Mungu awape uvumilivu
Pole Sana Kaka pole Sana Kaka,mungu akupe wepesi katika kipindi hiki kigumu kwako,inauma Sana Sana.
Pole sana brother
Pole sana kaka nyeee khaaa yaaan nimeangalia hii hadi chozi limenitoka
Aiseeee😭😭😭😭😭 pole sana Mc pilipili najua maumivu unayopitia pole sana
Mungu awajaze subra familia oh inauma sana
Pole sana ndugu mwenyezi Mungu ampe makao mema huko anakoenda 😭😭😭😭
Nimajonzi makubwa, pole xn mc pilipili na familia kwaujumla, tumuombee mama apumzike kwa amani 🙏🙏
Da! Hii kitu uisikie Kwa wengine jamn. Uwiiii nimaimivu mnoooo
Acha kabisa nililiaga mno😭😭😭
Ni Mungu tu nikumkumbusha Wema wake Mungu wakat wamagumu
Pole sana kaka kaz ya mungu haina makosa tumavumbi mavumbini tutarud
Dah pole Sana Sana mungu yupamoja nanyi
Aisee inauma jaman kufiwa na mama😥😥 kila nikikumbuka machozi yananitoka....polen sana
Pole sana kaka mc pilipili kwa kuondokewa kwa mamayako mpendwa
Nimelia sana.nimemkumbuka mama yangu pia..Mungu awape nguvu
Punzika kwa aman my,, pole Sana kwa familia
Poleni sana family
Pole Sana Kaka Mungu awafariji wafiwa wote 😭😭😭