Kwani yeye ndo ana hela?watoke tuuuuuuu,watakuja wengine kuwekeza Simba ni bland kubwa kaka,alafu sikuzote huwa tunakosoa kwenye mapungufu so kwenye mafanikio vipi wewe?
Safi sana kaka umeongea vizur sana hongera kama kwer umewaleta wachezaji lakin wawe wanaweza kuvaa viatu vya Simba wasiwe Bora wachezaji wakajaza tu nafas yausajir
Goody idear, calling you a man ov vision.
Kama kweli umemsajili kiungo wa gor yule nakupa bigap kaka maana yule mchezaji yupo vzr sana
Kwani yeye ndo ana hela?watoke tuuuuuuu,watakuja wengine kuwekeza Simba ni bland kubwa kaka,alafu sikuzote huwa tunakosoa kwenye mapungufu so kwenye mafanikio vipi wewe?
Safi sana kaka umeongea vizur sana hongera kama kwer umewaleta wachezaji lakin wawe wanaweza kuvaa viatu vya Simba wasiwe Bora wachezaji wakajaza tu nafas yausajir
Wewe ni chawa wa mangungu wewe ndie ulie sema moo hatowi Hela wewe ni munafiki tatizo la Simba ni tiageni na mangungu
😂😂😂😂 Simba SI mbovu ila kwa yanga na Azam ni mbovu nimekupa mchungaji
Wewe acha uchawa wewe ulete wachezaji wa Kenya ni wanini wewe kama nani
Watoke tu kwani wao akina nani?
MZEE NIMEKUELEWA NA UNAJUA SANA
Safi sana
Mchungaji yakweli ayoo?? Mbna kama wataka kunifuraisha
zamani wamefanha nini uyo mangungu na traigen wewe kenge tuu
Asije tuletea jobe part two wachezaji kutoka kenya mhh
ww umetumwa mzee,mipango gn unayo ungekuwa na hela basi
😂👋
Type majina ya hao wachezaji unaowazungumzia
Wakati simba anachukua makombe mara 4 mangungu hakuwa mwenyekiti
Viongozi wajiuzulu Mangungu na Try Again
Mangungu na tiageni wajiuzuru ni mafisadi ndio wanao halibu kirabu
Vp umetumia lugha gani hapo?
Unaeleweka mkuu.
😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Inatafuta kiki
Huyu jamaa yuko vizuri sana na ana akili ya kuongoza na kushauri katika uongozi