MIAKA MINGI - Sauti ya Jangwani Sda Choir OFFICIAL VIDEO 2024

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Kuna namna flani unaweza kukatishwa tana na changamoto za Maisha lakini kumbuka Mungu hajawahi kukuacha miaka yote amekuwa na wewe kaika mapito Yako hata leo katika hilo unalopitia amini Mungu hatakuacha. MITHALI 10:3
    Kwa Mawasiliano Tafadhali tuandikie ama tupigie:
    ---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    sautiyajangwanisdachoir‪@user-wz3gw1pt3i‬@gmail.com
    +255 764 054 316
    Shinyanga - Tanzania
    CREDIT:
    Artists: Sauti ya Jangwani
    Choir Master: Robert Manyangu
    Audio studio: Home Musical Studio-Maswa
    Video Director: Marcozaky - Hope Media - MC

ความคิดเห็น • 124

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde7828 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kutoka jiji la Nairobi Kenya,kwaya hii ya sauti kutoka changwani imekuwa Masaada kwangu tokea zamani sana. Haza miaka ya corona!. Mbarikiwe sana ndugu zangu kutoka Tanzania.

  • @zayomaonlinetv.6067
    @zayomaonlinetv.6067 4 หลายเดือนก่อน +5

    Nawapenda sana Sauti yaJangwani
    Wabarikiwe pia naomba namba ya mathiasi makolobela

  • @user-um1ud7sm7w
    @user-um1ud7sm7w หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki SAUTI YA JANGWANI

  • @mtagulwahillary8895
    @mtagulwahillary8895 หลายเดือนก่อน

    Jangwani ❤❤❤❤Nawapenda Sana ,,,, MUNGU na awabariki saaaana Kwa nyimbo zenu nzuri

  • @daudis.shimba2060
    @daudis.shimba2060 3 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu

  • @user-gb9el6xk5d
    @user-gb9el6xk5d หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe sana watumishi wa mungu

  • @user-og2hm6fk7b
    @user-og2hm6fk7b 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nasikitika kwa picha za hao watumishi wa Mungu waliolala mauti!! Namwona Marehemu Marietha, Mambosasa na wengine siwajui majina yao. Walikuwa kama sisi walipokuwa hai, tutakuwa kama wao tutakapofariki dunia.
    " Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe. " (Ayubu 14:1,2)
    " Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea mara." Basi, utujulishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima. (Zaburi 90:10,12)

  • @user-xb5lj9tp1j
    @user-xb5lj9tp1j หลายเดือนก่อน

    Mungu wa Mbinguni azidi kuwabariki n❤

  • @kasongonkundimana4318
    @kasongonkundimana4318 3 หลายเดือนก่อน

    Amen mungu ametutowa kwagiza mubari kiwe sana❤

  • @mwimbajichannel631
    @mwimbajichannel631 4 หลายเดือนก่อน +1

    Waoooo,
    Jina la Bwana litukuzwe.
    Kwanza huyo Mwongozaji wa picha naye apokee zawadi zake za kumtosha
    Kisha huyo aliyewaandalia mavazi naye apokee zawadi zake nyingi nyingiii.
    Mwisho pongezi ziwafikie uongozi na waimbaji wenyewe kwa kukubali kushauriwa na kutokelezea kwa mwonekano mpya.
    Hiyo ni kwaya ya kanisa la nyumbani kwetu naikumbuka sana wakati hata Shinyanga Adventist Choir (SAC) na kwaya ya Jangwani zilikuwa kwaya za kanisa moja miaka hiyo ya 1989 wakati familia yetu ikiwa pamoja kutoka eneo la Kitangili kwa Balozi Kishosha hapo Shinyanga.

  • @CorrnelioLupande
    @CorrnelioLupande 4 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa jinsi ninavyowapenda hua nakosa namna ya kuwaeleza kwakweli mpaka watu hua wananiita mjukuu wa jangwani huku nilipo hahahhaha mbarikiwe sanaaaaaa nimefurahi sana huuu utaratibu wa kurusha nyimbo u tube

  • @user-yi7gh2tk1y
    @user-yi7gh2tk1y 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wimbo huu umenibariki sana ,nahisi namuona baba angu mzee benjamin ntegwa na pia nmefurahi kuwaona tena wanajeshi wa mungu. Mungu azidi kuwatia nguvu.

  • @user-qc8hc6ll3m
    @user-qc8hc6ll3m 4 หลายเดือนก่อน

    Amina mbarikiwe sanaaaa

  • @thedreamer3991
    @thedreamer3991 3 หลายเดือนก่อน

    May God bless you changwani choir from Tanzania.
    From eldoret kenya

  • @user-jm8zf6js5z
    @user-jm8zf6js5z 4 หลายเดือนก่อน +1

    Am feeling blessings... Nimekubali atuongoze zote tumalishe pambano zote atukujie pmj n awa waimbaji... Amen

  • @DoricaJohn-ep2gd
    @DoricaJohn-ep2gd 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mbarikiwe

  • @joelelias9771
    @joelelias9771 4 หลายเดือนก่อน +1

    Amina Kubwa! Nafurahi kuwaona rafiki zangu! Nimefurahi Kumuona Pr Gadson Jeremiah! Akiimba nanyi! Karibuni tena Mbeya! Karibuni Swebo!!

  • @NarrowGateFamilyChoir
    @NarrowGateFamilyChoir 4 หลายเดือนก่อน +2

    Amen, Amen, God bless you. Endelea kusifu utukufu wa Mungu

  • @dasilvajr9647
    @dasilvajr9647 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ninavowapenda sauti ya jangwani wanaimba nyimbo ki-originality bila midundo kama hawa waimbaji wa siku hizi.

  • @johnsonjuliusmassaka5519
    @johnsonjuliusmassaka5519 4 หลายเดือนก่อน

    Tukiachana na ujumbe mzuri mzito wenye kusisimua mioyo ya waadventista,kingine mlichokifanya kikubwa ni kubiresha video .hongereni sana

  • @JohnBagabe
    @JohnBagabe 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ooooh!! God bless you sons and daughters of heavenly God, watching from Kigali-Rwanda❤❤❤❤

  • @godmankulawa2500
    @godmankulawa2500 3 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda sana Jangwani❤, Mungu aendelee kuwatunza, muifanye kazi yake vizuri. Ombi langu moja kuna wimbo Mmoja umo kwenye album ya Fuata Biblia unaitwa Nyota za asubuhi, naomba muuweke TH-cam 🙏🏾🙏🏾

  • @Nyanda_Jr
    @Nyanda_Jr 4 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe sana. Sauti za vifaa vya mziki ziko chini, Maneno yanasikia vzr. Kwa miaka yote mme maintain uimbaji huu. Bwana awainue zaidi.

  • @FrolaRobinson
    @FrolaRobinson 10 วันที่ผ่านมา

    Amina

  • @salomevestinamichael1458
    @salomevestinamichael1458 3 หลายเดือนก่อน

    Amen,Bwana atusaidie tumalize pambano kwa ushindi,asanteni sana watumishi wa Bwana

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 หลายเดือนก่อน

    Hallelujah amen 🙏 ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-re5cl6xi3n
    @user-re5cl6xi3n 4 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu azid kuwabarik kwa nyimbo nzur mnazoendelea kuzitoa

  • @user-yr8eq7rr1z
    @user-yr8eq7rr1z 4 หลายเดือนก่อน

    MUNGU awabariki sana, neeema ya bwana uwe nanyi kw Kaz nzuri

  • @GodfreyPaulo-w3d
    @GodfreyPaulo-w3d 2 หลายเดือนก่อน

    Sauti ya jangwani mrafi huyu

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jangwani MUNGU AWABARIKI MNOOO

  • @CarolineNyamusi-by2lf
    @CarolineNyamusi-by2lf 4 หลายเดือนก่อน

    Bwana ni mwema siku zote tuzidi kumutegemea nakunena sifa zake

  • @marthalusega8948
    @marthalusega8948 4 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana kueneza injili kwa nyimbo. Nawapenda watumishi wa Mungu.

  • @BarakaNtegwa
    @BarakaNtegwa 4 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda sana sauti ya jangwani mungu awabariki san

  • @sinayimbelya
    @sinayimbelya 4 หลายเดือนก่อน

    Bwana ni mwema siku zote hatawaacha mbarikiwe na Bwana

  • @RednessElly
    @RednessElly 4 หลายเดือนก่อน

    Bwana asifiwe mnavyohubir kwa njia ya nyimbo zenye ujumbe wa siku za mwisho

  • @Ayubgn
    @Ayubgn 4 หลายเดือนก่อน

    Mibaraka tele

  • @ukweliwaleonaziarayamungu.1712
    @ukweliwaleonaziarayamungu.1712 4 หลายเดือนก่อน

    BWANA na Awabariki sana kwa mema. Wafilipi 4:6. Ahsante

  • @BahameMathayo
    @BahameMathayo 4 หลายเดือนก่อน

    Sauti ya jàngwani endeleeni kueneza injili takatifu Amina

  • @Mathias-yi5bo
    @Mathias-yi5bo 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki watumishi mnatuwakilisha vyema

  • @lewiskioge2334
    @lewiskioge2334 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu yu mwema,, asantii kwa wimbo mzuri

  • @PerpetuaNkilosubi
    @PerpetuaNkilosubi 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana mwendelee kuihibili injiri

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani. Hatasijui. Niseme Nini nirivuo furahii. MUNGU awape Afya njema

  • @ErastoIbrahim
    @ErastoIbrahim 4 หลายเดือนก่อน

    Sifa za mungu hazielezek barikiwen watumish

  • @FidelNdayambaje
    @FidelNdayambaje 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki wa Advantiste wakweri ❤,hamufanane na ma choir yengine barakazamungu kwa nyinyi❤

  • @user-re5cl6xi3n
    @user-re5cl6xi3n 4 หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa sana kuwaona wazazi wangu Mr& Mrs MAKOLOBELA wakishiriki pia katika kazi ya uinjirist kwanjia ya nyimbo, Mungu azid kuwazidishia....

  • @ThonyPhonesAccessories
    @ThonyPhonesAccessories 4 หลายเดือนก่อน

    Waoh Mungu awazidishie miaka mingi, nawapenda saaaana

  • @philipsahani
    @philipsahani 4 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe kwa kazi nzuri mliyofanya tangu zama zile. Huu wimbo umenigusa ni kweli nimeona waimbaji tuliokuwa tunaimba kipindi kile miaka ya 2009 sasa wamekuwa wazee kabisa. Mbarikiwe taji zenu zawangoja mbinguni ombi langu tukutane huko.

  • @jonathanmutta759
    @jonathanmutta759 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbarikiwe seniors.. ❤

  • @lutemahindiakaje5046
    @lutemahindiakaje5046 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu Ibariki Sauti ya Jangwani: Amina

  • @MussaLazaro-dk5vn
    @MussaLazaro-dk5vn 4 หลายเดือนก่อน +1

    Amen,mmbarikiwe sana,naombeni nyimbo zingine.Nyimbo zenu zinagusa sana.

  • @bhochencha8505
    @bhochencha8505 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu awainue zaidi Sauti ya Jangwani❤

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 4 หลายเดือนก่อน

    Utume Kwanza kqa kweli namshukuru sana Mungu kwa ajili yenu Mwaka 1990 Ni kwaya rasmi kwenye mahafali ya kidato cha nne Shy Bush Nakukumbuka Kaka yangu Joshua, Mambosasa ipo Asubuhi Njema na hao mama zangu Lipo Tumaini Ng'ambo ya Kaburi

  • @mwitajohn9153
    @mwitajohn9153 4 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @kahamaadventistchoir
    @kahamaadventistchoir 4 หลายเดือนก่อน

    Barikiweni sana makamanda wa YESU.tunawafuatilia Kwa karibu sana.🤝

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 4 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda mnooo! Tuonane Yatosha Jangwani!

  • @MarcoMarcosamwel
    @MarcoMarcosamwel 4 หลายเดือนก่อน

    MUNGU awabariki sana huwa mnanibariki sana sana sana sana Sina namna yakueleza bwana awazidishie maarifa yautunzi wa nyimbo nzuri kama hzo

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 4 หลายเดือนก่อน

    Originality of the Adventism way of praising God Almighty is here.

  • @kadamilandanya5077
    @kadamilandanya5077 4 หลายเดือนก่อน

    Mubarikiwe Sana kwa umbo mpya.

  • @DAUDSILAS-wt9tp
    @DAUDSILAS-wt9tp 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema ,Asante kwa kazi yenu nzuri tunabarikiwa

  • @yohanakanuda
    @yohanakanuda 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana

  • @lingwamalagila3003
    @lingwamalagila3003 4 หลายเดือนก่อน

    Bwana awabariki kwa kusimamia standard yenu ya uimbaji Ninawapenda Pr Winner

  • @yohanakanuda
    @yohanakanuda 4 หลายเดือนก่อน

    Nyimbo zenu zinanibariki Sana naomba Muendeleze kuweka nyimbo zenu TH-cam kwa Sababu ni njia moja Wapo ya Kuhubiri injili mtandaoni na Huku kwenye mitandao ni rahisi Sana kumpata mtu na ujumbe ukamfikia kwa haraka Amina🙏🙏🙏😁

  • @uniquefactsmediaufm6735
    @uniquefactsmediaufm6735 4 หลายเดือนก่อน

    Amen. Karibuni pia pitieni katika media yetu tubarikiwe wote .

  • @mussanilla6619
    @mussanilla6619 4 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe Sana muende mbali Kwa jina yesu

  • @DanieliMichaeli-rw8ws
    @DanieliMichaeli-rw8ws 4 หลายเดือนก่อน

    Jangwani nawapendaaa

  • @RoseUrio-uh8xc
    @RoseUrio-uh8xc 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤

  • @ElizabethMichael-vp5hy
    @ElizabethMichael-vp5hy 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu Awabari sana Tuko pamoja sana🙏🙏🙏🙏

  • @HafashimanaLevis-rp5ru
    @HafashimanaLevis-rp5ru 4 หลายเดือนก่อน

    Nawafuatilia.
    Burundian lives in south Africa

  • @SuzyJames-tk8sp
    @SuzyJames-tk8sp 4 หลายเดือนก่อน

    Jaman nimefurah Sana kuwaona mbarikiwe nmekuwa wengi Sana endeleen kusonga mbele. Kiufup tu nawapenda sana

  • @ayubudancan4434
    @ayubudancan4434 4 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda sanaaa kwaya yangu tangu utoto nimewafatilia jumbe zenu zinagusa mioyo sanaaa hakika taji zenu zitang'aa pale mbinguni, MUNGU asiwaache awapiganie mmalize pambano

  • @cliffordmigosi3909
    @cliffordmigosi3909 4 หลายเดือนก่อน

    Amen. Amen. God bless you abundantly.

  • @YoshuaZechariahl
    @YoshuaZechariahl 4 หลายเดือนก่อน

    Hubirini hadi Mfalme wa wafalme atakaporudi.

  • @rahabuzephania9496
    @rahabuzephania9496 4 หลายเดือนก่อน

    Amina mbarikiwe nawapenda

  • @evelynemambosasa989
    @evelynemambosasa989 4 หลายเดือนก่อน

    Mubarikiwe sana nawapenda sana❤❤❤

  • @marionjons2288
    @marionjons2288 4 หลายเดือนก่อน

    Alleluyah Ameeen ❤

  • @Kingsospeter
    @Kingsospeter 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba nyimbo ile ya SASA NASIMULIA mtuwekeee jaman 😪

    • @Sautiyajangwanisdachoir1987
      @Sautiyajangwanisdachoir1987  4 หลายเดือนก่อน +1

      Angalia youtube tuliiweka

    • @Kingsospeter
      @Kingsospeter 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@Sautiyajangwanisdachoir1987 mliiweka kwa acc ipi...au unaitwaje

  • @ElizabethMichael-vp5hy
    @ElizabethMichael-vp5hy 4 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana

  • @omarnobeye9060
    @omarnobeye9060 4 หลายเดือนก่อน

    Nisipo waona hapa dunian bas tuonane mbinguni 😊

    • @Sautiyajangwanisdachoir1987
      @Sautiyajangwanisdachoir1987  4 หลายเดือนก่อน

      Tuendele kuweka tumaini kama tusipo onana hapa dunia basi tuonane Mbinguni

  • @ngaboibrahim4390
    @ngaboibrahim4390 4 หลายเดือนก่อน

    Amina.

  • @omodesigner
    @omodesigner 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤amen.

  • @user-is2pj2vq3r
    @user-is2pj2vq3r 3 หลายเดือนก่อน

    Mmepigaje hapo?????

  • @BalakaVidiusi
    @BalakaVidiusi หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe

  • @LeahMahizi
    @LeahMahizi หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @user-yr8eq7rr1z
    @user-yr8eq7rr1z 4 หลายเดือนก่อน

    MUNGU awabariki sana, neeema ya bwana uwe nanyi kw Kaz nzuri

  • @KimilaSayi
    @KimilaSayi 3 หลายเดือนก่อน

    Amina mbarikiwe sana waimbaji