Shoga una apo ww dada ume changia kuaribu mapenzi ya wenzako ume msha waishi sana sio vizuri kabisa dada uricho fanya mabinti wa sas iv sijuw aka wana weza kula taa ata iyo Alfu ishirin msifanye ivyo wa dogo zetu😢
Ivan, huu upuuzi kuna siku mtakuja kuwaua watu au ww mwenyewe. Kuna viashiria vingi visivyo salama. Take this otherwise Kodi security and wana saikolojia pia for safe.
Yani mm binafsi hi haya machalenji siyaelewi yana faida gani kwenye jamii. Ww unaefanya kz hii, ngoja uje siku moja usababishe mauaji watu wamechomana visu ndo ukome.
Hata hawa kitu na shem wake Nina wasiwasi kama wanadate coz picha linaanza walikuwa wameshikana mikono kipindi wanaingia apo ndani ndy Ivan kawastop eti shem wangu😂😂😂😂
Fumanizi La Usiku la Goba Part Two Nipost lini?? Samahani kwa kuchelewa ndugu zangu Chuo kimefunguliwa Mambo Mengi📌
Saiv ile tam ile😂😂😂😂
Kila siku unatuuliza jmn c upost tuu jmn leo😢
Iyo hotel iko wapi mkuu.
@Ivan17_tz naomba mawasiliano kwenye iyo hotel
Post now
7:10 sema Ivan mnafiki kweli eti Bora tuishie hapa hapa, wakati anataman ashuhudie mpaka mwisho😂
Ni mnafiki kichizi😂😂😂
😂😂😂@@Neemamtey
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Chezea umbea wewe
Mnafki sana kwanza kwanini akubali iyo challenge kama alikuwa nampenda rafiki yake
@marrykigabimk hatari
I come from from America😂😂😂
Daaah mwnngu ivan nakua appreciate xnaa na kaz good work keep raising
Watu hatu lali kwajiliyako ivan 😂😂I’m from 🇺🇸 saizi ni şah 1:58 night
Shoga una apo ww dada ume changia kuaribu mapenzi ya wenzako ume msha waishi sana sio vizuri kabisa dada uricho fanya mabinti wa sas iv sijuw aka wana weza kula taa ata iyo Alfu ishirin msifanye ivyo wa dogo zetu😢
Daaaa hatari sana mmefanya mpaka nimeingiliwa bando,😂 umbeya huu
😂😂😂😂😂😂duh jamni nimecheka kweli
😂😂😂 kabisa
Itakuwa shoga anamtaka mumewe😂😂
Kwnza huwezi kumjaribu mwanamke na pesa na hiki kipindi ni htr sana tena sna
Mwanagu unani frahisha kinoma yaan good work brother Ivan 17
😂😂😂duh ila wadad kazi ipo mbinguni hatuendi 😂😂😂to
Daaah..!! Kingerez Ndo Kimenihuman Xana Mim😂😂😂😂😂😂
Yaan nakubali sana kazi yako bro, picha linaanza kwanza unajiamin kwenye kingereza
WEWE LAFIKI WA MADAM UNAKISU CHA UCHOCHEZI KIKALI 😂😂😂
Amna party tena 😅😅
Kanafiki aka ety😂 usichelewe akagaili
Hayu rafiki mjinga Sana yn ameshindwa hata kumtumia mcg mwnzie kuwa huo n mtego daah wanawake mbn tunakuwa hivi jmn
Nyie nao mumezidi tamaa
Et kashindwa ata apooo
Ungekuwa rafiki wa kweli ucngefanya huo upumbavu. Au ungemtumia msg acje loohh. Rafiki mnafki
Sema dem alikua na msimamo shida ipo kwa huyo shoga mnafki mamaeee zakeeeee
Yeah 🎉🎉
Ivan anasemeleye kbx et naona ampigie anachezea tu simu 😂😂
Duuuuh ila hako kadad kanafiki sana duuuuh me kwanz Bado mdogo kwenye mapenz 😂😂😂
Mm nahc mapenz hayajaribiwi kwa kweli
uyo rafik ni mnafki sana
Ila challenge nyengne za kutiana tamaa😅
Kua makini et mjumbe auwawiiiii ooooh 😅😅😅😅😅 utakua mfan wa kuigwa
Hapo kwa ruzungu 😂😂😂😂😂😂🙈🏃💯 kaka weeh 😂
Ata ingekuwa kwel lakitatu ukiachiwa na magonjwa juu
Aaaaaaah kama
Ni
Mm
Namwacha amna huaminifu tena
Wa TZ nyinyi na usaliti no1 mbaya io
Sit over here air conditioner switch on , my name is jackson am come from United States of America 🇺🇸 😂😂😂 I will be tz from
😂😂😂
Kingereza cha kunywea maji kweli
@@RashidiMdee-s3p kajitahidi sana
Kwa kingereza ichooo ningejua tu we n naniiiiii😂😂😂😂
Kwamba ungejua tu l VAN
😂,😂😂😂😂ivan jmn en don worry mara nyingi kichizi.
Kaka kwel kingeleza ni cha kunywea maji😄😄
😂😂😂😂Ivani hyo ni Ingiliz
Rafiki ni mnafiki kwa tamaa ya elfu
Ivan mnafiki sana anachekelea tuh😂🤣
Laki tatu tu kaaah😂😂😂 by the way asifike mkenya hapa na hichi kinge cha ivan tumeisha🙌🙌🙌🙌
Iven mnafiki sana mshikaji wangu mwenzio anaumie alafu wewe unafurahi kaka sema nakukubali sana
😂😂😂ila wanawake hapana kwakwel
😂😂😂
😂😂😂shoga kamuuza shoga yake
Ushoga Kaz mie akaaa😢😢
😂😂😂chibongee mwepesi
nyie waongo mnacheza kwanza kama muvi halafu ndo mnatuletea hapa matapeli nyinyi😂😂
Ila utakuja kupigwa weww ivan😅
Mmmmh hicho kingoso mzee
😂😂😂😂Ivan Ivan nakuita tena ningekua Mimi ningekimbia mana ningekutambua tangia mwanzoni. I come from from America? Really???
😂😂😂 kiengereza 😂umejidahid lkn
Ukixkia kazin Kwang Kuna Kaz ndo hii ,,, Eeeeeeh Sir God niepushie mbali
Hiyo kiingereza ya Vingunguti Kiembembuzi bado msichana hajashituka tu?
😂😂😂😂😂 Sio kwa icho kigerezaaaa
Yaan ww kaka ni shetan pamoja na huyo dada
Dada mnafiki angetuma sms kwa rfk yake uokoe mahusiano yao ili usiwe sababu ya kuharibu mahusiano yao😢
Sijui hata nacheka nn 😂😂
Yan tok nione clip zako Kila siku bando langu linaishia kwako
Rafiki mnafiki huyu duh
Hicho kingereza au kimasai 😅😅😅
Ohhhhh pesa na mapenzi abihusiyani ukimpenda mtu unampenda tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nani kakidanganya
Duuuh hii contect inanichekesha San 😂😂😂😂😂 mambo ni moto mambo ni 🔥 pesa ni mshipa wa damu watu hatueleweki tunataka Nini 😂😂😂😂🎉🎉
Nahiyo hôtel unayipenda😮😮😮.mapenzi shikamo
Ni baloz wa hiyo hotel pia nahis kuna baadh ya challenge n kutangaza biashara
Sit over hiyaaa😅😅😅 kwisha
Huyu mdada ana tamaa sana yeye ndo ka sababisha kila kitu
Ivan, huu upuuzi kuna siku mtakuja kuwaua watu au ww mwenyewe.
Kuna viashiria vingi visivyo salama. Take this otherwise Kodi security and wana saikolojia pia for safe.
Don’t worry sit over 😂😂😂😅
ivan mungu anakuona mhm kwamba huyo dada hajawah ona clip za ivan
Dada mnafiki sana ameshindwa hat kumtumia.rafiki ake sms kwel
Mapenz yanaum nyie😢😢ah csubt kufany uu unyama😂😂😂😂😂
Kingereza kimeniuma sana kimi😂😂😂😂😂😂
Ivanny m demu Wang ananikubari hata umfanyie challenge ya ndege atanichagu mm2
we msenge unazingua na kingereza chako 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂hicho kingereza Cha wapi
Yani mm binafsi hi haya machalenji siyaelewi yana faida gani kwenye jamii. Ww unaefanya kz hii, ngoja uje siku moja usababishe mauaji watu wamechomana visu ndo ukome.
Lakin hatimae wanaume wamefikiwa😅😅😅
Kwani mpaka unajifanya Mzungu huwa hakufuatilii😂
Nilikua naisubiria 😂😂
Dah huyu Dem alikuamije mbn hata kingereza hakielewek huyu Dem msenge m Dem wangu usingetoboa
Kamshawishi mwenzake
Hicho kingeleza sasa😂😂😂😂
Challenging 😂😂😂😂😂😂😂
Ila aivani mchawi sana😂😂😂
Wanawake wa siku hz nyoko
Daah!!!
Hizo pranks muache, lafudhi ya kingereza naifananisha na mtu kutoka buza kwani ye hajashituka tu? 😂😂😂😂
Sasa hii nikuvunja urafiki siyo mahusiano tena😅😅
Ila huyo dada hajui kusoma hata picha kingereza hicho😅😅😅😅
Mbn hiki chumba kila siku ndimo unafanyia kila challenge,alafu hy hotel kila mtu anaingia tu kwenye room
Hata hawa kitu na shem wake Nina wasiwasi kama wanadate coz picha linaanza walikuwa wameshikana mikono kipindi wanaingia apo ndani ndy Ivan kawastop eti shem wangu😂😂😂😂
Kweli 😂😂😂
Sema huyu jamaa kazi yake ngumu sana😂
Huyo shoga yake ni mbea jmn na tena ni mnafiki duuh😢
Yan kwa English hyo mm ningeelewa tu hli ni game🤣🤣🤣
Wewe jamaa.una shida
Sasa Jackson imeingiaje apo 😅😅😅daah
Ww ivan watoto wakiume kama ndio wanafirwagwa mbwa ww
Huyo Ivan mwenyewe anawenge sana duuuuu
Wakenyaaaaaaaaa😅😅😅😅😂😂
Daaàaah jamaa analia 😂😂😂😂 dadeki walahi pesa ,
Yan mm naangalia tu naishiwa nguvu uyo big yupoje moyoni
Nakaa usiku natrade (forex trader mko wapi?😢😢😢
😂😂😂😂jaman sitaki Shoga mie challenge nakutafutia jambaz akuoididi
Ivan utakuja kufa vibaya ww engine hawana uvumilivu kina siku utakula chuma ya kichwa