Nhc.mimi ni mtanzia na nahitaji nyumba tanzania katika shilika hili.Je nitaweza kupata ikiwa mie naishi nje ya nchi yangu .bataka muongozo kama itawezekana .kisha nipate na bei ya nyumba ni sh ngapi? natumaini mtanifahamisha.Asanten.nataka nyumba yenye viumba vitatu.mtarajia mtanipatia jibu.
Nhc.mimi ni mtanzia na nahitaji nyumba tanzania katika shilika hili.Je nitaweza kupata ikiwa mie naishi nje ya nchi yangu .bataka muongozo kama itawezekana .kisha nipate na bei ya nyumba ni sh ngapi? natumaini mtanifahamisha.Asanten.nataka nyumba yenye viumba vitatu.mtarajia mtanipatia jibu.
radhia salum nyumba ndogo ni mln 50 hivi
Jaman hili shirika LiPo Kweli?
Well done
nice looking
ni mwezi wa kumi sasa nyumba hatujakabidhiwa na wala NHC hawatuambii lini watatukabidhi nyumba zetu, yaani uswahili mtupu! maudhi tu!