Kweli dear umepona miaka.mingi mpenzi ulikuwa kwenye maumivu nakutambua miakaa hiyo I lakini Mungu ni mwema na kila jambo Lina sababu na Mungu anajibu kwa wakati amejibu usihofu yamepita na.maisha mazuri yanakuja❤ ulikuwa.mjanja mjanja mwenyewe mm nakupenda mwana kinondoni mwe zangu❤❤
Unaongea maneno mazuri,lakini sio kwa watz,watz maisha yao ni kuhumizana tu.hata ukiacha madawa watu watakuumiza tu,watz hawapendi kusaidiana bari kumizana.ndio maana hata rey c hakaama nchii hili hapate amani.utakuta mtu kahacha lakini mtaani wanamnyooshea vidole mpka mtu mwenye rohoo nyepesi utakuta analudia tena, sabbu mtu kaacha bado anaitwa mteja neno ambaro linaumiza sana,utakuta mtu anarudia tena anaona kahacha anaitwa mteja,ndio anapoludia tena
Suzy umeongea maneno ya maana sana Mungu azidi kukuongoza wanaokubeza Mungu awazindue
Ila inaumiza sana hya mambo yaskie tu kwa mwezio yaani mambo ya unga ni kama ukiskia mtoto wa mtu shoga ni kuwaombea tuu mungu awasaidie😢😢
Kiukweli nampenda sana Suzy,hana makuu dada wa watu,Mwenyezi MUNGU akufanyie wepesi katika safari hii ya maisha,utasimama tena
🎉❤🎉❤🎉❤ love her
Jamani mungu wa mbinguni akusaidie usije ukarudi tena
Daaaaa pole snaa aise umepitia mengi sana mungu azid kukusimamia dear Suzy bale
Mungu azidi kukusaidia na kukusimamia usirudi huko!
Kweli dear umepona miaka.mingi mpenzi ulikuwa kwenye maumivu nakutambua miakaa hiyo I lakini Mungu ni mwema na kila jambo Lina sababu na Mungu anajibu kwa wakati amejibu usihofu yamepita na.maisha mazuri yanakuja❤ ulikuwa.mjanja mjanja mwenyewe mm nakupenda mwana kinondoni mwe zangu❤❤
Pole Sana mpenzi mungu akuongoze katika njia njema
I love you Suzy Bale
Mungu akuwezeshe Suzie bali love from kenya 🇰🇪❤
Wee huogopi 🎉 nakupenda dada angu
Huyu ndo mzaramo sasa akiongea tu utajua uswazi umemkolea,anaweza kukuchamba mpaka ukazimia😂😂
Pole sana Suzy kwa mapito
sorry my sister
Kweli ila serikal Tu ndio biashara zao hizo kuisha n ngumu Sana hio biashara
Unaongea maneno mazuri,lakini sio kwa watz,watz maisha yao ni kuhumizana tu.hata ukiacha madawa watu watakuumiza tu,watz hawapendi kusaidiana bari kumizana.ndio maana hata rey c hakaama nchii hili hapate amani.utakuta mtu kahacha lakini mtaani wanamnyooshea vidole mpka mtu mwenye rohoo nyepesi utakuta analudia tena, sabbu mtu kaacha bado anaitwa mteja neno ambaro linaumiza sana,utakuta mtu anarudia tena anaona kahacha anaitwa mteja,ndio anapoludia tena
Watz wakikupa jina km Huna MUNGU utajiua..
Ila muhimu ni kujua kila mtu Ana dhambi
❤❤❤❤❤❤❤
ETI KIOO CHA JAMII😅😅😅😅 JAMII GANI?
Jamii hii hii . kaongea maneno ya maana sana
@@chumchum1526 🫡🫡🫡God bless you so much ❤❤❤❤❤❤🇨🇳
@@ELIZABETH-uz6dv tubarikiwe sote kipenzi😍
@@chumchum1526Sana sanaaa dear umemjibu vizuri
Tema mate pembeni ni mtihani kwakweli