Shida msanii amechelewa kwenye interview ndomana wanajitahidi kurush chap chap Kubalance muda angewahi interview ingekua kali zaidi ya hii ila all in all pongezi kwa interview nzuri
Fitna haijawahi muacha mtu salama interview ikisharushwa live hata muedit vipi haiwezi ondoa uhalisia poleni sana mnapata tabu na ubaguzi na ndo maana mnakufa mdogo mdogo mpka tutawasahau
English kweli ni kipengele! kha!...... Nimeangalia Interview ya WURLD na hii ya Rema Tatizo ni moja tu......English. hii ya Rema Maswali mepesi Sana!. Hongereni kwa kutuwekea matangazo kama Yote
Hahaha clouds wanawaleta wasanii kutoka nigeria wakishafika bongo wasanii wenyew wanaona hawawez kuondoka tanzania bila kukutana na simba japo wapate colabo moja maisha haya
Dah mamy ufaiii kukaa co .host unarush vituuu sanaa na piaaa mkiwa na international interview jarbun kuingiaa deep kuhusu mzikiii sio personal isuee sanaa zen musiwe mnavimbiana kuongeaa yaiii kama hapo adam na james mamy na adam and big credt kwaaa meena ally ameuaaa fluently yai
Kabsaaa yan alafu ni walee ambao washatengenezaaa swaliiii kchwaniii yani ashajimezeaa mamisamiat yake kadhaaa ashaungaaa soo ataki asahau kwahyo fastaa anaulzaa kumbe anaharbuu
Boraaa kennedy mzee yupo real afekii ktuuu coz anajuaaa anakijuaa kwa kusoma na kuandkaa tuuu lkn siii kuongeaaa mana kuongeaa ni freestyle broo so big up kwake hana makuu lkn huyu mamy nyoko nyoko nyng ndomana ameharbu interview leooo bhat meena kabalanceee show
Jaman mwanaume kudhalilika huku sasa naona Hawa wadada wanavo mkata upepo mchomvu akitaka kuongea tu mamy ana mkata upepo akitaka kuongea tu meena ana mkata upepo jamani au kizungu ndo taabu 😀😀
@@mattjr4206 wakifnya mchezoo watakosa watazmaji,maana wanafanya vitu kwa mazoea sana,na mumy baby sijui hyo nabidi afundwe apaswi kuwa co Host wa kipindi kikubwa halafu anafanya maduduu,sijui jinamizi gani limewakumba clouds, au ndo dhambi ya unafikii ?
Adam anashobo sana the last interview alikuwa all over the place leo wamemueka meena kauwa...Adam kama kamaind kumtindo leo kila akitaka kuongea wanamnyamazisha.....hahahahah
Meena she is comfortable na lugha hiyo🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Shida msanii amechelewa kwenye interview ndomana wanajitahidi kurush chap chap Kubalance muda angewahi interview ingekua kali zaidi ya hii ila all in all pongezi kwa interview nzuri
Oy nimekujaa apa nimesikia REMA kamtaja SIMBA Mbele ya clouds😂😂🏃🏃
Mwaki Media hahahahhahahhahahahaha
Huyu mami banah🤣🤣🤣 hey MEENA ALI NIMEKUKUBALI Upo hauna papara hauna mawenge meena woyooooooo🙌🏻🙌🏻🙌🏻pokea kisses from UAE WE LOVE UUUUUUU 😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Kelelee nyingi sana hao jua limeshazama kwao
Jaman muulizen bongo anampenda nan rema tujuee mwanang mchovu
Rema oyoooooooo
Kasema mond😂😂
@@mwakimedia291
𝑨𝒖 𝒏𝒅𝒐 𝒎𝒌𝒆𝒘𝒂𝒌𝒆 𝒎𝒐𝒏𝒅
HAPA HAKUNA INTERVIEWS..... #HAPA NDO Lilommy anapo Dhihilisha U MVP wake........#The switchwasafifm
kila mtu anataka aonekane anajua lugha ya kizungu, hii ndo bongo😂
Kesho utaskia yupo na Mondi wapo mjini ameonekana kwenye gari na Simba. 🤣🤣🤣 Wacha tusubirie tu
We subiri tu maana mnyama mkali hakwepeki yuleee
Mamy amepanic unaharibu interview chill out
Mamy don't panic English is just a language tu...
Fitna haijawahi muacha mtu salama interview ikisharushwa live hata muedit vipi haiwezi ondoa uhalisia poleni sana mnapata tabu na ubaguzi na ndo maana mnakufa mdogo mdogo mpka tutawasahau
American love American love ngoma Kali ilee
Hoyaaa dumebi aimbee kidogo napenda sana hii kitu
English kweli ni kipengele! kha!...... Nimeangalia Interview ya WURLD na hii ya Rema Tatizo ni moja tu......English. hii ya Rema Maswali mepesi Sana!. Hongereni kwa kutuwekea matangazo kama Yote
Matangazoo kibaoooo
English baba.... wanaknywa maji kwanza
Mond ni maji mjipange sana
Hahaha clouds wanawaleta wasanii kutoka nigeria wakishafika bongo wasanii wenyew wanaona hawawez kuondoka tanzania bila kukutana na simba japo wapate colabo moja maisha haya
Maisha hayako fair kabisa🤣🤣🤣
hahaha kweli kabisa🤣🤣🤣
Hatari sana
Yanaenda kasi sana😂😂
love you king REMA
Your So Good REMA
Rema namkubali sana
Ila mungekuwa mnawapanga tu hao wasanii wenu wasimtaje mond mnawamezesha majina ya akina ally, juma nature na 20:% wangeelewa tu
Minah ally kauwa yupo comfortable Sana
Dah watu wana interview mbovu washazoea interview za kimbea..sasa yaliwakuta
Watangazaji wa bongo bhana sijui kawaroga nani maswali yao ni ya Insta na twitter tu awafanyi research kabisa🚮🚮🚮
hahaha
Minaa Alli You are genius,
Dah mamy ufaiii kukaa co .host unarush vituuu sanaa na piaaa mkiwa na international interview jarbun kuingiaa deep kuhusu mzikiii sio personal isuee sanaa zen musiwe mnavimbiana kuongeaa yaiii kama hapo adam na james mamy na adam and big credt kwaaa meena ally ameuaaa fluently yai
Meena leo ameonyesha umahiri wake she is alone na kajiweza nimempenda sana
@@yusram5145 yupoo vyediiii anapronounce vzur manenoo na ndomana ata flowing zake na rema was frendlyyyyyyyyyy kabsaaa
Kaka na Ndo Maana Unaona Wapo Wengi Kwaiyo Hapo Hazungumzii Ki2 kimoja Wala Hazungumzi M2 Mmoja
Angekua kaingia baba levo apo adam angekua anaongea tuu an
That how we remember BDOZEN👑
Mchomvu wendo mwanetu sana ila Apo wote wamekukuta Ata intaviu uwe Unatulia utani Usiwe mwingi kuliko maswali yamaana Mina kawa zidi Mami baby fujo2
Daah mamy alipanic sana asee
Hakuna cordination kati ya hosts
Mamy kelele nyingi 🤣fyoko fyokoo anaruka ruka anaonekana kama presha sijui kupanik ..meena anaongea english comfortable🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Kabsaaa yan alafu ni walee ambao washatengenezaaa swaliiii kchwaniii yani ashajimezeaa mamisamiat yake kadhaaa ashaungaaa soo ataki asahau kwahyo fastaa anaulzaa kumbe anaharbuu
@@geofreybahema5118 hahaha 😅😅😅😅 you just spoke my mind bro
Meno juu
Kutojiamini
Msituchanganye sie wabongo tunajua kiingerezaaaa zaidi hata ya huyo adam mchomvu
mr dumebiiii..
Nimerudua kama mara tano hv swali lako mina Ali kuhus Twitter ya Rema....
Mm nawapeni tu hongera mnajua kingereza
Best Media
Sai hawawaongelei
Anaweza rema0G
By:digaboyTz
Ur.fanc
Very unprofessional interview I relevant questions mnaangusha media za Tanzania yani hadi Kero
English is their biggest problem!
Diamond is like water
Nakubal
Wapi KENEDI the remed 🤣🤣 shkamoo kingereza
Boraaa kennedy mzee yupo real afekii ktuuu coz anajuaaa anakijuaa kwa kusoma na kuandkaa tuuu lkn siii kuongeaaa mana kuongeaa ni freestyle broo so big up kwake hana makuu lkn huyu mamy nyoko nyoko nyng ndomana ameharbu interview leooo bhat meena kabalanceee show
🤣🤣🤣
Mamy unawashwa
Cool dumei fella
Namkubar sana huyu jamaa
Penda sana wee mamy baby
Wapenda mziki mzur zawd yenu iyo
th-cam.com/video/BrWgfUmV_RY/w-d-xo.html
Mamii!! Mwache adam aongee bas! Try be a little less aggressive.
Huu nao ni utopolo robo SAA nzima kurekedi ujinga tu😤😤😤
😂😂😂😂😂 Mamy na Adam wanagombania kutranslate duh
Hata kutafsiri hawajui.... ati nlkuwa namuulza ni impact gan???
Jaman mwanaume kudhalilika huku sasa naona Hawa wadada wanavo mkata upepo mchomvu akitaka kuongea tu mamy ana mkata upepo akitaka kuongea tu meena ana mkata upepo jamani au kizungu ndo taabu 😀😀
This is hilarious😂😂😂😂
Kingereza😂😂😂😂😂
Sasa ndio nn dakika kumi nzima kumrecord mtu yupo barabarani😒😒😒
Et
Ubunifu umeisha ndgu yangu,utfkr Magu yupo way kwenda kwenye mkutano.
@@happyjohn5882 So poa, cjui wamekosa editor wakuifupisha iyo safar au cjui walkua wanatka 2 ku2malzia MB!🤷🏾♂️
@@mattjr4206 wakifnya mchezoo watakosa watazmaji,maana wanafanya vitu kwa mazoea sana,na mumy baby sijui hyo nabidi afundwe apaswi kuwa co Host wa kipindi kikubwa halafu anafanya maduduu,sijui jinamizi gani limewakumba clouds, au ndo dhambi ya unafikii ?
@@happyjohn5882 😄😄😄 me nahic ivo
Mina ndo kaitendea haki iyo sio ile iliopita maswal mepesi mepesi tyu af sif nyingiii
Mumy nimeskia akimtaja simbaaaaa kwwr nimeamin
Adam si muongeaji sana mbona yuko kimya🤣🤣🤣
English tatzo
Kimekuja na meli kaka😀😀😀😀😀
hao warembo hawampi nafasi hasa uyo mamy
Masela mmemkatili mzee wa nje ya box.......kaanza kwa story afu hajatoa ata madini yke
Ukitaka kufaidi interview mcheki Tambwe hawa wengine ni Hanangwa tuu
SIKILIZA KIONJO CHA WIMBO MPYA WA DIAMOND PLATNUMZ NA REMA th-cam.com/video/jtGSGh-l4WU/w-d-xo.html
Huyu Rema nae you know tu 🤔🤔
Ohoo
Nyie madem mnaongea kama machine,mpeni nafasi mchomvu bana.
Peaneni muda mtamkera adamu awapige mitama.🤣🤣🤣
Hahahaha
R.m.a
you know
🤣🤣
🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬
Mbona ya patoranking hamkuekaa
Kwa sababu patoranking almtaja #diamondplatnumz
@@yusufsamwellugendo9757 kumbe wajua😂😂
Clouds always on top
Ngoma kar conboy
Adam anashobo sana the last interview alikuwa all over the place leo wamemueka meena kauwa...Adam kama kamaind kumtindo leo kila akitaka kuongea wanamnyamazisha.....hahahahah
Hahahaa English bana
Adam kasanda