Jambo Nabii Nini Niko Congo nakufataka sana na kupenda kabisa ila naomba msaada wamaombi Nate sua sana maisha yangu ime fungwa sana nawana damu naishi maisha ya umasikini japo mimi natafuta maisha sana na kusii Nabii nisaidiye naona miujiza ambazo Mungu wako anatendaka Nami Nina Imani ulisema neno tu maisha yangu itafunguliwa asante
Baba nabii mkuu naitaji maombi yako , niko mosh nachangamoto ya kimapepo kwasasa ni muda wa miaka kumi nateseka sana nakupitia hiyo mapepo yananifanya kila giza linapoingia mm sina amani wala furaha yamaisha yangu naishi maisha magum sana nahitaji kutoka kwenye kifungo hiki kwa jina la yesu naomba msaada hata wakufika kanisani kwako naiman ntapona kabisa , , , Ee mungu nisaidie
Napenda sana nabii mukuu kwa matendoyake mazuri namaubiri namuliya afike spa Congo mimi ni poba ramazani paScale napatikana ville de goma napenda nimue.
Jambo Nabii Nini Niko Congo nakufataka sana na kupenda kabisa ila naomba msaada wamaombi Nate sua sana maisha yangu ime fungwa sana nawana damu naishi maisha ya umasikini japo mimi natafuta maisha sana na kusii Nabii nisaidiye naona miujiza ambazo Mungu wako anatendaka Nami Nina Imani ulisema neno tu maisha yangu itafunguliwa asante
Baba nabii mkuu naitaji maombi yako , niko mosh nachangamoto ya kimapepo kwasasa ni muda wa miaka kumi nateseka sana nakupitia hiyo mapepo yananifanya kila giza linapoingia mm sina amani wala furaha yamaisha yangu naishi maisha magum sana nahitaji kutoka kwenye kifungo hiki kwa jina la yesu naomba msaada hata wakufika kanisani kwako naiman ntapona kabisa , , , Ee mungu nisaidie
Àsante sana mdada na hongera sana kwako Dadaa mwanamke mwezangu
Napenda sana nabii mukuu kwa matendoyake mazuri namaubiri namuliya afike spa Congo mimi ni poba ramazani paScale napatikana ville de goma napenda nimue.
Mwenyezi Mungu akulinde akutunze na kukuzidishia upendo na moyo wa huruma kama hivyo baba baba
Ameen ameen baba nataman nifike ngurumo ya upako nitapona kwa upako wa wako baba nip singing
Nice dada umefanya vema sana
Baba kweli Icho kitabu namimi pia nahitaji copy ili nipate mafundisho yako Nadii mkuu nipo Congo Johnson Sungura
Hongera kwa upendo mkuu Askofu Ngurumo ya upako. Mungu wa Mbingini akubariki sana, akapaimalishe palipopungia na akujalie mwisho mwema.
Pole sana kwa watu wenye wanamusikiliza
Kwa sababu Gani?
Ooooh asante daddie🙏
Huyo ndoo mwanamke wa kumuoa anajielewa sana
MUNGU ALIYEHAI atukuzwe mno mtumishi wacha yesu ajivunie kwako 🔥🔥🔥💯💯
Ee mungu naomba unijalie niache pombe
That was amazing to have people who appreciate prophet work good job to the lady
Had this prophet predicted in holy bible?
Pia Mimi na furahi Sana huyo mwana dada amefanya kazi hio na Mimi pia ni muislamu
Napokeya baba amina
Amen very wonderful
God bless you my dear
Pastori Mungu biweze
Amina
Amina baba kwahili
Amina
Ameeen
Big support
Amen
Asante kweli baba kwakazi unaendelea kufanya
mtafuteni YESU wa kweli na msimwabudu mungu mtu, mtapotea kuweni makini
We ulijuaje kama yeye ni Mungu mtu?
Mungu atawalaani...
Ataanza nawewe
Big ameeen
Glory glory a dad with a meaning
Advanced anointing in jounal n academic writing
God good 🙏
Ungera sana mwana Wa mungu
Amen amen God bless you
Ahsante baba
be blessed man of GOD
Ameen
Najiunganisha na ibada hii
Nikweli kafanya vizuri ila nahisi kama maogizo?
Pishop naompa maombi naweza patar kitabu hicho
Zipoy Nije
MUNGU azidi kuku baliki
AMINA
dini hio naona ipo kipesa pesa tu yani hela hakuna chengine
Wewe ni mtu wa mbinguni kabisa unahekima mno
😂😂
Amen