Allah akupe njiA nzuri ya kueneza dini yetu ya kislamu naomba Tu dua Mimi nilikua kila Aina ya uraibu lakini namshukuru mungu nimeacha kila kitu na sai naswali nikikosa swala hua naumia sana
She Unasema Wanawake wana Tabia ya kutokupenda Kushirikiana haswa kweye kushirikiana Mwanaume kwamba mwananamke anapenda Mume wake mwenyewe na sio mume kuoa wake wengine. Je, Wanaume nao Mbona hawapendi kushirikiana Mke mmoja wanaume wawiwili? Kwanini Kwa Wanawake iwe Raihisi kushirikiana Mume Lakini kwa Mwanaume hataki kushirikiana na Mwanaume mwingine? Hapo ndio penye kasoro kubwa ya Mwanamke kukandamizwa na kumfanya Mwanaume kama Mungu wa Duniani
Hio ni sheria na imeekwa kwa mazingatio makubwa na aliamrishalo Allah basi limetolewa kwa mazingatio makubwa sana.. Sheria ni wanaume ndio waneruhusiwa ila wanawake sisi kwa maumbile yetu Allah ameona tunatosheka na mmoja na tukiwa na wengi basi athari kubwa anaweza kuipata mwanamke
Allah akupe njiA nzuri ya kueneza dini yetu ya kislamu naomba Tu dua Mimi nilikua kila Aina ya uraibu lakini namshukuru mungu nimeacha kila kitu na sai naswali nikikosa swala hua naumia sana
Jazaakallaah kheri shekh othman mashallah
Masomo na wasio mzuri, naenda, mola akupe maisha mrefu, uendelee kunufaisha umma wake mtume.
Mashalla jaeak Alla million billion kheir
ALLAH AKUHIFADHI SHEKH OTHMAN NA MASHEKHE WOOTE WANAO TUILIMISHA IN SHA ALLAH
Mola akuhifadhi Maalim othman Maaalim
Mashaallah mungu atuongoze
Mashallah
InshaAllah mungu nijalie nikutane na shekhe othman
Allah akuhifadh pamoja na kizazi chako.
Masha Allah... Allah tabaraq
Ma sha Allah Allah Othman Malim
Allah Akbar
Mashaa Allah tabaraka arrahmaan sheikh Othman.... in shaa Allah Allah azidi kukujaalia ilmu na sisi tunufaike 😍
Mashaallah tabaraka Allah 🎉🎉🎉
Mashaallah 🥰🥰 jazakanllah kheri othmani maalimu
Mambo
Allwa akupe heri kumbwa pamoja na kizazi chako kiwe na ilimu
Jazaaka lahu haira sheikh wutu
Mashaallah mwenyezi mungu akujalie Kilalaher
SubhanaLLAH ALLAH ni Mwingi wa Rehma
Jazzakah llah sheikh🤲🤲🤲
Masha Allah tabaraka llah
Masha Allah kisa kizuri
Shukran sana sheikh wetu
Ma sha Allah
Mashallah jazaka llahu lkheir 🥰
Mashaaallah
Moyo wangu hufarijika sana nikiwa na skiza visa
Isso está muito claro, allah te abençoe Osman
Maashallah
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu JazakAllahu kheri
She Unasema Wanawake wana Tabia ya kutokupenda Kushirikiana haswa kweye kushirikiana Mwanaume kwamba mwananamke anapenda Mume wake mwenyewe na sio mume kuoa wake wengine. Je, Wanaume nao Mbona hawapendi kushirikiana Mke mmoja wanaume wawiwili? Kwanini Kwa Wanawake iwe Raihisi kushirikiana Mume Lakini kwa Mwanaume hataki kushirikiana na Mwanaume mwingine? Hapo ndio penye kasoro kubwa ya Mwanamke kukandamizwa na kumfanya Mwanaume kama Mungu wa Duniani
Hio ni sheria na imeekwa kwa mazingatio makubwa na aliamrishalo Allah basi limetolewa kwa mazingatio makubwa sana.. Sheria ni wanaume ndio waneruhusiwa ila wanawake sisi kwa maumbile yetu Allah ameona tunatosheka na mmoja na tukiwa na wengi basi athari kubwa anaweza kuipata mwanamke
Ameamrisha allah,Allah ni mjuz
Mashallah jazakaallahu kheiran
Mashallah