Mtumishi nabii, nimekusikiliza sana na nimeyaelewa uliyosema ni kweli, ila nabii mim moyo wangu umepotoshwa sana na manabii wa uwongo ambao sikujua, wameniambia mengi kuuzu mungu kunitendea, ila hayakutokea, sasa mim nitaondoka dar yakitokea uliyosema, mie nitakuja ulipo nitakufuata
Yaani kwa sasa watu hawasilikizi mengine, ili uaminike na wasadiki unayosema, wewe endelea kumsihi Mungu aangamize dar kama ulivyosema na siku ndiyo hizo zinakimbia. Ila lisipotokea ndugu nakuonea huruma sijui utaweka wapi uso wako.
Mi nitaendelea kusema hii,roho siyo.Tangia muda tu,Et Yesu atarudi 2666,huna aibu,Biblia inasema hakuna ajuaye siku wala saa Hata Mwana wa Mungu Yesu hajui ,isipokuwa Baba .Huyu ni nabii wa Uongo, ni wasio ona tu ndo watamkubali Hakuna cha kuangamia Dar,Musa ana Eliyaha watakuja baadaa ya unyakuo kwa ajili ya kuwahubiria Israeli.
Mathayo 15:9 KUABUDU KWAO NI SAWA NA BURE MAANA WANAABUDU WAKIFWATA MAFUNDISHO YALIYOMAAGIZO YA BINADAMU Jiulize Jumapili Imetokea wapi? Kwa Maagizo ya MUNGU Au Ya Binadamu
Wewe umerukwa na akili. Ulituambia Dar itazama, nasubiri hiyo tarehe uliyoisema ili uabike vizuri. Dar haizami na sisi tunaomjua Mungu wa kweli hatuhami ng'o
Umeingia rasimi kwenye kundi la manabii wa uongo. Huna lolote wewe agent wa kuzimu. Wengi walitokea kabla Yako wakijigamba kuwa ni Elia na wengine Musa. Wewe siyo mtu wa Kwanza. Usipotubu utaangamia
Huyu lijinga kabisa, bibilia inasema Yesu ndio wa kwanza na wa mwisho. Wew unatoka wapi Hadi kua agano la mwisho????. Wewe mshenzi kweli kweli. Wewe unaweza kua agano Bora zaidi ya damu ya KRISTO YESU iliyofanyika agano kwetu sisi na MUNGU???. Hakika MUNGU akukemee, na aiharibu mawazo babaya na roho chafu ndani Yako. Shetani anakutumia Kwa nguvu.
Mimi nasema watu wanatafutia tumbo lao saivi yesu alisema tumtazame yeye mwenyewe kuazisha na mwenye kumaliza yeye ndiye aliifia dhambi hay sasa huyu nabii kafanyanini chakumshinda Jesus mbaka tu mtadhame yeye
@@NasofaAnna na unapoona watu wanota ndoto kama anavyowaza kichwani mwake, sawa na ujinga na upotovu anaozusha huyu wakala wa shetani, tusishangae maana shetani Ili aweze kufanikisha jambo lake hutumia akili nyingi ionekanayo kwetu sisi kua ni kweli kumbe ni uongo. roho chafu ya shetani itokayo Kwa huyu nabii ndio inayoenea duniani Kwa wale wasiomjua MUNGU.
Amen mtumish mwanzon nilikua sikuamin kama mtumish wa mungu 😢niombee nimekosa
Mimi sio Msabato Ila Ukisema kuhusu Jumamosi Nakuelewa sana Baba..Wewe Ni Mtu wa MUNGU Hakika
Nabii naomba na maombi yako niwe salama na familia yangu na watoto wangu na ndugu zangu hata wale ambao hawaamin,wakapate kuamin.
Amina prophet the Man of GOD be blessed.
Mtumishi nabii, nimekusikiliza sana na nimeyaelewa uliyosema ni kweli, ila nabii mim moyo wangu umepotoshwa sana na manabii wa uwongo ambao sikujua, wameniambia mengi kuuzu mungu kunitendea, ila hayakutokea, sasa mim nitaondoka dar yakitokea uliyosema, mie nitakuja ulipo nitakufuata
Amen, ushindi ni lazima kwa msaada wa Mungu.
Nakuamini.sana nabii musa napenda uwepo wako kwenye mtandao unanipa faraja sana AMEN AMEN AMEN
Yesu Kristo vipi huyu wewe pona Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai pona
Amina amina ubarikiwe nabii wa MUNGU Musa
Amina amina mwenye masikio na asikie
Wewe ndiye Nabii mwenye msimano mkali wa kulazimisha mambo
Yesu alisema mamlaka yote mbinguni na duniani amepewa yeye, wewe umetoks wapi tena jamani😢😢
Umemwambia kwel
Huyu kapagawa na mapepo tu, anajifanya yeye ndiye mwokozi
Wakati huo ulikuwa unajua kama utazaliwa jamani tuwe makini nisiku za mwisho yesu ndiye njia na kweli na uzima
Kwa maneno hayo Dar haitaangamia.😂
mti wa uzima ni Yesu 2
Uongo (rejea Mathayo 24:4-6)
Amen and Amen
Asante Muea wa Tongareni
😂😂 we jamaa ni muhuni labda wajombazako ndio watakuamini.
Tafuta kazi ya kufanya brooo
Yaani kwa sasa watu hawasilikizi mengine, ili uaminike na wasadiki unayosema, wewe endelea kumsihi Mungu aangamize dar kama ulivyosema na siku ndiyo hizo zinakimbia. Ila lisipotokea ndugu nakuonea huruma sijui utaweka wapi uso wako.
Mi nitaendelea kusema hii,roho siyo.Tangia muda tu,Et Yesu atarudi 2666,huna aibu,Biblia inasema hakuna ajuaye siku wala saa Hata Mwana wa Mungu Yesu hajui ,isipokuwa Baba .Huyu ni nabii wa Uongo, ni wasio ona tu ndo watamkubali Hakuna cha kuangamia Dar,Musa ana Eliyaha watakuja baadaa ya unyakuo kwa ajili ya kuwahubiria Israeli.
Ewe mwana wA joka🎉acha kutapika sumu iliyoko ndanii Yako,isije ikauwa watu Kiroho,labda wewe ni Nabii wa Kuzimu
Siku zote zinafaa kw kusali hakuna siku mbaya wala Mungu hajaumba siku mbaya
Siku zote ni sawa lakini Mungu alitenga moja TU kwa ajili ya ibada
Mathayo 15:9
KUABUDU KWAO NI SAWA NA BURE MAANA WANAABUDU WAKIFWATA MAFUNDISHO YALIYOMAAGIZO YA BINADAMU
Jiulize Jumapili Imetokea wapi? Kwa Maagizo ya MUNGU Au Ya Binadamu
Wewe umerukwa na akili. Ulituambia Dar itazama, nasubiri hiyo tarehe uliyoisema ili uabike vizuri. Dar haizami na sisi tunaomjua Mungu wa kweli hatuhami ng'o
Kuna cripu uliwahi kusema wanao fanya ibada jpilimbinguni wataenda kwaneema ya mungu ikiwa watafanya kwa usahihi
Sasa kama wewe ni mkuu kuliko yesu au umekaa kwenye nafasi ya yesu mbona sasa unasema bwana yesu asifiwe kama sio uchizi huo ninini
❤
Mimi nimepewa mamlaka ya kristo badala ya kristo nasimama mimi😅😅😅😅😅😅
Duuh huyu jamaa alianzaga vizuri sijui wamemfanyaje au alijiinua ndiyo akavamiwa akawa hivi? Na kibaya zaidi atapotezwa vibaya na hayo mashetani!
😂😂😂😂😂
Unamatatizo maana huwez kusema wewe ndo unahukumu
Nimkuu kuliko--------😂😂😂😂😂
Huyu ni Pepo.
Kwani wewe ndio mwenye mbingu jamani
wewe ukiwa nuru na Yesu atakua nani?
😂😂😂
Akujibu, asiwe kimya
Mm nawaambia huyu nabii ni chizi nyie mnabisha hayasasa sikia maneno yake
Yaani amepagawa kabisa aisee
Umeingia rasimi kwenye kundi la manabii wa uongo. Huna lolote wewe agent wa kuzimu. Wengi walitokea kabla Yako wakijigamba kuwa ni Elia na wengine Musa. Wewe siyo mtu wa Kwanza. Usipotubu utaangamia
Huyu lijinga kabisa, bibilia inasema Yesu ndio wa kwanza na wa mwisho.
Wew unatoka wapi Hadi kua agano la mwisho????.
Wewe mshenzi kweli kweli.
Wewe unaweza kua agano Bora zaidi ya damu ya KRISTO YESU iliyofanyika agano kwetu sisi na MUNGU???.
Hakika MUNGU akukemee, na aiharibu mawazo babaya na roho chafu ndani Yako.
Shetani anakutumia Kwa nguvu.
Mimi nasema watu wanatafutia tumbo lao saivi yesu alisema tumtazame yeye mwenyewe kuazisha na mwenye kumaliza yeye ndiye aliifia dhambi hay sasa huyu nabii kafanyanini chakumshinda Jesus mbaka tu mtadhame yeye
@@NasofaAnna hata angefanya, Bado haipaswi kufuata yeye, kwani huyu ana mahali ya kuweka roho zetu
@@NasofaAnna na unapoona watu wanota ndoto kama anavyowaza kichwani mwake, sawa na ujinga na upotovu anaozusha huyu wakala wa shetani, tusishangae maana shetani Ili aweze kufanikisha jambo lake hutumia akili nyingi ionekanayo kwetu sisi kua ni kweli kumbe ni uongo.
roho chafu ya shetani itokayo Kwa huyu nabii ndio inayoenea duniani Kwa wale wasiomjua MUNGU.