Aslay na Nandy Waitendea Haki Subalkheri Mpenzi, Escape One
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.พ. 2018
- Aslay na Nandy Waitendea Haki Subalkheri Mpenzi, Escape One
Ni usiku wa shoo kubwa na kabambe kutoka kwa wasanii wanaofanya vizuri na ngoma yao ya 'Subalkher' Nandy na Aslay, iliyofanyika katika ukumbi wa Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Shoo hiyo iliandaliwa maalum kwa ajili ya kusheherekea sikukuu 'Valentines Day' ambapo walipata fursa ya kuwaburudisha mashabiki kwa kila mmoja kuimba ngoma zake na baadaye wakaziamsha hisia za wapendanao waliofika ukumbini hapo kwa kuimba kwa pamoja nyimbo yao yenye ujumbe mzito wa mapenzi ya 'Subalkher'.
Install #GlobalPublishersApp
Android: bit.ly/2AAQe1d
iOS: apple.co/2Assf4M
Subscribe / uwazi
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Wamevaa kizanzibari yaani imetoka bomba sana👍
kama na ww umeona mkanda wa kufunga kwenye tumbo mmy nandy kaufunga kichwani weka like yako hapo
Weka shuka kwa kitanda uje tulale mama naomba ulale na khanga maana nimekumic sana ,hahahaaa km huu utenzi umekukosha gonga like hapa
Aiseei me staman niwaone mkiwa pamoja kimziki2 ila ingependez zaidi mkioana Kwan m mependezana kinoma noma Nawapend cn😍😍😍😍😍😍
Wakiendelea hvyo hvyo watafika mbali saana cuz their combination is very nice 👍
Sulley Almass
Zubeda Yusuph hi
Sulley Almass nipenda xana kimaadiri tu
Jaman acheni chuki hawa watu wanapendezana sn wakiimba pamoja
Aslay cheza chini bro, Nandy ni bae wangu ! Every day crush 😍😍Nandy😘😘
haya matoto ni noumaaaaaaaaaaaaa Africa nzima hamna
Nandy na aslay mwaah mependezana na pia mavazi yenu mazri mashaallah
Mnapendeza xna nawapenda pia
Aslay can sing aisee this kid is something else ila uyu msichana nilikua najua she can sing live ila was wrong kameshindwa kuimba live saut haitoki anajikaza mno bt ol in ol i just luv them both
Nice sana nandi na maromboso mwenyezi mungu awabariki mfike mbali sana katika sanaa yenu ya mziki
Napenda alivyo vyaa NANDY kiheshima kabisa kweli yy ndie aliyefata maamuzi ya Rais magufuli.
Waoooo mmependeza sana
Senga
Aslay nakupenda sana baba wish nikuone siku moja
Hawa wakiwa wapenzi itapendeza haki😍
Aisha Mrembo wakiwa mke na mume
Aisha Mrembo ubunifu
ni vyema kuheshimu mwanamke wa aslay kwasasa...
Yap wameedana
Sana tuuuu
Nani ana watch 2020
Aslay x nandy mkiwa wapenz yan itapendeza sn mana munaendan jmn nice
Masha allah kanadi kazuliii jomann alafu wanaendanaa
Mariam Issa
Umeonaeeee kama Mimi n ww😂😁😁😀😘
Mariam Issa hujakosea Maryam
Nice live guys true love forever
Naangalia2022❤️❤️💕
from Kigali, iyo show 100% mavazi100% raiya100% performance100% sound100% mziki wa TZ kumbe mzur hiv lazma nijeeeeeeeeeeeeeeeeee
nawakubali sana ilamkiowana itapendeza zaidi
naipenda cn hiyo hiyo nyimbo jmn
Nawapenda sana
Nawatambua kinoma big up guyz
Wat a very good term. lots of love from 254
mashallah mungu awazidishie mufikie malengo yenu Ameen
I love this combination both in the music industry and in life
Mashllaha walaii mnapendezwana🔥🔥🔥🔥
Mawapenda Hawa watoto
napenda hii wimbo sana aslay uko poa sana endelea hivyo ww na nandy
Wao mwapedeza mungu awastili maisha yenu ameen🙏
kj
hadi raha jaman
Sauti ya aslay inatoka vizuri zaidi
Iko poa
saaanaaw
f u n d i
their voices are so nice thou wapo live jomoni
hongereni sana kwa vivazi
mmependeza mno
Wamependeza sana na shoo IPO vizuri sana
nime penda san nandy na aslya walivyo toainyimbo asante sana Dogo aslay
wamependeza sana na hayo mavazi 💯🔥🔥🔥🔥
Nimeipenda hatar
Mnapendeza sana
kwanini wasiowane?
i love it
Mnapendeza sana😍😍😍
Nice
Aslay umependeza ukieka nywele zako ivo hupendezi ukiwa na dred Big up #one 💝🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mboga Bahati kwel kbx jaman yan amekuwa na mwonekano mzuri zaidi
safi sana nawapenda hawa watu
Mmeuwa Nandy ft Aslay, mambo ni fire🔥🔥👌
Mupo vizuri sana
Ongelen sana
Oi mambo ni. Moto
Jomnii uoneni wallH loveu more
I like them
so mwaaaaah😘
safi
Ma shallah nimeipenda
Safiiiiiiiiiiiii
But I don't know ur language now I like this live
Raya yusuf😂😂😂😂😂😂
Mmmm..ikovizuri sana ...bgp
Mashaa Allah wamevaa kizenji
Kali yani mambo n moto
Sister nandy umenoga sana mashaAllah
Mpo top 100% +974
Honestly hamjautendea subalkher haki kuanzia kwenye uchezaji hadi mavazi, nilitarajia Aslay avae kitu kama nusu kanzu hivi iliyodizainiwa fresh chini apige open shoes nzuri, Nandy angeza kuvaa hata kihindi flan hivi afu acheze kwa madaha ya pwani ..ila anacheza wimbo kwanguvu sana anaondoa uhalisia. Otherwise chemistry yao iko poa sana...
Keny Omarion ubinadam kaxi....kumfurahisha kila MTU ni tabu!
Very nice
Nawapenda sana Aslay na Nandi
ilikuwa poa sana
Mko vzr
Aslay ukimuacha Nandy namuhamisha Kenya. +254
Hongeleni sana
tunawapenfa kinoma hata nikiwa studio ktk kipindi changu mwenge fm zenj huwaga nawekekaga nyimbo zenu sana
Kabisa
nawapenda sana sema Nandy kijora kimehung😂😂😂😂😂kama kavaa kikofia cha shekhe wallai
Safii sana ,nandy n aslay
mmependezana..nice
safi san
Nice dress
Safiiii sanaaa.😁😁😁
Safi
unajua sister
Virement
Watoto wa WCB tunasema Nandy amevaa kiheshima kwa sababu wazazi wake wapo hapo,,lasivyo angevaa kabikib tu
safi nandy penda ulivovaa nice
🙌🙌🙌
Good job boy asly
Kweli
Big up
nice
Mabrouk
Kweliiiiiiiiii
Masha Allah
Nasubiri ndoa yenu maaana dooohhh!!!! mmependezana sanaaa
woyooo nawapenda sanaaaaaaaa
asee msiziyaribu nyimbo zawatu amkuitendeya akiiyo nyimbo
Ww kaza buti2 aslay. kwani toka ki3mbo ulionekana kuwa u3kuja kuwa m2 wanguvu2 kwenye gem la muziki w kizazi kipya cha tanzania...
Ai ai😍😍😍😍😍
Usikariri kufunga tumboni,lazima uwe mbunifu
duuuu!! ama kweli si mchezo
😍😍😍😍😍😍😍
wapo vizurii so siri jamani
imependeza
Mkami Tetere K
Katika
nawapenda jmn
Hongeren jmn nc wk
Nyimbo iyo wanaiga
Mmetisha Nandy umependeza
Kule Zanzibar mlitozwa ngapi vile mlivoiba uwo wimbo.
good
Lakini mi ninachojua hawa watu ni wapenzii ilaa bado tu hawajaamuaa kutuweka wazi na inapendeza saana
oaneni sasa