PART-1: SIMULIZI ya BINTI YAMLIZA HADI LILIAN MWASHA-"BABA HAKUTAKA NISOME, ALINITOLEA SIME ANIUE!''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • PART-1: SIMULIZI YA BINTI YAMLIZA HADI LILIAN MWASHA-"BABA HAKUTAKA NISOME, ALINITOLEA SIME ANIUE!''
    KWENYE SEHEMU ya kwanza ya HARD TALK ya Mtumishi wa Mungu na Mwandishi wa vitabu Lilian Mwasha amepiga stori nyingi na Grace, binti wa Kitanzania aliyepitia msoto ikiwemo kunyanyaswa na baba yake mzazi na kumzuia hadi kupata elimu.....
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 108

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @saleemadhiyabalkhatri7800
    @saleemadhiyabalkhatri7800 ปีที่แล้ว +12

    Dah tazama dunia mama wakambo katokea kuwa mzuri baba mzazi kawa na roho ya ukatili daima kizuri hakidumu mungu mkubwa maskini mama wakambo katokea kuwamwema nandio mungu kampenda zaidi alhamdulilah

  • @lauramhulu3310
    @lauramhulu3310 ปีที่แล้ว +9

    Haya mambo yapo mm mwenyewe nimeishi maisha kama sina wazazi ila namshukulu Mungu Nimekuwa 🙏🙏🙏🙏

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว +6

    The pain in this story heart wrenching. Na kuna watoto wanafanyiwa kila kitu lakini hawana shukrani. I wish some wangejua wanayopitia wengine

  • @hallykanze6693
    @hallykanze6693 ปีที่แล้ว +5

    😢 Yani ume nikumbusha mengi sana nilio yapitia nikiwa mdogo! But you know what! MUNGU yupo Kwa ajili yetu😢 forgive and release them. Sio rahisi kusamehe but tell God to help & heal you.

  • @kissageorge3987
    @kissageorge3987 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana mdogo wangu grace naomba nipate no zako ntakacho jaliwa tugawane

  • @dayana5513story
    @dayana5513story ปีที่แล้ว +3

    Pole sis story yako kama yang but mungu nimwema don't give up

  • @josephinejohn7838
    @josephinejohn7838 ปีที่แล้ว +1

    Yan mashangaz jmn khaaaa...Mungu anisaidie nisiwe shangaz mbaya maisha yangu yotee

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 ปีที่แล้ว +3

    Pole sana dd angu Allah akuzidishie subraa afyaa njema na akufarij nafsi yako yarabiy
    Chozi la mnyonge hulipwa na mwenyez Mungu

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana dada yangu mungu Atakubariki Ameen 🤲🇹🇿🇬🇷

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 ปีที่แล้ว +1

    I saw this on tiktok, huwa napenda kusikiliza simulizi za watu tofauti, zinafundiaha sana. Thanks da Lily.

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 ปีที่แล้ว +4

    Hii story inalizaa nyie 😭😭😭😭😭💔💔💔

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 ปีที่แล้ว +1

    Dad pole dada angu usilaumu mpk leo upo hapo ni mpng wa mungu, Mungu anakupenda sana na mm nakupenda umenifundish kitu kikubwa na kitaish moyoni mwang milele

  • @glorylymo958
    @glorylymo958 ปีที่แล้ว

    Pole Sana dear,,,watu wenye roho mbaya Kama uyo shangazi yako awatakiwi kufa mapema,,,wanatakiwa waone ukuu wa mungu

  • @marymunisi5801
    @marymunisi5801 ปีที่แล้ว +1

    Daaah!!! Sijawahi kutoa comment lkn leo nimelia sn imenibidi niandike...pole sn kpz umepitia mazito sn ktk umri mdogo...umenifanya nimkumbuke mama angu aliniachaga mapema sn nilipitia mengi magumu....ila kwa sasa namshukuru Mungu saaaana nimeuona wema wake...na ninazidi kuuona...usikate tamaa Bado Mungu anakuwazia mema

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 ปีที่แล้ว

    Pole sana dada japo NAMI nimeyapitia haya namshukuru Mungu na namuomba kila siku aniondolee roho ya uchungu na maumivu

  • @aikalucky5747
    @aikalucky5747 ปีที่แล้ว +1

    May God bless you sis Lily kwa kumruhusu huyu dada kutoa ya moyoni ,,anapona kwa kuongea

  • @hildamasonda6528
    @hildamasonda6528 ปีที่แล้ว +1

    Ndio Mana biblia inasema tushukuru kwa kila Jambo Mungu nakushukuru Mungu kwa kila Jambo Mungu wasaidie watoto wote wanaoishi katika mazingira magum 😭😭😭😢😢hii imeniliza sanaa

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 ปีที่แล้ว +1

    Alhamdulillah pole sana sana

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana dada Lilian

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana dada

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 ปีที่แล้ว

    Duuh pole kabisa Mungu ni mwema atakupanguza machozi

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 ปีที่แล้ว +1

    Jamani ma shangazi hawa wakatili sana dah kuna watu wanapitia haya mambo mpaka leo hii pole sana Mungu amekuona yameisha hayo

    • @TheSalma1999
      @TheSalma1999 ปีที่แล้ว +1

      Huyo shangazi ni mbwa kabisa kuna nafasi yake motoni na huyo baba yako ni mbwa kabisa binadamu sisi ni wakatili sana bora uishi na wanyama porini kuliko binadamu baba yako huyo mama wa kambo Mungu ampe baraka nyingi asante mama kwa upendo wako

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 ปีที่แล้ว

    pole dada umeniliza tangu umeanza kusimulia mpak unamaliza kusimulia

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 ปีที่แล้ว +1

    Binadamu wengine ni hatari sana halaf ukute huyo mtu kwenye nyumba za Ibada hawakosi 😭😭

  • @dianadavid244
    @dianadavid244 ปีที่แล้ว +1

    Haaaa mungu mtie nguvu uyu dada maana ndo nimeanza kusikiliza story lkn nimelia sana roho yangu inauma sana

  • @annastaziaandrea7144
    @annastaziaandrea7144 ปีที่แล้ว

    Pole sana da yangu

  • @abdihalimosman9721
    @abdihalimosman9721 ปีที่แล้ว

    Pole sana dadaangu

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 ปีที่แล้ว

    Kama uko vizur mwombee dua mwite shekhe aombe dua ya marehemu pls itakua bora sana

  • @suleimanomary9683
    @suleimanomary9683 ปีที่แล้ว

    Pole sana dada tunaomba part 2

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Pole sana

  • @antonmbwile3316
    @antonmbwile3316 ปีที่แล้ว +1

    Lini hiyo part 2 maana history nikari haswa mpaka kwa wanawake

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 ปีที่แล้ว

    Pole sana najikuta naliya to😭😭

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 ปีที่แล้ว

    pole sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Pole sana 😭💔 Maisha haya Dah 😢 watu wanapitia magumu sana.

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว

    Pole sana mdogo wangu

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru1974 ปีที่แล้ว

    hii ni hard talk aswaaa
    Pole dada kwa mitihani

  • @winfrencemutheki5477
    @winfrencemutheki5477 ปีที่แล้ว

    WA!!! Is this true story? Lake really!!! Nimelia kichwa cha niuma. Ukifikiria unapitia, yapo mengine inakulazimu Yako uyawekepepeni

  • @anithahalicy2715
    @anithahalicy2715 ปีที่แล้ว

    Pore sana dada yangu

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 ปีที่แล้ว

    Pole sana ❤️

  • @groryjackson4486
    @groryjackson4486 ปีที่แล้ว +1

    Grace, umejua kuniliza😭😭😭😭😭

  • @julietkileo2018
    @julietkileo2018 ปีที่แล้ว

    Pole sana Dada

  • @wemapanga1547
    @wemapanga1547 ปีที่แล้ว +1

    Daah nimelia mwenywe maana najua maisha bila mama inauma, wapumzike kwa Amani mama zetu waliotangulia

  • @letsgrowwithm4620
    @letsgrowwithm4620 ปีที่แล้ว

    Mimi pia nimepitia asilimia nyingi ya maisha ya huyu dada na mm nilikuwa najihudumia mwenyewe

  • @jannyjmamdak2570
    @jannyjmamdak2570 ปีที่แล้ว

    Party 2 isichelewe jamani 😢

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv ปีที่แล้ว

    Kufiwa kuna uma sana pole mamy

  • @mwatummselem2411
    @mwatummselem2411 7 หลายเดือนก่อน

    Jamani wacha nilinye jamani

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 ปีที่แล้ว

    Maskini wee aah uchungu kweli kabisa pole mwanangu

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 ปีที่แล้ว +2

    sasa ndio umeficha sura nini mbona sasa hiko kivuli hakifichi sura anavyoongea akisogea sura inaonekana. aliyeedit hii video akajifunze upya

  • @nadineshimirimana7483
    @nadineshimirimana7483 ปีที่แล้ว

    Pole sana 😭😭😭😭

  • @irakozegracia183
    @irakozegracia183 ปีที่แล้ว

    Nyie me nimeanza Kulia na haijaisha 🥺🥺🥺😭😭

  • @iddahravity9369
    @iddahravity9369 ปีที่แล้ว

    Pole sn

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Yaani nimeumia sana machozi yananitoka

  • @happinessswai7020
    @happinessswai7020 ปีที่แล้ว

    😭😭😭so touching

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv ปีที่แล้ว

    Daaah kuna watu wanachangamoto sana yani unaona afazali yako

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 ปีที่แล้ว

    Mbona siioni pat tu

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว

    Kweli inauma sana mpka machozi yananitoka

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 ปีที่แล้ว

    SubhanAllah

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mama zako wote 3 wanakufa kweli jamani dunia ina mitihani are you serious huyo baba sitaki hata kumsikia

  • @stellahmakundi5430
    @stellahmakundi5430 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭

  • @sunrisekitchen1
    @sunrisekitchen1 ปีที่แล้ว

    Mbona kama umri alotaja haviendani maana ana miaka 28 af mwaka 1998 akaanza shule sorry lakini no bad intentions

  • @antonmbwile3316
    @antonmbwile3316 ปีที่แล้ว

    Jamani party tuu

  • @waheedaw1953
    @waheedaw1953 ปีที่แล้ว

    Looo ADUI UYOOO MUNGU ATAKULIPIYA APA DUNIANI

  • @alodiadiocless3546
    @alodiadiocless3546 ปีที่แล้ว

    Iseee nimeumia sana kupita kiasi pole sana mdogo wangu daaaa nimazito mnooo

  • @joycemageta4876
    @joycemageta4876 ปีที่แล้ว

    Kuna mama wa kufikia unawez sema ndo wazzi.

  • @aishamatangamatangamatanga1344
    @aishamatangamatangamatanga1344 ปีที่แล้ว

    Daaah maisha hayaa 😭😭😥😥

  • @sarahmsuya250
    @sarahmsuya250 ปีที่แล้ว +1

    Yani binadamu hatuna huruma

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 ปีที่แล้ว

    Subhan'Allah 😭💔

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 ปีที่แล้ว

    Party 2 mbona hatuoni

  • @peterkaale6977
    @peterkaale6977 ปีที่แล้ว

    Sioni party 2

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 ปีที่แล้ว +1

    Ila nimefurahi huyu dada ana matumaini anaongea kwa furaha

  • @fridamassawe7367
    @fridamassawe7367 ปีที่แล้ว

    Kuna shida iko mahali

  • @jannyjmamdak2570
    @jannyjmamdak2570 ปีที่แล้ว

    Huyo baba Yako Yuko hai???

  • @emmilianamlewa3239
    @emmilianamlewa3239 ปีที่แล้ว

    Jamani ushuda huu unaimrisha wengine party2 lini hatuioni

  • @esperancenathali
    @esperancenathali ปีที่แล้ว

    Tunasubiri bado

  • @edgarpius9111
    @edgarpius9111 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU ndo pendo la watu dada

  • @Mamsocom
    @Mamsocom ปีที่แล้ว

    Part 2 ipo??

  • @lukiyakimolo3409
    @lukiyakimolo3409 ปีที่แล้ว

    Subuhana llah

  • @athmannyhassany6365
    @athmannyhassany6365 ปีที่แล้ว +1

    Shangazi mmrembo sanaa napenda

  • @magrethmanintveld5477
    @magrethmanintveld5477 ปีที่แล้ว +1

    Mungu wangu Kuna kitu hapo sio bure

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 ปีที่แล้ว

    Duuh hii Dunia ina mambo Lilian umekosea kumwambia atupe hiyo opena ni kumbukumbu tu ambayo atahadithia hata watoto wake

    • @victoriaelisante3351
      @victoriaelisante3351 10 หลายเดือนก่อน

      No hiyo opesa anatakiwa kuichoma nakuiteketeza kwa moto huku akivunja madhabahu yaliyonenwa . Maana hicho pia nikifungo.

    • @joycemashikolo9096
      @joycemashikolo9096 10 หลายเดือนก่อน

      @@victoriaelisante3351 kama ukivunja hayo madhabu hata sio lazima utupe na kuchoma moto kwa mfano mwili uliochanjwa chale vipi utautupa uweke mwingine ila sio mbaya kila mtu na anavyoamini

  • @laylasaid8406
    @laylasaid8406 ปีที่แล้ว

    Masikini

  • @susiephocus4219
    @susiephocus4219 ปีที่แล้ว

    😢😢😢😢😢

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 ปีที่แล้ว +1

    Uchunguuuuuuu jamaniii😭😭😭😭😭

  • @athmannyhassany6365
    @athmannyhassany6365 ปีที่แล้ว

    Lilian

  • @maryamhassan7000
    @maryamhassan7000 ปีที่แล้ว

    😭😭

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 ปีที่แล้ว

    😭

  • @gracemsalila7735
    @gracemsalila7735 ปีที่แล้ว

    Duuu

  • @rahmaomari5544
    @rahmaomari5544 ปีที่แล้ว

    😭😭😭🙌

  • @jamillahkheir6536
    @jamillahkheir6536 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @sarahmsuya250
    @sarahmsuya250 ปีที่แล้ว

    Yani binadamu hatuna huruma

  • @AminaYusuph-nd9iq
    @AminaYusuph-nd9iq ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭

  • @gracemsalila7735
    @gracemsalila7735 ปีที่แล้ว

    Duuu

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😢😢😢

  • @aisha-zu8vr
    @aisha-zu8vr ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @jescamoshi3821
    @jescamoshi3821 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭