Nakataaaa kabsa mm wote wasaniii ni walibukeni kabsa et alikiba Ana ulibuken na kataa coz yeye awez kuonesha mambo yake Ana wat u anawatumia ili wamuongelee na yeye
MASHA ALLAH! HUYU KAKA AMEZUNGUMZA VIZURI SANA ! HAKUNA KITU CHA MAANA KAMA KUMCHA ALLAH ! ALLY KIBA USIJARIMU KUWEKA MAISHA YAKO KWENYE WATU ! ALLAH AKBAR! WAKENYA TWAJUWA ALLY NI MCHA MUNGU! KWA MAONI YANGU SIDISHA SADAKA YAKO UTAIKUTA KESHO SIKU YA HESABU AMIN,KAKA NIMEFURAHIA SANA ULIVIO MJIBU JUU! YOTE TUFANYE NA KUMWOGOPA ALLAH ,
Mwijaku anawivu sana namafanikioo ya mondi mnafikimkubwa sana hajuilorote timtume muhammadi kasema uychizi waakirii haowatapotea nahawato skikatena kwamondi mtaongeasana mwisho mtakaakimya wenyewe hamumuuguzi kichwa
Maendeleo tunayoyataka kwa king ni kuendelea kuepo kwenye game,Mali zake zitasaidia familia yake,hivi kwani nyinyi wanahabari gari inawasaidia nn ya diamond?
@@blackisrael9892 ...... ndini ya kiisilamu hatujaaruhusiwa kuvaa misalaba jaribu kuelewa kisalaba wanavaa makafiri sio waisilamu.sijazungumzia sheikh. nimeelezea sheria za dini.
@@emariusrush3285 yuko sahii lakini kwa mfano wewe una magari 5 yote makali alafu rafiki yako nae ana nyumba 5 zote ni za dhamani, baada ya miaka 3 mwenye pesa zaidi atakua ni huyo mwenye nyumba 5, maana dhamani ya nyumba inapanda kadri muda unavyokwenda ila magari muda unavyokwenda dhamani yake ushuka. Kwahiyo mtu mwenye akili timamu hawezi ku invest kwenye magari labda iwe ni biashara yake.
Kwahiyo ndio kusema Watu kama kina Suleman waliokuwa na mali nyingi wangejulikanaje kama wangeficha Maisha yao? Maisha mazuri yakija yanakuja tuu na hayafichiki ni kama jipu likikuota usoni
@@abdulrahmanhassan698 kuonyesha mafanikio yako sio kuringa au kujiskia Ila ni kuwaonyesha mfano wale walio kata tamaa kwamba na wao wanaweza na kuficha mafanikio ni kuambia watu kwamba haiwezekani kufanikiwa au kuwa na maisha mazuri ukiwa na Vitu vizuri viache vionekane ilimradi hauwatukani watu nakuwakwaza ila anaekwazika kwa mafanikio ya mwenzake huyo hapendi maendeleo ya wengine na yeye mwenyewe hapendi kuendelea ,,Taa ikiwashwa inawekwa ambapo itaangaza wala haifichwi mvunguni Kaka
Alikiba ni mtu anayejielewa xana xio limbuken Kama wengine me kama me napenda lifestyle yake hvy baxi namuombea maixha yenye maendeleo tele ingawa kafanikiwa tyr
IDHAA. MAATA. IBNU AADAMA IN_QATWAA AMALUHU ILLAA. MIN. THALAATHA .1: ILMUN. YUNTAFAU. BIHI. 2: WALADUN. SWAALIHU. 3: SWADAQATUN. JAARIYA ATAKAPO KUFA BINADAMU. MATENDO YAKE YA KUMUINGIZIA THAWABU HUKATIKA ISPOKUWA. MAMBO. MATATU 1:ELIMU YENYE MANUFAA 2:MTOTO MWEMA ATAKAYEMUOMBEA. DUA 3: AU SADAKA YENYE KUANDELEA ._ KAMA KUJENGA MISIKITI MADRASA KUCHIMBA VISIMA NK
mwijaku kuonyesha gari sio ulimbukeni ila ni hali fulani mtu anafanya au kufuraia maisha yani tangu nimezaliwa sijahona mtu mwenye chuki km mwijaku angekua mchawi km anahata mtoto
Ilo gar sio Alikiba tu bali kwa tz hii hawez kununua mtu yeyote mm nawaambia na iyo ni future car watu wenye peza zao walifanya oder maalum ili watengenezewe gar la 2025 na waweze kutumia kuanzia 2021 na thamani ya gar ilo ni €22million so sema ww mwenyewe uloamua kusema kwamba alikiba ananunua gar ilo ivi anautajir unaofikia hata €10million tu.? Izo kik zaajabu achen bwana..
Alikiba is a public figure So every thing about him is public wether he likes it or not. So huyo mpumbavu anayeongea kama cherahani anayedai ni msomi, haelewi hilo anajaribu kutumia nguvu na badala hoja kutetea Alikiba anayependa umaarufu ila asiyependa mambo yake yajulikane .
Hana uwezo wa kununua hiyo Bugatti, ata akiungana na mond, hamoniz, wauze kila kitu hawawez nunua hilo gari,hilo lina dhaman ya zaid ya billion 50 au million elf 50
Mnakaa kumjajimtu kwavijembe vyakisenge wivu utawauwa kwanza wabongo hawapendi ufanikiwe kama nisifa sanafanyia sifa kwenye chake kajakufanya sifa kwenye vituvyenu nabado mtakonda sana mpaka mbaki namaladhi yaroho
Amuna chochote machawa nyinyi mwacheni Diamond ni muaka wake huu Mwijaku hata ndege ajawai kumpanda ww Mwijaku si mwisilam ila ni nnafiki au kafiri mojawapo kwenye music
Wewe Mweijaku hayo Mambo ya msalaba uache kupotosha, usidharau imani za watu, mbona Harmonize Ana hereni kubwa za msalaba masikioni, acha uchonganishi. Unapitiliza
Kila la heri Shemela wetu King 👑...Yoooh..❤️ from Kenya 🇰🇪
King Kiba Your Simplicity Is What Makes You The Great Of All Time(G.O.A.T)....
Alikiba humble man sio rimbukene
Yes
Nakataaaa kabsa mm wote wasaniii ni walibukeni kabsa et alikiba Ana ulibuken na kataa coz yeye awez kuonesha mambo yake Ana wat u anawatumia ili wamuongelee na yeye
Sahihii
MASHA ALLAH! HUYU KAKA AMEZUNGUMZA VIZURI SANA ! HAKUNA KITU CHA MAANA KAMA KUMCHA ALLAH ! ALLY KIBA USIJARIMU KUWEKA MAISHA YAKO KWENYE WATU ! ALLAH AKBAR! WAKENYA TWAJUWA ALLY NI MCHA MUNGU! KWA MAONI YANGU SIDISHA SADAKA YAKO UTAIKUTA KESHO SIKU YA HESABU AMIN,KAKA NIMEFURAHIA SANA ULIVIO MJIBU JUU! YOTE TUFANYE NA KUMWOGOPA ALLAH ,
Unaujua uchamungu wewe....acha ujinga
Soudy upo sawa kabisaa kila mtu na tabia yake
Kweli soudy
Ali kiba ndo king wa Tz👑👑👑
Mwjaku nakupenda kaka Mungu akubark kba s mshamba mtt wa jin
Kwani mungu analuhusu kuimba nyimbo zakidunia
Kweli xhehe wa mitandaon anatafta uxtaa wa maneno duuuh mwijaku nakpa zako %10000
Moto sana, likes za king kiba zije hapa..
Namuona mwandishi kachoka ata kumsikiliza mwijaku 😍
Mwijaku well done well done
Mwijaku anawivu sana namafanikioo ya mondi mnafikimkubwa sana hajuilorote timtume muhammadi kasema uychizi waakirii haowatapotea nahawato skikatena kwamondi mtaongeasana mwisho mtakaakimya wenyewe hamumuuguzi kichwa
Alikiba ni mwana mziki nzuri
Hana tu huyo msimpaishe hawezi kumfikia mond wewe
Diamond platnumz kaleta challenge kubwa sana kwenye mziki wa bongo respect to him
Mwijaku asante ku muheshimu mwenyezi Mungu akubariki ndugu
Maendeleo tunayoyataka kwa king ni kuendelea kuepo kwenye game,Mali zake zitasaidia familia yake,hivi kwani nyinyi wanahabari gari inawasaidia nn ya diamond?
🤣🤣🤣🤣🤣 maneno ya wakosaji hayo kibakuli hawezi nunua rolls Royce
Kibakuli Nina Tena
@@suzansuzanei1143 bd mtt
Kaka Mwijaku embu epuku kushirikisha Allah kwenye mambo ya hanasa Dini haiizihakiwi
Hakika
tafuta nhumba Kwanza sio gari gari utapaki sherii
Jinga hilo misalaba huo ni freemanson wa nguvu 100% .madini ndo misalaba huo ujinga mtoto wa kiisilam huwezi kuvaa misalaba na kuwa agency wa pombe
Tz ina wapuuz weng kweli . Uislamu ndoo nn tena umeambiwa mond ni shekh??
@@blackisrael9892 ...... ndini ya kiisilamu hatujaaruhusiwa kuvaa misalaba jaribu kuelewa kisalaba wanavaa makafiri sio waisilamu.sijazungumzia sheikh. nimeelezea sheria za dini.
Kafiri ni wewe apo msalaba niaramu lakini kwa mparange unakwenda
@@jovitiluanda4810 ......sina haja ya kuendelea kushindana na ww elimu ulokua nayo ndogo na sio muelewa hata kiswahili kigumu kikielewa.
Napenda Mwijaku intewiev sana.
Alikiba is next level
Aliyekuambia maendeleo ni kumiliki magari kakupoteza sana
Wewe ni fala mabilionare wote wajumlishiwa pesa zao na assets (magari,majumba na thamani za compuni zao)
@@emariusrush3285 yuko sahii lakini kwa mfano wewe una magari 5 yote makali alafu rafiki yako nae ana nyumba 5 zote ni za dhamani, baada ya miaka 3 mwenye pesa zaidi atakua ni huyo mwenye nyumba 5, maana dhamani ya nyumba inapanda kadri muda unavyokwenda ila magari muda unavyokwenda dhamani yake ushuka. Kwahiyo mtu mwenye akili timamu hawezi ku invest kwenye magari labda iwe ni biashara yake.
Utakuwaje bilionea ikiwa huna magari ya kifahari weweee?? so acha kukalili.
Jichangen ukoo mzima uone kama mnaweza . Njaa tupu nyinyi.pia aliyekuambia kununua gar sio maendeleo hayo ndo mawazo ya mafala.
Mh! kweli machoko niwengi et gari maendeleo ni mawazo ya kifara
Kwahiyo ndio kusema Watu kama kina Suleman waliokuwa na mali nyingi wangejulikanaje kama wangeficha Maisha yao? Maisha mazuri yakija yanakuja tuu na hayafichiki ni kama jipu likikuota usoni
Apo nakupnga kaka
@@abdulrahmanhassan698 kuonyesha mafanikio yako sio kuringa au kujiskia Ila ni kuwaonyesha mfano wale walio kata tamaa kwamba na wao wanaweza na kuficha mafanikio ni kuambia watu kwamba haiwezekani kufanikiwa au kuwa na maisha mazuri ukiwa na Vitu vizuri viache vionekane ilimradi hauwatukani watu nakuwakwaza ila anaekwazika kwa mafanikio ya mwenzake huyo hapendi maendeleo ya wengine na yeye mwenyewe hapendi kuendelea ,,Taa ikiwashwa inawekwa ambapo itaangaza wala haifichwi mvunguni Kaka
Alikiba ni mtu anayejielewa xana xio limbuken Kama wengine me kama me napenda lifestyle yake hvy baxi namuombea maixha yenye maendeleo tele ingawa kafanikiwa tyr
Mnamchukia Diamond kweli...mlisema Hana pesa akiwaonyesha mnasema haonyeshiiiiiii...watanzania shidaaaaaa
Akamsaidie babaake Yuko mashimo matup usoni,Hera gani hizo.babaake ukimumwagia maji usoni yanatuwama mwene mabonde. Hera gani hiyo
@@edigajoseph5130 tell him..not me
@@videlialabeka4899 ok mam
MWIJAKU ROHO MBAYA UNAUMIA SANA MAFANIKIO YA WENZAKO..........KM WEWE UNGEKUA MTU WA MUNGU KWANN UNAMSEMA MTU .......UMBEA NAO NIDHAMBI KUBWA......
Mambo machabiki wa alikiba anacho fanha tilissu bili Sana Sana Mungo ampe zaidi Tena tena
Uko sawa kak
Mwijaku yaani halali kamia Ally kazi anaweza huyu angitakiwa manager wa Ally
IDHAA. MAATA. IBNU AADAMA IN_QATWAA AMALUHU ILLAA. MIN. THALAATHA .1: ILMUN. YUNTAFAU. BIHI. 2: WALADUN. SWAALIHU. 3: SWADAQATUN. JAARIYA
ATAKAPO KUFA BINADAMU. MATENDO YAKE YA KUMUINGIZIA THAWABU HUKATIKA ISPOKUWA. MAMBO. MATATU
1:ELIMU YENYE MANUFAA
2:MTOTO MWEMA ATAKAYEMUOMBEA. DUA
3: AU SADAKA YENYE KUANDELEA ._ KAMA KUJENGA MISIKITI MADRASA KUCHIMBA VISIMA NK
Shukran kwa ukumbusho allah akubariki
Ndoa ni raha online mashallah
Tanzania hatuna wanahabari wazuri bali wachonganishi wa wasanii, wanasiasa, wanamichezo nk. Wabadilike
Na hizo energy drink mkizinywa Sana zina madhara
Kila kitu kina madhara yake hata Pepsi
@@ahmedsaidi438 Ndio hivyo sio pepsi Tu kitu chochote kikizidi kiwango chake ujue kina madhara
Mwijaku hicho kidole unachokionyesha sijui unamaana gan
Sudi brown umeongea point sanaaaa!! kuwa diamond kawa mfano kwa wasanii wengine ila sio huyo shoga mwijaku anaewashwa matako kila kukicha.
Kaka Kama hna point ucpende kumtuka m2 maan inaonekan hjui ulitendal Kwan hyo diamond ni baba yako au
Ally kiba nimtuanaejielewa kamwehazj kubadilisha staili yamaishayake
Maishaaa ya kupost mtandaooo ya kishogaaa
Wijaku mjinga sana kila kitu ajua cha Hamisa
Alikiba ataonyeshaje na Hana!!!
mwijaku kuonyesha gari sio ulimbukeni ila ni hali fulani mtu anafanya au kufuraia maisha yani tangu nimezaliwa sijahona mtu mwenye chuki km mwijaku angekua mchawi km anahata mtoto
Mwandishi bado limbukeni
Maendeleo kununua Gar
Samwijaku nimsemaji wawatu wangap jaman apo apo nimsemaji WA hamisa/alikiba/harmonize/duuh
UYU SOUDY MSOMI ANAJIBU KISOMI HATA LEO AKIHAMIA UPANDE WA PILI HAKUMBANI KSBISA ANAXO POINT,
Ilo gar sio Alikiba tu bali kwa tz hii hawez kununua mtu yeyote mm nawaambia na iyo ni future car watu wenye peza zao walifanya oder maalum ili watengenezewe gar la 2025 na waweze kutumia kuanzia 2021 na thamani ya gar ilo ni €22million so sema ww mwenyewe uloamua kusema kwamba alikiba ananunua gar ilo ivi anautajir unaofikia hata €10million tu.?
Izo kik zaajabu achen bwana..
Kingkiba always on top
Alikiba is a public figure
So every thing about him is public wether he likes it or not. So huyo mpumbavu anayeongea kama cherahani anayedai ni msomi, haelewi hilo anajaribu kutumia nguvu na badala hoja kutetea Alikiba anayependa umaarufu ila asiyependa mambo yake yajulikane .
Rolls Royce unailinganisha na Horse Power huo niujinga
Mofaya ilienda wapi???
Mwijaku umesemakweli niyaibu vijana waki islam wanavaa misaraba dunia inawadanganya ikosiku watakwenda kuulizwa mbele ya Allah
Jamaa ana kiherehere....kweli hana akili huyu jamaa
Mwijaku chawa heeeeeee
sasa wemwijaku nimwisilam gani mwenywe loho yahusida mbona maendeleo ya diamondplatnumz yenyewe unayapinga alikukoseaga nini
Hilo jimama msilipe mike linaongea pumba tu big up to soud
King KIBA🙏🙏🙏
Hat mm napenda lifestyle ya kiba
Mwasifia deally ya powerhorse mwajua powerhorse kuna nini ndani yake . Ukijua vile inavyotengenezwa hutainywa.
Mwijaku ana kimbelembele
King kiba ndo maisha yakeeee
King kiba Kingdom ❤❤❤
DIAMOND MWACHENI AITWE DIAMOND HANA WA KUFANANISHWA
Mwijaku ni chawa wa harmonize kweli. inamana nilevo za kina rick rosee
King ni mmoja tu ni kiba
Hana uwezo wa kununua hiyo Bugatti, ata akiungana na mond, hamoniz, wauze kila kitu hawawez nunua hilo gari,hilo lina dhaman ya zaid ya billion 50 au million elf 50
Wewe unaweza kununua acha kujipendekeza Fanya kazi ununue chakwako acha kubabaikia mume mwenzio
Mnakaa kumjajimtu kwavijembe vyakisenge wivu utawauwa kwanza wabongo hawapendi ufanikiwe kama nisifa sanafanyia sifa kwenye chake kajakufanya sifa kwenye vituvyenu nabado mtakonda sana mpaka mbaki namaladhi yaroho
Apendagi magal
King Kiba they Hate You Because They Miss What You Have....
Mmh kuna kaz mpaka uwe na kipaj ndo utaifanya,,,maana sio kwa umbea huo...
Mwijaku Tanzanians ENEMY OF PROGRESS
Toa ujinga Mzee,et kanunua Gar kulko ya diamond Maneno ya Kuambiwa!!
😂😂😂Me ndo imenifanya nikaigia
Atoe wapi
insha'Allah
Me napenda sana life style ya king kiba mahana kira mtu ana life style yake kwaiyo co mbaya kira mtu akifanya anacho penda
Kila mtu na msanii anaempenda ila tumkumbuke mungu
Kama wasanii wanampenda mungu matuc ya nini mnatoa
Nanikamuona muandishi anaweka sura pemben baada yamwijaku kurusha mate
nime mwona 😂😂😂
Mwijaku wew ni Km" La Bibi yako
Ni mkali King kiba
Mwijaku nakupendaga jamani unayamwaga
Njaa ni kitu kibaya sana sana
Ukitaka kupigwa na Mkenya ongea vibaya kuusu Ali Kiba
Shemeji yetu huyo
Hongera bro
Bt unajua hiyo gari ni pesa ngapi muwache ufala
Wewe umesikia wapi mashahiki tunataka kujua acha hizo
Mwijaku UONGO mwingi xana
huy jamaa mtagazaj Niki azi achana naee kaka
Amuna chochote machawa nyinyi mwacheni Diamond ni muaka wake huu Mwijaku hata ndege ajawai kumpanda ww Mwijaku si mwisilam ila ni nnafiki au kafiri mojawapo kwenye music
Hamo nae anavaa izo helen nini km si msalaba
Mtaishia to kusema vby d platnam hamta muweza kamweee
Sijui ndo gari gani hlo kali kuliko rolls royce😂😂
Ata mim nashindwa kuelewa 😅😅
Pesa ni kama mimba kama IPO itaonekana tuuuuu SASA mbona kiba kama pesa IPO mbona hatuioni???
Hana minba huyooo
Mimi hiko kinywaji kupata baadaye tatizo afya mambo yote maji madafu
Mwijaku ataharibu hiyo energy drink🤣🤣
Keep Ruling King Kiba because you are the Only King we have!
Mwinjaku Nimekupnda kwa kelele zako
Wewe Mweijaku hayo Mambo ya msalaba uache kupotosha, usidharau imani za watu, mbona Harmonize Ana hereni kubwa za msalaba masikioni, acha uchonganishi. Unapitiliza
Alikiba nikiboko yao
Ali kiba si mtu wakutangaza mambo yake hii itakuwa ni uongo
Tz yaani kiki Hadi baasi😳
Mwijaku ni hewaa 2 kma dada angu
Ataonesha nini wakati hana kitu?Alikiba nimasikini kama masikini wengine mnajitahidi kumpamba wakati hana kitu
Mwijaku bwan mim huwa ananchekeshag mno
Huyu sudibrown yuko na hekima sana sio kama hiyo binti hapo kando yake
Na ww pi hujielew Kwan katembea na kaka yako mpak unamuit binti
@@maryamrashid4536 pole kama imekuuma but I made my opinion due to my observations... Now tell me tofauti Yako na yy ni nn?
Elfu Sadakta ya Sheikh Mwinjaku
Leo tangu nimehanza kufata commenti za mwijaku leo kaho gea vizuri kumbe anahogopa kusema makufuru