E'MUNGU MWENYE HAKI (SMS SKIZA 6930222) - PAPI CLEVER & DORCAS ft MERCI PIANIST : MORN WRSP EP 133
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 มี.ค. 2023
- #PAPI_CLEVER_DORCAS
#NYIMBO_ZA_WOKOVU
#EMUNGU_MWENYE_HAKI
#INDIRIMBO_ZO_MU_GITABO
#MORNING_WORSHIP
Audio Producer : Papi Clever
Video Director : MUSINGA
Drone : SABEY
D.o.p ; Musinga, Chrispen
Video Editor : CYUSA
colorist : CYUSA
Location manager : Rutikanga Alex
location ; NYAGATARE - Rwanda - UGANDA Border
You can support this ministry through
Phone: +250783255262
Email : Cleverpapi18@gmail.com
NYIMBO ZA WOKOVU
No 275
1
E’ Mungu mwenye haki, uniongoze huku katika mambo yote yanayokupendeza! Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka yananitia tetemeko mpaka kufa.
2
Ni heri siku zote kutegemea Yesu na kuenenda sawa katika nyayo zake, kwa kuwa yeye ni Mchunga anayeniongoza vema, nipate kuingia katika raha yake.
3
Safari yangu sasa yaelekea mbingu, Mwokozi yuko huko, lazima nifikeko na siku nitakapofika ‘tashangilia kwa furaha kuona yeye aliyeninunua kwake.
4
Ulimwenguni humu, matata na kuchoka. Nikihitaji kitu nafadhahika bure, lakini siku ile kuu nita’pomwona Mwokozi, natumaini sitakosa dhawabu yangu!
5
Mbinguni sitaona adui zangu tena. Hayatakuwa mambo yakupokonya pale. Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya! Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu!
#kenyagospel #tanzaniagospel #swahiligospel #swahilimusic #kenyangospel #congogospelmusic Alka Mbumba #kenya #kenyadigitalnews #RoseMuhando #SecretAgenda #Gospsongs #Gospelmusic2022 #Jesus
#kelsykerubo #rosemuhando #msanii_music_group
Kelsy Kerubo
rose muhando song - เพลง
SKIZA CODES
1.Code 6930218 - Ameniweka huru
2.Code 6930219 - Bwana Yesu Anatuuliza
3.Code 6930220 - Damu yako yenye baraka
4.Code 6930221- E Mungu mwenye haki
5.Code 6930222 - E mungu mwenye kweli
6.Code 6930224 - Enyi kundi
7.Code 6930225 - Fanyia Mungu kazi
8.Code 6930226 - Je umelisikia jina zuri
9.Code 6930227 - Kisima chema
10.Code 6930228 - Kuna mji huko juu
11.Code 6930229 - Maisha katika dunia
12.Code 6930230 - Matendo ya Mungu
13.Code 6930244 - Msifuni
14.Code 6930245 - Mwokozi wetu
15.Code 6930246 - Nchi nzuri yatungoja
16.Code 6930248 - Nilikwenda mbali
17.Code 6930249 - Pendo la Mungu
18.Code 6930250 - Roho yangu inaimba
19.Code 6930251 - Sawa na kisima
20.Code 6930252 - Siku moja mavuno
21.Code 6930253 - Tu watu huru
22.Code 6930254 - Tutazame kule
23.Code 6930255 - Uzima ninao
24.Code 6930256 - Uhesabu mibaraka
Thank you so much 🙏 stay blessed
Hapa na dada mavazi hayo hapana tunaomba yaache mwili barafu yawe marefu asante
@@user-iq4hr6qo2wreally? Unataka avae buibui ama
❤
😮o baby man😅😊
I used to come home in the midnight when am drunk I start beating my wife until morning thanks papi clever and you're wife for changing my family 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nothing I can give you people but I pray that one day I meet you at my home that's when I will give my testimony How God changed my life through you people may the Lord of Abraham, Jacob,Isaac reword you accordingly
Praise Jesus, may he sustain you in him to be like him everyday by pursuing holiness through daily reading of his word.
Ameeeeeeeen
Amen
Hallelujah! Amen! Blessings upon Papi and Dorcas and to whoever listens to the Lord's message through these heart touching songs!
Ooooooh my God . That's sounds amazingly
Me i just want to appreciate Kenyans in general 🇰🇪🇰🇪you guys are very supportive!! Thank you so much
So much
Waooo kenyans we don't dissapoint when it's comes to supporting talents ..they should organise and visit kenya ..
@@josphinenganga7294 we praying and we hope one day we will be there
@@PaPiCleverOfficialplz come ooh,I would like to see u,Gods people who feeds my soul daily with ur music.
@@PaPiCleverOfficial welcome I will provide everything for people, karibuni Kenya
Nawapenda sana mungu awabariki jamani nyimbo zenu zanijenga kiroho,,kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 wakenya nipeni likes zenu
Lyrics with English translation
1
E’ Mungu mwenye haki, uniongoze huku - O righteous God, lead me
katika mambo yote yanayokupendeza! - in all things that please you!
Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka - When I'm without you, threats, fear and doubt
yatanitia tetemeko mpaka kufa. - they will lead me to death.
2
Ni heri siku zote kutegemea Yesu - It is always blessed to rely on Jesus
na kuenenda sawa katika nyayo zake, - and walk right in his footsteps,
kwa kuwa yeye ni Mchunga anayeniongoza vema, - for he is a Shepherd who guides me well,
nipate kuingia katika raha yake. - may I enter into his glory.
3
Safari yangu sasa yaelekea mbingu, - My journey now goes to heaven,
Mwokozi yuko huko, lazima nifikeko - The Savior is there, I must get there
na siku nitakapofika ‘tashangilia kwa furaha - and the day when I will get there i will rejoice with joy
kuona yeye aliyeninunua kwake. - to see the one who saved me.
4
Ulimwenguni humu, matata na kuchoka. - In this world, there's troubles and boredom.
Nikihitaji kitu nafadhahika bure, - If I need something, I get frustrated for nothing,
lakini siku ile kuu nita’pomwona Mwokozi, - but on that great day I will see the Savior,
natumaini sitakosa dhawabu yangu! - I hope I will not miss my reward!
5
Mbinguni sitaona adui zangu tena. - In heaven I will see my enemies no more.
Hayatakuwa mambo yakupokonya pale. - nothing i will miss there.
Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya! - I will raise my voice and say: God, hallelujah!
Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu! - I will wave my hands with great joy!
Amen
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Be blessed 🙏 forever
Another best one
The words are so powerful 🥳🥳🥳
This couple is a blessing to many,plus our handsome Pianist Merci,wherever i see these 3 people i feel to fly ❤❤❤❤❤Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪loves you
This is my favorite song❤❤🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍🇧🇮🇺🇸
Huduma yenu isonge mbele daima Arika na DUNIA nzima kwa UTUKUFU WA YESU KRISTO WA NAZARETI ❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 i listen to your songs every morning and night be blessed ,🙏🙏🙏
Woooi, hawa huwa wanafanya najiskia niko karibu na Mungu by listening to their songs😢❤❤❤❤
Hauko peke yako, Mimi pia
Glory to God Almighty
Murumugisha kuri gospel nyarwanda
Kandi mukora mundimi zose..
Watoto wetu✅🇷🇼🇷🇼🇷🇼
I love you dear saints, hii wimbo imenipeleka juu sana kiroho
Mimi ni Mtanzania. Napenda huduma yenu. Mungu aendelee kuwainua na kuwatumia kwa Utukufu Wake. Amina.
Nimewafahamu wiki iliyopita ila nimewafurahia sana hawa watu, Mungu awatunze🇹🇿
💞💞💞💞🇹🇿
You know they are people who come into your life and change it totally you people you changed my home 😢😢😢😢😢😢😢 I used to come home midnight
AMEN AMEN AMEN Mungu awabariki sana,Mungu mweye haki atuongoze kabisa, asante sana Papy,Dorcas,Merci ndabakunda cyane indirimbo zanyu ziramfasha murugendo ndimo rwo kwegera YESU🙏👏
May jehovah favor my country 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 musicians to deliver such a worship/praise songs.soooooo sweeeet
You're right. A big Amen to that.
You people you changed my life since I started following your music now am practicing this songs together with my wife I told my wife that I accepted Jesus as my savior she was surprised and I told her we have sing two songs be4 we pray and sleep and in the morning we do the same thanks papi clever and You're wife for changing my home
Amen!!
Amen!!
Amen🙌🏽 Glory to God ❤
Waoo glory to God
❤❤❤
Mundirimbo zose zigiswahiri iyi narindayirindiriye ndayikunda caaaneee 🇧🇮 ♥ ❤
Hallelujah asifiwe Yes you guys mimesikiliza nyimbo zeyu zote hadi nimejipata nimeokoka sasa nimeamuwa kuishi kwa Mungu nimtumikie🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kwa Yesu hakuna hasara
May the Good Lord sustain you
Bwana Yesu aziongoze hatua zako siku zote hadi siku ya kuingia katika ufalme wake.
@@monicanjoroge8842 true
@@isaackamau849 Amen
literally am crying 😭...Halleluhya Halleluhya..
Am blessed.. am happy...
your worship songs makes me feel like am in heaven already.. I really really love your songs..
wish you come to Kenya🇰🇪🇰🇪 some day God willing..
Mungu awalinde na awabariki Sana kwa nyimbo zenu
mnatuondolea dhiki kupitia nyimbo zenu kiujumla.. .
Be Blessed... much love ❤from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Mwami kubaho ntagufite binteye ubwoba ndetse byangeza no mu rupfu vuba !!! Iyi ndirimbo yakujyana mwijuru udapfuye ❤❤
Niongoze Mungu kwa mambo yote ya hii dunia usiruhusu nikaenda kwa njia isiyokupendeza ,,mapenzi yako Mungu yatimie kwa maisha yangu😭😭😭🤲
Hallelua!muhabwe umugisha n'Imana yabahamagaye kdi mwaguke rwose natwe tubabonereho umugisha.
Nyimbo za injili slaps differently❤kwanza the way you guys are singing them❤we're blessed here🇰🇪
Wow, continue blessing us🙏🏾🙏🏾, much love frm kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Courage ❤🎉
I love you so much bakozi b'Imana Imana Ibah'Umugisha cyane kandi Ikomeze kubagura kuko muraduhezagira cyaneeeee!!!! Muri beza👍 Kandi Ubwiza bw'Imana bubariho
Mm ni mkenya napenda sana nyimbo zenu mungu awabariki
Papi and Dorcas, may God keep you, preserve your marriage and ministry. Merci, may you soar, mark the word soar, higher than you ever thought. Your music has been leading me into deep prayer daily. From 254 🇰🇪🇰🇪 baraka
Muby'ukuri n'iyo mutaririmba nkareba isura yanyu Mbona Ari byiza.Muri beza peee !!! Imana Ibahe imigisha mwa biremwa byiza MWe!!! Mukomeze mwaguke mw'izina rya Yesu❤
Mubarikiwe sana na MUNGU .
Tuzarambura amaboko duhimbaz' umwami wachu. HALLELUYAAAAAS
Courage rwose imana ikomeze kubasiga amavuta ❤
Unani bariki mwaizi masiku baba 🇨🇩🇨🇩🇨🇩Mimi ni mucongomani
12: 25 am Nigerian 🇳🇬 time, I was led by the Holy Spirit to dance to this song. I did (using my earpiece😊) and prayed shortly afterwards. Thank you for the translation. More grace to your team 🙏
Thanks for sharing!!❤
I can imagine how glorious it feels ,be blessed
Asante baba for you guy.mungu wakubarikira
Woow napenda nyimbo zenu mola awabariki❤❤❤
Tunawapenda ndungu zanguni pokeeni kutoka kwa kenya mungu wa mbinguni awabariki sana
Soo blessed.. Barikiweni watumishi wa Mungu
The beats Guitarist on onother level.Its just Melodious
Another sweet Swahili hymn ....we bless the Lord ..for this team ...all the way from Kenya❤
Ayiweeeeee manawe urimwiza cyane ndafashinjwe
🇬🇦🇬🇦🇬🇦🇬🇦🇬🇦🇬🇦 Rwanda oyeeeeee
AMEN SANA MUBARIKIWE SANA WANA WA MUNGU 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mukomere kutugezaho izondirimbo nziza imana ikomeze kubaha umugisha ark ngize icyo navuga nuko mwakomeza kuririmba nkuko mwabikoraga mbere mugitangira gusa ndabakunda cyane
Team Kenya represented here. Such an awesome song
Haleluya Haleluya ❤, Mungu awabariki sana
Amina nimebarikiwa sana na huu wimbo
Haaaalleluya your song is blessing my spirit, keep it up in Jesus name. 🇰🇪🇰🇪
Hallelujah nuzuye umunero mu mutima wajye mutiki gitondo,Imana ibahe imigisha
Mbinguni sitaona adui zangu tena. Hayatakuwa mambo yakupokonya pale. Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya! Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu!
Mubarikwe sana imana ibahe imigisha
Am happy to be the 1st to comment, much love from Uganda 🇺🇬 Papi clever you are my good local model, sinzi niba nzakurebaho amaso kumaso
Sure man of of we kenyans love your songs of good message
AMEN.AIMA Y'ukuru komeza kunyobora in kinyarwanda, nyimbo za wokuvu,well done team, be blessed
Muriribye neza Imana ibahe umigisha
Inspirational songs from Rwanda...we're blessed listening altogether
Safi Sana endelea kumtukuza mungu wetu
May God continue to use you guys in His kingdom n change many souls
Tena na tena Mungu wetu wa mbunguni awabariki sana haki mnatubariki sana, karibu 🇹🇿🇹🇿 Tanzania
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nyimbo nzuri aki
Amen mubalikiwe sana watumishiwamungu
Best songs keep up friends in christ
Much love, Imana ikomeze ibasige amavuta menshi
AMEN
Mungu uniongoze
Hallelujah, siku nitakapomuona mwokozi........ Utukufu kwa Bwana. Love from Mombasa Kenya
Mungu wangu uniongoze nipate Raha ya milele
Welcome back to 🇰🇪🇰🇪 and God bless you all
Amen 🇰🇪🇰🇪
ndaba kundacyane nukuri pe lmana niko meze ibafashe muujyere kure lmana ibagure muburyo bwose ndaba kunda cyane nukuri
Amen barikiweni sana Kwa nyimbo nzuri munazo imba Mungu awazidishie 👏🙌
Ugandan are here too!!! very much in love with the gospel being preached in these songs
Am a Tanzania nasikiliza hiingoma nzuri
The real gospel with massage and Holly spirit
Mungu awabariki watumishi wa Mungu
Amen amen turabakunda canee
I love your songs, your the best 5:58
Amen amen Asante yesu 😭😭🙏😓🙏🙏
Ameeeee 🙌🙌 Mungu awabaliki sana❤
Mimi Ni mkenya na huwa mnanibariki sana na nyimbo zenu nikiwa chini mwaniiinua
❤ nimeipenda injili hii tamu sana.
Amen 🙌🙏🙏🙌 imana ibahe umugisha mwinshi cyaneeee ndabakunda ❤❤
mumenibariki nahuu mwimbo mubarikiwe sana nanyi nyote
😭😭😭😭 Jesus I need you....!!
Glory be to GOD,may your well never dry🙏am worshiping with you in my dairy duties.
You remind me of the great times in God’s presence. Mubutayu, murubunga, mugitaramo bamwe batashe hasigaye abantu bake, ntarusaku… oh my God ibihe byiza weeee bitugarurire Mana yacu.
Mimi ni wa Congo(RDC),napenda kabisa mubarikiwe watu wa mungu
Nimebalikiwa nawimbo huu
Nice view ❤❤❤❤Yesu ashimwe weeeee
Tukiwa na yesu hatuna mashaka
I like the view too ngirango nimumutara rwose
nikiwa bila wewe vitisho ,hofu na mashaka . niheri nimtegemee yesu ni pate kuyingiya katika raha yake nasiku nitakapofika nitashangiria kwafuraha ❤
Amen🙏
Mwaramutseneza umwami Yesu nashimwe ndagukundacyane
Ndabakunda God Bless you.
may my children emulate you in Jesus name Amen. from Kenya much love
Eeh mungu mwenye haki uniongoze
Kila wakati nikiamka asubui naskiza nyimbo zao zinanipa nguvu ya kumkaribia Mungu zaidi, Mwenyezi Mungu awabariki sana
I am from Zambia great work guys
Amen amen much love from 🇰🇪🇰🇪🇸🇦
Am here After kuskiza hii song gukena FM...wee Kali sana
Nice work you real make my day happy ❤️❤️❤️
how i love you back in kenya .GOD BLESS AND YOU AND BE HEALTHY ALWAYS .
You have beautiful and sweet voices I have never heard. keep up