Kila mara napoona masifu haya nabarikiwa sana....Mungu awabariki watawa wote wa Mvimwa Mungu mbariki Abate Martin Pambo Mkorwe OSB SIKU ZOTE TUDUMU KATIKA MAISHA YA SALA TUKIKUMBUKA KUWA MAISHA YETU HAPA DUNIANI NI YA KUPITA TU HAKUNA ATAKAYE ISHI MILELE KWA VIZAZI VYOTE...MUNGU WEWE NDIWE TUNAYEKUTUMAINIA!
nafurahi kuwaona schoolmates wangu wa seminari ya Hanga. nawapenda na nimewakumbuka sana. frt penson kihaka. ulikuwa nami hanga na ndanda pia. Natamani kurudia njia hii lakini nahisi nimechelewa. namuona brother chikole pia. Mubarikiwe milele. ipo siku mtanikuta na mimi Hanga.
Ni tamu sana, kweli Benedicto na baba wa ustaarabu huko Ulaya. Kazi na Sala
Kila mara napoona masifu haya nabarikiwa sana....Mungu awabariki watawa wote wa Mvimwa Mungu mbariki Abate Martin Pambo Mkorwe OSB
SIKU ZOTE TUDUMU KATIKA MAISHA YA SALA TUKIKUMBUKA KUWA MAISHA YETU HAPA DUNIANI NI YA KUPITA TU HAKUNA ATAKAYE ISHI MILELE KWA VIZAZI VYOTE...MUNGU WEWE NDIWE TUNAYEKUTUMAINIA!
Roho yang imesali kwa ibada kuu. Ibada yenye uchaji. Unyenyekevu wa hali ya juu sana.
abasia ilonilea kipindi chose cha Masomo yangu. Mungu azidi kuiimarisha zaidi
Mungu awabariki sana ndugu zangu kazeni buti mtuombee na sisi wenzenu ambao tulikuwa wote shetani akatupia
nafurahi kuwaona schoolmates wangu wa seminari ya Hanga. nawapenda na nimewakumbuka sana. frt penson kihaka. ulikuwa nami hanga na ndanda pia. Natamani kurudia njia hii lakini nahisi nimechelewa. namuona brother chikole pia. Mubarikiwe milele. ipo siku mtanikuta na mimi Hanga.
Amen
Mwenyezi Mungu azidi kuwaongoza katika utume wenu mababa na awaimarishe daima
Iko vizur be blessed
nzuri hii
Sala na kazi, Abasia ya mvimwa inapendeza sana
Naomba mniambie mnajiunga na shirika Kwa vigezo gani?
@@johnpetrokundya2136 unaandika barua kwa Mkurugenzi wa miito au Abate kisha unaomba kujiunga na shirika kadiri ulivyoguswa.
Ok,Naomba Anwani yake au namber yake ya siku.
Naomba namba Kwa Mkurugenzi wa miito na Kwa Abate.
Umri kwa wanawake na wanaume ni miaka mingapi?
Hongera sana My Brother Frt Gregory Kwa upigaji kinanda vizuri katika masifu ya jioni
Asante sana
@@greyhilary4986 Kristo, wewe ni Frtr. Gregory?
@@lydiakaiza4454 ndio
nzuri xana
Jamani tusome na uislam japo kidogo tutajifunza mengi na tutaijua njia sahihi ya kumjua mungu wa kweli
atukuzwe mungu
Nzuri!
Nzurisimo!
Nzurisissimo!
Mbalikiwe saaana Mvimwa
Hakika mungu anatukuzwa
Hakika hamsali pekee yenu nasi kupitia ninyi Amini tunabarikiwa
MUNGU awatunze na atunze.kanisa letu Takatifu katoliki pote ULIMWENGU Mama Maria Mama Yetu Utuombe
Utume mwema
Ora et pax
Hakika kuna watu wa ajabu ulimwenguni...yaani kuna mtu haipendi video hii maajabu