Kwa kweli usilolijua ni gumu sana 🙉🙉🙉 unaishi na ndume kama hii unasema nimzalie mume wangu kumbe lenyewe linaagano lililoingia wewe haujui unashanghaa unazika tuu 😂😂😂😂Mungu tukutanishe na watu sahihi sio watu mashwetaniiiiiiii
Chunguzeni sana huko kanisani na huo mpako wa kichawi na kutoa majini kwa dakika chache mwisho yanakudhuruni wenyewe hawaaminiki viumbe utaona pasta mkubwa au nabii km mnavosema lkn nyuma ya pazia anatumia uchawi kwa tunavoyasikia humu mitandaoni. Kila mmoja anataka kusifiwa kazi yake nzr hajali km anatumia uchawi wala nn
You are a great interviewer...and good job for enlightening God’s children of the the kingdom of darkness,evil spirits,altars, forged covenants and secret society.
ikiwa unaficha uso wako au usifiche unajulikana. Wewe unaishi ulimwenguni na walimwengu wanakujua, na usishangae kwamba hata mchwa mdogo kwenye ardhi unajua hadithi yako. Umateka na shetani ndio sababu unaendelea kuficha siri. Amka na umpokeye Yesu ili akuokoe kabla haujafuka mipaka ya wokovu. Hakika ikiwa Yesu Kristo akikukomboa hakika hautaogopa kuonyesha uso wako mbele ya watu.
Nakupata Sana ,Baadhi ya maeneo aliyoyataja Huyo jamaa nayafahamu,Safari yakutoka Mtwara mpaka Zambiezia (mto Zambezi) ni Safari ndefu mno sawa ufanye Dar Kigoma mala mbili.
Dah so sad wallah.....Allah atuepushe na roho hizo za kuuwa wazaz wetu kisa dunia...cjui nkupe pole au nifanyeje dah nashindwa cha kukuambia ila najua unatoa funzo kwa wengine yasije kuwakuta kama yalokukuta wewe.
I accept u much davistar we are together like fish and water .Alot of men strive to find the richness by any means but they forget that they will never live in this world forever they must die whether they like or not
Kwakweli uislamu watu wanaushutumu tu kwa hoja za kibabe lkn uislam ukikaa chini ukausoma ukaufahamu ni dini amazing na ya haki kabisa lkn tatizo nduguzetu munapotoshwa na kuambiwa ni dini ya majini lkn sisi waislam tunajitibia majini kwa quraan na wala dini haikusema tuabudu majini na wala uislam hauna hadaa.
Manabii washapita na wamwisho ni Mtume Muhammad.saw. baada ya hapo hakuna nabii mwengine wote ni wauongo. Mbona hawaleti yao km manabii wanatumia vitabu vya watu vitupu.
wachungaji hao jaman mtu wasem wapenda kuombew kumbe waombew na mashetan jaman Kwan mwatafut nn kwenye hii dunia nizae kwa uchungu jitu linawamaliza wtt nilijuw ni wachawi2 kumbe hat Hawa wanaojita wachungaji ndo kazi yako naogop kwa kweli mungu tulinde na Hawa matapeli
hiyo sio hali ya kutafuta tu mtu kushaua mpaka wajukuu in advance . nafikiri na huyo mganga anawatoa kuwatoa akili pia imekuwa unakwenda ukifyeka migomba tu.
Yani nakuonea huruma Bora ukatumikie warabu kuliko hixo mnazo tafuta kwaza hapo mlikuwa naroho ngumu kula mtoto mxima eti ubongo ukakushinda jamani sauti zawatoto ndohazikuishii kila siku
ila bro kama umeamua kutuelimisha elimisha acha kuficha ficha mambo ..jinsi unavyo katakata baazi ya sehemu sio ishu we acha tu aendelee ..kipindi chako tunakiona kama sukari ..na kuna wakati hata sukaripia uwa inakinaisha ..so we wwache wafungukeeee yooote
@@DavistarMataMediaDM yaan ww kaka nimekukumbuka sana pindi upo kigambon ulikuwa unaishi kwa mama fey daa kweli milima haikutani lakin binadamu wanakutana haa Davistar
Yani manabii wa uongo wamezidi sijui wataenda jibu nini, heri ukiwa na shida funga na kuomba ww na familia yako Mungu atawajibu usiamini mtu anaye sema katumwa na Mungu
Kwa hyo Nigeria ndo kisima kikubwa cha kupata utajili zaidi. Corona iongezeke Nigeria kwa wingi ili ukuu wa MUNGU ujulikane ktk nchi hyo , watu wakamjue MUNGU wa kweli waachane na uovu.
@@neemachongwe2715 yaani Mara 2 ue mroma kuliko kuamini miujiza yawalokole mm niliwahi kwenda kwamzee wayesu nilisukumwa wakati cna mapepo wakaniangusha kinguvu shoga niliumwa kifua mwz mzima,kwalusekelo hakunigusa namwingira hakunigusa yaani tusipende miujiza tusome vitabu vyadini tuvijue
Kwa kweli usilolijua ni gumu sana 🙉🙉🙉 unaishi na ndume kama hii unasema nimzalie mume wangu kumbe lenyewe linaagano lililoingia wewe haujui unashanghaa unazika tuu 😂😂😂😂Mungu tukutanishe na watu sahihi sio watu mashwetaniiiiiiii
Amina mpenzi...
Mwanaume sahh n mm.haraf huwez amini kwa sababu tumekutana mtandaon unashaangaa tunaishi had uzeen
@@nashonshimba7997 🤭🤭🤭🤔🤔🙄🙄🤪🤪🤪🤣🤣🤣
ukiona umekutanisha na mtu kama uyu ujue wewe mwenyewe pia ni shetani hahaha
@@nashonshimba7997 😂😂😂😂😂
Bro keep up... Naifatiliaa sn storii zako, allah atuepushee na majanga na tamaa za duniaa
M ndo maana siaminigi ayo Mambo ya kuombewa ombewa ata nikiomba mwenyew mungu atanipa tuuuuuuu
Kumbe una akili nyingi
ni kweli
Mimi pia
Nkweli
Chunguzeni sana huko kanisani na huo mpako wa kichawi na kutoa majini kwa dakika chache mwisho yanakudhuruni wenyewe hawaaminiki viumbe utaona pasta mkubwa au nabii km mnavosema lkn nyuma ya pazia anatumia uchawi kwa tunavoyasikia humu mitandaoni.
Kila mmoja anataka kusifiwa kazi yake nzr hajali km anatumia uchawi wala nn
Wakwanza kuwatch mim apa, nakukubali sana Davister, naomba like yako apa kaka,
Tafuta kazi ufanye likes ni za davista pekee
@@kijanahodari2080 sishangai coz hata yesu hakupata support kwa wote, najua likes niza Davister but nmeomb like yake kwa kuwa wakwanza kuwatch ivyo tu
ivi hizo like huwa zinasaidiaga nn!!!!??
You are a great interviewer...and good job for enlightening God’s children of the the kingdom of darkness,evil spirits,altars, forged covenants and secret society.
ikiwa unaficha uso wako au usifiche unajulikana. Wewe unaishi ulimwenguni na walimwengu wanakujua, na usishangae kwamba hata mchwa mdogo kwenye ardhi unajua hadithi yako. Umateka na shetani ndio sababu unaendelea kuficha siri. Amka na umpokeye Yesu ili akuokoe kabla haujafuka mipaka ya wokovu. Hakika ikiwa Yesu Kristo akikukomboa hakika hautaogopa kuonyesha uso wako mbele ya watu.
Nakupata Sana
,Baadhi ya maeneo aliyoyataja Huyo jamaa nayafahamu,Safari yakutoka Mtwara mpaka Zambiezia (mto Zambezi) ni Safari ndefu mno sawa ufanye Dar Kigoma mala mbili.
Aminaa Mungu aendelee kukusaidia🙏🙏🙏
Kwa kweli mungu atusamehe makosa yetu🙏🙏🙏....kosa la Kwanza sio kosa ukirudia ndio kosa.....tuubu kakaangu👌🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻
Jamaa anajua kuelezea kuliko wengine wote walio tangulia, wengine hawajielewielewi.
AMAKWELI kuwauwa wazazi SIO laana HIYO mungu akusamehe nguvu za nduniani zita kusaidia nini hasara
Kazi nzuri bro
Dah so sad wallah.....Allah atuepushe na roho hizo za kuuwa wazaz wetu kisa dunia...cjui nkupe pole au nifanyeje dah nashindwa cha kukuambia ila najua unatoa funzo kwa wengine yasije kuwakuta kama yalokukuta wewe.
Hanan Khalifa kwelii kabisaa
Hanan khalifa ww muislamu kweli? .
@@elizabethambani5896 mzawa kbsa alhamdulillah .
Kazi ya mungu ni wito, na wala haitaji uchawi...!
Wala haiitaji shule ya biblia
Biblia ni matendo tu yameamdikwa mule na sheria za duniani yesu hayupo ...
@@milley7185Yesu hayupo wapi kwa hiyo wewe uliikuta dunia? Mpka ukanushe kuwa Yesu hayupo?
I accept u much davistar we are together like fish and water .Alot of men strive to find the richness by any means but they forget that they will never live in this world forever they must die whether they like or not
Mwenyezi Mungu atuepushe na roho ya tamaa.🙏🏾
Endelea hivo ndungu yangu unatuletea habari nzuri kila siku
Duh jamani watu wamebadilika sana na mambo haya ya kichawi,mungu tuepushe na roho hizo.
Pole sana
Sasa hata kama umejificha na huo uongeaji wako si watu wanaokujua lazima wakujue😃😃
Acha nimwamini Mungu yuleyule ninaemwamini hiyo miujiza acha inipite tu,
Amina
Kweli ndugu yangu
@@neemachongwe2715 Amen kabisa
Kwakweli uislamu watu wanaushutumu tu kwa hoja za kibabe lkn uislam ukikaa chini ukausoma ukaufahamu ni dini amazing na ya haki kabisa lkn tatizo nduguzetu munapotoshwa na kuambiwa ni dini ya majini lkn sisi waislam tunajitibia majini kwa quraan na wala dini haikusema tuabudu majini na wala uislam hauna hadaa.
Huenda watu wakaribu wakakujua kwa kukusikia sauti kwa sababu sauti yako iko tofauti kidogo.kimbali ulimi mzitomzito hivi.
Umemsoma bila shaka
Hahaaaaaa
Kama nabii shila kwambali
Shetani pia yuko na wafwasi wake sio kila kiumbe kinamwabudu mungu ,,,
Ushekh au upasta au urahisi ni wito sio vinginevyo, mungu atunusuru na tamaa ya kidunia
Ukisema mungu unamaanisha shetani yan kama gods ukisema Mungu maana yke God
😀😃😃Jamanii uuwiii ndo mm uwa najiombee mwenyewe siaminii m2 sasa najua Mungu Anasikia kilio cha kila m2 sasa yann uombewe
Ndio maana siku hizi manabii wa uongo ni wengi kumbe ni kweli wanafataga nguvu za giza
Hamutaki kufuata njia eti manabii wote walishakufa nyinyi sijui munakosea wapi hasa
Manabii washapita na wamwisho ni Mtume Muhammad.saw. baada ya hapo hakuna nabii mwengine wote ni wauongo. Mbona hawaleti yao km manabii wanatumia vitabu vya watu vitupu.
Mi mwenyewe nilienda Kwa mtume fulan nilikunywa maji ya upako na mafuta nilikanyaga mbona nilijuta ,hao watu ni wachawi
😂😂huu nwezi mr fact nakuotea sana,ukiachia tu hata kama nipo busy na like then nasikiliza badae😂
Hatar sana
mm
wachungaji hao jaman mtu wasem wapenda kuombew kumbe waombew na mashetan jaman Kwan mwatafut nn kwenye hii dunia nizae kwa uchungu jitu linawamaliza wtt nilijuw ni wachawi2 kumbe hat Hawa wanaojita wachungaji ndo kazi yako naogop kwa kweli mungu tulinde na Hawa matapeli
Tubu sana kaka damu ya hao watu umeua inakungojea kiama
Hauna haki ya kumuukumu mtu yeyote ,,,,moto na pepo ni siri ya Allah
Davistar u are handsome...
Kaka davistar una mashati mazuri😘😘😘😘
Comment yapili Br Davister, nakubali kaz yako bro sifungi data nasubir sehem ya pili
Ila watzd mna mambo mengi hope hii kitu ya wagaga mnaimiliki sana hapo ndio sipendi kuombewa na hawa wachungaji
Mmh stoli safi sana lkn vip ile ya maganga part 3?
Angekuwa mkweli asingejifunika hilo liongo liongo tu.
Mungu wangu simtafanya watu wakimbie makanisa mbona tamaa mbaya.mungu wasamehe Hawa wachawi nawaregee kwako
Ulikuwa na kazi yaziada kwelii tena ulaaniwee kabisaaaa
Jamaa hataki kuoa ili alipe den nimecheka kama mazuri mungu atupiganie.
Kumbe kuna uchungaji wa kichawi du
Allah atunusuru
As usual 1st one
🙉🙉Mammmmmm toba maona mnagiubuwa wanyewa sasa hy ss balaa mwanyezi Mungu mkubuwa sanaaas
Peleka usengee huna ata aibu eti umuue mama hahaha una laaana wew
Mungu wangu wanaume hawa sisituna zaakwa uchungu wenyewe wanauwa😭😭😭
Kuna muda davista anataman kucheka ila anaamua kukausha kibishi tu😂
kumbe hata wewe umemuona huyu jamaa anatamani kucheka 😂😂😂anakutana na vitu vya ajabu sana
Hahahaa
Hahahah kwakweli huyu kaka anamoyo sana mie ningecheka haswaaa
Part 2 plz
Kaka davista hata waganga sio watu wazuri aki wanatudanganya sn aisee
🤣🤣🤣ati ndio umehamua uanze na huyu🤣🤣🤣
manabii wa uongo hii pia inawahusu tena sana muwache kujifanya mna Mungu
hiyo sio hali ya kutafuta tu mtu kushaua mpaka wajukuu in advance . nafikiri na huyo mganga anawatoa kuwatoa akili pia imekuwa unakwenda ukifyeka migomba tu.
mch robert tu ndo wa mungu aliye hai wengine mungu awasame tu bure
Davstar naomba namba yule alielawitiwa na jini jikedume haukumtaja jina lake na uso ulimfunika nisaidie
Jaamaan Davister amependeza saana mwaaaah. 😍😘😘😘😘
Shetani wa ngono utamjua2,
@@gespardanil2009 😂😂😂😂😂😂😂😂😂sio vzr ivyooo
Gespar Danil Mmmh kusifia mtu Ndo ngono huna akili
usha chechetuka eenh!!!??
@@gespardanil2009 kumsifia kubaya? Acha dhana
Am uwende promover church
Part two Mr Davistar Mata
Nipo India ila nnavyo kufuatilia utafikiria nipo bongo penda sana wewe bby Davis tar
Na corona hii polisi wanatutandika vby mno tukae tu ndan
Sehemu gani india mimi nipo delhi
Me nipo punjab ila pia delhi nakujaga
Mie namtafuta amita mkimuona mwambie anicheki fasta.
😂😂
Simuliz nzuri Sana nimejifunza mengi kupitia hii video .....
Dunian manabii wote waongo hakuna wito wowote kipindi hichi nyie manabii ndo muna chafua ukisto
Kweli...
Yani nakuonea huruma Bora ukatumikie warabu kuliko hixo mnazo tafuta kwaza hapo mlikuwa naroho ngumu kula mtoto mxima eti ubongo ukakushinda jamani sauti zawatoto ndohazikuishii kila siku
Where is part 2? It's a great story to learn from it.
Huyu mzima kweli
Hivi hawa watu wanaosema wameua Mara wamesabasha ajali. Hakuna sheria inayowabana wawajibishwe kisheria ??
Mungu atusitiri. Natamaa ya duniani eemola tuepushe naahii fitna ya dunia kesho tutasema nini KWA mungu sisi 😭😭😭😭😭😭
Uyu jamaa ka mchag ivi 🤣🤣pole Jamaa kumtumikia mungu ni wito hata mungu akuwap mtu yeyote cheo cha manabii na mitume ...
Ana lafudh ya kigoma,sio mchaga huyu,... Assey unazingua😁😁😁
siku zote najua kuwa makanisa kujaa na kuponesha ni nguvu za giza.
Kk upo vizuri . Ya kuendelea lini una load
Ndio haya watu wanakemea na kusema fire kumbe unataja miungu hujijui,mungu atunusuru
Mh jamani huyu anaongea sana.
Duh..😢
ila bro kama umeamua kutuelimisha elimisha acha kuficha ficha mambo ..jinsi unavyo katakata baazi ya sehemu sio ishu we acha tu aendelee ..kipindi chako tunakiona kama sukari ..na kuna wakati hata sukaripia uwa inakinaisha ..so we wwache wafungukeeee yooote
Jamaa nimempenda Sana kwenye kutokuingia kwenye mahusiano kisa den Kama nawewe umemuelewa like plz
Duh..! Noma sana tunaomba sehemu ya pili mzee
Kesho
@@DavistarMataMediaDM yaan ww kaka nimekukumbuka sana pindi upo kigambon ulikuwa unaishi kwa mama fey daa kweli milima haikutani lakin binadamu wanakutana haa Davistar
KAKA MBONA UNATUANGALIA WEWE CHEKA 2 KAMA UNACHEKA
Panaitwa Rio zambezia,
Yani mto zambezia,
Kuna uchawi balaa
Ni hatari.
Na zao
Embu tupe no
Unapajua
Napajua sana ni hatari Sana hilo eneo na nyie mnataka kua machizi Kama huyu mchungaji?
Tupe hyo connection mzee huko corona balaaaa
Mtangazaji uwe nauliza mwaka ambao tukio lilitokea ili tujue coz ni muhimu
Hadi Nacheka tu Mungu nisaidie kwenye ili
Ya'llah tufanyie wepesi
+254 😬😈 mtihani mzitooo Allah atuepushe aki tunaishi nao wanatumalizaa Duh uyu jamaaaunaweza kumkata vipande
Damu inakulilia mikononi kwako...Push hiki kitu bro..nzr sana
Duh
Mungu atusaidie kwakwel
Yani manabii wa uongo wamezidi sijui wataenda jibu nini, heri ukiwa na shida funga na kuomba ww na familia yako Mungu atawajibu usiamini mtu anaye sema katumwa na Mungu
Kwa hyo Nigeria ndo kisima kikubwa cha kupata utajili zaidi. Corona iongezeke Nigeria kwa wingi ili ukuu wa MUNGU ujulikane ktk nchi hyo , watu wakamjue MUNGU wa kweli waachane na uovu.
kabsaa 😄
Nenda kanisani kama unamin yesu anaweza atakukomboa na utaoa na utazaa na awatakufa kwa dam ya yesu.
Dah kwahyo nayule mwamposa huenda nayeye alitoa kafara watu 🙄🙄😔
Mwingira,lusekelo,kakobe,rwakatare unawaachia wapi??yaani bora uwe naimani na uingie kanisa lakawaida tu
@@neemachongwe2715 kabisaa tatizo watu tunapenda miujiza kwa mwingira niliwahi kuingia nakwambia tv kanisa zima cjui nicamera zile, wanajitajirisha tu
@@neemachongwe2715 yaani Mara 2 ue mroma kuliko kuamini miujiza yawalokole mm niliwahi kwenda kwamzee wayesu nilisukumwa wakati cna mapepo wakaniangusha kinguvu shoga niliumwa kifua mwz mzima,kwalusekelo hakunigusa namwingira hakunigusa yaani tusipende miujiza tusome vitabu vyadini tuvijue
Jamaican jamani hawa wanaojiita mitume name maabii huwa Sina imani nap kabisaaaaa
Toa kitambaa ujulikane labda takuwa nakujua nije kukumeza
Kuna mchungaji south Africa alikuwa natoa simulizi yake yeye alitoa miujiza Nigeria ,haya mambo yapo jamani
Audhubilah min dhalik
Binti Mohammed ukhty muombe Allah atuepushe
Na mbona unajifunika chizi wews
Uyu mbona Kama nabii Shillah jaman
Ongea yake
Ndo mwenyewe atamimi nimemjua sauti yake🤣🤣🤣🤣🤣
Ni wapi jaman
Hapana sio yeye
@@roseuwambe8089 kweli
Kuma maee unaolewa na li jitu unajua ni. Mme kumbe zigo fala kabisa huyu na wew uuliwe shenzi kabisa
wahubiri wote ni wasanii manabii wa uwongo wachafu washirikina wanzinzi manabii walitoka kwa mungu
Eeeeeh mungu shuka uchukue walio wako kabla wachawi wa neno lako hawajatumaliza
Unawaogopa hao watumishi ,,si uwataje haooo
Uyu jamaa boya sana
Wanawake mnaotaka kuolewa na manabii kazi kwenu
bro your good xema umalizii simulizi
Anazingua tutamkimbia
@@cobilmaster5221 kwel boy tumuhame ndo atajifunza
Mbona Picha Zinazibwa
Hata ukijificha uso kwa stori hii utajulikana tu
Jamaa mchunngaji mbona anaongea kama ringo 🤣🤣mimi naskia lakiny baada ya lakin 😁😁😁😁👿