TAFSIRI YA AKILI NA BINADAMU - Cosmas Madulu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 8

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel9027 ปีที่แล้ว +2

    Hongera classmate wangu wa Nyakato Sekondari

  • @JamesJoseph-y7n
    @JamesJoseph-y7n 7 หลายเดือนก่อน +1

    Somo kubwa sanaa

  • @hassanshabankombo423
    @hassanshabankombo423 15 วันที่ผ่านมา

    Mada zuri mnazinyima muda dakika 2 tu

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu ปีที่แล้ว

    Akili kwa kuelewa wangu
    Akili ipo moyoni,
    Najua Kuna thana mbali mbali za kisayansi

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 4 หลายเดือนก่อน

    ASANTE

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 หลายเดือนก่อน

    Mimi ambacho nakijua ni kwamba. Akili ni uwezo wakutoa kilichoko kwenye u bongo na kukiweka kwenye matendo. Tunaweza kufundishwa hesabu, mimi nikakalili, wewe ukakosa bidii ya kutoa kilichoko kwenye ubongo na kukiweka kwenye matumizi. Namba NDO hutoa jambo kwenye ubongo kama kukukumbusha

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 ปีที่แล้ว

    Ndo mana watoto wa kishua Hawana Akili😂

  • @elimikasasa643
    @elimikasasa643 2 หลายเดือนก่อน

    Ndugu, napenda kukusikiliza sana. Leo naomba nikujulishe kuwa "akili sio utatuzi wa matatizo" hapana kabisa. Hicho unachosema wewe ni matokeo ya matumizi ya akili. Akili ni dhana ya kufikirika isiyoonekana na hudhihirika tu mtu anapotatua tatizo. Hapo ndipo tunatambua kuwa mtu fulani ana akili. Akili si utatuzi wa tatizo bali utatuzi wa tatizo ni matokeo ya uwezo wa akili.