Diamond-Fiesta 2012 Liveshow in Dodoma
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Watch new video ft Ne-Yo "Marry You" : www.youtube.com....
DOWNLOAD/STREAM “Marry You" : DiamondPlatnum....
Ulikuwa usiku wa Fiesta 2012 in Dodoma,Video hii imeletwa kwenu na www.thisisdiamond.com (Camera by Bestizzo wa Thisisdiamond
Huyu mondi katoka mbali huezi mfananisha na msanii yeyote yule likes za 2022 ziingie hapa kama bado unakumbuka hizi enzi za kibe
Kutoka kwake mbali hakujazuia wengine kutoka mbali kila mtu anastoria yake
Ya 2023 hiyo
Pamoja xanaa
@@philemonambilikile839taja mwenye historia yke inashinda ya diamond
Tuloangalia hii vid kwa mara ya kwanza tjuane plzz😁😁😁👍👍
Diamond umetoka mbali sana naomba zawadi mm Ndo mtu wa kwanza mwenye Nyimbo zako zote kuanzia namba moja Hadi ya mwisho Zuena 2010_2023 let go 👏💪
Huyu boy ametoka far, likes za 2020 ziingie
🤣🤣jmn
tupo hapa 2020
Weni mtuwaw2
Am here 2022
He deserves to be where he is! Mad love
diamondplatnumz nilichogundua unapendwa tokea zamaniiii
Hatari huyu
Nakwambia huyu jamaa toka zamani huyu jamaa hatari. Acha hawa wenye walishikwa mikono tukiwaona. Huyu jamaa muchapakazi
huyu sio.freemanson uyu ni mpigakazi
Uhaakika uwo😂😂
Vp
one thing i know for sure,,,diamond platnumz deserve to be where he is now. #2020 December 💯🔥
👏👏
Kama unaiona hii shoo 2024 gonga like hapa❤
Mond mond mond kitambo ila ulitisha mzee baba ni haki yako kufika hapo ulipo ulikaza sana ktk game.. Mond mziki uko kwa dam unamzuka mbaya nimependa unapenda sana mashabiki wako.. Kingine ile uko wazi ktk mahusiano huwa huna siri kwa wako mpenzi hiyo nayo ni chachu kwa mashabiki kuhusisha mahusiano yako yani kuwa wazi safi sana na ndiyo maana utafika mbali unatengeneza story kwa mashabiki kuona mond vipi leo... Mond ana nn leo mshabiki hachoki kukufuatilia kwani ni uhalisia ktk maisha ya mwanadam.. Mungu awe nawe daima mond. Umetoka mbali sana na mpaka leo bado unatambaa na bongo flavor yako tena kimataifa ww hakuna kama ww wcb forever 🙌🙌👏👏🔥🔥😘😘😜👌dope
Halima Mbwego dah kweli aliaso sana nikiiangalia hii show na mond wa sasa kazi aliifanya kufika alipo sasa
performance ya Diamond kwenye show miaka 8 iliyopita ni zaidi ya performance ya msanii yeyote wa Tanzania mwaka 2020 isipokuwa yeye Diamond alafu kuna watu wanajishindanisha naye
Kabsaa
He worked so hard for everything and may God keep him higher because, this yound man deserves everything he have and he deserves even way much more. He is so humble to the ground and his kindness is uncomparable. He deserves everything he would ever ask for
Leo tarehe 28--5--2022 saa 8:35 usiku wa kuamkia tarehe 29 nimeangalia hii show Brother ulitisha sana, pia ulionesha juhud za waz kabisa tokea muda mrefu, Mungu akubarik sana 😰😰😰
Me pia
dah! yani hii noma imepasuwa ile mbaya! diamond uko juu tu sana!
Aseee!!!! He deserves more than alipo huyu jamaaa🙌🙌🙌🙌
Mmh haya 2021 twende kazi na like zenu hapa
Kenya loves your music ...mad respect 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I know it is kind of randomly asking but do anybody know a good place to watch newly released series online?
@Levi Layne Ehh atm I have been using Flixportal. you can find it thru google=) -zahir
@Zahir Eduardo thank you, I signed up and it seems like they got a lot of movies there :) I appreciate it !
@Levi Layne You are welcome :D
Kama unacheki shoo hii2023 gonga like hapaa
Leo tarehe 2 mwezi wa 2 mwaka 2021 naangalia hii show na nina enjoy hatari
You are a legend dangote. Watching this in 2022
Ulionyesha juhudi za waziwazi kabisa kwamba unanjaa na mashabiki tumekupa chakula, but still hujarizika wala kutudharau mashabiki zako! Mzee komaa sana TUNAKUAMINI hujawahi kuharibu🔥
Sana
Hahaa😄,This was Seven years Ago- One Man on the Stage 🤔...
Duuh! Bro,You deserve to be where you are now
More love to #DiamondPlatinumz
I like how he just continued with his proformance ..I would do the sameee
For sure 👍
You deserve to be where you are now🥰🥰🥰🥰
2019 /3/27 nmeangalia ila wagogo wahuni sana
The diamond I miss😍😍,,, huyu wa jeje sijui alitoka wapi? We want our diamond back🤧🤧
The ancient one was hotter, music with strong messages
Talented boy, this iz how far he came from.🦔🔥💡🦁🦁🦔
He deserves to be where he is now for real 🥰🔥🔥 much love from Kenya
This was the moment. Just came back to reminiscent. What a great talent
Diamond is just the best ever
I Like This Show In Dodomo (Daimond Platnumz)
Diamond you are humble,which is a very rare quality for some people who have had humble beginning. Hope you remain that humble,and as you continue to reach great heights
He is very humble. Most of celebrities won't even allow to be touched . God raise up those who are humble. Didn't know this guy, only last when I mistakenly played his ''number one'' , then Kesho, then mbalaga, mawazo....have to use google translate for me get the meanings of the song..though it won't give me exact meaning...Now am searching for everything concerning this DIAMOND-PLATINUM of mama AFRICA , I will play his songs on our wedding on 20 december this year...I am from Zimbabwe, Zimbabwean musicians and celebrities are also humble, however, yea DIAMOND is rocking me now......nataka kesho twende ............
Am happy he still is
😅😆😆😆😆😂men I love Diamond omg they took his shoes , socks n then pulled him down wow the crowd is on another level 😕🤨😂😂
Diamond will remain both east Africa and Tanzania best male artist 🔥🔥🔥🔥
Wagogo watu wabaya sana
Ndio maana mwaka huu wasafi westival alikua makini nao balaa 09/08/2019
Zari hawezi hayo mashamsham. Wema alikuwa anawagusa sn watu. Ndomana kila siku wema anabaki kuwa wema tu 💕👌anavyake asilia sio vyakuigiza.
hardwork and determination pays
Diamond platnumz performance yak tangu 2010 til now kweny jukua balaa. Anamiliki jukua hatarii. Nani anakataa?? From uturuki #Basita21
Umetoka mbali bro!..sio wengine ngoma moja tu wanazunguka na baunsas inapaswa waelewe haikuwa kazi rahisi kwako kuwa na madensa na guards umepambana bro🤙🥊
Nakuunga mkono
I really like this song
You Deserve to be The Simba of Africa❤️❤️❤️❤️❤️
nyimbo za kitambo zinaweza sana wanangu❤❤
Tunao angalia mwaka 2024 mwezi wa9 tarehe4
Simba atabaki kuwa simba 15/11/2020 aaahh woteeeeee
Aki diamond 😢😢😢😢 this guy if from far,,,the far musician i grew knowing and loving 😮😮😮he made me fall in love with music
Keep shining 🌟 diamond salute to you mond
Here in 2023. Mad respect. I respect your journey and your growth
mad love!
The happiness in watching your shows💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🧡🧡🧡🧡
Hahahahahahaha bongoooo nukisiii wamemvua viatu na soksi zake hahahaha it made my day
Nahis ni mimi tuu nloangalia hii 2021 its so nice
Mond tafadhali vumisha show kama hii tena Na nyimbo mpya this year 2020
Duuh kiukwel napenda xana kuangalia na kuapriciate ulikotoka braza kwel u deserve that you have now make ulituaminixha mashabiki zako big up xana
You really deserve it man,big love from ua fans,in 2023 we need the old legend Simba.
2023❤❤❤❤tunatazama show ya 2012 safii sana Diamond platnumz🔥🔥🔥🔥🔥❣️
2020/avrl/20 goga like hapa
Lakini dodoma viatu vya simba jamani😂😂😂#WCB4life
Wahuni sio watu
Viat miwani na sinzani kama hawakuingia mifukoni kwerii 😂😂😂😂
He is really a legend ❤❤❤❤❤❤❤❤
I say! Wamemvua Diamond?! Hahhaa yaani nimebaki kicheko. Watu wetu waAfrika jaman!!!! Pole kaka :-)
Diamond ni Mfalme toka kitambo🙌🙌🙌🙌
Ils à 11 sans déjà le 🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪👌👌👌🦁 Simba Daimond plantumz ❤️😍😍❤️😍🇫🇷 machallah j'ador j'ador
I have seen how powerfull a woman is when she is with a man she loves
2024 Watching vibes Diamond Platnumz the great
Kumbe mondi alkua wamoto tangu anaanza music nimecheki 2024 mwezi wa7 show ilkua vaebu sana
😭😭😭😭nimeona alikotoka na nikifikiria alipo Sasa hadi inatia huruma yaani🦁🦁🦁🦁Simbaaa
Kwel ur "DIAMOND".you shined since way back💪
King came from far 💯❤❤❤
Yani diamond kwanzia zamani nimupambanaj ndomana nitamupenda mpaka💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪❤️
She deserve it All 💗💗🔥🔥🌹utavuna ulichopanda....sai ni wakati wa kuvuna kaka
Wanao sema fremason hao wameishiwa nyimbo zakuburudisha watuu wamuache huyu kijana
She??????????
2020 Hapa 💥💥💥🍹🍹
2022 still 💥❤
wa Africa
Love mond❤
awesome
Wambogo brother
Simbaaaaaa
Tujuane 24 fully 2024 kuendelea
Mm i like wema na diamond forever
Forever and ever wametoka mbali sana hawa wawili....wema na diamond, na wapumbavu wengine wamekutana na diamond akiwa na pesa, na hawajui, wapi alianzia na wema! Jamani Hongera Sana wema Sepetu Mungu ndiye anakujua zaidi.
Diamond alikuwa n nyota Kali yani tangu zamani..u deserve the title SIMBA 🤞
@diamondplatnumz for life🦁
Life is a process ...congrats brother
Hata Baada ya kunyang'anywa Kofia na Viatu show Anaipiga Mguu Chuma...
Huyu ni #Simba
Walai Huyu kijana ana nyota..ona aliko sasa
Mshkuru sana WEMA SEPETU diamond.....
😂😁 wahun wame chukua viatu kofia..... All in all jamaa yuko very talented dance and sing kwa wakat mmoj..... Npo apa November 2020
Noma sana
Noma sana
Good job 👍
Daah Platinumz
Harii sana huyu jamaa
Da Honest Hustle is Real
Talented dimond pltmz
Simbaaaaaaa wee ni balaaa👌👌🔥🔥💣💣
Respect bro😊
2021 mimi ndio naitazama
The real simbaaaaaaaa
Wema diamond.
Napenda wahuni wamemvua viatu ye ye kauchuna na kiwapa show Kali....Simba Simba Simba
Haikuwa big scandal..
Iloveyoudiamondismaureen
Wema weeeema weeeeema zamani
Dah kumbe jama kipenz ca watu toka zamani
2018 nani mwingine🔥🔥🔥
Wema alikuaga mzuri sana zamani❤🎉🎉
surely mbona huyu mtu hakuwe na haters....he is the best 👌 👍
Hata sisi vijana wengine tujifunze ,,,mtu yeyote huanzia mbali mpaka afikie sehem flani,,,Simba deserve to be where he is now
Sure