FEI TOTO : MASHABIKI WANATHAMINI SANA WACHEZAJI WA KIGENI KULIKO SISI WAZAWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: www.facebook.c...
    TIKTOK:
    www.tiktok.com...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

ความคิดเห็น • 120

  • @SaraRobert-io8xv
    @SaraRobert-io8xv 4 หลายเดือนก่อน +3

    So kweli sisi tunashabikia mtu anayefanya vizuri natimu tunayoipenda

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 4 หลายเดือนก่อน +3

    Fei uko vizuri endelea kupambana

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 4 หลายเดือนก่อน +6

    Diara.Kwasi.msindo.bacca.Mandoza.Aucho.Pacome.Mdathiri.Guede.Fesal .Azizi key.....uko vizurii wewe ni Mkweli sana .......Kijana anaujua mpira na Ana macho

  • @madyuza4978
    @madyuza4978 4 หลายเดือนก่อน +22

    This time mmezingua,, interview imefanyika week iliyopita mnaipost leo,, oya msituharibie image ya crown media

  • @festogangata7202
    @festogangata7202 4 หลายเดือนก่อน +2

    Upo vizuri Fei

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kiukwwli huyu Dogo Fei anajua sana.

  • @MahmudOmar-gx2ok
    @MahmudOmar-gx2ok 3 หลายเดือนก่อน

    Fei njoo ARSENAL nakutambua mimi

  • @BHALEEALI
    @BHALEEALI 4 หลายเดือนก่อน +6

    FEISAL TOTO ndio mchezaji pekee anaejitambua kwa wachezaji wa ndani.. piga kazi FEI TOTO naamini utafika mbali sana na utakipiga nje REAL MADRID au ARSENAL inshaallah amiin..

  • @WinnieVenance
    @WinnieVenance 4 หลายเดือนก่อน +3

    Feisal💥💥💥

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 4 หลายเดือนก่อน +7

    Tunathamini wageni kwa sababu wanajua ethics na professionalism katika kazi yao. Hawagubikwi na jeuri, kiburi, dharau na majivuno. Wanaheshimu kazi, wanawahesshimu wananchi. Zaidi ya yote wana elimu na uzoefu wa kutosha wa kujufungamanisha (interaction) na jamii inayowazunguka. Hawa si mambumbumbu!

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 4 หลายเดือนก่อน

      Acha chuki Fala ww, vipi Dube, vipi mayele? vipo Enonga? Acha chuki tafuta hela

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 4 หลายเดือนก่อน

      Roho inawauma fei kuondoka yanga mna roho mbaya

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 4 หลายเดือนก่อน

      Yanga mna roho mbaya na mnarazimisha kubebwa Roho inawauma fei kuondoka yanga mna roho mbaya sana

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 4 หลายเดือนก่อน

      @@muksinimbaruku1233 Hoja hujibiwa kwa hoja kutukana na makasiriko yanadunisha uwezo wa kiakili wa kujenga hoja kimantiki. Kawaida tabia ya matusi humrejelea mwenyewe. Hivi hao uliyowataja ndiyo professionals pekee wanaocheza nchini? Mbona wako professionals wengi ambao wanalipwa chini ya ujira wanaopata wazawa? Kwanza professionals wanalipa kodi kubwa kwenye mishahara yao kuliko wazawa na gharama za vibali mfano working permit, nauli za kuwapeleka makwao wakati wa likizo au dharura, mbona hayo hamyaoni. Pili kazi yoyote ya ajira, ujira huzingatia mambo matatu ujuzi, muda na ñguvu ya akili inayotumika. Kama wachezaji wazawa wana vigezo hivyo wanashindwa nini kutoka nje nao wakacheze Mpira wa kulipwa wapate nao kulipwa vizuri sawa na professionals wengine? Uwezo huo hawana , badala yake wanakalia majungu, fitina na roho za kichawi! Nani kamzuia Fei kucheza mpira wa kulipwa? Je, ni Klabu gani ya nje imeisha muwania? Kwa kifuoi Hana vigezo,. Lakini badala ya kutafakari mapungufu yake anakalia majungu. Kama kweli ana machungu na kipato kidogo Cha wazawa aanze kwa kushawishi uongozi wa Azam wampunguzie mshahara na marupurupu ili alipwe sawa na wachezaji wazawa wenzake wa Azam.

    • @dreamleague-uq2gx
      @dreamleague-uq2gx 4 หลายเดือนก่อน

      Takwimu zinaonesha wachezaji wakigeni ndo wachezaji wenye kiburi, jeuri, majivuno na zarau 🙏

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 4 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani mpira siyo uadui , kuna maisha mengine baada ya mpira! Zama za fei na Yanga zilishapita, sasa yupo Azam hebu mwacheni ajitafute kijana ! sawa kakose lakini hakuna mkamilifu tunaishi katika mapungufu .

  • @MaurusKomba-nb3mo
    @MaurusKomba-nb3mo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu ni mchezaji mzuri sana. Ila hanatabia za ovyo sana.

    • @abdallahmkodo
      @abdallahmkodo 4 หลายเดือนก่อน

      Kama zipi tuhambie

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 4 หลายเดือนก่อน +3

    Fei mdogo wangu kuwa mstaarabu kunyamaza kimya kwa watu ni jawabu zuri..yapuuze japo yanakera subra yako ndio mafanikio kwako

  • @tabusalumu1061
    @tabusalumu1061 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hajui kingereza huyoo

  • @makamezahoro8194
    @makamezahoro8194 4 หลายเดือนก่อน +1

    Azam fey ndio amefanya makubwa kuliko alipokuwa lkn kama unajua mpira fkiria alichofanya

  • @ChristopherKisarika
    @ChristopherKisarika 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mbona yanga wanamuimba Baka, Job, Mudathiri,Mzize na hata huyo Feisal mwenyewe waliimbwa sana,
    Timu uliyopo ndio kila kitu,
    Hivi nani anamuona Kipre Junior pale Azam? Hivi Fei anamkuta Kipre?
    Lkn timu aliyopo haina nguvu kabisa, wachambuzi ndio mnamuimba
    Wewe mtangazaji acha unafiki,
    Umemuambia ataje chake afu waweka chako

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kipre ni mchezaj mzur ila anachelew kwenye maamuz kwa iyo anauwa xan mashambuliz ila fei anachez mpira wa akili xan atachelew kuumiy na atafik mbali coz anachez mpira wa kikubwa xan

    • @ChristopherKisarika
      @ChristopherKisarika 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@TwalibKwelii AKILI?????

  • @WamburaBruno
    @WamburaBruno 4 หลายเดือนก่อน +1

    nikweli watanzania wanayo tabia yakuwakubaliiii wachezaji wa kigeni?

  • @jamesassanga8581
    @jamesassanga8581 4 หลายเดือนก่อน

    Fei Bado anaupenzi sana na yanga

  • @Laughter_man
    @Laughter_man 4 หลายเดือนก่อน +3

    WA kwanza leo😊😊😊 ila hii mbona imechelewa asa

  • @deven.oauditx7547
    @deven.oauditx7547 4 หลายเดือนก่อน +2

    Siyo kweli! Huyu jamaa alikuwa akipendwa sana na washabiki wa Yanga kuliko wachezaji wa kigeni. Ila tamaa ilimfukuza.

    • @x7hia
      @x7hia 4 หลายเดือนก่อน

      Sio tamaa ni maslahi!Hata ww ukipata deal zuri lenye maslahi kuliko hutoliacha ata siku moja

  • @danielkabambi4199
    @danielkabambi4199 4 หลายเดือนก่อน +3

    Video quality

  • @YasinSheikika
    @YasinSheikika 4 หลายเดือนก่อน

    Hana jipya huyo macho kulegea kunguni

  • @mnhambomapessa3948
    @mnhambomapessa3948 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yan hakukua na sababu yakuweka haya mahojiano wakati yanayo jadiliwa mengi yameshapita...kwa kweli crown media hapa mme puyanga

    • @Maro_tv05
      @Maro_tv05 4 หลายเดือนก่อน

      Aisee kumbe ndo maana Yesu licha ya kufanya makubwa bado kuna wengne hawakuyasadiki

  • @cretrinomz
    @cretrinomz 4 หลายเดือนก่อน +5

    hongera sana

  • @MuddySanze
    @MuddySanze 4 หลายเดือนก่อน

    Si kweli we mshamba kwani wakati upo yanga ulipendwa sasa haupo mashabiki wa yanga hawawezi kukupenda ipo hivyo huwezi kumpenda adui yako

  • @shafiimsofe9975
    @shafiimsofe9975 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona ulithaminiwa kipindi uko yanga, umeondoka kwa vurugu watu wsiwathamini waliopo, hiyo kauli haiko sawa niya kibaguzi, wazenji achane tabia za kibaguzi , sasahivi mnaongea kauli za kibaguzi sana na kila mahali.

    • @ramamakelo3780
      @ramamakelo3780 4 หลายเดือนก่อน

      Wazenji nuksi saana bro

  • @waltermfikwa4361
    @waltermfikwa4361 4 หลายเดือนก่อน

    Safi, lakin hatujuwi kw nin hamkuipost kw wakat, coz mnajua ikiisha tu interview ndan ya masaa kadhaa baad ya kurevew inatakiwa ipostiwe sasa sjuw nn kiliwakwmisha.

  • @vavalaifm544
    @vavalaifm544 4 หลายเดือนก่อน

    Huwez kusaminika kama hufanyi vizuri na kuichafua tim hata siku mmoja

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kameanza sasa kulialia 😅😅😅 nidhamu kana sifuri haka katoto, vipi kuhusu kutunyamanzisha 😂😂😂😂

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 4 หลายเดือนก่อน

    Good interview

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 4 หลายเดือนก่อน

    Mwacheni kijana bado anajitafuta kimaisha....tulikuwa naye na sasa yupo Azam.....kila la heri Fei

  • @godlovechambulila6997
    @godlovechambulila6997 4 หลายเดือนก่อน

    Hamjuiiii

  • @ThomasGai-kz5cu
    @ThomasGai-kz5cu 4 หลายเดือนก่อน

    Si kweli kuwa mashabiki hawawapendi wazawa, akumbuke alivokuwa Yanga tulivokuwa tunamuimba na kumpenda. Asijisahaulishe.

    • @ce-08
      @ce-08 4 หลายเดือนก่อน

      Lakin alvyokuja Aziz Ki tulimsusa Wala sio uongo

  • @voicdesition897
    @voicdesition897 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nenda Pakistan

  • @IsakaMwalwiba
    @IsakaMwalwiba 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo mmeharibu weken vitu updated kama mnataka kumaintain status yenu

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 4 หลายเดือนก่อน

    Interview ya week juzi leo ndo mnapost ✍️✍️✍️

  • @JamesPhiri-sz5qn
    @JamesPhiri-sz5qn 4 หลายเดือนก่อน

    Pablo 👑👑👑👑🇿🇲🇿🇲

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 4 หลายเดือนก่อน +2

    Wageni hawatukani viongozi wao.

    • @ce-08
      @ce-08 4 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa c wanalipwa vizuri hata ww ukiwa top serikali unakula hela uwez kuona kama serikal inaviongoz Wala rushwa sababu ww umeshba

    • @JosephNgasa-j7l
      @JosephNgasa-j7l 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yes wageni wanajuta misingi ya mpira

    • @JosephNgasa-j7l
      @JosephNgasa-j7l 4 หลายเดือนก่อน

      Wageni wanajuwa misingi ya mpira wa miguu

    • @ce-08
      @ce-08 4 หลายเดือนก่อน

      @@JosephNgasa-j7l sio kwel sema masrai Yao yanasikilizwa mbona wabongo waliopo nje wapo vizuri ni kwasababu wanajaliwa tu hata hao wageni wenyewe wengine shida msiwajal muone Kwan mara ngap wagen wamezishitak timu zetu mara ngap kina Morrison wamefanya utovu wa nidham hapo issues kubwa ni maslah tu mchezaj yoyote yule ukimpa maslah yake vizuri hatokusumbua

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 4 หลายเดือนก่อน +7

    NAYEYE AENDE KENYA AKATHAMINIWE, KAMA WACHEZAJI WA NDANI AWATHAMINIWI.

    • @waltermfikwa4361
      @waltermfikwa4361 4 หลายเดือนก่อน +3

      Hayo ni makasiriko coz kawakimbia Yanga,,,,, 😂😂😂😂😂😂😂

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo 4 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂khaaah Jamaniii

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh 4 หลายเดือนก่อน +2

    Yan mnachelewa kupost mnazingua

  • @kingsmusicfans1416
    @kingsmusicfans1416 4 หลายเดือนก่อน +1

    🔥🔥

  • @Breezy9757
    @Breezy9757 4 หลายเดือนก่อน

    Ndio tunathamini wageni kwa sabab wnafanya vile washabiki tunataka

  • @bernadking3835
    @bernadking3835 4 หลายเดือนก่อน

    Iv Kuna shida gan mnapost interview nusu nusu aziji kwa wakat au mmetumwa kuarb crown yetu

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 4 หลายเดือนก่อน

    Nishacheza mpira bongo ila fei kweye hizi timu,viongozi ni wale wale labda itokee miujiza.

  • @oscarnevelle5472
    @oscarnevelle5472 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi wa habari unaongea sana ,uliza swali alafu subiri mtu ajibu.

  • @banjobeattz2858
    @banjobeattz2858 4 หลายเดือนก่อน

    We mtangazaji bogazi uliza point man

  • @ProsperReuben-fg6uh
    @ProsperReuben-fg6uh 4 หลายเดือนก่อน

    Ameshindwa kupata kiatu maana yy mama alimpa yeboyebo

  • @AliyussufMakame-js5dp
    @AliyussufMakame-js5dp 4 หลายเดือนก่อน

    Kila mtu anafuata masilai niache milione 16 kwa kupata milione 4 za Yanga

  • @dunkchainz7237
    @dunkchainz7237 4 หลายเดือนก่อน

    Media mpya simlaumu saana mwanahabari the way anauliza maswali… nmependezwa sana na the way Feisal amehandle interview… nmeona utofauti mkubwa sana tangu vuguvugu lake na wananchi lilivoisha… nkiwa kama shabiki wa Yanga nimktakiw kheri tu katika maisha yake… Lakini tutaendelea kumzomea hadi siku tutapochoka tutaacha 😂

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 4 หลายเดือนก่อน

    Fei acha kushindana na mashabiki kazi ya mashabiki ni kushangilia na kuzomea achana na mashabiki kabisa sisi tutaitetea Yanga milele

  • @hodaneymujib6621
    @hodaneymujib6621 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jama anajitahidi lakin anaroho mbaya kW wengine

  • @AbdulraufSalum
    @AbdulraufSalum 4 หลายเดือนก่อน

    Hii media ya kindezi San

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 4 หลายเดือนก่อน

    Tunathamini anaecheza vizuri

  • @mzazi15
    @mzazi15 4 หลายเดือนก่อน

    Ila kumuacha kipre jr nje ata kwenye sub ni tatzo 😅

  • @AhmedMohamedMadaiMadai
    @AhmedMohamedMadaiMadai 4 หลายเดือนก่อน

    Anaekuchukia ww hajui mpira na ni mpuuzi😊

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤

  • @HamisiKibungulu-qu6hl
    @HamisiKibungulu-qu6hl 4 หลายเดือนก่อน

    Choko huyoooo

    • @x7hia
      @x7hia 4 หลายเดือนก่อน

      Analipwa mshahara si chini ya 20M sasa hapo utajua km choko ni yeye au wewe

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 4 หลายเดือนก่อน

    Ata wake tunathamini wa nje iwe wachezaji acha umama kama vipi kacheze.dada zako ukumbini kwenu

  • @sajormaster1168
    @sajormaster1168 4 หลายเดือนก่อน

    Mnafanya kumshusha alikiba fanya mambo ya akili nyie mambo ya zaman mnapost leo😊

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa mpira upi ulio nao wa kwenda kucheza nje wewe utaenda kucheza tabora united kwa ujeuri wako na hiv ulivyosusia medali

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 4 หลายเดือนก่อน

    Kuwa nadabu ķuwa namaneno kidogo aca majivuno udapedwa badirika haucukiwi lahasha sema unakera mbone ivi unaongeya naheshima wacezaji wageni wanautulivu unatukanywa gushinda Saido ilayekimya anafunga kuriko wafulahiye wanamutukana ila hamutukani mutu Muze Saidi urishasikiya ngisi anamucamba nawengine wengi nawe sasa badirika mambo yako anyooke ushauli wambure

  • @terrence9477
    @terrence9477 4 หลายเดือนก่อน

    Wazawa ni wasaliti, wauza mechi. Wapambane na hali zao

  • @OkwSunzu
    @OkwSunzu 4 หลายเดือนก่อน

    Mbona mmefanana kama ndugu

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 4 หลายเดือนก่อน

    Tunathanini uwezo wa mtu , sio Kwa sababu mchezaji wa ndani na umezidiwa uwezo na mgeni halafu tukufagilie....huo ni UJINGA

  • @RamadhanHemed001
    @RamadhanHemed001 4 หลายเดือนก่อน

    Ajifunze kupitia ligi ya uingereza na spain cio kuongea vitu visivyo na tija

  • @YasinSheikika
    @YasinSheikika 4 หลายเดือนก่อน

    Pumbavu huyo alitukana viongozi wetu

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 4 หลายเดือนก่อน

    Feisal hana roho mbaya kama yanga

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 4 หลายเดือนก่อน

    Azam mpelekeni arabuni tuu akajionee na pesa kama anataka.

  • @richardgodfrey9020
    @richardgodfrey9020 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa tukusamini ww wakati ni shoga bwabwaa 😄

  • @LionelRichard-wj6zi
    @LionelRichard-wj6zi 4 หลายเดือนก่อน

    Interview imekosa MWANDISHI

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 4 หลายเดือนก่อน

    Interview ya zamani haina thamani sasa

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kuma nyoko ww Marengo Yako kucheza nje Kwa MCHEZAJI gan ww shoga Kuma nyoko Kuma la mama Ako msenge ww

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @salcle9702
    @salcle9702 4 หลายเดือนก่อน

    Hii chanel niya kizee na watu walio pitwa na mda wake

  • @Soundprobeats
    @Soundprobeats 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa maringo yako hamna anayekukubali tena mkuu

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 4 หลายเดือนก่อน

    Pepo mbaya wa kuzimu wewe kafie mbali changodoa

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 4 หลายเดือนก่อน

    Toa pacome weka kipre jr

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hata alivyokaa kwenye kiti anaonekana mshambaa tuu!!

  • @tabusalumu1061
    @tabusalumu1061 4 หลายเดือนก่อน

    Muongo wewe mpira ndo unakuushia hapo nje labda ukacheze malede TU hata huko nje hawakuchukuii huna adabu

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 4 หลายเดือนก่อน

    Mnazingua mbwa nyie

  • @tabusalumu1061
    @tabusalumu1061 4 หลายเดือนก่อน

    Wakuunge mkono upumbuvu wako nyoooooo

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 4 หลายเดือนก่อน

    Acha ujinga dogo fanya kaz yako unalialia nini mpila ni nambaz sio kulegeza macho tu

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mtoto Bado Mshamba Hajielewi Kijua Kwake Ndio Kumemponza Amekosa Kiatu

  • @GloryD-ky5nf
    @GloryD-ky5nf 4 หลายเดือนก่อน

    Hunanlolote wewe feisalim acha zarau Dunia Haina mwenyewe

  • @David_keyan
    @David_keyan 4 หลายเดือนก่อน

    Crown mnazingua yan mnachelewa kupost kaah hv hamsomi comment asilimia 90% wanalalamika mnachelewa alaf muelewe sasa hv michezo imekua zaid watu wanapenda sasa interview za seriously mnakaa mwez mzima mnapost khaa mtapotez mashabik kwa uzembe wenu ,Pablo kuwa seriously na kazi dogo

    • @drcharlestz
      @drcharlestz 4 หลายเดือนก่อน

      Walikuwa hawana Bando 😂

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@drcharlestz mahi siyo kweli😂 wanatuchezea akili zetu.

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 4 หลายเดือนก่อน +1

    Elimu ya madrasa kingereza hujui ukacheze nje?? Arafu we mtangazaji punguza maswali kwani umesikia sisi yanga tunadhiki na feisal wakati tunao top wanaupiga mwingi mpk unamwagika huwiíi tuna watu kuliko huyu dogo wew mtangazaji acha ushamba huwo

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 4 หลายเดือนก่อน

    Ukiona mtu anamsifia huyu shoga basi ujue ni shoga mwenzie

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 4 หลายเดือนก่อน

    Wageni hawatukani viongozi wao huyu shoga kajiona sukari kuwatukana viongozi wetu ,fucky u

  • @NasriTahmed
    @NasriTahmed 4 หลายเดือนก่อน