UTUKUFU MISA YA MT. ANNA - FR G. KAYETTA |TANZANIA ORGANISTS SOCIETY (TOS)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Wimbo: Utukufu Misa ya Mt Anna
    Mtunzi: Fr. Gregory Kayetta
    Organist: George Bingi
    Kanisa/Location: Parokia ya Bikira Maria Mkingiwa Dhambiya Asili, Mavurunza
    MANENO YA WIMBO
    utukufu kwa Mungu mbinguni,
    Na amani dunaini (kwa watu) kwa watu wenye mapenzi mema
    Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabudu tunakutukuza
    Tuankushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu (ee Bwana)
    Ee Bwana Mungu mfalme wa Mbinguni
    (Mungu Baba) Mungu Baba Mwenyezi,
    Ee Bwana Yesu (Kristu) Mwana wa pekee
    Ee Bwana Mungu Mwanakondoo wa Mungu
    Mwana wa Baba (Mungu) wa Mungu Mwana wa Baba
    Mwenye kuondoa dhambi za dunia utuhurumie
    Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia
    (pokea) pokea ombi letu
    (ewe) Mwenye kuketi kuume kwa Baba
    Utuhurumie (Bwana) utuhurumie
    Kwa kuwa ndiwe uliye (peke) peke yako mtakatifu
    (Peke) peke yako Bwana (peke) peke yako mkuu
    (Yesu) Yesu Kristu,
    Pamoja na Roho Mtakatifu katika utukufu wa Mungu Baba
    Katika utukufu, katika utukufu wa Mungu Baba
    Katika utukufu wa Mungu Baba
    (katika) Utukufu wa Mungu amina amina
    Katika utukufu wa Mungu (Baba) Amina amina

ความคิดเห็น • 46

  • @maselejustine7236
    @maselejustine7236 4 ปีที่แล้ว +2

    Utukufu ipigwe kwa utukufu madoido mengi

  • @SIMONDAUD
    @SIMONDAUD 2 ปีที่แล้ว +1

    🤭🤭🤭🤭 hii inakua ringtone yangu

  • @MusaOmari-pf8ls
    @MusaOmari-pf8ls 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤safi maestro

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest225 5 ปีที่แล้ว +2

    Dah😁😁, nimejihisi tayari nipo kwenye Ibada. Safi sana💪💪

  • @beatusjohn5395
    @beatusjohn5395 5 ปีที่แล้ว +8

    Naheshimu Sana kaz yako
    Naomba upunguze madoido ili tuenjoy muzik mzuri

    • @omondirakuom
      @omondirakuom 4 ปีที่แล้ว

      Kinanda yahitaji madoido. Huo ndo utamu wake...

    • @harrone.9473
      @harrone.9473 2 ปีที่แล้ว

      Kinanda bila madoido hakina utamu kaka,hamna kabisaa, utamu ni hayo madoido

    • @egmsage4115
      @egmsage4115 หลายเดือนก่อน

      Muziki wataimba wanakwaya kinanda ni kunogesha

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini8678 5 ปีที่แล้ว +2

    Punguza kdgo mbwembwe mambo yakae vizur

  • @danielkimario8311
    @danielkimario8311 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana umepiga vizur tuma yote

  • @FelistaGombo
    @FelistaGombo ปีที่แล้ว

    Hakika nabarikiwa

  • @priscusjoh5651
    @priscusjoh5651 4 ปีที่แล้ว

    Fingering safi kabisa

  • @henriettandula9993
    @henriettandula9993 4 ปีที่แล้ว

    Hongera 👏👏👌kazi safi.

  • @rehemavickie6521
    @rehemavickie6521 4 ปีที่แล้ว

    Woow! Woow! Woow Mungu akubariki

  • @chigypt
    @chigypt 2 ปีที่แล้ว

    Bravooo

  • @AGNESSWILLIAM-dy4gr
    @AGNESSWILLIAM-dy4gr 2 ปีที่แล้ว

    Awesome

  • @simonmaingi9897
    @simonmaingi9897 2 ปีที่แล้ว +1

    Lovely melody

  • @johnmwanandenje8885
    @johnmwanandenje8885 4 ปีที่แล้ว +1

    Umekizoea kinanda tu hufuati baadhi ya nota kama alívyotunga Fr.Kayetta Gregori.

  • @vincentnyaenya8433
    @vincentnyaenya8433 4 ปีที่แล้ว

    Amazing!

  • @michaelalex2124
    @michaelalex2124 4 ปีที่แล้ว +2

    Ila punguza madoido unajua we nifundi

  • @samwelkadeghe2522
    @samwelkadeghe2522 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @desteriouslisutsa7967
    @desteriouslisutsa7967 4 ปีที่แล้ว

    Beautiful

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 5 ปีที่แล้ว

    Asante Jugo ... This is a talent coverage..

  • @zachariahphilipo2708
    @zachariahphilipo2708 4 ปีที่แล้ว

    Nice kaka

  • @goldenshadrackmsungu3664
    @goldenshadrackmsungu3664 4 ปีที่แล้ว

    Kitu nikisikiliza huo mguu kwenye aka ka sabwoofer ni hatari sana

  • @gustavkunkuta6733
    @gustavkunkuta6733 3 ปีที่แล้ว +3

    Tatizo la mdogo wangu huyo ni madoido kuwa mengi; hayo yakiwa excessive yanaharibu kabisa muziki. Afahamu kuwa kwa kufanya hivyo hutupati ile ladha kamili ya wimbo kama mtunzi alivyokusudia. Hata hivyo ni mchezaji kinanda mzuri, ingawa si natural player.

    • @lilianmachera
      @lilianmachera 3 ปีที่แล้ว

      Si natural player kivipi? Samahani sijaelewa hapo

    • @egmsage4115
      @egmsage4115 หลายเดือนก่อน

      Wewe unataka muziki unaotaka ww kisheria waimbaji wanakuwa na notes zao na kinanda notes zake kinanda ni kunogesha sio kupigapiga tu hapo kafanya vzr kbs 100%

    • @egmsage4115
      @egmsage4115 หลายเดือนก่อน

      Wewe unataka muziki unaotaka ww kisheria waimbaji wanakuwa na notes zao na kinanda notes zake kinanda ni kunogesha sio kupigapiga tu hapo kafanya vzr kbs 100%

  • @eliasjilala4441
    @eliasjilala4441 5 ปีที่แล้ว

    We hatari

  • @nicasmacale3196
    @nicasmacale3196 5 ปีที่แล้ว

    weka misa yote

    • @JugoMedia
      @JugoMedia  5 ปีที่แล้ว

      Ipo yote angalia vizuri kwenye channel

  • @jacobtomas7729
    @jacobtomas7729 5 ปีที่แล้ว

    Haelewi anachokifanya huyo

    • @marcominja8850
      @marcominja8850 5 ปีที่แล้ว +2

      Ni wivu tu unakusumbua

    • @polycarpmicky4151
      @polycarpmicky4151 5 ปีที่แล้ว

      @@marcominja8850 ulishaona ee huyu jamaa ana wivu kweli

    • @annakulanga5415
      @annakulanga5415 4 ปีที่แล้ว

      Acheni unafiki basi wivu hauna faidaa

    • @bahatimashalo4335
      @bahatimashalo4335 4 ปีที่แล้ว

      madoido lazma ilii mziki unoge mkuu kama hujui hujui tu

    • @kaburairungu3812
      @kaburairungu3812 4 ปีที่แล้ว

      Una roho chafu jamani

  • @SIMONDAUD
    @SIMONDAUD 2 ปีที่แล้ว

    🤭🤭🤭🤭 hii inakua ringtone yangu