Hongera sana Mha. Baba Askofu sauti ya kinabii imesikika... Elimu jamii ni sifuri kwa sasa, tunaangamia kwa maadili mabovu tiliyoyakumbatia na hatutaki kujiona wakosaji.
Tumsifi Yesu Kristu, Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi 2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu 3=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
Amen Amen! Baba Askofu Pisa umegusa wengi kwa mahubiri haya ya kinabii!
Hongera sana Mha. Baba Askofu sauti ya kinabii imesikika... Elimu jamii ni sifuri kwa sasa, tunaangamia kwa maadili mabovu tiliyoyakumbatia na hatutaki kujiona wakosaji.
Yupo vizuri sana kwa homilia huyu baba
Asante baba Askofu Kwa homilia ,nzuri .ubarikiwe
Hongera sana baba askofu mungu akulinde ck zote
Hongera sana baba mungu atutie nguvu katika utume wako 🙏🤝
Homilia nzuri iliyojaa ujuzi wa akili na maarifa.
Huyu baba askofu yupo vzr sana mahubiri yake yalikua matamu sana hakika Mungu ni mwema
Hakika Baba Askofu Pisa alitoa sauti ya kinabii 🎉
Hongera sana Baba Askofu mkuu kwa utume uliotukuka
Hongera Askofu Wetu Wolfgang Pisa
Tumsifi Yesu Kristu,
Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
3=Maombi ya vita vya kiroho
Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
Sioni haja ya protokali kwenye tafakari ya neno la Mungu
Upo sahihi lakini Kuna mambo ya msingi kuyafahamu
Hiyo ni shida yako ya kichwa....!