PART-1: SIMULIZI ya BINTI YAMLIZA HADI LILIAN MWASHA-"BABA HAKUTAKA NISOME, ALINITOLEA SIME ANIUE!''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 112

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 ปีที่แล้ว +12

    Dah tazama dunia mama wakambo katokea kuwa mzuri baba mzazi kawa na roho ya ukatili daima kizuri hakidumu mungu mkubwa maskini mama wakambo katokea kuwamwema nandio mungu kampenda zaidi alhamdulilah

  • @lauramhulu3310
    @lauramhulu3310 ปีที่แล้ว +10

    Haya mambo yapo mm mwenyewe nimeishi maisha kama sina wazazi ila namshukulu Mungu Nimekuwa 🙏🙏🙏🙏

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +8

    The pain in this story heart wrenching. Na kuna watoto wanafanyiwa kila kitu lakini hawana shukrani. I wish some wangejua wanayopitia wengine

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 ปีที่แล้ว +2

    I saw this on tiktok, huwa napenda kusikiliza simulizi za watu tofauti, zinafundiaha sana. Thanks da Lily.

  • @hallykanze6693
    @hallykanze6693 ปีที่แล้ว +6

    😢 Yani ume nikumbusha mengi sana nilio yapitia nikiwa mdogo! But you know what! MUNGU yupo Kwa ajili yetu😢 forgive and release them. Sio rahisi kusamehe but tell God to help & heal you.

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 ปีที่แล้ว +5

    Hii story inalizaa nyie 😭😭😭😭😭💔💔💔

  • @kissageorge3987
    @kissageorge3987 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mdogo wangu grace naomba nipate no zako ntakacho jaliwa tugawane

  • @marymunisi5801
    @marymunisi5801 ปีที่แล้ว +2

    Daaah!!! Sijawahi kutoa comment lkn leo nimelia sn imenibidi niandike...pole sn kpz umepitia mazito sn ktk umri mdogo...umenifanya nimkumbuke mama angu aliniachaga mapema sn nilipitia mengi magumu....ila kwa sasa namshukuru Mungu saaaana nimeuona wema wake...na ninazidi kuuona...usikate tamaa Bado Mungu anakuwazia mema

  • @josephinejohn7838
    @josephinejohn7838 ปีที่แล้ว +1

    Yan mashangaz jmn khaaaa...Mungu anisaidie nisiwe shangaz mbaya maisha yangu yotee

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana dada yangu mungu Atakubariki Ameen 🤲🇹🇿🇬🇷

  • @dayana5513story
    @dayana5513story ปีที่แล้ว +3

    Pole sis story yako kama yang but mungu nimwema don't give up

  • @aikalucky5747
    @aikalucky5747 ปีที่แล้ว +1

    May God bless you sis Lily kwa kumruhusu huyu dada kutoa ya moyoni ,,anapona kwa kuongea

  • @hildamasonda6528
    @hildamasonda6528 ปีที่แล้ว +1

    Ndio Mana biblia inasema tushukuru kwa kila Jambo Mungu nakushukuru Mungu kwa kila Jambo Mungu wasaidie watoto wote wanaoishi katika mazingira magum 😭😭😭😢😢hii imeniliza sanaa

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 ปีที่แล้ว +1

    Dad pole dada angu usilaumu mpk leo upo hapo ni mpng wa mungu, Mungu anakupenda sana na mm nakupenda umenifundish kitu kikubwa na kitaish moyoni mwang milele

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 ปีที่แล้ว +1

    Kama uko vizur mwombee dua mwite shekhe aombe dua ya marehemu pls itakua bora sana

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana dd angu Allah akuzidishie subraa afyaa njema na akufarij nafsi yako yarabiy
    Chozi la mnyonge hulipwa na mwenyez Mungu

  • @glorylymo958
    @glorylymo958 ปีที่แล้ว

    Pole Sana dear,,,watu wenye roho mbaya Kama uyo shangazi yako awatakiwi kufa mapema,,,wanatakiwa waone ukuu wa mungu

  • @SheySharifahamady
    @SheySharifahamady 4 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢nusu ya maisha niloyapitia mm😢😢

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 ปีที่แล้ว

    pole dada umeniliza tangu umeanza kusimulia mpak unamaliza kusimulia

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 ปีที่แล้ว

    Pole sana najikuta naliya to😭😭

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 ปีที่แล้ว +2

    Alhamdulillah pole sana sana

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 ปีที่แล้ว

    Duuh pole kabisa Mungu ni mwema atakupanguza machozi

  • @annastaziaandrea7144
    @annastaziaandrea7144 ปีที่แล้ว

    Pole sana da yangu

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 ปีที่แล้ว

    Pole sana dada japo NAMI nimeyapitia haya namshukuru Mungu na namuomba kila siku aniondolee roho ya uchungu na maumivu

  • @ashurajuma4837
    @ashurajuma4837 3 หลายเดือนก่อน

    Daaah😭😭😭

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว

    Mbona siioni pat tu

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana dada Lilian

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 ปีที่แล้ว +1

    Jamani ma shangazi hawa wakatili sana dah kuna watu wanapitia haya mambo mpaka leo hii pole sana Mungu amekuona yameisha hayo

    • @TheSalma1999
      @TheSalma1999 ปีที่แล้ว +1

      Huyo shangazi ni mbwa kabisa kuna nafasi yake motoni na huyo baba yako ni mbwa kabisa binadamu sisi ni wakatili sana bora uishi na wanyama porini kuliko binadamu baba yako huyo mama wa kambo Mungu ampe baraka nyingi asante mama kwa upendo wako

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 ปีที่แล้ว +1

    Binadamu wengine ni hatari sana halaf ukute huyo mtu kwenye nyumba za Ibada hawakosi 😭😭

  • @dianadavid244
    @dianadavid244 ปีที่แล้ว +1

    Haaaa mungu mtie nguvu uyu dada maana ndo nimeanza kusikiliza story lkn nimelia sana roho yangu inauma sana

  • @suleimanomary9683
    @suleimanomary9683 ปีที่แล้ว

    Pole sana dada tunaomba part 2

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 ปีที่แล้ว

    pole sana

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 ปีที่แล้ว +1

    SubhanAllah

  • @iddahravity9369
    @iddahravity9369 ปีที่แล้ว

    Pole sn

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Pole sana 😭💔 Maisha haya Dah 😢 watu wanapitia magumu sana.

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 ปีที่แล้ว

    Pole sana ❤️

  • @happinessswai7020
    @happinessswai7020 ปีที่แล้ว

    😭😭😭so touching

  • @antonmbwile3316
    @antonmbwile3316 ปีที่แล้ว +1

    Lini hiyo part 2 maana history nikari haswa mpaka kwa wanawake

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว

    Pole sana mdogo wangu

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 ปีที่แล้ว

    hii ni hard talk aswaaa
    Pole dada kwa mitihani

  • @groryjackson4486
    @groryjackson4486 ปีที่แล้ว +1

    Grace, umejua kuniliza😭😭😭😭😭

  • @irakozegracia183
    @irakozegracia183 ปีที่แล้ว

    Nyie me nimeanza Kulia na haijaisha 🥺🥺🥺😭😭

  • @anithahalicy2715
    @anithahalicy2715 ปีที่แล้ว

    Pore sana dada yangu

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv ปีที่แล้ว

    Kufiwa kuna uma sana pole mamy

  • @jannyjmamdak2570
    @jannyjmamdak2570 ปีที่แล้ว

    Party 2 isichelewe jamani 😢

  • @letsgrowwithm4620
    @letsgrowwithm4620 ปีที่แล้ว

    Mimi pia nimepitia asilimia nyingi ya maisha ya huyu dada na mm nilikuwa najihudumia mwenyewe

  • @julietkileo2018
    @julietkileo2018 ปีที่แล้ว

    Pole sana Dada

  • @nadineshimirimana7483
    @nadineshimirimana7483 ปีที่แล้ว

    Pole sana 😭😭😭😭

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @mwatummselem2411
    @mwatummselem2411 ปีที่แล้ว

    Jamani wacha nilinye jamani

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv ปีที่แล้ว

    Daaah kuna watu wanachangamoto sana yani unaona afazali yako

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 2 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @aishamatangamatangamatanga1344
    @aishamatangamatangamatanga1344 ปีที่แล้ว

    Daaah maisha hayaa 😭😭😥😥

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Kweli inauma sana mpka machozi yananitoka

  • @alodiadiocless3546
    @alodiadiocless3546 ปีที่แล้ว

    Iseee nimeumia sana kupita kiasi pole sana mdogo wangu daaaa nimazito mnooo

  • @winfrencemutheki5477
    @winfrencemutheki5477 ปีที่แล้ว

    WA!!! Is this true story? Lake really!!! Nimelia kichwa cha niuma. Ukifikiria unapitia, yapo mengine inakulazimu Yako uyawekepepeni

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Yaani nimeumia sana machozi yananitoka

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 ปีที่แล้ว

    Maskini wee aah uchungu kweli kabisa pole mwanangu

  • @antonmbwile3316
    @antonmbwile3316 ปีที่แล้ว

    Jamani party tuu

  • @Mamsocom
    @Mamsocom ปีที่แล้ว

    Part 2 ipo??

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 ปีที่แล้ว

    Party 2 mbona hatuoni

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 ปีที่แล้ว

    Subhan'Allah 😭💔

  • @wemapanga1547
    @wemapanga1547 ปีที่แล้ว +1

    Daah nimelia mwenywe maana najua maisha bila mama inauma, wapumzike kwa Amani mama zetu waliotangulia

  • @peterkaale6977
    @peterkaale6977 ปีที่แล้ว

    Sioni party 2

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 ปีที่แล้ว

    Looo ADUI UYOOO MUNGU ATAKULIPIYA APA DUNIANI

  • @latifakikoti9808
    @latifakikoti9808 3 หลายเดือนก่อน

    huyo baba mzima

  • @lukiyakimolo3409
    @lukiyakimolo3409 ปีที่แล้ว

    Subuhana llah

  • @jannyjmamdak2570
    @jannyjmamdak2570 ปีที่แล้ว

    Huyo baba Yako Yuko hai???

  • @athmannyhassany6365
    @athmannyhassany6365 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi mmrembo sanaa napenda

  • @emmilianamlewa3239
    @emmilianamlewa3239 ปีที่แล้ว

    Jamani ushuda huu unaimrisha wengine party2 lini hatuioni

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 ปีที่แล้ว +2

    sasa ndio umeficha sura nini mbona sasa hiko kivuli hakifichi sura anavyoongea akisogea sura inaonekana. aliyeedit hii video akajifunze upya

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 ปีที่แล้ว +1

    Uchunguuuuuuu jamaniii😭😭😭😭😭

  • @fridamassawe7367
    @fridamassawe7367 ปีที่แล้ว

    Kuna shida iko mahali

  • @maryamhassan7000
    @maryamhassan7000 ปีที่แล้ว

    😭😭

  • @sunrisekitchen1
    @sunrisekitchen1 ปีที่แล้ว

    Mbona kama umri alotaja haviendani maana ana miaka 28 af mwaka 1998 akaanza shule sorry lakini no bad intentions

  • @sarahmsuya250
    @sarahmsuya250 ปีที่แล้ว +1

    Yani binadamu hatuna huruma

  • @esperancenathali
    @esperancenathali ปีที่แล้ว

    Tunasubiri bado

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mama zako wote 3 wanakufa kweli jamani dunia ina mitihani are you serious huyo baba sitaki hata kumsikia

  • @magrethmanintveld5477
    @magrethmanintveld5477 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wangu Kuna kitu hapo sio bure

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😢😢😢

  • @joycemageta4876
    @joycemageta4876 ปีที่แล้ว

    Kuna mama wa kufikia unawez sema ndo wazzi.

  • @jescamoshi3821
    @jescamoshi3821 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 ปีที่แล้ว

    Duuh hii Dunia ina mambo Lilian umekosea kumwambia atupe hiyo opena ni kumbukumbu tu ambayo atahadithia hata watoto wake

    • @victoriaelisante3351
      @victoriaelisante3351 ปีที่แล้ว

      No hiyo opesa anatakiwa kuichoma nakuiteketeza kwa moto huku akivunja madhabahu yaliyonenwa . Maana hicho pia nikifungo.

    • @joycemashikolo9096
      @joycemashikolo9096 ปีที่แล้ว

      @@victoriaelisante3351 kama ukivunja hayo madhabu hata sio lazima utupe na kuchoma moto kwa mfano mwili uliochanjwa chale vipi utautupa uweke mwingine ila sio mbaya kila mtu na anavyoamini

  • @rahmaomari5544
    @rahmaomari5544 ปีที่แล้ว

    😭😭😭🙌

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว +1

    Ila nimefurahi huyu dada ana matumaini anaongea kwa furaha

  • @laylasaid8406
    @laylasaid8406 ปีที่แล้ว

    Masikini

  • @athmannyhassany6365
    @athmannyhassany6365 ปีที่แล้ว

    Lilian

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 ปีที่แล้ว

    😭

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU ndo pendo la watu dada

  • @jamillahkheir6536
    @jamillahkheir6536 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭

  • @gracemsalila7735
    @gracemsalila7735 ปีที่แล้ว

    Duuu

  • @abdihalimosman9721
    @abdihalimosman9721 ปีที่แล้ว

    Pole sana dadaangu

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Pole sana

  • @AminaYusuph-nd9iq
    @AminaYusuph-nd9iq ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭

  • @aisha-zu8vr
    @aisha-zu8vr ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @sarahmsuya250
    @sarahmsuya250 ปีที่แล้ว

    Yani binadamu hatuna huruma

  • @gracemsalila7735
    @gracemsalila7735 ปีที่แล้ว

    Duuu

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana dada