😂😂Usiombe kuletewa memo kwamba jamaa hatakiwi utapindisha tu. Tatizo ni kwamba tunaishi kwa neema ya teuzi za serikali kwa hiyo lazima utakiuka taratibu uonekane mtiifu ila mjinga na hufai sababu hutashindwa kukiuka ama kupindisha sheria kwa maslahi ya wachache tukikupatia nafasi kubwa pia.
Chama cha Mawakili TLS, umma unakitazama kama Kioo na jicho la haki Kwa Sisi watu wa ngazi ya chini tulishtushwa kw Dosari zilizojitokeza maana nyie kama wataalam wa Sheria ni tegemezi kwa Watanzania
Wanamuogopa ni kiongozi imara Tz Zima wanampenda
Chama Cha mawakili no kioo Cha jamii.hiyo kamati iifutiliwe mbali.haitendi haki.
Muacheni mwabukusi agombee, anafaa kuwa Rais
Hongera sanaaa kwa kupambania haki
Ina wahuni tu
Mawakili mmejivua nguo wenyewe mtajivarisha wenyewe.
😂😂Usiombe kuletewa memo kwamba jamaa hatakiwi utapindisha tu. Tatizo ni kwamba tunaishi kwa neema ya teuzi za serikali kwa hiyo lazima utakiuka taratibu uonekane mtiifu ila mjinga na hufai sababu hutashindwa kukiuka ama kupindisha sheria kwa maslahi ya wachache tukikupatia nafasi kubwa pia.
Songa mbele mwaisa
Chama cha Mawakili TLS, umma unakitazama kama Kioo na jicho la haki Kwa Sisi watu wa ngazi ya chini tulishtushwa kw Dosari zilizojitokeza maana nyie kama wataalam wa Sheria ni tegemezi kwa Watanzania
Mawakili musiwe chawa wa ccm
HAKI ITENDEKE MSIMINYE DEMOKRASIA HONGERENI MAWKILI
Nyie kwa nyie,ngoja inyeshe tuone inapovuja.
Wanajiumbua wenyewe kwa wenyewe