It's not easy course after that they will expoit them self mfano Tanzania tumepata unit nyingi za umeme lakini viongozi wamegoma kushusha gharama kwa wananchi wake
Asante viongozi wetu nikuenda kuonyeshana viatu hakunakitu wanatudaidia miaka ne da rudi niumeme maji hatupati wanaenda kujaza matumbo zaotu wengine wanawaza vitu vyakuinua nchi ifike mbali lakini viongozi wetu afrika wanawaza kuiba nakujinunulia vitu vyatamani walaanie kabisa
Asante sana ndg mtangazaji asante sana ndg mchambuzi kumbe madini haya tunayo tunakwama wapi mbona tunachelewa sana au pesa nyingi sana kutengeneza huu mradi mchambuzi naomba majibu
Uranium ni madini ambayo hutumika kutengeneza nucliar bomb lakn pia hutumika kutengeneza umeme tena umeme wake unakuwa mzuri zaid ya huu wa kutumia maji....na madin hayo hupatikana kwenye maadhi ya mito hapa tanzania km alivoitaja ndugu mchambuzi hapo juu
Tanzania uranium ipo lakini kutokana na mikataba tata ya magharibi na kimataifa haikidhi vigezo ya kutumia uranium ila kwa nyepesi nyepesi inasemekana huko kusini mwa Tanzania hiyo miradi inavunwa na Wamarekani.
Hahaha TZ bana,utasikia Sisi tuna tanzanite,Gesi,Dhahabu, Uranium. Cha kushangaza Faida hazionekani wala kupatikana .Au wanakula wakubwa? Wacheni mambo ya kizamani,kufungua maskani za vyama na kugaia watu Fulana . Mupo kisiasa zaidi
Pumba tupu! Hiyo leone hata chakula tu ni shida,miundombinu sifuri wanaingizwa kwenye mkenge wa nishat ya nuclear ambayo ni gharama vibaya mno!! Hapa mrussia anawinda madini ya leone
Sio hawa washenzi wanawapa wanajeshi wetu wa Tanzania maboza manne ya maji wakati jeshi la Tanzania lina uwezo wa kutengeneza hivo vi boza vilitolewa na Marekani
Kipi ni chazo kizuri cha umeme kuliko uranium??? Uranium kilo 2 unaweza kutumia umeme kwa mda wa miaka 10 bila ya kuchaj au kua na mpango mwengine nashaanga Tanzania uranium ipo ila hakun kiogozi kawek hat Nia ya kutumia neema hii alio tup mungu
Tanzania itapiga hatua kwa haraka kama wanaotawala wataondolewa madarakani au atokee mtu ndani yao atakae enda kinyume nao kama buludoza ila ni nadra sana
❤❤❤❤❤Shuuhudia Africa inaanza kuamka. Kufikia 2030 tutaona mabadiliko makubwa mno.
Kwa hapa tz ufisadi umeea sana yaan hata viongozi wakipewa mkopo mkopo haufanyi kazi zaidi ya kulimbikiza deni kwa wananchi wanyonge
Asante sn putin
Slowly Slowly Africa will be free from imperialism.
It's not easy course after that they will expoit them self mfano Tanzania tumepata unit nyingi za umeme lakini viongozi wamegoma kushusha gharama kwa wananchi wake
🎉
SNS forever thanks so much brother masudi & all SNS team
Hawa jamaa ndio wanazdiki kupata kushawishi afrika, hongera sana nchi zinazotumia fursa hiyo
🇧🇮🇧🇮🇧🇮natowa salamu Kwa wana Sns wote kwanzia kwa sky dj sma ally na wengine wengi tu
Komera chane mwenewachu 🇹🇿🇧🇮✌️
Asante viongozi wetu nikuenda kuonyeshana viatu hakunakitu wanatudaidia miaka ne da rudi niumeme maji hatupati wanaenda kujaza matumbo zaotu wengine wanawaza vitu vyakuinua nchi ifike mbali lakini viongozi wetu afrika wanawaza kuiba nakujinunulia vitu vyatamani walaanie kabisa
Ally Masubi on the 🔥🙌👌@SkeezBill🇧🇮
Mungu awalipe nyiiote mnaotupa habari
Nzuri sana hiyo habari Tanzania tufuate huo mradi
Asante kwataalifa
Asente mungu kwakutujuw haja zaafurik❤❤
Niceeee more advanced
Bora sana Urusi. Achana na hao wanaotuletea stori za ushoga
Asante sana ndg mtangazaji asante sana ndg mchambuzi kumbe madini haya tunayo tunakwama wapi mbona tunachelewa sana au pesa nyingi sana kutengeneza huu mradi mchambuzi naomba majibu
Nasaidia hapo ukiruhsu tu manyang'au wanatupora, we tusubirie urusi kwanza 😂😂
@@user-vv6ox9xh9k Sawa sawa
We have geothermal energy in kenya
Good news
Hatari dunia imefika mwisho
Duh! leo ndo nmejua kuw huku Tz kuna Uranium japo cjui ni kitu gan kwa usahih
Uranium ni madini ambayo hutumika kutengeneza nucliar bomb lakn pia hutumika kutengeneza umeme tena umeme wake unakuwa mzuri zaid ya huu wa kutumia maji....na madin hayo hupatikana kwenye maadhi ya mito hapa tanzania km alivoitaja ndugu mchambuzi hapo juu
Magufuli kutangaza kote kule hukuwahi skia? Kweli Nabii hakubaliki nyumbani 😩
yanapatikana songea
@@atutweve4160 we umeenda mbali sana, kukubalika na kutoskia hilo kuna uhusiano gan??
@@bakarussi5428 🙏
👍👊✌️.
Ally kaongea kwa uzito Sana
I am free town right now
Hiisasa Ina waumixa Sana manyang,a mwisho ni nyukilia kuingia Africa
Tanzania 🇹🇿 tusiachwe nyuma
Na Burundi
Ali masod
Asante Russia, Dunia inaeelekea Mashariki🇷🇺🇷🇺💪💪💪💪
Wala siyo cha kufulaiya
Tanzania uranium ipo lakini kutokana na mikataba tata ya magharibi na kimataifa haikidhi vigezo ya kutumia uranium ila kwa nyepesi nyepesi inasemekana huko kusini mwa Tanzania hiyo miradi inavunwa na Wamarekani.
Safii Sanaa,,je Tanzania tutafikia huko⁉️
Chini ya Samia… sahau!
Sasa Tz tunakwama wapi? Mbona mpaka sasa tuna umeme wa mgao?
Umeme wa nishati ya nyuklia ni gharama kuliko hata wa maji na haya maneno hata magufuli pia alisema
Ndio maana hata magufuli alitumia nguvu nyingi kufua Umeme Kwa njia ya maji na akaacha ya uranium
Viongozi wanapaswa kua na future na taish ili vizaz vyetu vilinde haswa na wakolon na mataifa jiran watakao tumiwa dhid yetu
Tanzania bado tupo na US wanatuchelewesha tu hawa jamaa
👍👍🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺♥️✌✌✌
Kwa Tanzania sidhani kama tutanufuika na haya madini labda uongozi ubadirike
Samia hana maono
Viongozi wa kitanzania wanataka mradi uwe na kipande cha rushwa kwanza kwao ndo waweze kuipeleka kwny mjadala! Tofauti na hapo no na haifai!
Hahaha TZ bana,utasikia Sisi tuna tanzanite,Gesi,Dhahabu, Uranium.
Cha kushangaza Faida hazionekani wala kupatikana .Au wanakula wakubwa?
Wacheni mambo ya kizamani,kufungua maskani za vyama na kugaia watu Fulana .
Mupo kisiasa zaidi
Yaani kama sisi hii fursa ya Russia ambao ndio wakombozi wa wakoloni hatuioni?
Congratulations Russian
Tunapaswa kuhamia kwa Russia sasa muhimu kuwa makin tu kimipango
Pumba tupu! Hiyo leone hata chakula tu ni shida,miundombinu sifuri wanaingizwa kwenye mkenge wa nishat ya nuclear ambayo ni gharama vibaya mno!!
Hapa mrussia anawinda madini ya leone
basi umemaliza mchezo wanaingia cha kike
2027 kenya wata anza nuclear power plant
Sio hawa washenzi wanawapa wanajeshi wetu wa Tanzania maboza manne ya maji wakati jeshi la Tanzania lina uwezo wa kutengeneza hivo vi boza vilitolewa na Marekani
THIS IS NOW TOO MUCH, VERY DANGEROUS FOR AFRICA 😩😩😩
Siyo mbaya kama unavodhani ndugu, ebu skiliza maelezo ya mchambuzi kwa umakini uelewe vzr
@@Hassan_Mengi nmesoma najua 😳
WANAAZAGA HIVO HIVO ETI NYUKRIA YA AMANI MUNGU WANGU DUNIA ITAISHA SOON 😳
Atuitaji matumizi ya ulenium ni hatari tuna vyanzo vingi ya umeme
Hatar kwa nn,maana nchi zilizoendelea miaka mingi zinatumia,au una mfano dhabiti
Kipi ni chazo kizuri cha umeme kuliko uranium??? Uranium kilo 2 unaweza kutumia umeme kwa mda wa miaka 10 bila ya kuchaj au kua na mpango mwengine nashaanga Tanzania uranium ipo ila hakun kiogozi kawek hat Nia ya kutumia neema hii alio tup mungu
Tanzania itapiga hatua kwa haraka kama wanaotawala wataondolewa madarakani au atokee mtu ndani yao atakae enda kinyume nao kama buludoza ila ni nadra sana
URUSI NI MOANGO MZIMA SASA. ILA KWA MABWEGETU NDIO WATAENDELEA NA KUOMBAOMBA MAGHARIBI.