SURAH AL- KAHF WITH SWAHILI TRANSLATIONS
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ค. 2021
- Ibni Abbas na Ibni Zubair wanasema ya kuwa sura hii yote ilishuka Makka. Karibu wafasiri wote wa Qur'an wanakubaliana juu ya jambo hili. Anas anasimulia ya kwamba sura hii haikuteremshwa vipande vipande, bali ilishuka yote nzima na ilichungwa na Malaika 70,000 (sabini elfu).
Kwa kuwa sura hii ina bishara za kuangamizwa mataifa makubwa-makubwa ya Yaajuj na Maajuj na kuvunjika propaganda wanayoendesha Wakristo juu ya Uislamu, maelfu na maelfu ya Malaika wameshughulika kuleta matimizo ya bishara hizi zenye nguvu, toka siku sura hii ilipoteremka.
Heshima na nguvu ya mataifa ya Kikristo na umaskini na unyonge wa Waislamu vimeelezwa katika "mfano wa watu wawili" katika fungu la 5: mmoja tajiri na mwingine maskini. Mtu tajiri - mataifa ya Wakristo - atajivuna kwa utajiri wake, na maskini ataelekea kwa Mwenyezi Mungu. Kiburi na majivuno mwishoni vitaleta msiba na yatajitokeza mambo yasiyoweza kuzuiliwa na mwanadamu yatakayomwangusha tajiri.
Kisha Sura hii imeendelea kueleza mabadiliko makubwa aliyoonyeshwa Nabii Musa katika njozi yake inayoelezwa toka Fungu la tisa. Nabii Musa aliambiwa ya kwamba kukua na kuendelea kwa Sheria ya dini yake kutakuwa chini kabisa ya Sheria nyingine itakayofika baadaye. Hii Sheria ya dini ya baadaye itakamilisha mafundisho yaliyoachwa na dini ya Nabii Musa bila kukamilishwa; na dini ya Kiislamu itainuka yenye kushinda kutoka katika majivu ya kuzimika na kupooza kwa Ukristo.
Ibn 'Abbas and Ibn Zubair say that this whole chapter descended in Makkah. Almost all interpreters of the Qur'an agree on this point. Anas narrates that this chapter was not revealed in pieces, but came down the whole and was guarded by 70,000 (seventy thousand) Angels. Since this chapter contains the prophecies of the destruction of the great nations of the Gog and the MaGog and the breakdown of the propaganda of Christians over Islam, thousands and thousands of Angels have worked to bring about the fulfillment of these powerful prophecies, from the day this chapter was revealed.
The dignity and power of the Christian nations and the poverty and humiliation of Muslims are described in the “two-people model” in verse 5: one rich and the other poor. The rich man - the Christian nations - will be proud of his wealth, and the poor will turn to Allah. Pride and arrogance in the end will bring disaster and unstoppable things will happen that will bring down the rich.
This chapter then goes on to describe the dramatic changes that the Prophet Moses showed in his vision described from Verse Nine. The prophet Moses was told that the growth and development of the Law of his religion would be far below that of any other law. This Law of the future religion will complete the teachings left by the religion of the Prophet Moses; and the religion of Islam will rise victorious from the ashes of the extinguishing and paralysis of Christianity.
Naipenda Sana qur'an Allah anijalie niweze kuijua zaid
Mwenye Enzi mungu akujaliye Nuru fii dunia wal akhera Amina yarab Amin.
😊
e
a
uy
Masha Allah
Mashallah Shukraan sheikh
Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu. Alhadulilahi tunamshukuru Allahu tena Sana. Subhaanallahi namshukuru Allahu kwa kisomo hichi Alhadulilahi. Namshukuru Allahu ninavyo sikia hii quran nafsi yangu utulia na pia na mshukuru Allahu hupata furaha moyoni mwangu Alhadulilahi.
😊
nice
2
naam
Allahu Akbr
😊
Mashalla😊😊
Ramadhan Kareem to all Muslims
😊
Mola akuzidishie ......Mema zaidi uzudi kutafsiri haya maadishi takatufu.
Mashaallah
MASHAALLAH allah akulipe kheri
Allah akujaze kheir kwa namna ulivyoandaa hii tafsiri
Mashallah
Keifa hulukum?
😊
@@Zanzibar288 mashaallah
Masha Allah❤❤❤❤
Alhamdulilah nineema kubwa kuzaliwa kuwa waislam
Tunaomba tafsiri ya Surah Al'Maidah.... Allah awafanyie wepesi
جزاك الله خيرا في الدنيا والآخرة ❤
Maashallah tabarakallah
😊
❤❤mashallah
Masha Allah
Mashaallah Jazaqlahu kher.
Shukrn
Masha allah
😊
Mashaallaah watabarakaallah
Masha Allah ❤❤❤❤
MashaaAllah
MASHAALLAH ❤❤❤❤
MashaAllah
😊
Ma sha Allah
😊
Good recitation and translation
Mashaallah Allah bariqh
Mashaallaah mashaallah
😊
Alihamdulilah Allah akulipe her nyingi sana manshallah Allah akubariki sana
Mashaallah 🥰
Nahukuru Allah
ALHAMDULILLAH JAZAKALLAH KHEIR BROTHERS IT'S BEAUTIFUL
MASHAALLAH
😊
Mashallah💯 soothing recitation
Good recitation
Quraan
Mashaallha
😊
🎉
Ishaaawamolatunakuomba.utuwekee.wepes.katka.swum.zetu
Jumaa Mubarak everyone
Makosa makubwa sana yaposomwa maneno ya Allah panaingizwa vitu vya ajabu ajabu hii haijakaa vizuri kabisa. au wanaoingiza hivi vitu wanafanya kusudi kuchafua maneno ya mola wetu?
Anaetafsiri kwa kiswahili anaitwa nani?Allah amzidishie kheri
Quran ni dawa ya moyo kabisa
Mashallah Shukraan sheikh
Mashaallah
Mashallah
😊
Mashallaah
😊
MASHAALLAH
MashaAllah
Mashaallah