Dah! Shukran sana kwa kuupload huu wimbo. Nilikuwa nikiutafuta sana! Kwani ni miongoni mwa nyimbo nzuri sana zisochuja ktk tathnia hii ya muziki wa taarab. Shukran jaziilan👏👍👌💗
Huu ni wimbo wa kwanza wa Leyla Rashid kwenye kundi la Zanzibar Stars, baadae alipohama wimbo ulikua unaimbwa na Zuhura Shaban kama ilivyokua kwa Jahazi Modern Taarab - Hamchoki Kusema baada ya khadija yussuf kutoka hilo kundi Miriam Amour alisimama na huo wimbo, Leyla asingeweza kung’aa kwenye hilo kundi miaka hiyo kulikua na ma gwiji sana Kina Jokha, Zuhura, Khadija Yussuf humo, mariam khamis n.k
Ninapoisikia nyimbo hii ya Leila kuna hali flani najisikia ndani ya moyo wangu.inanigusa zaidi ya sana
turushie taarab ya..... nyumba utaiona paa
riziki yangu ikifika nitaipokea kwa mikono miwili mungu nipe kilicho changu inshaallh
Wow song hii niliitafuta kitambo sikuiona asante sanaa naipenda ❤❤❤❤
Wimbo mzuri sana umenikosha roho
C'est pas zuhura shaaban
Laïla Rashid 👂👂👂😍😍😍😍😍😇😇😇🤗🖒❤
Riziki mtoaji mungu atanip tuu sijakata tamaa
Leyla rashid song...nmeitafuta sanaa
Shikamoo leila heshim yak kaz uliifany hapa bong moj la ngom
Huu ni wimbo wa kwanza kabisa wa Leyla Rashid haukuimbwa na Zuhura Shaban
Kweli ee, inawezekana, maana sauti ni ya leila mtupu
@@naimasaid7763yaah huu ndo wimbo wa kwanza wa leyla Rashid though n wakitambo sana but old z gold👌
Kama unayo naomba whatsApp
Shukran Marjan Sempa ...Nakumbuka Aboud mwimbaj wa taarab aliyekua kwa team ya Jahazi akisema anaiamsha tena Jahazi kulienda vipi
Wazi broh wanikumbusha sana
riziki mtoaji mungu kwl kbsa,nymbo nzuri xna😍
Leyla Rashid katika nyimbo zko zote huu ndo wimbo ninao ukubali👌
daha naipeda jamani
Kuna utakiona kimbembe, jicho la mahasidi,nifanye nn kama unazo naomba
Wimbo wa leila rashidi
Aisee nilikua naitafuta hii nyimbo
Zama za Zanzibar Stars huu wimbo Malkia Kauimba vyema sana. Safi Marjan
Tuletee sanamu la michelin
Daaah huu wimbo naupenda sana
Dah! Shukran sana kwa kuupload huu wimbo. Nilikuwa nikiutafuta sana! Kwani ni miongoni mwa nyimbo nzuri sana zisochuja ktk tathnia hii ya muziki wa taarab. Shukran jaziilan👏👍👌💗
Karibu sana.. bila kusahau Ku SUBSCRIBE na kuSHARE
Hivi ukitakakudiwnload unafanyaje
Nawakubali xn
Zamani walikuepo waimbaji wazur
Siku ya riziki yangu ikifika nitapokea nitashukuru
dah kitambo sema Albamu kuna nifanye nini yamwamvita mayo nzuri
Huyu sini leila rashid nyimbo yake ya kwanza ama
Tuekee ile inaitwa natembea kwa mapana plzz
Asaantee nyimbo tamu
❤❤❤🎉
Jaman mwenye huu wambo hamuomba anitumie plz🙏
😀😀😀😀jamaniii
Umekumbuka mbali kkkkkk
Shikamooo zuhura
Huu ni wimbo wa kwanza wa Leyla Rashid kwenye kundi la Zanzibar Stars, baadae alipohama wimbo ulikua unaimbwa na Zuhura Shaban kama ilivyokua kwa Jahazi Modern Taarab - Hamchoki Kusema baada ya khadija yussuf kutoka hilo kundi Miriam Amour alisimama na huo wimbo, Leyla asingeweza kung’aa kwenye hilo kundi miaka hiyo kulikua na ma gwiji sana Kina Jokha, Zuhura, Khadija Yussuf humo, mariam khamis n.k
Alijua kuimba Sijui nadowload Vipi