Mm shabiki wa yanga lkn kwa sasa mpira tunao cheza kwanza wachezaji wana cheza kistaa sana na sio mpira wa kasi kama tulivyo zoea ni maoni tu Wana yanga
Kwa Nabi alikuwa anashinda goli 5,cha muhimu ni kuiombea timu isidondoshe alama na wachezaji waendelee kuwa na morali ya kuipambania nembo ya club,hii timu itachukua ubingwa na itafika mbali sana club bingwa.
Azam ni branch ya panya road huoni hata wakiwa wanacheza nao wanavyocheza,lkn wakicheza na Yanga wanajifanya kukamia,wasubiri tu dawa yao ipo jikoni acha wajifariji wajione wamewin
Hivyo kweli una akili wewe eti UKWELI USEMWE. Nyinyi mnajaribu kujifariji na timu lenu bovu na siku zenu zinahesabika. UKWELI anawaambia Mchome na nyinyi mnamuita mnafiki kwa sababu mmeshikiwa akili na viongozi wenu mazezeta
kila mwananch anafahamu ubola watimu yake
Mm shabiki wa yanga lkn kwa sasa mpira tunao cheza kwanza wachezaji wana cheza kistaa sana na sio mpira wa kasi kama tulivyo zoea ni maoni tu Wana yanga
Ally hakuna posho, ila yanga wenyewe walituzoweshwa kupata ushindi mkubwa. Usipende kulaumu. Naongea kama shabiki wa yanga
Kwa Nabi alikuwa anashinda goli 5,cha muhimu ni kuiombea timu isidondoshe alama na wachezaji waendelee kuwa na morali ya kuipambania nembo ya club,hii timu itachukua ubingwa na itafika mbali sana club bingwa.
hatuna lawama kwenye timu yetu sis kama wananch hatuna was was kikubwa Dua tupo pamoja
Sasa anataka watu waseme anavyotaka yeye kama anajua kunapisho kumbe tumegundua wao ndio ilikuwa tabia yao
Washabiki wengine hamjui,mpira
Azam ni branch ya panya road huoni hata wakiwa wanacheza nao wanavyocheza,lkn wakicheza na Yanga wanajifanya kukamia,wasubiri tu dawa yao ipo jikoni acha wajifariji wajione wamewin
Hii ni kwa sababu ya level na standard ambayo yanga imejiwekea ndio maana haya yote yanatokea inabidi tu sustain our levels
Gamond ni kocha Bora. Time will tell.
Lakini mimi naona Gamondi timu nnamshinda kwa mbinu hana mbinu yoyote ya kubadilisha game kwa hizi timu zinazo kaa nyuma
Kafundishe wewe
Upewe wew team
Wee unajua nini hata kadi ya wanachama huna lipia ipi ukamchukue gadiola
Msimpinge...
Mi naina haikuwa bahati tu... maana magoli yamekosekana.....
Mashabiki maandaxi wakati wa Nabi ilikua magoli mangapi kila mechi? Waache upumbavu pamoja na nyie wote naomba mtuache
Yanga bingwa
Navyooona mim atucherewi kuanza kupoteza match mda slefu watani wao wanazd kupisua angaa Kwa ushindi mzito mzito yawapasa viongoz bench laufund ikiwemo gamond mwenyewe watafte ufumbuzi wa tatzo hili inaboa
Wewe sio yanga kwakua kiukweli ukiwa shabak wa timu yako la msingi ni kushida nakuongeza poit, angalia ulaya mpira ukoje?
Na mutalia sana msimu huu hama uko time ujazaliwa mayo Rudi Simba Kwa baba ako
Ata kuandika hujui
Kocha asikariri wachezaji bwana afurumue tu timu zimeshajua namna ya kuwakabili yanga vinapark mabasi sana
Kila timu inayo kutana na yanga inajua watafungwa kwa hiuo wanahingia kupunguza magoli,
Kule A,kusini,nne kombe tumechukua,hapa azam moja yanga nne,ngao tumechukua wasubiri 19,
Dogo ukweli usemwe yanga Haina kocha
Wewe kolokwinyo acha udunduka huo. Tumewakanda mechi 3 tukiwa na kocha huyo huyo na bado tutaendelea kuwatesa tu
Hivyo kweli una akili wewe eti UKWELI USEMWE. Nyinyi mnajaribu kujifariji na timu lenu bovu na siku zenu zinahesabika. UKWELI anawaambia Mchome na nyinyi mnamuita mnafiki kwa sababu mmeshikiwa akili na viongozi wenu mazezeta
Unalaumu ushindi wa magoli machache, je hao wanaofungwa na kukosa hata point moja wasemeje?.
Msemaji wetu achana nao ipo siku watakubali uwezo wa wachezaji wetu
Sijui ninkwa nn yanga inaandamwa hivi .lakini ss wenyewe Tunashukuru kwa kupata point tatu
Ni kweli kabisa azamu tv wanatuhujumu sana vile wanavyoonyesha makosa ya yanga hata mimi nahirisha kutumia biashara za azam
Hatu a shaka kwa tumu yetu. hayo ni madongo tu hayana madhara kwa yanga