DAKIKA 51 ZA MASWALI YA WAHARIRI WA HABARI KWA RAIS, AKITAJA MAKINIKIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @Inspire4all-r6n
    @Inspire4all-r6n 2 หลายเดือนก่อน +3

    Well presented facts
    Thanks you

  • @Joseph-u3f9s
    @Joseph-u3f9s 2 หลายเดือนก่อน +2

    Strong 🇹🇿🙏

  • @LouisPeter-g5d
    @LouisPeter-g5d 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana Mheshimiwa Rais, umetoa takwimu vizuri sana. Tanzania umeifungua duniani kwa uongozi wako mahiri. God bless you mama yetu.

    • @nanubob1969
      @nanubob1969 2 หลายเดือนก่อน

      Pokea maua yako mama!!!!

  • @IsmailOmar-f4x
    @IsmailOmar-f4x 2 หลายเดือนก่อน +1

    Keep going mama! We real love u

  • @Mwanahisa
    @Mwanahisa 2 หลายเดือนก่อน

    Hongela sana jembe letu mama Samia pamoja na jembe makonda,

  • @DeodatusBernad
    @DeodatusBernad 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana mama yetu unachapa kazi sana

  • @LouisPeter-g5d
    @LouisPeter-g5d 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana mheshimiwa Rais. Nchi yetu inapata heshima ulimwenguni kwa uongozi wako maharishi.

  • @Josephllkmy
    @Josephllkmy 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nanubob1969
    @nanubob1969 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera raisi wetu. Unatosha kabisa!! Usikatishwe tamaa na wenye uchu wa madaraka na machawa na vibaraka wao!!❤❤❤

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wenye uchu wa madaraka ndio kina nani?

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@bahatielias6443ni hao unaowadhani wewe

  • @AzizaSalim-n2q
    @AzizaSalim-n2q 2 หลายเดือนก่อน

    Maashaallah, Rais, Allah ametupa, tunataka nn tena jmn? Uchaguzi wa Allah hauna makosa.

  • @paschalmpega1474
    @paschalmpega1474 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Mama

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi inaendelea❤

  • @MusaSelemani-x2c
    @MusaSelemani-x2c 2 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉❤

  • @dr.mukukihante7673
    @dr.mukukihante7673 2 หลายเดือนก่อน

    Many Congrats Mhe Rais wa JMT, Dkt SSH. Tanzania is very resourceful

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 2 หลายเดือนก่อน +2

    IRON LADY ❤🇹🇿🇹🇿

  • @JIDENDEINANAI
    @JIDENDEINANAI 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera saana mama yetu

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 2 หลายเดือนก่อน +1

    MADAM PRESIDENT

  • @DeodatusBernad
    @DeodatusBernad 2 หลายเดือนก่อน

    Mama yetu ni mwalimu hodari sana na mkweli mno

  • @LosaiLukumay-uh5dy
    @LosaiLukumay-uh5dy 2 หลายเดือนก่อน

    Mama uko vizuri lakin naomba utoe neno tukisaidiwa , weka neno ,kuongeza watalam wa kilimo , na wengine kwa ajili ya uzalishaji zaidii ,lakn ongera mam uongozi sio rahisi mum

  • @ahmedkhator3968
    @ahmedkhator3968 2 หลายเดือนก่อน

    Adhna mh.ungesitisha kidogo ingependeza

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 หลายเดือนก่อน

      Huwa akisikia ananyamaza ila ukiona hivyo hajasikia, yeye pia ni binadamu.

  • @PakatJames
    @PakatJames 2 หลายเดือนก่อน +1

    Gas ndio nishati safi ya kwanza duniani wazungu wasitupoteshe

  • @boneyme9433
    @boneyme9433 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umaskini kweli ni stafsiri

  • @AdamuIbrahimu-e9m
    @AdamuIbrahimu-e9m 2 หลายเดือนก่อน

    Mama ongera kwa jitihada zako kutupambania wananchi wako. Naomba jasiri ukiri au Nena kwa wananchi wako umasikini au njaa basi itakoma. Kwa Nini tuna ardhi na vyanzo vya maji ya umwagiliaji vipo. Wataalam wa kilimo na ufugaji kila Kijiji wapo wanalipwa mshahara kila mwezi wakiwajibika ipasavyo. Mifano kila Kijiji wakiwezeshwa trekta na pembejeo na utaalam hiyo njaa itatokea wapi.

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndio Rais hodari kabisa na ameonyesha umahiri usio wa kawaida huku wengine wakipiga midomo badala ya kutafuta fursa wanasubiri wapewe kama walemavu

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mala hii magufuri mmeona hakufaaa,binadamu bwana

    • @NDEWARA
      @NDEWARA 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani huyu akisifiwa ndiyo maana kuwa Magu kapondwa😂

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 2 หลายเดือนก่อน

      @@NDEWARA elewa neno umahiri usio wa kawaida,

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@bahatielias6443ni kweli ni mahiri au wewe ulitaka asiitwe mahiri?! au mahiri Mboe au vipi?!

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 2 หลายเดือนก่อน

    Imbofu!

  • @boneyme9433
    @boneyme9433 2 หลายเดือนก่อน

    KUDOS

  • @Joseph-u3f9s
    @Joseph-u3f9s 2 หลายเดือนก่อน

    Strong 🇹🇿🙏